ASKOFU DANIEL MTOTO WA MOSES KULOLA/WALIMTEMBEZA MZEE KULOLA UCHI GEREZANI/JINI LILINIFATA LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 71

  • @Boaz22
    @Boaz22 ปีที่แล้ว +10

    Mzee kulola alikuja kijijini kwetu mwika kwenye huduma ya mikaeli na watoto kanisani kwetu,akatoa million 2 kuchangia jengo letu la sunday school, enzi hizo million 2 ilikua kubwa mno,nikama million 10 ya saa hivi.. ilikua mwaka 1998,nilikua mdogo ila namkumbuka sana, Mungu ailaze Roho yake mshali pema peponi.

    • @essaumpuma2981
      @essaumpuma2981 ปีที่แล้ว

      Mungu amkumbuke amrehemu alipopunguka ameni

    • @mwambakamata2030
      @mwambakamata2030 ปีที่แล้ว

      ​@@essaumpuma2981 qppll .

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 ปีที่แล้ว

    Ushuhuda mgumu ! Umenikumbusha mbali! Itoshe tu kusema Mungu akubariki

  • @Gigi_4823
    @Gigi_4823 ปีที่แล้ว +1

    Came across this channel and saw this interview reminded me alot of babu Askofu Moses Kulola nimefurahi sana most of the things mtumishi is talking about are very true I was very young but old enough to know this is my family ,best interview I've seen from tanzania media congrats Davistar

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 ปีที่แล้ว +3

    Injili ya mzee kulola ilikuwa ni Moto, Tutaikumbuka daima.

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 ปีที่แล้ว

    Nimefurahi sn Kukuona tena Mutumishi Daniel! Nilikuwa nikijiuliza uko wapi? Niliokoka kupitia huduma ya Mzee Kulola, Arusha! Mungu Akubariki sn.

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 4 หลายเดือนก่อน

    Ni moyo wa aina yake. Ni Moyo wa Kristo uliokuwemo ndani Yake.

  • @ivanpeter4945
    @ivanpeter4945 ปีที่แล้ว +1

    Daah huyu mwamba.. nina mkubali sana.. Daniel Moses kulola

  • @work24onme
    @work24onme ปีที่แล้ว

    Holy Spirit Forever, 🙏🏼 ❤️
    Asante sana Davistar Mata Media 🙏🏼 milele daima. Nimejifunza na bado najifunza na nimefunguka na mengi!
    KAZI TAKATIFU MNAYO IFANYA 💯 🙏🏼

    • @venancemgani2041
      @venancemgani2041 ปีที่แล้ว

      Kwa nini, lewo watoto wa viongozi hawaja pewa cha babao ila waombe wapewe chao

  • @mysskibe
    @mysskibe ปีที่แล้ว +5

    Looking good for 59! God bless 🙏🏾

  • @florencebochere1729
    @florencebochere1729 ปีที่แล้ว +4

    That's why I like this channel,kazi nzuri Mr fact👏🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @marrypius576
    @marrypius576 ปีที่แล้ว

    Asee namkumbuk sas askof kulola mwanzilishi wa kanisa la EAGT mlinisaidia san niliwajua toka mwaka 2005 nikiwa la sita na nilipona kichwa kupitia moja ya makanisa yake. Pia nakukumbuka san Daniel pamoja na mike kulola mlikuw mnakuja sana kuhubiri kweny kanisa nililokuw nikosali miaka hiy Mungu awabariki san jaman yan sijui nisemeje ila Mungu awe nanyi kila siku za maisha yenu

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 ปีที่แล้ว

    NAMSHUKURU MUNGU KWA MARA
    YA MWISHO KUMUONA ASK KULOLA ALIMTAMBULISHA
    AKAHUBIRI BIAFRA DAR, MUNGU
    AMBARIKI.

  • @ruthjohn4317
    @ruthjohn4317 ปีที่แล้ว

    Jamn Mchungaj Daniel eeh amekuwa ASKOFU jamn nimefurah san kumuona...UBARIKIWE SANA Baba 🙏🙏🙏 ❤❤❤

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 ปีที่แล้ว +1

    Kaka Daniel Kulola nakuelewa sana. Mungu akubariki

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 ปีที่แล้ว

    Historian nzuri waweza kutana na wandishi mkaandika kitabu

  • @navokisembo
    @navokisembo ปีที่แล้ว +2

    Ameeen bwana Yesu asifiwe mtumishi

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    Mbeya tunamfahamu vizur xana Daniel kulola kweli nimeamini mtoto wa Simba Ni simba 🔥🔥🔥

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 ปีที่แล้ว +7

    Hata mimi wakati wa udogo wangu nilijua kuwa wokovu ni watu waliochanganikiwa

  • @nabiimuimbaji
    @nabiimuimbaji ปีที่แล้ว +3

    Asnt sn kaka davister kumleta huyu muheshimiwa

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka injiri yako bukoba nyamukazi kwa mchungaji wini barikiwa Sana

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ku2lete hii nyingine

  • @12LEOSAFARI-zm3ji
    @12LEOSAFARI-zm3ji 7 หลายเดือนก่อน

    Watoto wa mzee Eli.

  • @eliyaerick5182
    @eliyaerick5182 ปีที่แล้ว +3

    Moses 🙌🙌🙌apewe tuzo yake

  • @user-jx1pe9hc1f
    @user-jx1pe9hc1f ปีที่แล้ว +1

    Alinisaidia kujazwa kwa Roho Mtakatifu ndani yangu pale Kanisani Mnazi mmoja

  • @AnastaziaJohn-qp3rr
    @AnastaziaJohn-qp3rr ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumish nakumbuka ulikiwa unakuja morogoro Kwa mchungaji peter denis eagt ,nikiwa mdogo nilienda huduma Yako ubarikiwe San nimekumbuka mbali nilivoon interview hii

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimefurahi leo

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 ปีที่แล้ว +3

    Jamn mtu km Mzee Mses Taji yake inang'aaa mbinguni

  • @florences8087
    @florences8087 ปีที่แล้ว +3

    I remember Moses Kulola

  • @richardmoses7470
    @richardmoses7470 ปีที่แล้ว +2

    Kuna moses kulola mmoja tu, huyu ndo alikuwa EAGT, Mungu atusaidie

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 ปีที่แล้ว +3

    Safi mchungaji nimebarikiwa na story yako

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว +4

    Kweli kabisa nakumbuka miaka 1983 hadi watoto darasani walikuwa wanaupako wa Moses korola unapenda nikuambia !!! Na walikuwa pure walokole sio hawa wa leo

    • @naomicharles5444
      @naomicharles5444 ปีที่แล้ว

      Nisimulie napenda

    • @israelisponsor8755
      @israelisponsor8755 ปีที่แล้ว +1

      Umenifurahisha hiyo kauli ya " unapenda nikwambie!!" Alikuwa anaitumia basi niliipenda mno yani

  • @EliaMwamengo-uu6ky
    @EliaMwamengo-uu6ky ปีที่แล้ว +1

    Mungu mkubwa m2mishi barikiwe

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 ปีที่แล้ว +1

    Wa 10😁😁😁🔥

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 ปีที่แล้ว +2

    Wamayo akae kando kwanza 😂😂😂😂

  • @josephkavindi3666
    @josephkavindi3666 ปีที่แล้ว +1

    Hapo station mwanza panaitwa TAFIKO

  • @BrunosMjuti
    @BrunosMjuti 9 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana, ninaswali vp kuhusu Michael yule wa butimba mbona na yeye tunasikia ni mtoto wa mzee kulola na wengi Wana amini ivyo ,lakini kwenye listi ya wa toto Alali wa mzee kulola ulio wataja sijamsikia hata huduma yake , je yeye c mtoto wa mzee kulola ? Au ni ninani katika familia? Samahani mtumishi wa Mungu, tufahamishe tu tujue

    • @jicholafursa7058
      @jicholafursa7058 8 หลายเดือนก่อน

      Michael ni mjukuu wa Kulola mtoto wa William Kulola.

  • @lucyswahibu6503
    @lucyswahibu6503 ปีที่แล้ว +1

    Kitambo sn nishawahi kusali hapo kabisan kwako baba nakujua sn

  • @flm1530
    @flm1530 ปีที่แล้ว +2

    Ameen dávister

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen ปีที่แล้ว +1

    Nimekua wa mwisho 😢😢

  • @farajimtengela8500
    @farajimtengela8500 ปีที่แล้ว +2

    Tuleteeni Part 2 jamani.

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 ปีที่แล้ว

    nilisoma na Rachel. she was a singer

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 ปีที่แล้ว +1

    Moses kulola namkumbuka aliniombea uwanja wa Furahisha nilikuwa na tatizo la kutokula nyama likaisha

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 ปีที่แล้ว +1

    Mzee mwakisyala ailfariki 😢😢😢 ilongo

  • @dullahzebuffa
    @dullahzebuffa ปีที่แล้ว +1

    Safi sana

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 ปีที่แล้ว +1

    Ni mtoto wake kabisaa mpaka uwaraza kalithi kama mimi nilivyo lithi uwaraza wa Baba

  • @rerisamba
    @rerisamba ปีที่แล้ว +4

    Huyo alikua ni jasusi kutoka mbinguni kweli anapewa pesa anaipeana na kwake kuna shida waa

  • @brunopeter9776
    @brunopeter9776 ปีที่แล้ว +2

    Nasema hivi mchungaji uliona jini😆😆

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 ปีที่แล้ว +1

    Davista mbona ile story ya yule jamaa hujaimalizia??

  • @preacherswahubiri2162
    @preacherswahubiri2162 ปีที่แล้ว

    Msinyoe pembe za vichwa vyenu

  • @tututz100
    @tututz100 ปีที่แล้ว +1

    J.boys 1999

  • @santennko1195
    @santennko1195 ปีที่แล้ว

    Nafurahi unavyo document Injili tofauti na Wazee walikuwa na Mzee wako lakini hawakurekodi Matendo makuu ya Injili ya Kulola. Jambo hili lilinusukuma baada ya kupata taaluma ya Habari. 1996-2001 nilifanikiwa kuanza kupiga video. 2001 Kamati ya EAGT Dsm ilinipa jukumu la kupiga video kipindi kilirushwa CTN /CTC Chanel saa 5 asubuhi. Kwahio Kulola alirushwa Mara ya kwanza Dar kwenye TV. Dakika 30. Easter Crusade kwa Mchungaji Andrew. Kiwanja kidogo chekundu ambapo kwa sasa pamejengwa Kikwete sports complex. Shalom.

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 ปีที่แล้ว

    For some reason i may not agree with preachers who don't take good care of their families in the name of serving God..read the scriptures..am a servant of God and i know sometimes its just lack of proper planning..watoto wanahitaji kula boss.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว +1

    Vyombo vya music ilikuwa ngumu kupata mpaka missionary awaletee maana zilikuwa bei ya ni ya fuso ndio maana yake haikuwa lahisi.

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 ปีที่แล้ว

    Hakika Kulola alikuwa mtumishi wa kweli

  • @rerisamba
    @rerisamba ปีที่แล้ว +2

    Wanasema wewe ndio fungu la kumi la familia

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 ปีที่แล้ว

    Sijui ulikwama wapi Daniel, Nakumbuka mikutano mingi ya Baba mlikuwa pamoja. Mlizunguka sana nakumbuka enzi hizo NMC sasa hivi ni Soko. Kwanini yale mahubiri ya viwanjani hujaendeleza? Niliyafatilia sana.

    • @joycestivini677
      @joycestivini677 ปีที่แล้ว

      Na yule jangalason,, alikua mwimbaji,,kweli ilikua ni moto

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 4 หลายเดือนก่อน

    Nadhani viongozi wa E.A.G T. ya sasa inabidi wajitathmini. Waangalie jinsi wanavyoenenda katika huduma. Umewahi kujiuliza kwanini Watoto wengi na wajukuu wa Mzee Moses Kulola wameondoka E.A.G.T.!?
    Ni kwa sababu mambo yamebadilika. There's no divine connection between the current EAGT and the Kulola's family. This is no fair. You shouldn't mistreat the family of your founder.

  • @basileusmabumba1524
    @basileusmabumba1524 ปีที่แล้ว

    Daniel ubarikiwe sana, kutukumbusha habari za mzee Kulola. Mimi mch Senga. Mabatini wakati wa mzee, nilifika sana.
    Mungu akubariki sana

  • @milley7185
    @milley7185 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂 madness huyu anamuona murabu yule yesu😂😂😂😂😂 hamna kitu kama hiko makarai hayo hiyo picha uliyoletewa ni ya mtu binafsi kabisa na hiiyo kazi y makanisa kutembez watu uchiiiii Kuwait na sauti za kwenu wenyewe