BIBI HARUSI AACHWA NJIA PANDA, MUME AOA MWANAMKE MWINGINE DK ZA MWISHO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 381

  • @user-rk5hp8ci3e
    @user-rk5hp8ci3e 21 วันที่ผ่านมา +27

    Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤

  • @user-ky1ni2ly9r
    @user-ky1ni2ly9r 21 วันที่ผ่านมา +14

    Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mariammm2574
    @mariammm2574 2 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana ndugu yangu
    Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu
    Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine
    Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu
    MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah

  • @Swamyhassan_sy
    @Swamyhassan_sy 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Pole sana dear😢hakika inauma sana mshukur mungu kwa kila kitu na kila kinachotokea kina sababu

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 7 วันที่ผ่านมา +2

    Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri

  • @HeryMrope
    @HeryMrope 6 วันที่ผ่านมา +3

    😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah

  • @estherphilipo5845
    @estherphilipo5845 วันที่ผ่านมา

    Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia

  • @indiaboytz5731
    @indiaboytz5731 22 วันที่ผ่านมา +9

    Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa

  • @AishaBaraka-k1d
    @AishaBaraka-k1d 5 วันที่ผ่านมา +1

    Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa

  • @user-vq2cb7fn8f
    @user-vq2cb7fn8f 18 วันที่ผ่านมา +2

    Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’

  • @SHADIAALLY-pv3ql
    @SHADIAALLY-pv3ql 4 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana

  • @zakiamohamed-ug5mx
    @zakiamohamed-ug5mx 21 วันที่ผ่านมา +4

    Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu

  • @nasirikuzigile9228
    @nasirikuzigile9228 21 วันที่ผ่านมา +7

    Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 18 วันที่ผ่านมา

      Huna baya shoga angu hata mim nipo huku

    • @user-rj4cd7oc4x
      @user-rj4cd7oc4x 11 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa

  • @mukeshimanataussi6939
    @mukeshimanataussi6939 5 วันที่ผ่านมา +1

    Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora

  • @cassamoantumaneantumane3673
    @cassamoantumaneantumane3673 22 วันที่ผ่านมา +9

    Mbengo tv were the best from mozambique

  • @salumissa6118
    @salumissa6118 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe

  • @Naju645
    @Naju645 22 วันที่ผ่านมา +6

    Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh

    • @marytumaini797
      @marytumaini797 22 วันที่ผ่านมา +1

      Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @UmayyaNkya-ze3ri
      @UmayyaNkya-ze3ri 21 วันที่ผ่านมา +1

      Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 21 วันที่ผ่านมา

      Lishetani hilo hakuna mtu.

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we 22 วันที่ผ่านมา +17

    Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c 21 วันที่ผ่านมา +2

      @@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we 21 วันที่ผ่านมา

      @@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn

    • @user-lb5oi2wz6z
      @user-lb5oi2wz6z 19 วันที่ผ่านมา

      Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp

    • @ElietiSilausi
      @ElietiSilausi 13 วันที่ผ่านมา

      We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary

    • @rauhiyasaad5384
      @rauhiyasaad5384 8 วันที่ผ่านมา

      Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.

  • @AthumaniMuhende
    @AthumaniMuhende 10 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah

  • @MariamRashid-sm5zw
    @MariamRashid-sm5zw 11 วันที่ผ่านมา +2

    UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii

  • @ifrahabi4834
    @ifrahabi4834 3 วันที่ผ่านมา +1

    Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa

  • @Naw89
    @Naw89 18 วันที่ผ่านมา +2

    Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 22 วันที่ผ่านมา +6

    Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu Dada ni mjinga hata was waandishi nanyie😅😅😅😅

  • @SalhaRamadan
    @SalhaRamadan 6 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu
    Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 6 วันที่ผ่านมา

      Shda ilianzia kwake hyo mimba😢

  • @user-ij9te1ck9p
    @user-ij9te1ck9p 22 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 วันที่ผ่านมา

    Kumbe wewe mwenyewe mwanamke hujatulia ndio maana mwanaume kakukataa😢😢

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 19 วันที่ผ่านมา +5

    Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz

  • @NamiriNamiri-oz4xs
    @NamiriNamiri-oz4xs 8 วันที่ผ่านมา +2

    11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.

    • @user-wv4ue5yn8u
      @user-wv4ue5yn8u 6 วันที่ผ่านมา

      Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko

  • @kiluwagrata4329
    @kiluwagrata4329 10 วันที่ผ่านมา +2

    Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi

    • @mwanazuber3968
      @mwanazuber3968 4 วันที่ผ่านมา

      Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 17 วันที่ผ่านมา +2

    Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 22 วันที่ผ่านมา +5

    C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c 21 วันที่ผ่านมา

      @@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli

  • @victornselu517
    @victornselu517 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mjuaji pia hajitambui una mimba unaolewa na mimba ya mtu mwinfine dunia imeisha hii

  • @user-xv5yy6mv6i
    @user-xv5yy6mv6i วันที่ผ่านมา

    Dadapole usihuzunike Sana nikawaida ukubali ara ukeweza mm nipo nakujali Niko znz.

  • @FauziaAyyib-dw6lj
    @FauziaAyyib-dw6lj 5 วันที่ผ่านมา

    Pole sana dada Allah akufanyie wepesi

  • @Neema-qm9kk
    @Neema-qm9kk วันที่ผ่านมา

    Kwa mtazamo wangu ninaona kama huyu dada Ana ujeuri.

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 17 วันที่ผ่านมา +1

    Kajeuri lakini😂
    Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako

  • @ZawadiMwabadilanga
    @ZawadiMwabadilanga 5 วันที่ผ่านมา

    Pole sana dada siyo rizki usi lie

  • @ISSAMAHAMOUDISSA
    @ISSAMAHAMOUDISSA 18 วันที่ผ่านมา +5

    Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 16 วันที่ผ่านมา

      Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?

    • @frpznz972
      @frpznz972 14 วันที่ผ่านมา

      Anko usiseme ivo anko

    • @fatumashisha141
      @fatumashisha141 13 วันที่ผ่านมา

      Sana

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 22 วันที่ผ่านมา +3

    Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani

  • @zr7808
    @zr7808 13 วันที่ผ่านมา +1

    Nasiha kwa wadada wote musikuwe munaiminiya kila mtu na wala jistirini mwili wenu mupaka kupata rizki yako ya kuolewa

  • @user-jz2su4co4d
    @user-jz2su4co4d 10 วันที่ผ่านมา +2

    Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho

    • @ifrahabi4834
      @ifrahabi4834 3 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa.

  • @JumaMkuchika-c8k
    @JumaMkuchika-c8k 9 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Muombe allah sana atakujalia atkupa wako

  • @AmaniMafita
    @AmaniMafita 5 วันที่ผ่านมา

    Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili

  • @Naju645
    @Naju645 22 วันที่ผ่านมา +4

    Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea

  • @janemugoya1316
    @janemugoya1316 6 วันที่ผ่านมา

    Pole dear your still young God's time is the best

  • @user-tr1nd7xn7t
    @user-tr1nd7xn7t 18 วันที่ผ่านมา

    Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!

  • @raineryponera3278
    @raineryponera3278 20 วันที่ผ่านมา +1

    Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏

  • @user-ih6ng6sf6o
    @user-ih6ng6sf6o 4 วันที่ผ่านมา

    Pole San kwel kwa matatizo ulio pitia 😢 utapata mme bora tu

  • @Hawa-y8x
    @Hawa-y8x 19 วันที่ผ่านมา

    Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng

  • @gladysmueni2534
    @gladysmueni2534 7 วันที่ผ่านมา

    Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora

  • @AishayoutubeMoosa-zn1co
    @AishayoutubeMoosa-zn1co 4 วันที่ผ่านมา

    She is beautiful manshallah ❤

  • @IshaYahaya-s9o
    @IshaYahaya-s9o 4 วันที่ผ่านมา

    Kazuri mashaalah

  • @FatumaIbrahim-c6d
    @FatumaIbrahim-c6d 21 วันที่ผ่านมา +17

    Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢

    • @skeeteranderson375
      @skeeteranderson375 18 วันที่ผ่านมา

      Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli

    • @jenniferzakaria3884
      @jenniferzakaria3884 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa

    • @JoyceSteven-tu2fi
      @JoyceSteven-tu2fi 17 วันที่ผ่านมา

      Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 15 วันที่ผ่านมา

      Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢

    • @mariamsaid6334
      @mariamsaid6334 14 วันที่ผ่านมา

      Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha

  • @zulekhasaeed6046
    @zulekhasaeed6046 3 วันที่ผ่านมา

    Wanawake lini utakuwa naakili kwani hujii kamaalikuwa hahupende akwambiya uwolewe namtu mwegine schupit gali wapenda mtu hakutaki

  • @Dafetty
    @Dafetty 21 วันที่ผ่านมา +2

    Taila sana wew wanahaki wasikuoe😏😏😏

  • @ElizabethGwasma
    @ElizabethGwasma 2 วันที่ผ่านมา

    Pole dada

  • @RamadhanNyambi
    @RamadhanNyambi 19 วันที่ผ่านมา +2

    Namuomba mim aje niishi nae plz plz

  • @zainabumohamed4763
    @zainabumohamed4763 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa kifupi hawa bado wote watoto,

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 3 วันที่ผ่านมา

    Wewe bado mdogo acha ujinga . Mungu kakuepusha , wanataka uolewe kwanini ? Stick on why uolewe ... mimba au wanataka tu hvyo ?

  • @ifrahabi4834
    @ifrahabi4834 3 วันที่ผ่านมา

    Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 17 วันที่ผ่านมา

    Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 22 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili

  • @alawi6796
    @alawi6796 4 วันที่ผ่านมา

    Hyo uwongo mtu anafuraha kabsa cje ikawa kama dada wa nyoka

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 3 วันที่ผ่านมา

    Dada bado uko nana fasi pili usikate tamaa tatu tambuwa siku zote Kisicho kuwa riziki usikitiye ujuzi gem short.

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 21 วันที่ผ่านมา +7

    Huyu bint sio mkweli, na kwa nini hataki kwenda kwa watu wake

    • @happinessmchome9101
      @happinessmchome9101 17 วันที่ผ่านมา

      Na kwa nini aseme hana mimba alafu baadae ameze vidonge eti? Alitoa mimba huyo.

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 21 วันที่ผ่านมา +1

    Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana

  • @user-ns3so9wv1f
    @user-ns3so9wv1f 3 วันที่ผ่านมา

    Ss uyo dada alikuwa atafungua ndio VP najaama
    Ata ajaji tambulisha kwenu
    Siujue alikuwa mrongo😢😢

  • @PiliIsamil
    @PiliIsamil 21 วันที่ผ่านมา

    Pole sana dada wangu

  • @AbdalaJuma-pc1tf
    @AbdalaJuma-pc1tf 21 วันที่ผ่านมา +2

    Kisheria huyu dada ni mke wa mtu kwasababu ajapewa taraka hiyo sio haki

    • @Yassinseleman
      @Yassinseleman 18 วันที่ผ่านมา

      Talaka sio lazima iandikwe hata neno Moja tu kumtamkia mkeo nimemuacha jua ndoa imevunjika wakati huo sasa tuchunge wanaume wengi wetu tunaacha wake kwa matamshi alafu tunaendelea na zinaa

    • @mwanahamisishabani9541
      @mwanahamisishabani9541 6 วันที่ผ่านมา

      Amejivua kwa kurudisha mahali

  • @user-wo8dx8qc2h
    @user-wo8dx8qc2h 16 วันที่ผ่านมา +1

    Ni2mie namba yako ya simu nikuoe mm

  • @AgnesDeonatus
    @AgnesDeonatus 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra

    • @AgnesDeonatus
      @AgnesDeonatus 18 วันที่ผ่านมา +1

      😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atakupa, usijali awe mkristo au mwislamu

    • @hamidudongo1879
      @hamidudongo1879 16 วันที่ผ่านมา

      Wewe Mpumbavu.. wewe sio muislam au utakuwa muislam jina

  • @user-pb4pn4yu8y
    @user-pb4pn4yu8y 16 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana 7 วันที่ผ่านมา

    Nakushauri kitu njoo zako arabuni utafute pesa achana na habar za mapenzi ukikamata pesa humtaman hata mwanaume 😊

  • @MwanaAbdul-x9r
    @MwanaAbdul-x9r 2 วันที่ผ่านมา

    Mh kumb so wakupew pole 😢😢

  • @YasiniSaidi-z8b
    @YasiniSaidi-z8b 3 วันที่ผ่านมา

    Pole mung aikujalia

  • @user-lu7os7vy7z
    @user-lu7os7vy7z 22 วันที่ผ่านมา +3

    Dooh sijapenda kabisa story hainogi kabisa yaan nilikuona mrembo kabla hujaongea ulivyoanza kuongea kumbe huna maana kabisa........jamaan sasa ukikaa bila kuolewa utasema umelogwa?..........yaan mwanaume akupe mimba then akuruhusu uolewe bado useme anakupenda🤔 tujitambue

    • @user-bu1dn4or5b
      @user-bu1dn4or5b 21 วันที่ผ่านมา

      Uzur wa karatas ukiloa hauna maana 😆

  • @NeemaSaimon-i4n
    @NeemaSaimon-i4n 2 วันที่ผ่านมา

    Wanaume wote ni mbwaaaaaaaa

  • @user-xl7tb9xr9t
    @user-xl7tb9xr9t 7 วันที่ผ่านมา

    Say alhamdulillah Allah has not planning for you . Inshallah Kee praying never give up to Allah

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 22 วันที่ผ่านมา +26

    Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c 21 วันที่ผ่านมา

      @@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,

    • @user-il5cu6gq5f
      @user-il5cu6gq5f 19 วันที่ผ่านมา +5

      Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia

    • @abubakariali9848
      @abubakariali9848 19 วันที่ผ่านมา +1

      Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe

    • @ishanaaRajoo
      @ishanaaRajoo 18 วันที่ผ่านมา +2

      Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 14 วันที่ผ่านมา +1

      Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 21 วันที่ผ่านมา +2

    Ila unatia aibu sana lazima akuache

  • @aminabadi8663
    @aminabadi8663 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe

  • @user-fo8yc8xo8s
    @user-fo8yc8xo8s 7 วันที่ผ่านมา

    Hivyo vitu vyeupe nazungumzia

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 21 วันที่ผ่านมา +3

    Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk 4 วันที่ผ่านมา

    Ulitengeneza hatar ww mwenyewe

  • @mwanazuber3968
    @mwanazuber3968 4 วันที่ผ่านมา

    Warangiiii wanaume hata bure siwataki nisiwe mnafki🙌🙌🙌🙌🙌

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 3 วันที่ผ่านมา

      Astaghfirullah 😢😢warangi kunanini,vijana shida wanawake shidaa mmmmmmmh munguatunusuruu

  • @rashidimussa471
    @rashidimussa471 5 วันที่ผ่านมา

    Umalaya tu kukaa kwenye ndoa aah 😂😂

  • @user-qv8jm2sm4k
    @user-qv8jm2sm4k 17 วันที่ผ่านมา +3

    Mimi kabla sijaolewa nilikuwa sitaki kabisa kuku tana na mwanaume kimwili mpaka anioe nashukulu mungu nime olewa nikakutana kimwili na mume wangu mwanaume akisha kuona mwili wako anakudhalau

  • @user-dn7sc8lf8h
    @user-dn7sc8lf8h 22 วันที่ผ่านมา +5

    hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa

    • @briankatani6770
      @briankatani6770 22 วันที่ผ่านมา

      Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa

    • @Goldenbutterfly-hk1hp
      @Goldenbutterfly-hk1hp 21 วันที่ผ่านมา +2

      Mkundu ww msambaa kafikaje apa

    • @phorahmahaza638
      @phorahmahaza638 21 วันที่ผ่านมา +2

      Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa

    • @user-yx6zq9bp1s
      @user-yx6zq9bp1s 21 วันที่ผ่านมา +1

      Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu
      Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi

    • @fridakitemangu3446
      @fridakitemangu3446 21 วันที่ผ่านมา +2

      Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 22 วันที่ผ่านมา +6

    Ww chiz kweli zalau wakat unamsaliti mwenzio Malaya mbwa ww

    • @MohamedMwachega-x6c
      @MohamedMwachega-x6c 21 วันที่ผ่านมา

      @@mohamedkisenga6654 wallah comment zengne mi nacheka 2 🤣🤣🤣🤣

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 3 วันที่ผ่านมา

    Kwanini,umejia media

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris 17 วันที่ผ่านมา

    Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝

  • @japhetpeter4095
    @japhetpeter4095 21 วันที่ผ่านมา +4

    Tatuzo la hawa dada zetu wamezidisha tamaa .anajifanya mwema kumbe nyoka wa shaba bora Mungu kakuumbua mapema

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 19 วันที่ผ่านมา

    Miaka 22 usha jua kila aina ya mdudu 😢😢jaman khaaa yaan aliye kupa mimba akuambie uwolewe na mwanaume mwingine na ww ukakubali loooh