WAZEE WA MATAMBIKO KUZUIWA NA KUPIGWA MLIMANI NDIYO CHANZO MAPOROMOKO?, TFS WAJIBU “HATUJAWAZUIA”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 276

  • @tabutabu8900
    @tabutabu8900 6 หลายเดือนก่อน +10

    Subhana llah,mawe makubwa hivyo eee mungu tuepushe na majanga makubwa na madogo 🤲🤲🤲🤲🇹🇿🇹🇿

  • @amabilis-mariesangu9500
    @amabilis-mariesangu9500 6 หลายเดือนก่อน +44

    Dunia hii imegawanyika kati ya wakoloni wazungu na waarabu! Mwafrika hana chake! Kama ni kweli ni jambo la kusikitisha maana nchi hii kila mtu ana imani yake wananchi kikatiba wanaouhuru wa ibada zao...wote sisi ni wa Mungu na Tunasikilizwa kama ilivyo wahindi na dini zao! Ila wakoloni walituhakikishia kila lilo la mwafrika ni la kishenzi...Mungu Anusuru ndugu zetu wa Hannang

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 6 หลายเดือนก่อน +2

      Umeona ndugu, yaani miaka 50 inayokuja hakutokuwa kabisa na utambulisho wowote wa mwafrika

    • @amabilis-mariesangu9500
      @amabilis-mariesangu9500 6 หลายเดือนก่อน

      @@ladislausngoyinde4384 naami naliona

    • @wilsonmsenga6447
      @wilsonmsenga6447 6 หลายเดือนก่อน

      Well said

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 6 หลายเดือนก่อน

      Duh bro umeandika vyema kabisa

    • @glorydaniel8624
      @glorydaniel8624 6 หลายเดือนก่อน

      Ukweli kabisa duhhh

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 6 หลายเดือนก่อน +6

    Kutambika ni Ibaada za kumshirikisha Allah. Waeendelee tu naizo Ibadah za kishirikina Adhabu kali zidi yao itaendelea kuja. Najua ni wagumu kuelewa. Ila ndiyo inabakia ule msemo kwamba mwanadamu Ana angamia kwa kukosa maarifa.

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 6 หลายเดือนก่อน +5

    [Surah At-Taghābun: 11]
    Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu huuongoa moyo wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 6 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani Mila ziacheni ni ukwel dini mmeletew na wazungu hoo mungu yupo nyie mungu mmemuona lin jmn Africa tuendleze Mila zetu

  • @Asiamohammed1317
    @Asiamohammed1317 6 หลายเดือนก่อน +34

    Africa, Africa yangu lini tutaamka tuna lakini matambiko ni kawaida sana hata hao walolete hizi dini wanamatambiko na siku zao maalumu, why hapana kwetu, ni muda wa kuamka 😭😭😭

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 6 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani watu wasizuiwe kutambika kila mtu na njia yake ya kuambudu, Mungu ni yule yule wote tunainamisha vichwa chini.

  • @user-sr6tr7ko7w
    @user-sr6tr7ko7w 6 หลายเดือนก่อน +24

    Huenda no kweli maana mvua gani hiyo ya kupolomosha majabali na magogo? Maana tanapa wa nchi hii wanaonea Sana, sasa hii ni rasharasha mkiendelea kuwazuia patakuja kufutika kabisa tuone mtaifazi wapi, askali hawa huwa ni wahovyo Sana.

    • @Hamy1109
      @Hamy1109 6 หลายเดือนก่อน +3

      Kwahiyo wewe unaamini mizimu 😂

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@Hamy1109kila mmoja ana imani yake. Tuwache kuhukmu watu kwa mambo ya imani zao na dini zao.

    • @user-ps7ej3ep4e
      @user-ps7ej3ep4e 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ww hujawahi kuona au kuskia mvua kama hizi tuache Iman za kishirikina

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy 6 หลายเดือนก่อน +3

      [Surah At-Taghābun: 11]
      Haufiki msiba wowote ila kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Na mwenye kumuamini Mwenyezi Mungu huuongoa moyo wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

    • @khamismtoma4902
      @khamismtoma4902 6 หลายเดือนก่อน +1

      No kweli Mila zipo na Kama walizuiwa basi tanapa awakujua tambiko Zina nguvu gan mungu atuponye Kwan hata kutambika pia mungu anashilikishwa coz ndiye mkuu wa kila kitu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 หลายเดือนก่อน +3

    Bado loliondo mpaka waarabu wakimbie

  • @user-fg4fv3tx2p
    @user-fg4fv3tx2p 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kwanza poleni sana wale wote waliofikwa na msiba pili Kuna watu mpaka sasa wanaamini kwamba hata ukiabudia mizimu mungu ni mmoja hapana Hakuna Mungu mzimu Mwenyezi mungu Hana Mshirika na yeye ndiye wa kuabudiwa tu.

    • @ErnestNgaida-gd5ls
      @ErnestNgaida-gd5ls 6 หลายเดือนก่อน

      Tatizo hujielewi wewe ivi we unaakili timamu na ni mtu mzm kama huelwe mbele Wala nyuma usicomment comment ovyo Kila mtu ananjia yake ya kufiku
      Isha ombi lake kwa Mungu cyo kwamba wanafanya tu ivyo kwa mazoea hapana Hawa wanajua afu pia kumbuka cc tulikuwa na dini zetu kabla ya hizi za wazungu Yani wewe ni Sawa na mtu ambae huelewi na hutaki kujua unatoka wapi afu unadharau watu

  • @loserianlaizer
    @loserianlaizer 6 หลายเดือนก่อน

    Poleni watanzania wenzangu Hanang

  • @maryamtan682
    @maryamtan682 6 หลายเดือนก่อน +12

    Mengi tutayasikia Sana. Ila mungu yupo.

  • @VictorLyimo-so9xr
    @VictorLyimo-so9xr 6 หลายเดือนก่อน +1

    Acha kujitetea huo Mzee kaongea ukweli mmeigarimu serikali Kwa njaa

  • @temuramadhani5134
    @temuramadhani5134 6 หลายเดือนก่อน +4

    Awezi kusema kweri wakati Mambo yashatokea

  • @JosephDhahabu
    @JosephDhahabu 6 หลายเดือนก่อน +5

    Hakuna cha mila wala nini hiyo ni mvua na watu wajue Mungu yupo tuache maovu Tumrudie Mungu saa tusiyodhani tutaondoka dunia jiandae

    • @mosesmaiga7408
      @mosesmaiga7408 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ndo nyie watumwa wenyewe

    • @EngLex-vo7te
      @EngLex-vo7te 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ata kupiga watu ni maovu, kuzuia mwingine kufanya ibada ni maovu pia. Kwani unadhani ao wazee wanaendaga uko kumuomba nani Mungu au? Unaweza ukawasema wazee wamepotea kumbe wewe ndio umepotea kabisa

    • @shabaniirunde3360
      @shabaniirunde3360 6 หลายเดือนก่อน +1

      Washamba wakubwa nyie na wazungu wenu mtatetea ad ushoga

    • @sciencesocietyoftanzania5957
      @sciencesocietyoftanzania5957 6 หลายเดือนก่อน

      Lini mtaelimika muheshimu mila zakiafrica ? Mmekalisa mila zakiarabu na kizungu. Hazina mashiko hapo ni Manyara sio uarabuni/ulayq

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 6 หลายเดือนก่อน +1

    HAYO MATAMBIKO YENU NDO YAMEMUUZI MUNGU , NDO MAANA AMEAMUWA KUWAONYESHA YEYE NDO MWENYE KILA KITU MPAKA MILIMA.

  • @beatricebernardmosha702
    @beatricebernardmosha702 6 หลายเดือนก่อน +1

    Watu hawajuwi tuu ila mizimu inanguvu sana kuliko wananavyo dhani inabidi waombe hao wazee msamaha waka tambike kwajili yakuomba msamaha nawasirudietena mana😂ndo mila na destuli zetu wafrica hizi dini siyo zetu zililetwa ili zitu gawanye waweze kutu tawala lakini imani na dini zetu ni matambiko mkubali mkatae wachaga oye😊

  • @SamiraameirSamira-qt9yn
    @SamiraameirSamira-qt9yn 6 หลายเดือนก่อน +1

    Innalillah wanna ilah rajiun

  • @mwaramimwarami1479
    @mwaramimwarami1479 6 หลายเดือนก่อน +10

    Kama ni hivyo basi ni shirki,M'mungu ni mmoja Tu asiye na mshirika,tuacheni ushirikina

    • @shabaniirunde3360
      @shabaniirunde3360 6 หลายเดือนก่อน +4

      Shiriki ndo nini acha ushamba heshimuni mila za watu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@shabaniirunde3360Mila za kipumbavu kabisa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 6 หลายเดือนก่อน +2

      Wengine wanasafiri hadi middle East kufanya ibada, hizi dini za kigeni tunaziheshimu.. wakati mila za wazee wetu tunaita jina baya eti 'shirki'...

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 6 หลายเดือนก่อน

      @@josephlorri431 kwahiyo na wewe ni mchawi

    • @calabash4221
      @calabash4221 6 หลายเดือนก่อน +2

      ​​@@martinisadru9899huo sio uchawi....hizo ni mila na desturi zao...walikuwa wanafanya hayo kabla ya wageni kuja...

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ushirikina too Allah awaongoze muijue njia ya kweli

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 6 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni ushirikina nyinyi Yaani mnaamini eti mizimu ndo imechukia ndo balaa la mafuriko likashuka kwa Nini tusiamini hii ni adhabu ya mungu kutukumbusha kutubia kwake na kuacha maasi

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 6 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisaa

    • @siashayo6466
      @siashayo6466 6 หลายเดือนก่อน

      Na kweli watu wamgeukie Mungu jmn

  • @abdallahdullah8642
    @abdallahdullah8642 6 หลายเดือนก่อน +2

    Matambiko ndonn Mungu tu na uwezo wake hufanya apendalo bila kujal matokeo yke.

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu pekee ndio anastahili kuabudiwa hakuna mkuu kama Mungu hata hiyo mizimu sio Mungu aliyeumba hiyo milima ndio anastahili kuabudiwa Sasa mgeukieni Mungu maana anachukia matambiko

    • @user-md3xx7rd9z
      @user-md3xx7rd9z 6 หลายเดือนก่อน

      Nyamaza fara wew hujui kitu mbumbumbu mfia dini

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ukimpenda Mungu hawezi kukutendea jema mmeamini miungu mkashindwa kuitumikia ikawapa hasira mrudieni Mungu muonealivyo mwema tokeni kwenye giza mkae kwenye nuru mpate kuona.

    • @bennie7239
      @bennie7239 6 หลายเดือนก่อน

      Giza ni ipi kati yako na wao!!? Ushawahi kujiuliza vipi kama unachoamini ww si sahihi!!!!?

  • @user-mo4gu3uc8m
    @user-mo4gu3uc8m 6 หลายเดือนก่อน

    Nawasihii nakuhisii nafsi yangu tupende kusali nakusoma neno la MUNGU hiyo ndiyo dawa ukiamini utashinda....Aamiin

  • @user-bh5xp5dj1d
    @user-bh5xp5dj1d 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mzeee kama huyoo kwa umli wakee atasemaa uongoo tangu linii au tanapa wanakwepaa msalaaa

  • @mosesmaiga7408
    @mosesmaiga7408 6 หลายเดือนก่อน +3

    Uzungu umeleta matatizo kwenye jamii

  • @luganosimon7471
    @luganosimon7471 6 หลายเดือนก่อน +6

    Hiyo ni natural calamity...inaitwa mudflow mnaweza Google.... catastrophic nikama volcano

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 6 หลายเดือนก่อน +1

      Andika tu kwa kiswahuli kaka..

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 6 หลายเดือนก่อน

      CATASTROPHIC NATURAL CALAMITY

    • @alexchamy2289
      @alexchamy2289 6 หลายเดือนก่อน +2

      Sawa msomi, kwa hiyo unataka kusema ikiwa natural calamity haiwezi kusababishwa na supernatural power? Regardless ni tukio la kueleweka na la kuelezeka kifizikia Bado linaweza likawa limetokana na jambo lisiloeleweka au kuelezeka kifizikia.

    • @joshuakitunzi9500
      @joshuakitunzi9500 6 หลายเดือนก่อน

      Ok thanks but what about super natural power?

    • @marysdiosa8764
      @marysdiosa8764 6 หลายเดือนก่อน

      Huna unalojua kakambe na ujinga wako wa kukaririshwa na matahira wenzio wazungu

  • @kibomatambwetv612
    @kibomatambwetv612 6 หลายเดือนก่อน

    Noma sana

  • @neema_mollel
    @neema_mollel 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mila zipo heshimuni mila

  • @richardsaston3285
    @richardsaston3285 6 หลายเดือนก่อน

    Sio kweli

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 6 หลายเดือนก่อน

    Tumuombe Mungu

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 6 หลายเดือนก่อน +1

    JAMANI makam wa Rais Yuko wapi mbona haonekani msibani. Jambo jigine inakuwaje. Rais Samia alienda Dubai na watu 750 watu wote hao wani huko pesa imekuwa ngum mnoo hiyo bajeti Nani anailipa

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sisi walalahoi kwa Kodi zetu

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hao wazungu wamewaharbu viongoz wwtu matambiko yako miaka na miaka jamani jaman rip magufuli

  • @PaulNgarefency
    @PaulNgarefency 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani wawazuilie kufanya yao ?

  • @mfalmekeffah5049
    @mfalmekeffah5049 6 หลายเดือนก่อน +13

    TANAPA wanakataa tena kwamba hawajapiga mtu😢😢😢
    Hiii nchi hii kuna watu ni matatzo😢

    • @soccer-bd9vj
      @soccer-bd9vj 6 หลายเดือนก่อน

      Sio TANAPA ni TFS

    • @daruweshmustafa7717
      @daruweshmustafa7717 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nilitembelea mapango ya Amboni Tanga mwaka 2022, nikakuta wametengewa sehemu ya kufanya matambiko na niliwakuta watu wamekwenda kufanya matambiko.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 6 หลายเดือนก่อน +1

    Matambiko ni muhimu sn tusidharau jaman

  • @gamalielialoni5538
    @gamalielialoni5538 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nd zao

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 6 หลายเดือนก่อน

    Aya sasa

  • @PeterKivuyo-yi7yf
    @PeterKivuyo-yi7yf 6 หลายเดือนก่อน

    Matambiko ni ushamba kwenda kuabudu miti ni ushamba tanapa wangewapiga ata risasi ni sawa tu akuna Ibadan ya matambiko yenye nguvu Zaidi ya Mungu

  • @BenjaminMalando
    @BenjaminMalando 6 หลายเดือนก่อน +6

    Asili iheshimiwe Huenda kweli ikawa ni chanzo cha haya yote tusipindishe kutetea hoja...!

    • @siashayo6466
      @siashayo6466 6 หลายเดือนก่อน

      Hapana weee unafikiri kwa sababu gani kanisa limesalie pekee hii ni ishara watu wamrudie muumba na wala si kuabudu vitu

    • @peterpaschal4522
      @peterpaschal4522 6 หลายเดือนก่อน

      Hi ndyo chanzo cha tatizo Hawa wazee wakikasirika huwa mvua inanyesha hata Kama ni kiangazi.

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 หลายเดือนก่อน

    Bunge liliwaumbua kwenye tokomeza majangili wanabanikaga watu kama kuku hao

  • @josephmwakilasa4435
    @josephmwakilasa4435 6 หลายเดือนก่อน

    Daaaaa hawa watu hajawi kusem ukwel jeshi la police na jwtz hao ndo watenda haki kwa watanzania lkn tanapa wanaona wao ndo wao kila Kona Ni kuharibu tu.

  • @samwelypeter9496
    @samwelypeter9496 6 หลายเดือนก่อน

    Haiwezi kuwa matambiko na tena mkiendelea kuropoka mtakuja kusema na ukwel

  • @spabiton7989
    @spabiton7989 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe no mpumbu Kila kitu una kataa wakati huna uelewa

  • @PauloGidamarocha-yp7bh
    @PauloGidamarocha-yp7bh 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli wamepigwa

  • @edwardmagunga9320
    @edwardmagunga9320 6 หลายเดือนก่อน

    Wamemchokoza Bea

  • @damianokuderi4726
    @damianokuderi4726 6 หลายเดือนก่อน

    Anakataa2

  • @christinamhendigirangay8439
    @christinamhendigirangay8439 6 หลายเดือนก่อน

    Huo ni ukweli Usiopingika

  • @user-po9yx5mu2b
    @user-po9yx5mu2b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Waache ujinga kwan mvua wanazichukuliaje

  • @PaulNgarefency
    @PaulNgarefency 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hawawezi kukubali kwasababu maafa yameshayokea wanakwepa isionekane kwmba wao ndo chanzo😠😠🤯🤯

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 6 หลายเดือนก่อน

    Kwhyo huyo mzee nimwongo tanapa hmjawapiga

  • @marconzilankoma7581
    @marconzilankoma7581 6 หลายเดือนก่อน

    Mnawapiga tenaa hilo ndo lilipo anzia tatizo

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 6 หลายเดือนก่อน

    Bado hujasema

  • @georginamshani
    @georginamshani 6 หลายเดือนก่อน

    ,Hapana jjaribuni kusoma Geograph, ilo sio tambiko nimambo ya elimu tu, nchi zingine haziruhusu kujenga milimani, Tanzania ina milima mingi

  • @HusnaSimbila
    @HusnaSimbila 6 หลายเดือนก่อน +3

    Me naweza kuamin kabisa imani izi zipo na matambiko yapo

    • @deviselisaria5488
      @deviselisaria5488 6 หลายเดือนก่อน

      Yapo ila mungu hataki huo uchafu ndo maana ameamua kuacha kanisa awaoneshe yu hai

  • @user-lt2wb6hb9h
    @user-lt2wb6hb9h 6 หลายเดือนก่อน

    We unayesema uzungu umeleta matatizo, we mweu, wazungu ndo wameleta mvua haha isia za kidini mshamba were,

  • @mwitagabriel7200
    @mwitagabriel7200 6 หลายเดือนก่อน

    Tanapa ni wabaya kwani ni uongo

  • @AshrafuJonny-sz4gs
    @AshrafuJonny-sz4gs 5 หลายเดือนก่อน

    Nabado seem zote zilizo polwa nahawa wanao jiita tanapa Zita geuzwa vifusi

  • @abuuyasir4684
    @abuuyasir4684 6 หลายเดือนก่อน

    Muna haki mwenyezi mungu hapendi ushirikina ona sasa kilichowapata

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli mliwapiga bhana

  • @juliasmihwela1326
    @juliasmihwela1326 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa huyo kiongozi watanapa anavyosema hakunamtu aliye pigwa wala kuzuiwa kwahiyo huyo mzee nikichaa hadi aongee hivyohivyo?

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 6 หลายเดือนก่อน

    Heading mbovu kabisa huyo Officer mbna kasema ukweli Not good kabisa hayo mloandika. Mjipange tena

  • @user-nn3dq6or9g
    @user-nn3dq6or9g 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mnazuia nini wacheni na matambiko yao matokeo yake ndio ayo sasa wanakataa ina maana bado anasema uongo hii serikali ni kweli mmewapiga

  • @danielmwijage3045
    @danielmwijage3045 6 หลายเดือนก่อน +3

    Matambiko ni Moja ya ibada kwetu hasa Waafrica. Wale walituletea dini zao za hajabu.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 หลายเดือนก่อน

    mitambiko hoyeee 😂

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 6 หลายเดือนก่อน

    Ardhi ni mali ya serikali km kuna kundi fulani bado linaamini mizimu basi wanunue kipande cha ardhi wafanyie mambo yao kila mtu amepewa akili kikubwa maarifa na Imani hapo hakuna lolotee la kulaumu tanapa wao wapo kutimiza majukumu ya kazi zao Allah Aqbar

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 6 หลายเดือนก่อน +5

    Watu wanajidai Mila hawazitaki wanataka uzungu tu

  • @user-us3vo1do7b
    @user-us3vo1do7b 6 หลายเดือนก่อน

    Wapo wazunga wachawi na washirikina kadharika na waafrica, Tatizo hapa ni kutokumjuwa Mungu wa mbinguni, Ushirikina ni kujaribu kupapasa kutafa msaada, Wakati wa Elia walifanya hivyo pia, Bahati mbaya Mungu wao baali hakutokea kuwajibu, Mungu wa Elia alishusha moto ukairamba dhabihu, Mungu ea Elia yupo hata leo na anajibu, Tatizo ni ugumu wa mioyo yenu.

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 6 หลายเดือนก่อน

      Hizi maneno ukimweleza mtu ambae moyo wake umekamatwa na mizimu ni ngumu kuelewa!
      Basi na kama baali ni Mungu na ajitetee kama hawezi jitetea sio, ndo mana Mungu wa Elia alishuka na moto na ikafahamika yeye ndie Mungu!
      Hizi ni falme kama walienda tambika na wanapigwa basi huyo mungu wao angewatetea na kuwashughulikia Tanapa!
      Yesu yu hai anaishi hata sasa, tugeuke kwake !
      Naye anao wivu hapendi kuchanganywa

  • @zainabukombo411
    @zainabukombo411 6 หลายเดือนก่อน

    Waacheni wazee wafanye Mila jmn

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 6 หลายเดือนก่อน

    Mvua imenyesha nchi nzima uko hanang imenyesha siku nzima ni mvua kubwa sana so tuache upumbavu

  • @Galloping_Tv
    @Galloping_Tv 6 หลายเดือนก่อน

    Awezi kubali, hata mara moja, lakini mzee mtu mzima anaongea na jamaa yeye anasema hakuna.
    Wakae na wazee waonge nao, matambiko Africa ni real ukidharau huwa kuna jambo linakukuta.
    Sisi wa mjini wala atuwezj kuelewa ila ukisikiliza kwa makini anachoongea mzee wa miaka mingi na jamaa unaona wazi kuna kitu akikuwa sawa.
    Tuwaache wafanye matambiko yao, kila mmoja ananjia yake ya kumwabudu mungu

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 6 หลายเดือนก่อน +9

    Mumekucha kumekucha ! Jamani acheni maswali na kutafuta visivyo na maana Mungu pekee ndio anajua tuendelee kuwaombea wahanga waweze kurudi katika Hali ya kawaida na kuwaombea ndugu zetu walio lala Kwa ajali hiyo hayo mengine tumuachie Mungu ! Na tuendelee kuomba

    • @pillykinabo8722
      @pillykinabo8722 6 หลายเดือนก่อน

      Amen

    • @eyezarc1239
      @eyezarc1239 6 หลายเดือนก่อน +6

      Kila jamii ina imani yake, ww endelea kuamini unachiamini.., tembea ujue, Mungu sio wa waarabu na wazungu tu..wake up

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@eyezarc1239we mungu wako ni kabila gani?

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@martinisadru9899acha utumwa wa akili

    • @jestonelazaro6543
      @jestonelazaro6543 6 หลายเดือนก่อน

      Mm nilishaona mtu akizuia mvua kigoma kbsa

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 6 หลายเดือนก่อน

    Kamishna Ni msee kwaiyo uyo Babu nimuongo 😂

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana235 6 หลายเดือนก่อน

    Si kweri

  • @hawaomary96
    @hawaomary96 6 หลายเดือนก่อน +3

    Duuh imani ni kitu cha ajabu sana,,usijaribu kuingilia iman za watu😮

  • @Filamumaridhawa
    @Filamumaridhawa 6 หลายเดือนก่อน

    Uwongo wote mumepewa mtihani mujue kua Mungu yupo na muti yapo

  • @user-wn1vu2le3q
    @user-wn1vu2le3q 6 หลายเดือนก่อน

    Siyo Mila coz mwaka Jana pia ilitokea malawi

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 6 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤❤wamyumainie Mungu Alie hai Mungu mwenyewe Baba Mungu mwana YESU krisito na roho mtakatifu kwisha

    • @manchalijob9600
      @manchalijob9600 6 หลายเดือนก่อน

      Yesu ni ujinga na upumbavu

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wanasema mliwazuia nyie mnasema hamkuwazuia. Kwaiyo hao wazee ni vichaa. Au kwakua raia hawana pa kusemea. Hii nchi ngumu?

  • @user-mz7qw9ij1i
    @user-mz7qw9ij1i 6 หลายเดือนก่อน

    Mzee kama huyo hawez kusema uongo lazima Kuna ukweli maana hata kwenye suala la uokoaji wanajeshi unakuta atashika jembe kama kiongozi amekuja lakini mara nyingi wamekuwa wanasimamia wananchi ndiyo wafukue tope na kuwa amrisha bila kujali kuwa wengine ni wanamajozi na maumivu

  • @khadijahamisi5561
    @khadijahamisi5561 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie tanapa kumamae zenu mufukuzwe kwan uyo anaeongea chiz angalien vifo mngekufa nyie tu

  • @charleskisuma4116
    @charleskisuma4116 6 หลายเดือนก่อน

    Dini 2meletewa2 watu wafanye wanachokiamin

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 6 หลายเดือนก่อน

    Silayo acha Uwongo huyo babu hawezi kusema uwongo

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 6 หลายเดือนก่อน

    Utawazuaji watu wasifanye matambiko

  • @salimamani6672
    @salimamani6672 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mnaami nguvu za shetani kuliko nguvu ya Mungu

    • @alexchamy2289
      @alexchamy2289 6 หลายเดือนก่อน

      Hakuna nguvu za shetani, nguvu zote ni za Mungu

    • @peterpaschal4522
      @peterpaschal4522 6 หลายเดือนก่อน

      Hata hao wano amini matambiko Wana mwamini Mungu ,je hiyo dini yako unatumia lugha ya nani ,jiulize kwa lugha yako Mungu Hana jina?acha watu wapambane na. Mila zao

  • @user-zh5tp2yq6f
    @user-zh5tp2yq6f 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo huyo mzee muongo au mnamaanisha nin?

  • @georgemollel9422
    @georgemollel9422 6 หลายเดือนก่อน

    Wazee wanagonga kwenye mshono
    Kwani Afrika tunadharau mila zetu

  • @allykassim1120
    @allykassim1120 6 หลายเดือนก่อน +1

    wewe Mzee wa tanapa vijana wako wa hovyo sana hujui tu fuatilia utajua wanapiga raia hao Hadi wazee wa Mila mmepiga haya ss

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 6 หลายเดือนก่อน

    Ushirikina tu

  • @RehemaMgongwe-di3yf
    @RehemaMgongwe-di3yf 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani tusidharau Mila kunakipind yanawezekana hayo na pengine ni kweli

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq 6 หลายเดือนก่อน

    Mtakubali sasampaka yawakute m mepiga watu

  • @linuxturtorials9591
    @linuxturtorials9591 6 หลายเดือนก่อน +1

    Allah ndio kaamua jambo hili

    • @marysdiosa8764
      @marysdiosa8764 6 หลายเดือนก่อน

      Allah alikuja na waarabu kakuta matambiko ya kiafrika yanaendelea, Tunamjua Mungu pekee na sio Allah

    • @linuxturtorials9591
      @linuxturtorials9591 6 หลายเดือนก่อน

      @@marysdiosa8764 Allah hakuja na mtu yoyote Allah ndio muumba wa kila kitu

  • @shabaniathumani1789
    @shabaniathumani1789 6 หลายเดือนก่อน

    Kamanda unaongea uwongo kwasababu lishatokea

  • @janemwenda-ec2oh
    @janemwenda-ec2oh 6 หลายเดือนก่อน

    Matambiko sio ibada Za Mungu wa kweli Mungu anataka aabudiwe yy peke yake na sio Milimani hizo n Imani Ila pia watu wanatakiwa watafute TENGWA TV alitabiri hayo yote

    • @sebamabee5228
      @sebamabee5228 6 หลายเดือนก่อน

      Kwann Bwana Yesu kabla ya kuanza mateso yake alipanda juu ya Mlima na kati wanafunzi 12 aliwachukua wa3 na hao pia aliwaaga anaenda kusali akawaacha!! Na je kwanini hakwenda kusali katika masinagogi ili miujiza iliyotekea pale Mlimani itokee mbele ya watu wengi???

  • @johnjilala415
    @johnjilala415 6 หลายเดือนก่อน +3

    tatizo tumeacha asili yetu na kufata ya kuletewa kila mtu anamila zake sasa ukikubali mila ya mwenzako basi wewe ni mtumwa wa kimila ..

    • @truthmediatz861
      @truthmediatz861 6 หลายเดือนก่อน

      Ujengewe sanamu pale airport

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 6 หลายเดือนก่อน

      Umeongea point kubwa sana ambayo mtu wa kawaida aliekaririshwa mila za kizungu na ikamkaa akilini mwake sio rahisi akuelewe bali atabaki kusema umepotea. Hata Hayati baba wa Taifa hakuwahi kudharau mila hata siku moja aliheshimu sana mila.
      Haya mambo tusiyadharau ndugu zangu hakuna watu wanajali mila zao kama wazungu sisi Waafrika tumeziacha tunazihaki kila siku tunaita mambo ya kishenzi yamepitwa na wakati, oh sijui nini lakini hivi vitu vipo na vitatuumiza. Mi nashauri Serikali hizi maliasili zetu ni muhimu sana kuzihifadhi, kuzilinda ili ziendelee kuwepo kwa ajili ya vizazi vijavyo.
      Lakini pamoja na kuhifadhi tukumbuke kuwa ziko katika maeneo ya jamii na hizo jamii zina mila Zao kuna muda hutumia baadhi ya Maeneo yalioko ndani ya hifadhi kufanya shughuli zao za matambiko, ni vizuri Wahifadhi wakaweka utaratibu maalum wa kuwaruhusu jamii kuingia na kufanya shughuli zao za kimatambiko pale wanapohitaji kufanya hivyo ilimradi tu waathiri wala kuharibu Maeneo.
      Mbona watu tumesoma vyuoni na huo utaratibu sheria za kuomba kibali cha kuingia zipo jamani au tukishaajiriwa tunasahau kuoa elimu kwa jamii husika na Kuwapa watu utaratibu wa kuingia kwenye maeneo ya hifadhi, haya ndo madhara yake.
      Tena watu wa Tfs jamani ma Afisa misitu wenzangu tumesahau maswala ya Participatory management, Community based Forest management (CBFM) nk. Taratibu za kuingia maeneo ya hifadhi zipo tusijifanye wababe bila kuhusisha jamii kwenye uhifadhi, hakuna kitakachowezekana maana muda mwingine wao ndo walinzi wa kutoa taarifa za uharifu na uharibifu wa hifadhi. Kwa sababu wanakuwa wanaona faida ya hiyo hifadhi, ikiwemo kwenda kufanya shughuli zao za kijamii kama hizo za matambiko, nk.

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 6 หลายเดือนก่อน

    Shetani amepata mwana Sasa wan kupenyeza miungu yake....ole wenu Mungu aliye hai aliye juu ya miungu hotel awape jibu lingine!

  • @elizabethkisogole34
    @elizabethkisogole34 6 หลายเดือนก่อน +1

    SASA HAPA NDIO NIMEELEWA KWANINI KANISA LIMESALIA HALIKUPATWA NA MADHARA YOYOTE!!!!

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 6 หลายเดือนก่อน +1

    Fanye yote hila matambiko huwa muhimu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 6 หลายเดือนก่อน

      Pinina watu hawana uelewa,mpeni MUNGU yalioyake na kaisari mpeni yake

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 6 หลายเดือนก่อน

    Ninyi wanadamu chanzo cha hayo ni matambiko na makafara. Makafara mabaya . 27/11/2023 ndiyo maono ya wazi yalionekana jioni saa 11 makafara yao yamekua chukizo kwa MUNGU MKUU ALIYE HAI MILELE YOTE. MTASEMA MENGI LAKINI ILO ILO. ASANTE.