SAKATA LA MUSUKUMA Vs MKURUGENZI KUHUSU V8 YA MIL. 400

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 750

  • @stephenmwaisela263
    @stephenmwaisela263 3 ปีที่แล้ว +42

    Big up msukuma,wakurugenz wapuuz km hawa ni kutolea uvivu,like mingi kwa msukuma

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 ปีที่แล้ว +1

      We ndo limbukeni kweli Sikiliza hapa th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html

    • @josephatmnongone6143
      @josephatmnongone6143 3 ปีที่แล้ว

      Msukuma ni mchochezi tu,yeye anatumia gari gani?

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 3 ปีที่แล้ว +40

    Aiseeee kuna upumbavu wa hali ya juu, yaan gari ya kutembelea waziri ambaye anazunguka nchi nzima, kweli mkurugenzi aisee kuna vitu vinakera saana zaid ya sana.....dah

  • @c75923
    @c75923 3 ปีที่แล้ว +11

    Engineer hongera sana kwa utendaji mzuri Geita kwa tunaofika mara kwa mara inakua sana! Ila sasa Bro Engineer 400Mln ni nyingi sana kununua gari moja!! Msijisahau sana jamani hatujafika huko!

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว

      Unaumwa Sana pesa za Uma

    • @c75923
      @c75923 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ashamwandu6572 Umma ni mimi na wewe! Kama haikuumi basi kutakuwa na tatizo

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ashamwandu6572 wewe hujui kitu kuhusu maendeleo ya nchi nyamaza

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว

      Nisijuwe kwavile mimjinga?Najuwa nandio maana inauma pesa za wanaichi kuchezewa ivo.magali mbona yapo mengi tu?yabei poa.atuoishe wasimi wengi tu wenye uwezo mkubwa Watatuchelewesha watu wanamna hii pumbafu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว

      @@ashamwandu6572 hahaaaa yaani acha tu

  • @SYLMASVISIONFORSCIENCE
    @SYLMASVISIONFORSCIENCE 3 ปีที่แล้ว +5

    Mhuu hii haijakaa sawa , haiwezekani kununua gari la Mil 400 ingali bado tunamahitaji mengi ya wananchi

  • @simonnzumi3575
    @simonnzumi3575 3 ปีที่แล้ว +25

    Unahesabu m1 mpaka m460 huna hata haya kweli?

  • @kipesekiaruwamallya3098
    @kipesekiaruwamallya3098 3 ปีที่แล้ว +11

    waliokuja uku baada ya jpm kutumbua tujuane hapa

  • @rahimuhabibu2129
    @rahimuhabibu2129 3 ปีที่แล้ว

    Asante Mbunge wa kanda ya Ziwa tunakupe sana waambie ao

  • @pascaldogan1868
    @pascaldogan1868 3 ปีที่แล้ว +50

    Huyu jamaa ni kichwa sana basi tu tunaitaji watu kama hawa wanaoweza kusema ukweli hii haingii akilini kabisa

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 ปีที่แล้ว +2

      Ni kweli sikiliza hapa utaelewa
      th-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/w-d-xo.html

  • @francismlembwa2733
    @francismlembwa2733 3 ปีที่แล้ว +17

    Hapana hizo pesa Ni nyingi mno jamani duh gari moja tu 400M

  • @godiuskahyarara9377
    @godiuskahyarara9377 3 ปีที่แล้ว +31

    Hii Msukuka nakuunga mkono. Haya magari ni ghali sana

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 3 ปีที่แล้ว

      Mbn mkuu wetu msafara wake hzo zipo nyingi

    • @davidelliot3267
      @davidelliot3267 3 ปีที่แล้ว +1

      @@kenybenjiz7850 JPM ni rais wa Tanzania anastahili kutembelea yale unayoyaona na kwa taarifa yako JPN ni mmoja wa marais wanaotumia magari ya kawaydah kwa rais kutumia sasa uyo mkurugenz kwa umaarufu gani atumie 460m kununua gari moja badala ya kumalizia kituo ya afya then kama hana gari achukue ata la m60

    • @kenybenjiz7850
      @kenybenjiz7850 3 ปีที่แล้ว +1

      @@davidelliot3267 serikali ina hela acha wayatumie tu

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 ปีที่แล้ว +1

      @@kenybenjiz7850 hahahaaa kweli kaka kuna wengine wanatumia Audi mpya ya Ml600 au porches ya milioni 900

  • @James00Bong007
    @James00Bong007 3 ปีที่แล้ว +29

    Mkurugenzi boya kweli...

  • @charotelimo5026
    @charotelimo5026 3 ปีที่แล้ว +8

    Namashaka na vyeti vya huyu babu aliyevaa miwani....takukuru waingilie kati

    • @geraldabel8784
      @geraldabel8784 3 ปีที่แล้ว

      Aisee huyu jamaa yuko vizuri sana ila bado kuna taasisi bado zinanunua ma V8 ambayo hayana kazi ni watu wanatafuta sehemu ya kupiga hela tu.

  • @UpeoMinistryofMedia
    @UpeoMinistryofMedia 3 ปีที่แล้ว +39

    Tuliorudi kuhakiki hii baada ya kauli ya mheshimiwa kumtumbua mkurugenzi like hapa tujuane😂😂

  • @kalebuwilliam1014
    @kalebuwilliam1014 3 ปีที่แล้ว +61

    Ngoja mzee asikie

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu6798 3 ปีที่แล้ว +2

    Leo ndio nimekuelewa msukuma safi sana hongera ukweli mtupu tunaitaji viongoz wa namna hii

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama unaendelea kununua magari basi nunua magari ya kubebea wagonjwa yawe mengi

  • @mhojajohn3332
    @mhojajohn3332 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma uko vizuri sana uyu ni jipu sana hakutakiwa kutoka na kujibu utumbo

  • @upgo6112
    @upgo6112 3 ปีที่แล้ว +1

    Hili jaamaa pumbavu Sana

  • @muzneali387
    @muzneali387 3 ปีที่แล้ว +40

    Injinia Kwa serikali hii umetumbuliwa

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 3 ปีที่แล้ว

    Mkurugenzi huo utetezi dhaifu. Gari ni la gharama sana. Subiri Panga la Shaba likushukie. Pole Kiongozi, kazi unayo. Awamu ya Tano si mchezo mchezo.

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahi mkurugenzi wageita kupugwa,Ayaone maisha ya uraiyani yalivyo magumu,Kweli pesa za walipa Kodi unnunua gari la vioo vyeusi?chizy baba zima halijitambui,watu madawati hayatoshi,madalasa pia kaa kweli pepo

  • @anethshio497
    @anethshio497 3 ปีที่แล้ว +1

    Ishu ni Vipaumbele Kwenye Mipango na Matumizi na si kupewa ruhusa na Waziri Mkuu wala vikao vyenu vya wavaa suti...

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 3 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kumtumbua mkurugenzi asiyali watu

  • @mcpambe8063
    @mcpambe8063 3 ปีที่แล้ว

    Kata 19 kuzifikia mara kwa mara hata Passo yenye matunzo mazuri inaweza sana. Tufanye basi Passo itawahi kuchoka; tunakupa RAV4. Kama nayo sio, kwa kiwango cha juu sana, Mkurugenzi ungetulia injini zilizopendekezwa kutumika serikalini ambapo Toyota GX ndio ilionekana kizio tosha kwa wakurugenzi. Prado haikutoshi? Hardbody je?
    Kama Ofisi ya Waziri Mkuu ilipitisha dokezo la ununuzi wa VX kwa mkurugenzi; basi dalili zote mnakwenda kuuporomosha uchumi kizembe sana kwa tamaa zenu za maisha ya kifahari kupitia kodi za wananchi.

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 3 ปีที่แล้ว +48

    Msukuma ana akali sana huyu jamaa nampongeza sana

  • @majutomlaganile7420
    @majutomlaganile7420 3 ปีที่แล้ว

    Mmmmm!!!gari mlioni Mia 4,mkuu?je shuka,net nk zipo za kutosha?na wasiojiweza hawapo?mkuu unahitaji kujiongeza bhana sio poa mkuu.noma sana mkuu!ni ufujaji wa wazi kabisa.

  • @softrock7155
    @softrock7155 3 ปีที่แล้ว

    Toyota Land Cruiser LX ni gari nzr, lina comfortability, affordable, durable, bei 160m wakurugenzi wengi wanaojielewa na kuwathamini wananchi wanyonge wamenunua hayo na wanayatumia. Kumbe hapo amekwenda kula raha tuu.

  • @mashakaamosgabinza3893
    @mashakaamosgabinza3893 3 ปีที่แล้ว +1

    Okay sawa tumeelewa

  • @musason1680
    @musason1680 3 ปีที่แล้ว

    Jamaa alikua anajitapa Sana Sasa ona tz hakna uhalali umeenda Sasa pole sana

  • @wilbrodwemaonlinetv8379
    @wilbrodwemaonlinetv8379 3 ปีที่แล้ว +4

    Jamani natafuta gari aina ya Noah (used) kwa milioni 6

    • @careemissa2502
      @careemissa2502 3 ปีที่แล้ว

      Ninayo ya m8 km uko tyr nitfte inbox

  • @gidionseleman7318
    @gidionseleman7318 3 ปีที่แล้ว

    Tayari alishapata alichokuwa anakitafuta. Raisi kashamtumbua, safi sana.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 ปีที่แล้ว +7

    mkurugenzi hafaii,msukuma POINT yake ni BEI ya gari,sio ununuzi wa gari..piga chini huyu mkurugenz

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee kalimalza kwa haraka sana. Safi musukuma👏👏

  • @reubenpaulomabula6098
    @reubenpaulomabula6098 3 ปีที่แล้ว

    Mkurugezi jihuzuru kabla mzee baba hayajamfikia

  • @franklutindi4167
    @franklutindi4167 3 ปีที่แล้ว +1

    Wew msukuma bila hao wew ungerudi chunga mdomo wako kaz walioifanya kubwa sana wacha watembelee magar mazur pumbavu wew

  • @josephndali9584
    @josephndali9584 3 ปีที่แล้ว +1

    Wenye mji tumerudi, uko sawa mh, king msukuma

  • @nestanesta5704
    @nestanesta5704 3 ปีที่แล้ว +14

    Duhhh!!! Magu hawezi kuwaacha salama kwa hili

  • @texastexas2545
    @texastexas2545 3 ปีที่แล้ว +2

    Mkulugenzi acha dharau, kuanzia mda huu napoandika comment hii huna kazi.

    • @saidihussein2865
      @saidihussein2865 3 ปีที่แล้ว

      Ukosahihi jrmen gar kerere msukuma acha zalau

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo2013 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana msukuma.....!! Wakurugenzi wapuuzi kama hawa ni wa kutumbua, tatizo sio kununua magari... tatizo ni magari ya thamani kiasi gani na tija yake na je ni kipaumbele!??

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 ปีที่แล้ว +2

    Msukuma nakupenda Sana

  • @shomarywawa6227
    @shomarywawa6227 3 ปีที่แล้ว +11

    Eng. AMESHA KUWA JOBLESS TAYARI.🤣🤣🤣🤣🤣 SOMA IYOOOOOO

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 3 ปีที่แล้ว +1

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma mwenzangu nakuelewa Sana mkurugenzi umebugi sana

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze405 3 ปีที่แล้ว +6

    Lakini mnanunua magari ya thamani halafu mnaenda kuyapaki kwenye mavumbi? Hamnashindwa hata kutengeneza maegesho ya magari kuwa bora yenye mazingira mazuri zaidi.

  • @evansm8802
    @evansm8802 3 ปีที่แล้ว

    I love the confidence,

  • @amrimzeru2913
    @amrimzeru2913 3 ปีที่แล้ว +24

    Kwani waziri mkuu,na ujenzi wao ni nani,? Tumieni magari ya bei ya kawaida,hayo ya milioni mia nne ni ghari sana

  • @jamessilwamba2862
    @jamessilwamba2862 3 ปีที่แล้ว

    ungepinga kule kwenye kikao lisinunuliwe maana na wewe ni member mule kwenye council hizo specificatios zinatolewaga na mamlaka husika na kibali kutolewa cha kununua sasa baada ya wewe kupinga kwenye vikao husika unapinga kwenye press hiyo sio sahihi unaweza ukawa na hoja lkn sio sahihi ulipotolea una room nzuri km member kupinga kabla halijanunuliwa unavyolileta kwenye press kwa namna hiyo ni kuleta taharuki kwa watu wasiofahamu utaratibu kama mkurugenzi kajiamulia tu kununua isije ikawa hiyo V8 imekuuma wewe binafsi maana mpo eneo moja unasingizia uchungu kwa wananchi

  • @evansm8802
    @evansm8802 3 ปีที่แล้ว +1

    You deserve excellence my man

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 3 ปีที่แล้ว

    Mkurugenzi anajiamini sana labda Luna sehemu kaegemea tutajuaje hilo

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv3429 3 ปีที่แล้ว +3

    Ila kajielezea fresh

  • @georgeisdory9998
    @georgeisdory9998 3 ปีที่แล้ว

    Msukuma ana degrees ya darasa la Saba..... Yupo very fantastic
    Hongera sanaa msukuma.... Huyo mwenye
    Miwani kama mamba anajisifu kununua magali wakati raia wanaumia guys hawa watu wa stahili hii si dhani kama ni wanchi hiii

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 3 ปีที่แล้ว +1

    MSUKUMA ONGEA BABA ..HUJAWAHI ACHA ....MTU SALAMA NAKUKUBALI SANA MSUKUMA Huyu baba na miwani yake yaani hata hawazi duh....

  • @mligogodfrey8882
    @mligogodfrey8882 3 ปีที่แล้ว +2

    Kuna passo inauzwa mil 2.5 km mkurugenzi ukiitaji nijulishe,halafu hela nyingine twende bar.

  • @a.katunzi5815
    @a.katunzi5815 3 ปีที่แล้ว

    Serikali inatumia magari ya namna hii. Ndiyo utaratibu. Gari kubwa, imara, ina uwezo wa kwenda popte, guarantee ya km 100,000 hivi nk.
    Hata hao wabunge waliwahi kukopa, walingane na Serikali!!

  • @salummasoud5778
    @salummasoud5778 3 ปีที่แล้ว +3

    Hakuna sababu yoyote inayoweza kuhalalisha manunuzi ya gari la 400M kwa ajiri ya kutembelea.
    Bado matatizo yetu ni mengi mno, kwa kweli hayo ni matumizi mabaya ya fedha.
    Tunajua jinsi gani Wakurugenzi mnavyo wacorner Madiwani kwenye kufanya maamuzi mnayoyataka.
    Sasa kwa kuanzia tunakula hicho kichwa ili nawengine wajifunze.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 ปีที่แล้ว

    Ishu siyo kununua gari na kuomba ruhusa na specification, ishu ni vipaumbele.

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 3 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe hata kituo cha Afya hamna halafu mnajisifia mmejenga Vituo vya Afya vingi awamu hii ya Jiwe

  • @kyambarungwematv6828
    @kyambarungwematv6828 3 ปีที่แล้ว

    King msukuma umetishaaaa San

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 3 ปีที่แล้ว

    Aiseeeeh...kweli mkurugenz hana huruma na fedha za watz.bata saivi siyo mahali pake.watendaji wa serikali kuweni makini.

  • @neydenyo6786
    @neydenyo6786 3 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana

  • @stanleymwakifumbwa7286
    @stanleymwakifumbwa7286 3 ปีที่แล้ว +28

    Hata aibu huna, Msukuma usinyamaze, hapa mkurugenzi umezingua

  • @mateikihoi8125
    @mateikihoi8125 3 ปีที่แล้ว

    Umekula kwako

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 3 ปีที่แล้ว

    Alafu we msukuma uache tabia ya kummaind mkurugenzi wetu wa kishua!! Wakina polepole wenyewe nanakwambia chama tawala kinamiliki mandinga makali halafu wewe msukuma unakurupuka unammaind mshikaji?? Kwanza mandinga ya bei rahisi hayakimbii. So big up MKURUGENZI..

  • @josephmkongwi2323
    @josephmkongwi2323 3 ปีที่แล้ว +1

    Zamani nilijua mpinzani kumbe ni chama tawala

  • @lucasrichard1682
    @lucasrichard1682 3 ปีที่แล้ว +1

    Ni jambo jema tunapoamua kukosoana pale tunapoona mambo hayako sahihi. Lakini tusikosoane kwa sababu ya chuki,tuongozwe na kweli pamoja na haki.
    i) Hivi wabunge mnatumia magari gani?
    ii) Mnalipwa posho sh ngapi kwa siku?
    iii) Mnalipwa kiinua mgongo sh ngapi baada ya miaka 5?
    -Je, nyie hamna shida katika majimbo yenu mpaka mnapokea posho mnazopokea,viinua mgongo hivyo na magari mnayotembelea?
    -kwa nn wabunge msiwe wazalendo kwa kutumia gar za bei nafuu,posho kidogo,kiinua mgongo kipungue ili fedha hiyo nyingine ikatatue matatizo ya wananchi?
    " Tutoe kwanza boliti katika macho yetu kabla ya kuona kibanzi kwenye jicho la mwenzio"

  • @maimunakassim2840
    @maimunakassim2840 3 ปีที่แล้ว

    Mkurugenzi chizi namba one

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 ปีที่แล้ว +1

    We Mkurugenzi humjui Msukuma we ongea kwa kujimwambafai tu

  • @akberyuda5950
    @akberyuda5950 3 ปีที่แล้ว

    AMESHATUMBULIWA ASICHEZE NA MAGUFULI

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera msukuma . V8 ya nini

  • @mohamedkhamisali6535
    @mohamedkhamisali6535 3 ปีที่แล้ว +5

    Kwani lazima mununue magari ya kifahari mbona wafujaji nyinyi, miaka 20 nyuma watu walikua wakitembelea ravafoo au skudo

  • @gracechalagwa9745
    @gracechalagwa9745 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee baba Magu ingilia hapo wewe na Msukuma mpo vizuri Mkurugenzi hafai.

  • @japhethgeriad4519
    @japhethgeriad4519 3 ปีที่แล้ว +2

    Mkurugenzi nimekuelewa vizuri sana.👏👏👏

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 3 ปีที่แล้ว +3

    Tatizo siyo kununua gari, tatizo ni thamani ya magari husika. Huyu mkurugenzi tutamuona mtaani siku si nyingi.

  • @mwandegeplaza6504
    @mwandegeplaza6504 3 ปีที่แล้ว +33

    Msukuma katika ubora wake

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 3 ปีที่แล้ว +1

      Ha ha ha...tumepata tabu sana kwenye uchaguzi wa 2020....ukweli unabaki pale pale hadi kaburini ( mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.....iko siku msukuma ulimi utateleza na kusema ...( tulishinda kwa .......)

    • @frankmare1708
      @frankmare1708 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ezekieljacob5795 sasa mbona haihusiani na uchaguzi hii

  • @bahatihitu8711
    @bahatihitu8711 3 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo manufaa ya wachache

  • @jumamakaja8802
    @jumamakaja8802 3 ปีที่แล้ว

    Mbona ata gari ya m 80 ingefaa tu. TATIZO tz ulimbukeni Sana lazima ujue chenye bei kubwa pia matumizi yake ni ghali kuanzia mafuta spea na matengenezo mkurugenzi unataka kufa na ofisi ya waziri mkuu kwa ubishoo wako.

  • @bahatiomwalo5477
    @bahatiomwalo5477 3 ปีที่แล้ว +3

    Mkulugenzi unazingua

  • @tammymhina5454
    @tammymhina5454 3 ปีที่แล้ว +1

    La nini gari hilo la pesa nyingi kiasi hicho mmeanzaee kula bata hayeni tunawasubiri 2025

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 3 ปีที่แล้ว +1

    Ana jauri kumbe . Atolewe kazini huyu

  • @chrisantgeorge3677
    @chrisantgeorge3677 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mkurugenz jinga sana

  • @Directorhernrypro
    @Directorhernrypro 3 ปีที่แล้ว

    Fact rudi mjini

  • @paulopaulo6577
    @paulopaulo6577 3 ปีที่แล้ว +1

    Chama cha upinzani haipo hpo

  • @godfreypeter8383
    @godfreypeter8383 3 ปีที่แล้ว +1

    Kibur Yann Sasa

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 3 ปีที่แล้ว

    Hik kinapenda sina sana
    Kwani kitengo cha manunuz ya serikali kina kazi gani?

  • @mr.gacshizo8008
    @mr.gacshizo8008 3 ปีที่แล้ว

    polepole alishasema ccm wote wanamav8 sasa watu munapanik nin.....#5tena

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 3 ปีที่แล้ว

    Yaan ungejua mkurugenzi umeniudhi dahhh yaan hesabu huna kazi... Ww ni msomi bure... Aise hata mtoto wa darasa za awali anakuzidi. Dahhh hii imeniuma!!!

  • @tabiafataki8917
    @tabiafataki8917 3 ปีที่แล้ว +2

    Wakati milion 400 wangepata gari nyingi angenunua kwa pesa yke sio izo
    Magu tumbua uyooo afai kbs

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery5798 3 ปีที่แล้ว +3

    MSOMI ANAZIDIWA POINT NA DARASA LA SABA NDO SHIDA HII, MTU BADALA YA KWENDA KUSOMA UJAZIE ULIPOPUNGUKIWA LAKINI KUMBE UNADIDIMIZA AKILI ZAKO.... BADALA UKOMALIE MASWALA NYETI UNANUNUA GARI LA MKURUGENZI, NDO MAANA MHE. RAIS UWA ANAWATUMBUA

    • @obadiamduda10
      @obadiamduda10 3 ปีที่แล้ว

      Fagio la chuma linakuja nyuma yako

  • @noelycharless3169
    @noelycharless3169 3 ปีที่แล้ว

    Kununua magali ya selikari sio tatizo ,tatizo liko hap umenunua gali la kutembelea wew kwa mshahala wako je mshala wako unaweza nunua gali la bei iyo kwa miez mingap au miaka mingap ww umenunua halaka ndan ya miezi sita hapo uchunguz lazm upita

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 ปีที่แล้ว +18

    Du hizo vx ni ghali sana. Nchi yetu bado ni changa tuangalie angalau Plado kama kenya

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 ปีที่แล้ว

      Kwani hata hyo Tx Prado mbona ni bei ghali piaa almost Milioni mia na zaidi na ya 2014 sasa ya mwaka huu wadhani pesa ngapii,lakini kwani msukuma yeye anatumia ya pesa ngapii?anatumia hyo hyo V8 na mpya kabsa maana kila baada ya miaka mitano wanapewa gari mpyaa, Bado mafuta anajaziwa ,kwahyo atulie tuu kikubwa mkurugenzi afnye kazi kwa nguvu zote.

    • @agentespionage419
      @agentespionage419 3 ปีที่แล้ว +1

      @@happyjohn5882 kwani uliambiwa wanapewa ilo V8 bure?wanachopewa bure ni mafuta,acha uvivu WA kufikiri jifunze kufuatilia mambo

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 ปีที่แล้ว

      @@agentespionage419 acha kukurupuka wewe soma sms yangu vizri na kuelewaa,wake up and smell the coffee au utbki kuwa akili rake thaaa,mimi sijajsikia vibaya na sitojisikia vibaya maana hata baba angu yupo serikalin na kapewa gari pia anatumia kwahyo sioni wivu wowote.

    • @happyjohn5882
      @happyjohn5882 3 ปีที่แล้ว

      @@agentespionage419 au wadhani mimi napgawa na V8 au Prado Tx tena ya serikali thaa nitakuwa mpuuzi mkubwa, na hayo magari yenyewe wanapewa free kwa matumiz ya serikali ndiyo maana hawa park nyumbani kwaoo,

    • @tibiliuslubida323
      @tibiliuslubida323 3 ปีที่แล้ว

      Ni kwelikabisa ni ghali saaana!!! VX-R

  • @philomenamakonge227
    @philomenamakonge227 3 ปีที่แล้ว

    Waje na tarime vijijini wajionee

  • @evansmurangiri9809
    @evansmurangiri9809 3 ปีที่แล้ว

    kazi imelwishaa

  • @awezaejohn4893
    @awezaejohn4893 3 ปีที่แล้ว

    Siku zote msukuma watakutukana lakin ukwel huwa unasema pga kaz msukuma

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 3 ปีที่แล้ว +2

    Duuuuu 400ml mkurugenzi kweli tutaenda kweli.

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 3 ปีที่แล้ว +22

    Huyu mkurugenzi ana kiburi sana

    • @jacobletema3681
      @jacobletema3681 3 ปีที่แล้ว

      Tena ni kiburi haswa huyu jamaa!!!! Yeye na wote walioidhinisha manunuzi hayo wote "mantanyanga"

    • @emmanuelnkya9409
      @emmanuelnkya9409 3 ปีที่แล้ว

      Kumekucha Kumekucha Kumekucha Kumekucha Kumekucha Kumekucha Kumekucha

    • @atikombogolo2356
      @atikombogolo2356 3 ปีที่แล้ว

      MKURUGENZI ANATOKEA WAPI HUYU!!?? MALIPO HAPAHAPA....WASHAMTUMIA SAIZI WANATAKA MMWAGA JAMANI CHAAA🤣🤣🤣 MITATU TENA

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว +3

    Wemkurugezi acha ujinga Gali la Nini?lagarama?watoto wanaferi?acha ujinga,yanini weee magali?huna sifa ya kuiendesha halimashauli.yaani haki ya mungu niujinga wakutosha .

    • @ashamwandu6572
      @ashamwandu6572 3 ปีที่แล้ว +1

      Baba wa ichi anajuwa atazitafutaje !!lakini mkurugenzi No ,Kufuja pesa za wanaichi inauma mno.kata kumi na tatu kweli!yaani hata kwa bodaboda unazizungukia tu.Rais anazunguka ichi nzima simchezo .huwezi mlinganisha na mkurugenzi . happy unaniangusha

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 3 ปีที่แล้ว +1

    Wee mkurungezi umezingua sana

  • @silasokode3728
    @silasokode3728 3 ปีที่แล้ว +1

    Kula Bata baba tupo kwenye uchumi wa kati shida iko wapi????

  • @abumasoud1996
    @abumasoud1996 3 ปีที่แล้ว +1

    namkubali msukuma mpaka mpaka uholanzi inamtizama

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 ปีที่แล้ว

    msukuma hongera sana kaka tuipende tanzanian yetu jpm oyeeeee