Tunachokishuhudia katika hoja hizo za bunge ni ushahidi kwamba bunge hilo halikuchaguliwa na wapiga kura, na halipo kwa niaba ya wapiga kura! Uchaguzi uliporwa! Mpina amesema kweli unaouma kwa wanaobwabwaja. Siku wananchi watapiga kura kwa haki, wachumia tumbo kama huyo Msukuma ataambulia kura yake na mkewe!
Tusipo kuwa makini kwenye nchi hii umimi(ubinafsi), Watu kukosa uzalendo, watukupenda rushwa, wawakilishi bungeni kutotenda kazi yao vizuri, watukuwa chawa na kujipendekeza bila kuwa na tija tutaliua taifa lenye utulivu tulilopewa na Mungu. Watu wengi tulipata changamoto kupitia sukari spika tumjibu mpina kwa hoja si masimango
Kama lingechaguliwa kihalali, wabunge hawa wa kughushi wasingekosoa Mpina kuwaambia wananchi alichokipinga kwa Bashe, kwani waamuzi ni wananchi walioshuhudia shida ya sukari chini ya uongozi mbovu wa Bashe. Wananchi tunamjua msema kweli na mlaghai. Subirini uchaguzi tutaamua kama Kariakoo walivyogomea ushuru wa kitapeli
Hakuna cha mbunge hapo tena mumeferi endelea kupiga makofi na mabambio watu tumetaifishwa mifingo hatuna wa kututea nyie mama mama mama wengi hatuna mama mjue msturasishe kutukumbusha mama
Aaaah seriously we as a nation have to make greater use ya hilo bunge not this...hayo mambo ni ya kuzungumzwa kwenye kamati ya maadili huko sio haya matatizo kwenye hii nchi ni mengi kuliko haya.
Msukuma wewe ndie mtuhumiwa namba moja ila hujapata watu wa kufuatulia vyanzo vyako vya utajiri wote ulionao na gari lako la mamia ya mamilioni ulilolipata mara tu baada ya ziars yenu wambunge Dubai usimsakame mbunge wa jimbo letu hujampigia kura wewe
Wewe fala kweli , Msukuma Tajiri Wa muda mrefu ana Mabasi , Migodi , Mijengo mi apartments, na kuhusu gari ni swala dogo sana kwake , anazo mpaka Defender New model Tena sio Moja mbili #fuatilia
Huyo muuza viatu utajir huo aliupata wapi unajuwa?Amshukur marehemu magu kumbeba akapata huo ubunge kuhusu kampuni ya mabasi hiv unayajuwa kweli hayo mabasi omba upande guta au toroli kuliko kupanda hiyo mikweche yaani ni mibovu harafu machafu mpaka siti zina kunguni huyo alikuwa mzur nyuma kwa sasa limekuwa chawa tu kujipendekeza @@solotap
Msukuma hafai..Bashe Ni mwizi.sasa hivi Tanzania Haina samaki nchi nzima.manyavu feki yanatumiwa anaona sawaa.mabwa na maziwa yamefungwa uliona wapi??? Msukuma anatetea ujinga hafai na yeye
Jikiteni kwenye tuhuma badala ya kutaka kuua hoja kijinga. Kwani alitoa ushahidi wa uongo au ukweli. Msitutoe kwenye hoja. Nashauri Mpina aende mahakamani
Huyu msukuma ndiye aliyeenda kule Dubai na DPW ikaja. Njaa kali sana
Bado haujasema , mpaka usemee ,🔥
Hiiii nchi Tamu sana ❤❤❤❤❤❤❤ Unasemwa huku hadharani
Hayo ndo tuliyo watuma mtuwakilishe bungeni
Kumbe msukuma nirikuwa nakuamin kumbe boya kweli kweli mnpina wachape wapgine spana
Msukuma mnafiki
Mpina hpo uko sana mungu atakusimamia mzee
Msukuma mpuuzi tu
Tunachokishuhudia katika hoja hizo za bunge ni ushahidi kwamba bunge hilo halikuchaguliwa na wapiga kura, na halipo kwa niaba ya wapiga kura! Uchaguzi uliporwa! Mpina amesema kweli unaouma kwa wanaobwabwaja. Siku wananchi watapiga kura kwa haki, wachumia tumbo kama huyo Msukuma ataambulia kura yake na mkewe!
Watanzania ndomjue hamna wabunge ila mnawachumia tumbo msema kweli amekuwa hafai Yani mungu ungefanya miujiza mikubwa ili wajitambue
Nilikuwa nakukubali mzee hayo mawazo yko umejoka kweli
Tusipo kuwa makini kwenye nchi hii umimi(ubinafsi), Watu kukosa uzalendo, watukupenda rushwa, wawakilishi bungeni kutotenda kazi yao vizuri, watukuwa chawa na kujipendekeza bila kuwa na tija tutaliua taifa lenye utulivu tulilopewa na Mungu. Watu wengi tulipata changamoto kupitia sukari spika tumjibu mpina kwa hoja si masimango
Kama lingechaguliwa kihalali, wabunge hawa wa kughushi wasingekosoa Mpina kuwaambia wananchi alichokipinga kwa Bashe, kwani waamuzi ni wananchi walioshuhudia shida ya sukari chini ya uongozi mbovu wa Bashe. Wananchi tunamjua msema kweli na mlaghai. Subirini uchaguzi tutaamua kama Kariakoo walivyogomea ushuru wa kitapeli
Wapiga deal wakali sana wakiguswa......mpina ataandamwa sana kwa sababu hiyo....angalia nani anamsema mpina ?.....Machawa na wapiga deal...
Hiii nchi uchawa ndomwing lakin munamupoteza mama wabunge mmeshidwa kutetea wananch munafanya upambe
Huyu Bashe hananiajema na kizazi chatanzania anarihusu mbengu zirizo kufa ukipanda naukivuna huwezipanda Tena zikaota sasambenguyetu ya asiri ikiisha watanzania siwatakuwa watumwa wambengu zachakura
Hakuna cha mbunge hapo tena mumeferi endelea kupiga makofi na mabambio watu tumetaifishwa mifingo hatuna wa kututea nyie mama mama mama wengi hatuna mama mjue msturasishe kutukumbusha mama
MSUKUMA NI MJINGAAAAAAAAAAAAAAA , TOA HOJA ACHA KUSIMANGA WATU
Achana na wivu wa vyeo msukuma jadilini maendeleo ya nchi sio majungu wala upambe.
Hii kweli ni darasa la Saba@an old man child. 😁😁😁
Wabunge wa ccm ni wanafiki sana, Mpina ni mtetezi wa wanyonge
Dah! Sijui ni lini nitampata mwakilishi wa kuniwakilisha vema 😢
Hii ndo shida ya kigezo Cha kujua kusoma na kuandika
Kivuli hufaata jua.
Huyu msukuma kashakua bepari mambo ya wajamaa hayana nafasi kwake tena
Wabunge wawe na maadili maana ni wawakililishi wetu
Teteeni wananchi wenu,achaneni na uchawa,mnaliharibu Taifa.
Leo umemgeuka hadi msukuma mwenzio .
Mpina Yuko sawa
Msukuma acha kujipendekeza sana
Aaaah seriously we as a nation have to make greater use ya hilo bunge not this...hayo mambo ni ya kuzungumzwa kwenye kamati ya maadili huko sio haya matatizo kwenye hii nchi ni mengi kuliko haya.
Msukuma Hana hoja!
Msukuma wewe ndie mtuhumiwa namba moja ila hujapata watu wa kufuatulia vyanzo vyako vya utajiri wote ulionao na gari lako la mamia ya mamilioni ulilolipata mara tu baada ya ziars yenu wambunge Dubai usimsakame mbunge wa jimbo letu hujampigia kura wewe
Wewe fala kweli , Msukuma Tajiri Wa muda mrefu ana Mabasi , Migodi , Mijengo mi apartments, na kuhusu gari ni swala dogo sana kwake , anazo mpaka Defender New model Tena sio Moja mbili #fuatilia
Huyo muuza viatu utajir huo aliupata wapi unajuwa?Amshukur marehemu magu kumbeba akapata huo ubunge kuhusu kampuni ya mabasi hiv unayajuwa kweli hayo mabasi omba upande guta au toroli kuliko kupanda hiyo mikweche yaani ni mibovu harafu machafu mpaka siti zina kunguni huyo alikuwa mzur nyuma kwa sasa limekuwa chawa tu kujipendekeza @@solotap
Moja ya wabunge wa kipuuzi ni msukuma
yan bunge la machawa saiv, huu ni upumbavu wa waziz wazi msukuma kama jinga
Safiiii msukuma
Aka kasukum kamejaa uchawa tu Muogope Mungu kam huogop watu nakwambia kama sio ww watoto wako watalipia ushauri tubu mapema
Hakuna mbunge hapa bali ni mfata upepo, wala hajitambui ula watu wanasema eti ni mbunge mahili
Hao wana bifu kali, jamaa ali'seize basi la Msukuma kisa limekutwa abiria ana samaki
Uchawa tu
Ndaza kweli ww
Muangalie msukuma asiludi anatukaanga
huyu mpina ni tahiya sijui katoka jimbo gani matahira kama haya yakina mpina yawe yanapimwa akili kwanza ndo yaingie bungeni
Ukweli mchungu
kweli kaka
Yani mpina kazi IPO baba
Msukuma hafai..Bashe Ni mwizi.sasa hivi Tanzania Haina samaki nchi nzima.manyavu feki yanatumiwa anaona sawaa.mabwa na maziwa yamefungwa uliona wapi??? Msukuma anatetea ujinga hafai na yeye
Hiweleki
msukuma nilisha kufta zaman sana mungu atashugulika nanyinyi
Unajiona wewe msafi sana kenge wewe ?
Msukuma kigeu geu😢😢😢😢
leo wambea wamelipwa mshiko mrefu kumchafua mpina wanaojali matumbo yao bila kujali mateso wanayopata watanganyika, wasikuvunje moyo mpina, wananchi tupo na wewe
Ningekuwa Mpina moja kwa moja ningewakomesha kwakuhama chama cha machawa
Aliyesababisha ikafika elf 10 ni nani?😮 Huna cha kusema nyamaza ..Ulimpima ukaona ana matatizo ya akiri?😮
Kweli kuna vichaa wengi duniani
afya ya akili tena 😂😂😂
Msukuma konyo sana
Sitaki ccm
Nduhushi huendani na ulicholopoka
Msukuma Upo Sahihi Sana Bashe ni mfano wa kuigwa
Unatombwa nyuma na baba yako mzazi, huyo Bashe Kama unamkubali anavyomtomba mama yako nyamaza tuachie Mpina
🤣🤣🤣🤣🤣
Msukuma atasoma comment za watu kaz maslahi mpin piga kaz mpina hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
Jikiteni kwenye tuhuma badala ya kutaka kuua hoja kijinga. Kwani alitoa ushahidi wa uongo au ukweli. Msitutoe kwenye hoja. Nashauri Mpina aende mahakamani
😂😅😅
Msukuma ni kibaraka sku izi
Aisee
Huyu Msukuma ni Mpumbavu Sana Sasa aende hotel ya esparabce akachukue CCTV camera Ili iwe nn yaan Mpina harusiwi kuongea na Watu nonsense kabisaa
Msukuma alihusika kwenye rushwa ya bandari, leo hii anasimama kumsimanga mpina
Juzi mlimchambua bashe na mkasema leo mnamsifia bashe
Sisi Watanganyika tunasimama na Mpina