IMEFAHAMIKA: Hapa ndipo anapoishi Dr. Luis Shika, Majirani waongea
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- Anafahamika kwa jina la Dr. Luis Shika, ndilo jina alilolitaja siku anaingia kwenye Mnada na kushinda mnada wa kununua nyumba 3 ambazo malipo yake ni zaidi ya BILIONI 2.. baada ya hapo ikawa gumzo mpaka leo na anaendelea kushikiliwa na Polisi.
Huyu mzeee yuko vizuri big up Dr luis Shika, nakuelewa sana safi ni wakat wako huu, yan mzee unafaa sana huyu anaetoa maelezo simwelew, chakula chake ni maji!? Nan anamlipia kodi ya nyumba!???? Acheni unafki, hyo nyumba anayokaa kodi yake si chin ya 50-60 kwa mwez kwa maisha ya dsm nan anamlipia!??? Achen unafki
ukweli upo hapa bofya Icon
ACHA UJINGA
Nampa salute kwa kujitengenezea heshima japo kwa kamda kafupi, aliyokua anaitamani but hakuipata kutokana na life yake ilivyo
Binaadamu wako kama kinyonga dakika mbili walikuwa wanamuona kama mfalme kwa kudhani ni tajiri hadi kumpepea lakini walipoona hana kitu wanamsema kwa kumdhihaki na kumcheka bila kujali kama ni mzima au mgonjwa wala kutafuta ukweli mmh Mungu ni mwema .
Ni bora hivyo alivyoenda mnadani dunia imejua atasaidiwa sasa
tangu nisome hizo comment ww ndio umeandika point
Venance Basil 😹😹😹😹😹😹
Venance Basil 😂😂😂😂😂umeonaeee
ACHA UJINGA
Jaman mzee alidhani serikali inaomba ushauri au . mmmh tufanye 900
Ahahaa ety anaenda chooni anarudi we Dada fala nn ulitaka aende chooni asirudi
Soulja Mnaa aaaaaaahaaaaaa
haaaa eti
Soulja Mnaa hahahahaaaa
Soulja Mnaa ....Hahahahaha
Soulja Mnaa haha
Huyo ni MRUSI ATAKI MAMBO MENGI,Dr Lious Oyee!!!
wanafki hao Huyu mzee anaeza Fanya maajabu yesu kageuza jiwe kuwa mkate lakini wayahudi hawakumuamini me bado namumini huyu Dr kama ni tajiri mtata katuonesha utata wake
Msonjo Khan kuna watu wanapesa lakini wanaishi kimasikini ili wasijulikane wana pesa kwa ajili ya usalama wao
Msonjo Khan hahahaaaaa kumamake noma sana
Msonjo Khan uko kama mimi
Msonjo Khan nenda kwenye website yake uangalie
like
huyo dem anataka kiki nayeye sasa kwani nyumba zima mpangaji niyeye na babu tu? maana hatuoni mkihoji upande mwengine mmmfyux. utajuaje kama humo ndani kwake ni stoo.. huyo dem simuamin
anaiwaza sana company ake ..ataikuza vipi na itaenea vipi dunia nzima ! go on tajiri mtata
huyu Dada ni mnafki saana ukimfatilia alivyo hojiwa na global alisema anamsikiaga babu akiongea na cmu kwa lugha ya kingereza na lugha kadhaa alizataja na sasa anasema hajui kama babu ana simu me naamini ukweli tutajua cku za karibuni bora tukio umfate bubu akuulizee lakini waongeaji wataongea wanachokijua
Msonjo Khan ehe kweli umeonaye haka kadada hakafai kaongo mno kweli kalisema huwa anamsikia akiongea na simu kingereza mara kisukuma hapa kanatuchaganyia maneno.hata yeye anahitaji kupimwa.
Msonjo Khan ten mnafik haswaaa angenyamaz ingependez
Msonjo Khan Me mwenyewe nimeshangaa sana mkuu,coz ile video ya global niliichek !
Msonjo Khan majibu ya mtu hutegemea na anaemhoji, global tv walihoji vinginevyo lakini hawa ayo tv wamemfanyia interview kivingine pia
Msonjo Khan huenda hiyo nyumba anayoishi huyo dada ni ya huyo babu.babu analala store vyumba amevipangisha wapangaji mbona ni Kweli
😂😂😂😂😂 Kama kuchoka ni dhambi nisamehewe...kinachonichekeshaniwalivyokua wanampepea aiseee
david temba hapo kwa kupepewa pia mimi pamenimaliza..., akaingia magari yote ukujua huna pesa .mjasirii
Aisha ELIAS 😂😂😂 Hatarii
david temba
Mwenyewe anacheka.
david temba awa walitaka wenyewe aliwambia vizuri inaona ya pendeza 900 sasa mbona wanalalamika wangemliza anamanisha nini 900
Hao waliokuwa wanajipendekeza kumpepea wakijua NI pedenjee mujini saizi wanasonya na wanajutia shobo zao 😂😂😂
huyu binti anayeojiwa mrembo sana. Kenya watching
Tukifanya vikombe viwili vya Maji ITAPENDEZA SASA haha 😅😅😅😅😅 like kwa DR LUI plz
Suleyman ally
Suleyman ally ni sheeedah
DADA anatoa siri hadi za kuoga dah! hana mume huyo eti ee!
ACHA UJINGA
OK naanza na ofa ya millions 300 teh teh teh teh teh teh
We Dada mbona unachanganya mafaili hivyo kumbuka uko on-line
mr Ulaya 😂😂😂😂
mr Ulaya inamaana anaishi kwakulishwa na wewe? dada acha maneno umezidi khaa
+Rene Nsavyimana Naomba unielewa nasema huyo Dada anaeulizwa maana Jana alisema Kuwa babu anasim Leo kasema hana
Anazingua!! Kavuta bangi huyo dada?
sasa hela yakodi inatoka wapi nawew ?mbona unanichangany aa!
jamani wale munaomutukana huyo dada sio vizuri kwa sababu hayo maelezo ni mazuri sana yanaweza hata kumsaidia huyo mzee kuachiwa.
Thomas sigori ..huyu dada c vyema kimzihaki namna hiyo kwan kulikuwa na sbbu yakumwambia anaishi store mbele ya camera....fyuuuuu
Maneno yoooteee aliyosema kuhusu shida za mzee huyu hazijawagusa, ila mnazungumzia kuhusu ana simu au hana. Kweli machoko wengi. Unazungumza kwa kujiamini bila kutafuna maneno, inaonyesha unasema ukweli...Dada endelea kumsaidia Mzee, Mungu atakulipa. Achana nao hawa Machoko wanayekusema.
Mzee nimemsikiliza nimemuelewa sana ,Acha tusubiri kuna kishindo kikubwa kinaweza tokea.
Namuonea huruma Sana mzee dk just imagine Kama angekua ni baba yako?
daaa nimeumia story ya doctor Luis anahitaji msaada wa Cancer
Stress za maisha zinafanya mtu kufanya kitu ambacho hukufikiria
Amna Cha kuchekesha Hapo, Mzee yupo Depressed Na Maisha, Wewe Unaemsema Mzee Maskini, Wewe Tajiri? 😎
We dada mzur sana una wisdom
Wewe Dada naomba namba yako ya simu
huyu dada alikuwa demu wa dr.luis shika anajua hadi chumba chake anatafuta kiki kwa doctor huyo
Dada acha uwongo ulivyohojia global ulisema unamskia akiongea na cm tena lugha tofaut iweje saiv unasema hana cm.
ok ok.nimekuelewa!!..tunaanza na hapo milioni miatatu😀😀😀😀
huyu Dada na waandishi walio mhoji wote vilaza sasa kama hana hata pesa ya chakula anawezaje kulipa kodi ...
We dada mbona muongo global walikuhoji ukasema huwa angea na simu na wazungu now unasema hujawahi kumsikia anaongea na simu
we Dada atakujieleza hujui Dr luis shika ni msomi mzuri
umesema umemkuta alafu unasema ajanunua kitu chochote chumba chake ni stoo mmmmh we dada be carefull niko na Dr apa tunatoa mia 900 ipendeze zaidi
Suzan Richard 😂😂😂😂😂
Duuu dunia hadaa ulimwengu shujaaaa siniwaombee na mm mtembeleee chanel yangu #mc tidoh ondoa nijulikane kama tajiri luis ingependeza
nyinyi waandishi hiyo ndo imekuwa issue....Endeni vijijini mkaripoti vitu vya manufaa kwa wananchi....manake matuonesha mpaka nachoo anachotumi Huyu mtu
Huyo Dada nae duh! tukisubir upelelez ufanyike "itapendeza zaidi"
Kwanza alijuaje kama kuna mnada wa nyumba??
Ndio hayo magazeti
Sasa mbona nguo zake zilinyoooshwa tu vzr
mmmh!!!Dada hueleweki kwa kweli mwonekano tuuu.....Mzee hali chakula then anaishi ww.....hujui usemaloo.....usimdharauu usiye mjuaa.
Dah,yaani hakuna mtu anayeni inspire wiki hii kama babu,ama kweli imependeza zaidi
Tanzania imsaidie huyu mzee.
Serikali ingefanya uchunguzi mapema (primary prevention) wa mental illness matatizo haya tungeyasolve mapema. Haya ndo matokeo ya kutokuchukua hatua kwa special group kama hawa.
Yan huyo aliwanyooshaaa.navitambi sio mbya kulindwa na selikali
Mmmmh umbea c kazi jamani kazi kusutwa
Duh!
Yawekeni na maisha yenu wazi tuyaone .yenu yanawashinda yawenzenu domo linawadinda
huyu babu atakuwa na kitu kinamsumbua lbda alizulumiwa na ndio maana anasikitika jaman,lbda akipata mtu wa kuongea nae nakumfanyia cancele anaweza kurudi ktk hali yake mungu amsaidie
Neema Temu amina
Huyu Dada anaongea kwa kujisifu sana na dharau halafu anachanganya mafaili
pepea babu pepea babu😂😂😂
Denis Johanes wooooooooozaaaaaaaaaaa
ACHA UJINGA WEWE
kheeh jamani !!!
Napendekeza kama mic ya pili haitasikika plz naombeni muweke subtitle kuna mahali simsikii kabisa mwandishi
Sasa Sahiv huyo Dada anajickiaje maneno yana mipaka kesho ni ya Mungu dada
Da sister kwa kuropoka huko inaonekana hata siri zako za ndani unaweza kuzitoa njee ya box jifunze kuukanya ulimi wako utajifunza vingi mno!!!
serikali na inamtia ndani na kumpiga makofi usikute badala ya kumpeleka hospitali
Mzee angekua na account ya instagram saiv followers kibao 😂😂😂😂
iftikhan baksh babu anapepewa hatingishiki duh noma
iftikhan baksh live
iftikhan baksh ni kweli
hahahahaha
iftikhan baksh hahahaaa kick ya maana
Acha unafki dada asile wiki nzima angewezaje kusimama kwenye Mnada Kama si umbea huo msenge kwel ww
happyness Salimu hahahs
happyness Salimu Tuliza tako ww, unamuitaje mwanamke mwenzio msenge? Boya weeee
mbona kama povu sana, wewe ni mtoto wa huyu dokta?
Huyu happy ajisomi kabisa uckute ww ndyo msenge
happyness Salimu 😂😂 wanafiki hawa
huyo babu ndo marufu hapa Tanzania ila huyo mdada kaongea ujinga tu
me even do not understand reality this is movie...dada ww mzuri kbas
Mzee ana food industry halafu huyu dada anasema mzee hana uwezo wa kula milo miwili kwa siku🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sas kodi hali pi
Tabata mawenzi Itapendeza zaidi! 😅😅😅😅 kunajela jamani!!!
Mshukuru babu amekufanya umeonekana kwa TV
nmechekaa ashukur kwel
Hivi ww wiki nzima usipokula utaweza kutembea kweli na iyo kodi nan alikuwa analipa!!!!?Fikiri kabla ya kutendaa!!!!
jamani huyu mzee alifikiria nini? sio kwa ujasiri huo dah; anapepewa siangewaambia jamani ata msinipepee nimekuja tu kusaidia mnada
Kweli maana kila muandishi anamuhoji uyo tu hamna wapangaji wengine
wew dda ngesa kwl yaan sasa story zote hzo za nn km sio mnafki??km umeweza kumjua kiundan hivyo basi hata bolo lake unalijua...mxeeeee
Jamani duh nanyie wauzaji hata hamjaona tu
Mtoto mrembo tu,,,##milion tatu itakupendeza sasa
Kwa laha zake mwenyewe kapewa fursa ya kulindwa na police mmempepea wenyewe
ulijuaje kama hajala week nzima😂😂😂😂
😂😂😂😂 Jamani Bongo kuna maigizo...sijui kwanini Holywood inatupita
oya hyo bab namjua sna hashawah kukaa kigamboni
Nmeangalia hii video nikiwa nafikiria hali ilivyo sasa hivi dah!
endelea kuwashika we mzee shika
Mahakama: "miezi 9 itapendeza"😊😊😊😊
Sasa alijuaje kama kuna mnada na alifikaje huko kwenye mnada
Duh
Wapi Team #900 ITAPENDEZA.
Huyu dada nahisi alikua anajua anahojiwa kwenye redio .hajui Kama tunamuona TH-cam
mm naomba no ya huyo bnt
We usitukane huyu bint ni kweli zaid ya miezi hali si unamuona jinsi alivyo kaa anakunywa ukwaju tu maskin
mmmmmmmm jaman mtu asileeee wikii mmmhhj haiwezekan jamaniii huenda anaendaga kula bas anarud mmmhh
ungekuwa mchepuko wangu ingependeza zaidi
Yule mama wa yono alishaanza kupagawa kwa Dr shika walahi
Yategee maisha, yakutege
wee mwanamke,komaaa,nyoooooo!Fanya yak
Inapendeza
mmmhh hafui mbona msafi
wanatuchezea tu. hana hela ya kula nauli alitoa wapi. Na afande anadai hana mwonekano mzuri je hawakuuona wakati wanampepea. Haya ni maigizo tu
Huyu Dada amwogope Mungu
Sasa kama hakulagi siagekufa basi. Hayo dharau tu
Ila 900 Itapendeza .....maana nahitaj mje na mashuka kunipepea !:)
:) :) :) :) :) :)
😂😂😂😂madada kwa kupenda vya bure amjambo,waliona mzee anamkwanja check wanavyompepea ilibaki kidogo walete fen
Duh! Akili yake Ni mzima lkn?
R I P jasil muongoza njia
mmh jirani mbea sana sasa rafiki sinyie mlokua nae na sirizote zandani mwazitoa sio poa kwaiyo wewe dada muda wote mwamchunguza umbea tu ungenyamaza ingependeza
we mdada mchaga wa wapi ww ngja babu arudi utamtambua kudadeki
Muongo we we iyo era yachumba umempawewe
Amewaonyesha wantanzania wale wakupenda pesa vile walivyo
W dada mwongo ume sema hana sim mara anaingeaga na sim kwa lugha nyingi kweli
Hivi hao waliokuwa wanaendesha huo mnada ni wazima kweli?
ndio watu tunaowataka wenye ujasiri kama hawa