EXCLUSIVE: TAZAMA WASIFU wa JAJI WARIOBA KABLA HAJAFA/KUNYWESHWA SUMU/SHULE/WAZAZI/MKE NA CHEO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • Yote usiyoyafahamu kuhusu Maisha ya Jaji warioba Tokea Akiwa mdogo ,Makala hii inazungumzia Yote mpaka Aliponyweshwa sumu, Fuatilia Makala hii kabla hajafa Kunamengi utajifunza katika Maisha na Hali ya sasa kidunia
    #history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia
    © Copyright 2024 on SAN TZ MEDIA

ความคิดเห็น • 49

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile53 5 หลายเดือนก่อน +4

    Muhimu kwa wanafunzi kusaidia wasome kwa makini kuinua nchi yetu.
    Wapelekwe kumuona akiwepo awape siri ya Mafanikio makubwa kwa kuinua Tanzania.
    Historia ziwekwe Makumbusho zisomwe na Picha tafadhali.
    Mungu amlinde jemedari wetu.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Ushauri mzuri @hopegwimile53 ilo linapaswa kufanyiwa kazi na maoni yako tutayapeleka Sehemu husika na hata hivyo hapa viongozi wengi wanaangalia video hii ,hivyo tunatumai ombi lako teyari limeshafika mahali husika😊

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 5 หลายเดือนก่อน

      Huyu ni mtu muhinu kwa watanzania ukilinganisha na wengi kati ya watu

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k 5 หลายเดือนก่อน

      Halafu ni muhimu sana watu kama hawa kuekwa katika kumbu kumbu za nchi yetu na historia za vitabu vya kihistoria

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu ndo Kiongozi wa juu aliyewahi kushika nafasi nyingi za juu katika Mihimili yote kuliko kiongozi yoyote Tz,
    1)Makamu wa 1 wa Rais,
    2)Waziri Mkuu
    3)Jaji wa Rufani
    4) Mwanasheria Mkuu
    5) Mbunge,
    6) Mwenyekiti Tume nyingi nje na ndani ikiwemo Tume ya Katiba.
    7) Mkuu wa chuo SUA
    8) Mshauri wa Rais

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน +1

      Shukrani Sana "Tupo pamoja Mkuu , Tuendelee kuelimisha na Kufahamisha watu vitu kama hivi

  • @eliandutila774
    @eliandutila774 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kipindi Warioba akiwa waziri mkuu pia alikuwa Makamu wa kwanza wa Rais na sio makamu wa pili wa Rais. Tujitahidi kuweka taarifa sahihi kwa manufaa ya umma

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 หลายเดือนก่อน +1

      👍

  • @Worldunite
    @Worldunite 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kichwa cha habari "kabla hajafa" kinatatanisha kinaleta maana tofauti

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa Unatakiwa kusikiliza mpaka mwisho

    • @janemtoma1082
      @janemtoma1082 2 หลายเดือนก่อน

      Nadhani amemaanisha wadhifu wake kabla hajafa maana tumezoea kusikia wadhifu baada ya mtu kufa

  • @User255tv
    @User255tv 5 หลายเดือนก่อน +4

    Masahihisho: Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, na siyo Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +2

      🤝

  • @NYAKONGOBWIRE
    @NYAKONGOBWIRE 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jaji Joseph Sinde Warioba alikwa Mwanasheria mkuu wa Serikali na wakati huohuo akiwa Waziri wa Sheria pia; Jaji Warioba alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais tangu mwaka 1985 mpaka 1990

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Clear na Ahsante Kwa msaada wako ,Uandishi mzuri pia tumepata faida wengi zaidi 🤝

    • @yusufmohamed8874
      @yusufmohamed8874 3 หลายเดือนก่อน

      Kulikuwa hakuna wasomi?

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi wa makala anapaswa kurudi Chuo cha uandishi wa Habari, vinginevyo ataendelea kutoa habari zilizo chini ya viwango.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน +1

      Tuahidi kulifanyia KAZI🙏

    • @stephenndagalla8183
      @stephenndagalla8183 3 หลายเดือนก่อน

      @@Santzmedia Asante. Usikatishwe tamaa kwani kikubwa ni kuendelea KUTHUBUTU na KUPITIA MAKOSA NDIO UBORA WA KAZI HUPATIKANA.

  • @DAVIDMGOBA
    @DAVIDMGOBA 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waanze kumuenze akiwa bado yupo kupitia rasim ya katiba mpya

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 5 หลายเดือนก่อน +1

    Judge warioba is the simple man in Tanzania national as the former prime minister during late julias kambarege Nyerere leadership has the experience in Tanzania gavment Since late julias kambarege Nyerere leadership has been advised ccm gavment for long but gavment official sametime lngnorant whale judge warioba has experience from Tanzania to lntanationol organization considering his duty done by judge warioba on lntanationol community organization question are leasening to judge warioba

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Thank you very much for explaining to us at least a little and we know Judge Warioba

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Don't stop following us, we promise you good things are coming

  • @nyakwesichanzi3832
    @nyakwesichanzi3832 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Hivi wewe mwandishi kweli bunda ni kitongoji
    Kazaliwa kata ya ikizu wilaya ya bunda kitongoji cha nyamswa uwe unauliza kbla ya kutoa habari

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  15 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Ahsante kwa maoni yako ndugu 🤝

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos2635 4 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu jaa alie andika kichwa cha habari sijui yukoje

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  4 หลายเดือนก่อน +1

      Kafanyeje Kwani?

  • @edwardmakonge6951
    @edwardmakonge6951 5 หลายเดือนก่อน +2

    huko mwanza alisoma shule ya sekondari Bwiru.form 1 hadi form 4.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน

      Sahihi ☑️☑️

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Sahihi ☑️☑️

  • @geofreysekei7792
    @geofreysekei7792 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hamjui namna ya kuandika hata vichwa vya habari yenu

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Tusaidie kuandika " kutokana na Wasifu huo"

  • @MazibaOnesimo-my8gu
    @MazibaOnesimo-my8gu หลายเดือนก่อน +1

    amefariki lini?,

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  หลายเดือนก่อน

      !!!!!???????

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tupe habari za mwinyi.

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      Mwinyi link iyo nenda uitazame th-cam.com/video/eKMG2RGzphc/w-d-xo.htmlsi=SAulx689yqW80qYi

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 3 หลายเดือนก่อน

    Hiyo picha ya Makonda akimzonga zonga Jaji Warioba(wakati akielezea ripoti yaTume ya Warioba/Katiba mpya), anajisikiaje huyo Makonda aionapo hiyo picha?? Pia Jaji Warioba,anajisikiaje?? Aidha, Rais wa nchi (Mwenye imani kubwa kwa Makonda), anajisikiaje??

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน

      Ndio maana ikaitwa Makala ,Ama Wasifu mkuu ,humo vinakusanywa vitu vyote vinavyomuhusu Jaji warioba

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tutakuja kutetea pombe furani

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 หลายเดือนก่อน +1

      😆😆

  • @michaelligwa9448
    @michaelligwa9448 5 หลายเดือนก่อน +1

    Question mark why wasifu?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +2

      Kama Mtanzania kufahamu Wasifu wa viongozi wako ni muhimu Sana ,so Pendelea Sana kufuatilia Makala mbalimbali za Maisha ya viongozi na watu maarufu,Kuna mengi ya kujifunza ndugu😊

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wasifu kwani alikufa si yupo? Tena tunatoka katiba mpya aliyoiandaa mpo?

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  5 หลายเดือนก่อน +1

      😔😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 5 หลายเดือนก่อน

      Hahafa na tunataka rasimu yake kwenye kudai katiba mpya

    • @chire4574
      @chire4574 5 หลายเดือนก่อน

      Sio lazime afe ..Iyo Ni biography yake

    • @HabibuSalumu-iv5wl
      @HabibuSalumu-iv5wl 3 หลายเดือนก่อน

      Katiba ni yawa Tanzania siyo yake yeye alikuwa Mkt wa kamati iliundwa kukusanya maoni Hivi Nijiulize Jaji Mkuu Anapo Mwapisha Rais inakuwaje hapo tutawita yeye ndie mwenye nchi au

    • @user-nr3bf4om8z
      @user-nr3bf4om8z 2 หลายเดือนก่อน

      Mh. Hii nchi wamemzika bila heshima babawa watu