Pole dadangu nimekuona nokakumbuka 2019 nilipigwa Kama wewe mpaka nikalazwa hos miezi nne bt 4 now nashukuru mungu nimepona nanimerudi kwa boma nachunga watoto bt niiiaza shinda nikiwa na mtoto mmoja na nikashindwa niende wapi bt nataka kukuambia tafadhali dadangu achana na huyo mwanaume na uaze kazi ulee watoto na mungu atakutafutia mwanaume anayekufaa nakutakia uponyaji wa haraka na umusamehee huyo mwana ume na umuondokee ,
Mwanangu pole sana nakushauri hudhuria madhabahuni ngome ya Yesu Kristo kimara temboni, huyo mkwe hana nia njema, na ukizingatia ndugu zake hawakupendi njoo ngomeni kwa kuhani Musa uvunje hiyo roho inayomsukuma kukudhuru huwezi kujua anawaza nini! Ukisikia sauti yangu umepona
Pole my sister Mungu Yupo nawe utapona tu usijali ,, ila umekumbusha Kuna kipindi niliolewa na Masai kwao ni harudha alinipiga nusra anivunje mkono,, dada aki pole tu sana.
Pole sana dear hawa wanaume wakijua tu wanapendwa kisa wao wakiwa ndo wa kwanza huwa wanakuwa na jeur sana wakijua kuwa huwez kumuacha kisa unampenda na humjui mtu mwingne nam nilipitia mateso et kisa yeye ndo alikuwa wa kwanza yan amefanya mpaka naogopa kuingia tena kwenye mahusiano
Ni kweli inauma sana na matatizo yapo kikubwa kuomba mungu akupe mume mwema na mwenye huruma ila Kwa swala la udogo miaka ishirin Kwa mwanamke cy mdogo jamn
kitendo cha kunyanyua mkono tu kumpga mke wako mkono huo ni sawa na umeupeleka ktk moto wa jahanam hv unajua uchungu wa kulea mimba miez 9 huwez mlipa hata uuze dunia na vilivyomo hapa hajaenda leba au kunyonyesha una kipi cha kumlipa mkeo jamani wanaume mbona tumekuwa wanyama kias hiki hv kwel unampga mtu hv unategemea mungu afungue njia yako ya risk walah hii chozi litamtafuna huyo jamaa hadi anaingia kaburin halitapotea kamwe hili choz subhanallah 😭😭😭😭😭
Pole sana ila hatujui mwennyeshida katienu nani maana hata wewe sio unafunga ndoa. Yakislam unaenda kanisani siutawala huo hata wewe hauko sawa nahaupo siriaz maisha jirekebishepia
Huyo mwanaume n nyoka aliona ako n sura na n mrembo ndio akamuua kumwalipia sura yake mtoto wa mtu but vumilia dada na God akutie nguvu Ili ulee watoi wako🙏🙏
Pole sana nimekusikiliza hasa hiyo sehemu ya mimba na vitunguu poleeee nimekuelewa vzr nilikua na mimba wakipika vitungu wanavikaanga au pilau harufu yake au wali mmmhh nilikua nahisi kufa kwa kuumwa pole sana mamy
Muandishi acha kumpotosha mwenzio.Mschana usimrudie huyo nia yake ni kukudhuru sio kukupenda. Ukimrudia atakuua huyo nia yake akufanyie kitu yeyote yule asikutamani hiyo ni aina ya ugonjwa kwa baadhi ya watu wasiokubali kuwa mapenzi hakuna kwake ila anachuki usionekane na mwengine japo yeye pia hakupendi kwa dhati
Watu tunahangaika wee kutafuta watu wenye future alafu wengine wanawachezea aisee nimeumia sana basi tu. Pole Dorothy, pole sana ila haijali unapenda sana huyo mfaume, mtupe ndani
Ooh my God it's so sad 😞 wana wake tuwe nahakili kabisa hivi vitu vyakusema eti nikiachika watu watasema vipi,kwani ukiuliwa na huyo boko halam watu siwataendelea kusema?bola waseme ukiwa hai kuriko waseme ukiwa malehemu.
DUU!!POLE MWANANGU LAKINI NYINYI MABINTI MSIWE MNAKURUPUKA HAWA VIJANA WA SIKU HIZI HAWANA UPENDO WA KWELI NI MAKATILI SANA MUWACHUNGUZE KABLA YA KUINGIA KICHWA KICHWA POLE SANA
Pole sana dada yangu ila una moyo sanaa wa kuvumilia mie nisingeweza kuvumilia kupigwa ivyo wallah ata kaam nimezaa nae watoto 4 aniharibu sura ivyo yani ntamtumilia vibaka wambake mkundu uchanike avunjwe na mkono mmoja tuone atahisi vp
Wanaume wanaopiga ndo wanavokuaga,anakua kama sio yeye kabisaa,kuna uyo aliniambia eti akipata hasira anaona giza,na ataomba msamaha ila ataridia tu tena ,yani wanakuaga kama kuna kitu kinawavaa,mimi nimegundua alikua ni narcissist, wanapata adrenaline drive akiona unateseka na hajutii kabisaa kweli,hili swala uku kwetu amna ila wanaume wa ivo wako wengii
Na nadhani ni traumas za utotoni zinachangia mnoo,kuna kitu alinipitia utotoni,awa adi maombi ao psychiatrist ndo msaada maana kwa akili zake hawez badilika
Pole sana usiogope maneno anayokwabia eti atakudhalilisha acha akudhalilishe yatapita usiludianenae huyo ukiludiana nae anaenda kukumLizia achana nae kabisa tena kaa mbalinae kabisa
Pole sana dada ake mungu atakusaidia utapata mtaji au utapata mume bora
Pole dadangu nimekuona nokakumbuka 2019 nilipigwa Kama wewe mpaka nikalazwa hos miezi nne bt 4 now nashukuru mungu nimepona nanimerudi kwa boma nachunga watoto bt niiiaza shinda nikiwa na mtoto mmoja na nikashindwa niende wapi bt nataka kukuambia tafadhali dadangu achana na huyo mwanaume na uaze kazi ulee watoto na mungu atakutafutia mwanaume anayekufaa nakutakia uponyaji wa haraka na umusamehee huyo mwana ume na umuondokee ,
Huyu dada anahitaji suluhu na mmewake ila Huyu mtangazaji kuma2 kama kumazingine anaongea kama anafirwa
@@ismailmsisa6362 nkt waongea vipi wewe
Pole sana dada ang mung atakujalia utakuwa sawa
😢😢😢
@@ismailmsisa6362Mungu akurumie kuma iyoiyo ndoilikutoa apa duniani muwe namipaka kwakuongea uruma sana 😢😢
Pole sana usirudiane na ilo jitu pambana ulee watoto!
Pole sana mdogo wangu. Pia nakuomba ishi maisha yako. Mungu atakupa mume mzuri na utaishi maisha ya raha.
C nm.
Huyu mdada anaakili Sana yupo vzur Mungu akujalia
Pole sana Dora Mungu akuponye
Pole sana dada huyo ni muuaji achana nae kabisa, Mungu atakupa chaguo lako
Pole Sana mungu atakusaidia utapona
Pole sanaa ,mwanamke wa bidii na mpole mungu akutue nguvu
Mwanangu pole sana nakushauri hudhuria madhabahuni ngome ya Yesu Kristo kimara temboni, huyo mkwe hana nia njema, na ukizingatia ndugu zake hawakupendi njoo ngomeni kwa kuhani Musa uvunje hiyo roho inayomsukuma kukudhuru huwezi kujua anawaza nini! Ukisikia sauti yangu umepona
TATIZO UMEMWACJA YESU KEA AJILI YA MUME BIBLIA INASEMA MSKFUNGIWS NIRA PAMOJA NA WASIOAMINI HAKUNA USHIRIKIANO KATI YA NURU NA GIZA
Pole dada Mungu atakusaidia yatapita yote wewe pambana kulea watoto wako vzr watakusaidia baadae Mungu anamakusudi na wew ndy maana upo hai
I feel your pain usirudi kwa huyo mwanaume atakuua fanya biashara zako Lea watoto wako
Mom mungu atakusaidia kulea watoto wako usijali
MTAGAZAJI YOUR STILL YOUTH KUTOA USHAHURI WA NDOA
Matangazaj ana vipaji vingi 😅
Pole sana uyo dada anahitaji kusaidiwa aki
pole dada angu! mwanamke unapo olewa na kilaza ni mtihani kweli!
Umejuaje
She is very beautiful 😍 Ana sura ya Baby Face
Pole xn siz hutapona tu mungu akubariki siz
Pole my sister Mungu Yupo nawe utapona tu usijali ,, ila umekumbusha Kuna kipindi niliolewa na Masai kwao ni harudha alinipiga nusra anivunje mkono,, dada aki pole tu sana.
Pole Dora.
Mtangazaji wa Habari mzuri na mrembo Masha allah
Okay
Da pole sana my wangu adi nimelia
Pole sana dear hawa wanaume wakijua tu wanapendwa kisa wao wakiwa ndo wa kwanza huwa wanakuwa na jeur sana wakijua kuwa huwez kumuacha kisa unampenda na humjui mtu mwingne nam nilipitia mateso et kisa yeye ndo alikuwa wa kwanza yan amefanya mpaka naogopa kuingia tena kwenye mahusiano
🙆♂️😭😭😭😭😭
Pole sana dadangu mungu yupo nawe usijali utapona mungu Atakupa mwanaume Bora mwenye Anaekufaa kwa maisha yako
Pole sana dada maisha ni safari iliyojaa misukosuko vumilia utafika ninacho kushauli ukeshe ukiomba mungu
Dada moyo unauma wanawake jamani tuna kazi,,, pole dada Mungu atakuponya.
Polesana muombemungu2 atakusaindia atais ukundoayo
Pole Sana mwanamke mwenzangu,dah umepitia mtihan mzito
nakupa pole dadangu,nkushukuru tu hakukuumbua macho kwa nguvu ya Mungu utapona na Mungu atakusaidia
Pole San dada muombe mungu akupe uvumilivu na ujasir nakuombea upone
Pole sana dadaangu mungu akutie nguvu usimame tena
Unatakiwa kuwa makini sana wewe ni mkristo ludi kwa Yesu afungue maisha yako
Pole Sana mwangu huyo hakufai achana nae
Ni kweli inauma sana na matatizo yapo kikubwa kuomba mungu akupe mume mwema na mwenye huruma ila Kwa swala la udogo miaka ishirin Kwa mwanamke cy mdogo jamn
Daa pole dada
Pole sana mdogo wangu jirani yangu doooh!!!,ulivyo mrembooo jaman
Ni kweli mume wanaishi kwa madai ya mume wanaishi pamoja aliongea na global tv
😭😭
Hao. Tena. Ndugu
Pole sana my dear kwa mtihani ulio upata
Pole dear Mungu amponye iyo ni roho ipo ndani yake Muombe Mungu
Duuh!, Pole sana dada yangu, kwa magumu uliyopitia mungu atakupa mchumba mwema achana naye
kitendo cha kunyanyua mkono tu kumpga mke wako mkono huo ni sawa na umeupeleka ktk moto wa jahanam hv unajua uchungu wa kulea mimba miez 9 huwez mlipa hata uuze dunia na vilivyomo hapa hajaenda leba au kunyonyesha una kipi cha kumlipa mkeo jamani wanaume mbona tumekuwa wanyama kias hiki hv kwel unampga mtu hv unategemea mungu afungue njia yako ya risk walah hii chozi litamtafuna huyo jamaa hadi anaingia kaburin halitapotea kamwe hili choz subhanallah 😭😭😭😭😭
Mwanaume uyo anaroho yakinyama, wanawake 2nateska mungu atutangulie, polesana dada yangu unaweza sema nimmi pekeyang kumbe 2powengi2 inaumasana jamani, mungu ata pigana nae
Dada Saiz ndoa Ni mitihani Ila ndoa n changamoto Sana labda upate Mme au mke mwenye Hofu yamungu
Pole sana ila hatujui mwennyeshida katienu nani maana hata wewe sio unafunga ndoa. Yakislam unaenda kanisani siutawala huo hata wewe hauko sawa nahaupo siriaz maisha jirekebishepia
Pole mummy inauma sana Mungu akutie nguvu uweze kulea wanao. 😭😭😭
Pole dada mungu atakusadia
Huyo mwanaume n nyoka aliona ako n sura na n mrembo ndio akamuua kumwalipia sura yake mtoto wa mtu but vumilia dada na God akutie nguvu Ili ulee watoi wako🙏🙏
Sawa.ndugu mtangazaji kwa husia wko
Jamani pole sana,kweli wanawake tunapitia magumu mengi yote ni kwa ajili ya watoto,Mwenyezi MUNGU akufanyie wepesi katika mambo yako yote
Dada MREMBO SANA na mpole
Pole sana meenzangu MUNGU akufungulie njia na akupe BARAKA mara nyingine tena
Mungu akusaidie pole Sanaa dad wanaume acheni upuuzi mwanamke hapigwi na huyo mwanaume afungwe miaka 30
Pole sana my upepo ni mbaya sana sahv jihadhari alivosema anaweza akakufanya kitu kibaya Mungu akuepushie
Ila yawezekana sio yy anatumika sio akili yake
mmmmm pole sana mdogo wangu lakini tuwe makini na mausiano yamitandawo
Daah Mimi ni mume Ila hiyo sio poa
Pole sana kweli dada yangu 😭😭😭😭
pole dada mungu akutie nguvu omba sana
Pole sana nimekusikiliza hasa hiyo sehemu ya mimba na vitunguu poleeee nimekuelewa vzr nilikua na mimba wakipika vitungu wanavikaanga au pilau harufu yake au wali mmmhh nilikua nahisi kufa kwa kuumwa pole sana mamy
I feel Ur pain dear siz Mungu akutie nguvu❤
Pole sna dada kwa.yale yamekupata Mungu akutie nguvu huyo mwanaume ata jutia kwa matendo mambaya amafanya
Muandishi acha kumpotosha mwenzio.Mschana usimrudie huyo nia yake ni kukudhuru sio kukupenda. Ukimrudia atakuua huyo nia yake akufanyie kitu yeyote yule asikutamani hiyo ni aina ya ugonjwa kwa baadhi ya watu wasiokubali kuwa mapenzi hakuna kwake ila anachuki usionekane na mwengine japo yeye pia hakupendi kwa dhati
Ntampataje huyo dada jamani nimpe hata zawadi kavumilia sana yani ni mtu wa kuumpongeza sana anapigania watoto wake pole sana Dada ake
Duh! Uyo mdada mungu amlinde sana. Pole siste
Mapenz huwa ayaingiliw ila kwa hili dah wanaume bahadhi yao mue na huluma na hofu ya mungu mnampiga hivi uyu mwanamke 😭😭😭
Pole.sana
Pole sana mpendwa mungu akutiye nguvu
Umeoa
Yesu akupiganie dada Hilo Jambo atalitengeneza2 manahashindwagi jambo
Watu tunahangaika wee kutafuta watu wenye future alafu wengine wanawachezea aisee nimeumia sana basi tu. Pole Dorothy, pole sana ila haijali unapenda sana huyo mfaume, mtupe ndani
aki pole,thanks to God hakukuumbua macho utapona tuu kwa nguvu ta mwana
Pole sana mungu atakusaidia kama umeona na yamekupa usirudi nyuma mungu atakuinulia watu wa kukusaidia
Ooh my God it's so sad 😞 wana wake tuwe nahakili kabisa hivi vitu vyakusema eti nikiachika watu watasema vipi,kwani ukiuliwa na huyo boko halam watu siwataendelea kusema?bola waseme ukiwa hai kuriko waseme ukiwa malehemu.
Pole sana mungu akulinde wewe na family yako
Pole sana binti. Uyoo siii mtuuu ni MNYAMA. HEEE KIPIGO KAMA KAKUZAAA LOOOO EBUU. AKUKOMEEE NA ATOKOMEEE KUSIKO JULIKANA DAAA. KWANI LAZIMA? MAPENZI YALISHAGA ISHA. AENDE ZAKE.
Pole saaana Dada
Pole sana mdogo angu
Daaa!pole sana mdogo wangu
Hebu mtangazaji kuwa smart kidogo unavaaje kofia lakulalia la hm kazini mweeee hapana kwa kwel
Yaani sijui kabila gani huyu😅
Nilita kusema
Jamani labda amekurupuka usingizini akaona bora akahoji mbio mbio.
Pole sana dadangu mungu atakupa faraja
Heeeeeee ningemnyoooooooosha,weweeeee,akupe ukilema yy aoe ningekula nae sahani moja 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Pole sana
Pole dadaangu mungu akutie nguv
DUU!!POLE MWANANGU LAKINI NYINYI MABINTI MSIWE MNAKURUPUKA HAWA VIJANA WA SIKU HIZI HAWANA UPENDO WA KWELI NI MAKATILI SANA MUWACHUNGUZE KABLA YA KUINGIA KICHWA KICHWA POLE SANA
pole dada Mungu akutie nguvu
Pole dada unanikumbusha mbali sana wangu
Wanaume wanalaana sana wallah 😢. Huyo mwanaume amepoteza bahati mwanamke mzur hivi na smart ndo akampiga hivyo.! 😢
Kuna mahali niliona hii story huyu dada alimtukana mume akamwambia akauze jicho apate Hela ya kujikimu😢🏃
@@epifaniajerome akauze jicho!!!!
@@abdulkarimnassor3128 ndyoooo!! Akauze jicho apate Hela
Futa wanja kwanza jamani
Pole ndugu yangu
Pole sana dada
Wanaume wengine balaaa kweliiii
Kama mtu hampendi mwezie si muachane TU kwa amani bila kuumizanaaa😢😢😢
Pole sana dada uyo mwanaume mungu atamrani shetani mmoja uyo
Pole Sana dada mungu atakulipa ami
Pole Sana mdogo wangu huyo mwanaume Ni mpuuzi Sana naomba Sheria imsaidie huyu dada maana Ni unyanyasaji na uuaji
Pole sana mdogo wangu
Pole sis mungu awe pamoja n ww aki wanaume
Mungu yupo dada angu
Pole sana dada angu mungu akutie nguvu katika safari ya maisha yako duuuuuuuuh wanaume jamani mwanamke hapingwi
Sisi kwetu mwanamke anapigwa
Pole sana mwanamke mwenzangu
Pole sana dada mungu akukumbuke
So sad I'm watching from kenya
Hapo kwenye kununua Malaya shoga wamejaa mwingine nimemuacha juzi nimemkuta nao Kama kumi hiviii
Duuuuu
Dahhhh 😢😢 pole sana dada
Polee Sanaa dadaangu
😭😭😭😭😭nimekumbuka mbali nyie uchawi upo🏃🏃
Pole sana dada yangu ila una moyo sanaa wa kuvumilia mie nisingeweza kuvumilia kupigwa ivyo wallah ata kaam nimezaa nae watoto 4 aniharibu sura ivyo yani ntamtumilia vibaka wambake mkundu uchanike avunjwe na mkono mmoja tuone atahisi vp
We baba watoto wako 😂kweli mwanaume wa kupiga hapana ukihona tu kimbia
Jaman jamani wanawake mbona tunabeba mizigo mizito hivi??ee Mungu tusaidie
Pole sana dada anga naimani mume wako wa kweli yupo kwa mungu atakupatia
Wanaume wanaopiga ndo wanavokuaga,anakua kama sio yeye kabisaa,kuna uyo aliniambia eti akipata hasira anaona giza,na ataomba msamaha ila ataridia tu tena ,yani wanakuaga kama kuna kitu kinawavaa,mimi nimegundua alikua ni narcissist, wanapata adrenaline drive akiona unateseka na hajutii kabisaa kweli,hili swala uku kwetu amna ila wanaume wa ivo wako wengii
Na nadhani ni traumas za utotoni zinachangia mnoo,kuna kitu alinipitia utotoni,awa adi maombi ao psychiatrist ndo msaada maana kwa akili zake hawez badilika
Pole Sana mpendwa wangu Ila usijali yatapita tu
Mfanyakazi wke NAE ana tako mashallah
Pole sana, huyo mfalme akapigane na MANDONGA aone show yake
Inasikitish Sana God akuponye dada
Me sijapenda kitendo chakupigwa dada pole Mungu akulinde pole 😭😭😭😭😭😭
Pole sana usiogope maneno anayokwabia eti atakudhalilisha acha akudhalilishe yatapita usiludianenae huyo ukiludiana nae anaenda kukumLizia achana nae kabisa tena kaa mbalinae kabisa