Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pole sana ndugu yangu Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
Talaka sio lazima iandikwe hata neno Moja tu kumtamkia mkeo nimemuacha jua ndoa imevunjika wakati huo sasa tuchunge wanaume wengi wetu tunaacha wake kwa matamshi alafu tunaendelea na zinaa
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
Dooh sijapenda kabisa story hainogi kabisa yaan nilikuona mrembo kabla hujaongea ulivyoanza kuongea kumbe huna maana kabisa........jamaan sasa ukikaa bila kuolewa utasema umelogwa?..........yaan mwanaume akupe mimba then akuruhusu uolewe bado useme anakupenda🤔 tujitambue
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
Mungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe
Mimi kabla sijaolewa nilikuwa sitaki kabisa kuku tana na mwanaume kimwili mpaka anioe nashukulu mungu nime olewa nikakutana kimwili na mume wangu mwanaume akisha kuona mwili wako anakudhalau
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pole sana ndugu yangu
Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu
Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine
Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu
MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
Pole sana dear😢hakika inauma sana mshukur mungu kwa kila kitu na kila kinachotokea kina sababu
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
Huna baya shoga angu hata mim nipo huku
😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa
Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora
Mbengo tv were the best from mozambique
Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja
Lishetani hilo hakuna mtu.
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp
We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary
Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.
❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii
Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa
Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
Huyu Dada ni mjinga hata was waandishi nanyie😅😅😅😅
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu
Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo
Shda ilianzia kwake hyo mimba😢
Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa
Kumbe wewe mwenyewe mwanamke hujatulia ndio maana mwanaume kakukataa😢😢
Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo
Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli
Mjuaji pia hajitambui una mimba unaolewa na mimba ya mtu mwinfine dunia imeisha hii
Dadapole usihuzunike Sana nikawaida ukubali ara ukeweza mm nipo nakujali Niko znz.
Pole sana dada Allah akufanyie wepesi
Kwa mtazamo wangu ninaona kama huyu dada Ana ujeuri.
Kajeuri lakini😂
Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
Pole sana dada siyo rizki usi lie
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?
Anko usiseme ivo anko
Sana
Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani
Nasiha kwa wadada wote musikuwe munaiminiya kila mtu na wala jistirini mwili wenu mupaka kupata rizki yako ya kuolewa
Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho
Kweli kabisa.
Muombe allah sana atakujalia atkupa wako
Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili
Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea
Pole dear your still young God's time is the best
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏
Pole San kwel kwa matatizo ulio pitia 😢 utapata mme bora tu
Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng
Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora
She is beautiful manshallah ❤
Kazuri mashaalah
Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢
Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli
Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa
Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa
Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢
Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha
Wanawake lini utakuwa naakili kwani hujii kamaalikuwa hahupende akwambiya uwolewe namtu mwegine schupit gali wapenda mtu hakutaki
Taila sana wew wanahaki wasikuoe😏😏😏
Pole dada
Namuomba mim aje niishi nae plz plz
Kwa kifupi hawa bado wote watoto,
Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
Wewe bado mdogo acha ujinga . Mungu kakuepusha , wanataka uolewe kwanini ? Stick on why uolewe ... mimba au wanataka tu hvyo ?
Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant
Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose
Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
Hyo uwongo mtu anafuraha kabsa cje ikawa kama dada wa nyoka
Dada bado uko nana fasi pili usikate tamaa tatu tambuwa siku zote Kisicho kuwa riziki usikitiye ujuzi gem short.
Huyu bint sio mkweli, na kwa nini hataki kwenda kwa watu wake
Na kwa nini aseme hana mimba alafu baadae ameze vidonge eti? Alitoa mimba huyo.
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
Ss uyo dada alikuwa atafungua ndio VP najaama
Ata ajaji tambulisha kwenu
Siujue alikuwa mrongo😢😢
Pole sana dada wangu
Kisheria huyu dada ni mke wa mtu kwasababu ajapewa taraka hiyo sio haki
Talaka sio lazima iandikwe hata neno Moja tu kumtamkia mkeo nimemuacha jua ndoa imevunjika wakati huo sasa tuchunge wanaume wengi wetu tunaacha wake kwa matamshi alafu tunaendelea na zinaa
Amejivua kwa kurudisha mahali
Ni2mie namba yako ya simu nikuoe mm
Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mungu atakupa, usijali awe mkristo au mwislamu
Wewe Mpumbavu.. wewe sio muislam au utakuwa muislam jina
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
Nakushauri kitu njoo zako arabuni utafute pesa achana na habar za mapenzi ukikamata pesa humtaman hata mwanaume 😊
Mh kumb so wakupew pole 😢😢
Pole mung aikujalia
Dooh sijapenda kabisa story hainogi kabisa yaan nilikuona mrembo kabla hujaongea ulivyoanza kuongea kumbe huna maana kabisa........jamaan sasa ukikaa bila kuolewa utasema umelogwa?..........yaan mwanaume akupe mimba then akuruhusu uolewe bado useme anakupenda🤔 tujitambue
Uzur wa karatas ukiloa hauna maana 😆
Wanaume wote ni mbwaaaaaaaa
Say alhamdulillah Allah has not planning for you . Inshallah Kee praying never give up to Allah
Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia
Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
Ila unatia aibu sana lazima akuache
Mungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe
Hivyo vitu vyeupe nazungumzia
Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu
Ulitengeneza hatar ww mwenyewe
Warangiiii wanaume hata bure siwataki nisiwe mnafki🙌🙌🙌🙌🙌
Astaghfirullah 😢😢warangi kunanini,vijana shida wanawake shidaa mmmmmmmh munguatunusuruu
Umalaya tu kukaa kwenye ndoa aah 😂😂
Mimi kabla sijaolewa nilikuwa sitaki kabisa kuku tana na mwanaume kimwili mpaka anioe nashukulu mungu nime olewa nikakutana kimwili na mume wangu mwanaume akisha kuona mwili wako anakudhalau
hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa
Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa
Mkundu ww msambaa kafikaje apa
Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu
Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew
Ww chiz kweli zalau wakat unamsaliti mwenzio Malaya mbwa ww
@@mohamedkisenga6654 wallah comment zengne mi nacheka 2 🤣🤣🤣🤣
Kwanini,umejia media
Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝
Tatuzo la hawa dada zetu wamezidisha tamaa .anajifanya mwema kumbe nyoka wa shaba bora Mungu kakuumbua mapema
Miaka 22 usha jua kila aina ya mdudu 😢😢jaman khaaa yaan aliye kupa mimba akuambie uwolewe na mwanaume mwingine na ww ukakubali loooh