Hy maisha ya dunia yanatufundisha kuwa ht uwe na Mali za dunia nzima huta enda nazo bilionea wa ndege leo anaondoka na vitu ambavyo pesa yake haifikii ht pesa aliyonunulia ndege ht 1 😢😢polen wafiwa apumzike kwa amani 😢😢😢
Nakumbuka Gymkhana club Arusha mzee kuna siku alikuja kwenye wali maharage tukala pamoja na story nyingi sana mimi namjua mzee toka 1998 nadhani kwa hiyo tupambane mzee n mtu mwema sana alikuwa
Kweli Rc Chalamila mbwembwe hizi Kwara Kwara Kwara Kwara sijui ni biti wanaunda au
Happy ndipo utakapojua ya kwamba,pesa na bangi hazina tofauti sana,mbwembwe zote hizo ni kwa ajili ya pesa tu.
Kafa na heshima yake
mpelekeni mumpumzishe mwenzenu acheni mbwembwe keshakufa
Bas sawaaa
Hy maisha ya dunia yanatufundisha kuwa ht uwe na Mali za dunia nzima huta enda nazo bilionea wa ndege leo anaondoka na vitu ambavyo pesa yake haifikii ht pesa aliyonunulia ndege ht 1 😢😢polen wafiwa apumzike kwa amani 😢😢😢
Familia ipo tafuta kwajili ya kesho ya wanao
Kwahivyo tusitafute au wewe ukifa uzikwe n zako bas
@@rajabhamis3494 mie ni muislamu ntazikwa na shuka 3 ( sanda) na pamba tu tafuta tuu kwan nimekukataza?😳😳salamati lkn pumu yako pumulia huko🙌🙌🙌
😂😂😂😂comment zinafurahisha Sana ngoja mm nitafute pesa($700) pia tumuombee Mungu ampumzishe Mzee wetu mahali pema peponi 🙏🙏
Kumbe Mkuu wa mkoa wa Dar alisema kweli mbwembwe kibao sijui za nini RIP Mzee wa ✈️✈️
Golf, mchezo wa wazito🙌
Lema enyewe anamiliki ndege wachaga oyee
Dah mke wangu siku nikifa tadhali na mimi weka mazingira ya hivyo vi golf maana nina uhakika nitaacha account iko vzr
Hiyo ni heshim kwa mcheza golf mwenzao vp sisi wacheza draft
Nakumbuka Gymkhana club Arusha mzee kuna siku alikuja kwenye wali maharage tukala pamoja na story nyingi sana mimi namjua mzee toka 1998 nadhani kwa hiyo tupambane mzee n mtu mwema sana alikuwa
Utazikwa na visoda 😂😂
Je na sisi wacheza ile michezo
Maoni mengi ni ya hasira😂😂😂tutafute hela tu hayo ys kusema mbwembwe sijui nini heebu tumuachie Mungu atajua cha kutufanya tukifika kwake
Hao ndo wachaga wapambanaji tafuteni pesa kama wachaga
Uyo ameitwa na mungu mengine madoido tu ayo
Hata angezikwa na mali zake zoooote pamoja na ndege zote za precision bado haisaidii kitu.. hapo kitakacho msaidia ni Dua tu..
Kufa ni maumbile haya wewe ukifa utazikwa nanini usiwaze kimasikini ivyo
Comment za wabongo walalaoi utawajuwa tu
Umeona eee
Hata ulete mbwembwe zozote zile kufufuka no
Comments za wivu utazijua tu.
Wivu wa nini Sasa,
Wamuonee wivu kwa kuwa amekufa?
Yaniii wanaudhi na comment za kijinga sana
Kifo ndiyo kiboko ya wote baba.
Yani hapa ni kwa kila mmoja .