KAMA MKEO HAIJUI SIRI HII HUNA MKE | SHEIKH IZUDIN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 95

  • @khalidalmaawali3019
    @khalidalmaawali3019 3 หลายเดือนก่อน +5

    Allah atujaalie tuwe miongon mwawake wema❤

  • @zainabkhamissaid
    @zainabkhamissaid หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Allah atufanyie wepesi tuwe na mwongozo wa dinj

  • @IzudinAlwyDin
    @IzudinAlwyDin 4 หลายเดือนก่อน +84

    Ndugu ADIL TV mm sipendelei video zangu mukieka mueke na picha ya mwanamke na nishawahi kuwakataza jambo kama hili . mujue mm siridhii kwa haaya munao fanya kwa kueka picha yangu na na pivha ya mwanamke .

    • @nouraalharthy5509
      @nouraalharthy5509 4 หลายเดือนก่อน +2

      Haipendezi hasa kiukweli

    • @user-ru4ix4tc4u
      @user-ru4ix4tc4u 4 หลายเดือนก่อน +5

      ❤ Mashallah m/mungu akuongoze ww nass kwaujumla❤

    • @halimamfaume1925
      @halimamfaume1925 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli sio vizuri sijui wanaweka picha ya mwanamke kwa sababu gani?

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 4 หลายเดือนก่อน +2

      Akuna haja ya picha ya mwanamke naaam

    • @aminaali792
      @aminaali792 4 หลายเดือนก่อน +1

      Na kwanini munawwka video za Sheikh bila Ridhaa yake ? Haifai kama kweli munaweka hizi video kwa Ajili ya ALLAH musiwe munafanya uhalifumunajichumia dhambi😡

  • @user-ns8gl7hd5t
    @user-ns8gl7hd5t 4 หลายเดือนก่อน +3

    Maashallah Allah barik inshaallah

  • @rukiaabdi9226
    @rukiaabdi9226 4 หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah tabarakallah.

  • @user-te7xl4ln6u
    @user-te7xl4ln6u 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jazzaqah llah kher baadal kher janatul naim

  • @Nagmah-gf4lp
    @Nagmah-gf4lp 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah sheikh nasoma mengi kupitia kwako umri taweel ❤yarabbi utuelimishe zaidi,kazi za saudia mawaidha twapata kwa simu zetu tu tena ujime usingizi lakini nikikosa kulala nikisikiza wewe hupata faraja

  • @habibisimba5081
    @habibisimba5081 4 หลายเดือนก่อน +6

    Masha'Allah

  • @AminaOmary-vp8gq
    @AminaOmary-vp8gq หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Allah akujalie afya njema

  • @alihawaii420
    @alihawaii420 4 หลายเดือนก่อน +3

    My fav❤ sheikh n izudin

  • @user-pv5xn6vc1w
    @user-pv5xn6vc1w 4 หลายเดือนก่อน +5

    MashaAllah, Allah akuwezeshe hapo na kwenginenpo nasi tufaidide InshaAllah 🤲

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw 2 หลายเดือนก่อน

    Ammina inshaallah kheri yaarabbi🤲🏼🤲🏼

  • @fatmasaleh1549
    @fatmasaleh1549 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaklah sheh

  • @user-zr3ks5lq1v
    @user-zr3ks5lq1v 4 หลายเดือนก่อน

    shekh wetu mwenyezi mungu mwingi wa rehma akupe khery kwa kila hatua yako

  • @RezaQq-sx5vs
    @RezaQq-sx5vs 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu atujalie tuwe wanawake wema inshaAllah ❤❤❤

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 4 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah

  • @user-fb7vo2fh4w
    @user-fb7vo2fh4w 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ishaallaha mungu azidi kukupa ujuzi uzidi kutupa ujuzi

  • @fatumaali2493
    @fatumaali2493 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaalah Allah akuhifadhi shekhe

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran shekh izudin

  • @fatmaabubakar5946
    @fatmaabubakar5946 4 หลายเดือนก่อน +3

    Shekhe,Mungu akulipe tunafaidika saaana kupitia hilo

  • @asmaafamau8307
    @asmaafamau8307 4 หลายเดือนก่อน +2

    MASHAA Allah

  • @hshshsshjdjejjejejejej9823
    @hshshsshjdjejjejejejej9823 4 หลายเดือนก่อน +2

    Masha Allah

  • @ramadhanisaida003
    @ramadhanisaida003 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaa Allah

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 4 หลายเดือนก่อน +3

    Aamin Aamiin YaaRabbal Alaamiin

  • @Qatar-vh5ff
    @Qatar-vh5ff 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mashallah

  • @user-jd6lb1ui3v
    @user-jd6lb1ui3v 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah Allah akuhifadhi

  • @user-ch6ve6me3r
    @user-ch6ve6me3r 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah allah àtufanye tuwe ni wenye kufuata muongozo wake

  • @hanifahnabakiibi6929
    @hanifahnabakiibi6929 4 หลายเดือนก่อน

    JazaakAllahu khair

  • @babuimam550
    @babuimam550 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jazallah alkhaira shekhe letu

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akubariki akujazi hero na baraka❤❤❤❤❤❤❤

  • @jamilahissa8763
    @jamilahissa8763 4 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah

  • @mamaali8184
    @mamaali8184 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @Fatumaathumanichisirima
    @Fatumaathumanichisirima 3 หลายเดือนก่อน

    MashaAllha

  • @user-ft9jy7jg3j
    @user-ft9jy7jg3j 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabarakaallah

  • @salumseifmwishehe2790
    @salumseifmwishehe2790 2 หลายเดือนก่อน

    Masha allah

  • @user-gt3ty8od2k
    @user-gt3ty8od2k 2 หลายเดือนก่อน

    Maashllh 🙏

  • @AshaaHamad-qo4sw
    @AshaaHamad-qo4sw หลายเดือนก่อน

    Amini 🙏🙏

  • @TwahaMpakani-pn4ov
    @TwahaMpakani-pn4ov 3 หลายเดือนก่อน +8

    Sheikh apa kuna swali nataka kuuliza umesema uislam ulianza wakat mtume akiwa na miaka 40 je mitume walio kua kabla ya mtume muhamad hawakua waislam?

  • @user-dy1jh1sf4l
    @user-dy1jh1sf4l 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yaani sio ombi ata ni inavo bidi weka namba zako kiongozi weee muhimu unah8tajika njiya tofauti tofauti kiongozi

  • @user-kr2yk6gn4q
    @user-kr2yk6gn4q 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaala

  • @HadijaHamisi-uf5fn
    @HadijaHamisi-uf5fn 4 หลายเดือนก่อน

    Maanshaall

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i 4 หลายเดือนก่อน

    Ht mimi nachukia sana kuona masheikh wakiwekewa picha na wanawake..

  • @HafsaYusuf-co7be
    @HafsaYusuf-co7be หลายเดือนก่อน

    Amiin tuma Amiin

  • @shadyakimaro8180
    @shadyakimaro8180 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam alykum sheikh mm naomba dua na jinsi ya kuswali istighara

  • @zalfaAlmas
    @zalfaAlmas หลายเดือนก่อน

    Aslm alkm...naomba kujua Dua gani ama Aya gani nasoma ili msichana wangu ajaaliwe apate mume mwema

  • @AliMohamed-nn1xk
    @AliMohamed-nn1xk หลายเดือนก่อน

    Mungu akulipe kila lakher kwa darasa lako

  • @AyshaHaj-ys6ex
    @AyshaHaj-ys6ex 2 หลายเดือนก่อน

    Aamiyn aamiyn aamiyn Kwa sote waislamu

  • @AsiaRamadhani-md6ut
    @AsiaRamadhani-md6ut 2 หลายเดือนก่อน

    Mung atujalie tuwe miongoni mwa wanawak wema

  • @yusufabdalla5526
    @yusufabdalla5526 4 หลายเดือนก่อน +1

    @izzudin darsa lako lataka mbati hahaha
    Jana al hudaa ulimwambia sheikh mbarak darsa lako lataka mbati kumbe lako lataka mbati zaidi hahahaha

  • @yia73
    @yia73 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo duwa yakufunguwa kikawo siyakawaida 😅😅😅😅😅

  • @AwinjaMariam
    @AwinjaMariam 3 หลายเดือนก่อน

    Mm huwa na penda mawaidha yako

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 4 หลายเดือนก่อน

    Hapo wanichanganya sheikh uislam ulianza vipi wakati wa mtume anatumilizwa ila Hali Allah yuasema Katika Qur'an Ibrahim alikuwa muislam,yakobo na kuwausia watoto wake wasife ili wakiwa waislamu, wanafunzi ya ISSA aleisala walikuwa waislamu...sasa ni uislam upi ulianza wakati wa mtume na wa upi uliokuwa na Ibrahim na wenye kuwafata ??

    • @alhimnamussasaid3619
      @alhimnamussasaid3619 4 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni kwetu sisi ummati Muhammad saw, au na wewe mtune wako ni IBRAHIM

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 4 หลายเดือนก่อน

      @@alhimnamussasaid3619 pole Ile juwa uislam hakuna cha Uma na kitu ya Kwanza ujuwe uislam hata adamu alikuwa pia waislamu tunamini mitume wote pili Kila mtume alitumilizwa Kwa dini hiyo hiyo ya uislam... mtume aliudhihirisha na kuwakumbusha ummah wake ila akuuwaanzisha yeye ...hivi ndio maana wakristo wanasema eti uislam ulikuja baada na mohamad au ulikuja baada ya ukristo na si ukweli ila watu walizuwa mengi sana ndio uislam ukawa umekuwa kitu hakifahamiki ndio mtume akatenga haki kwa batwiri uislam ukapata sura yake. Mana mtume alikuja kuusafisha ..ndio maana bashira wanadhiira...batwili ikaondolewa haki ikasimama kaa ulivyokuwa mwanzo uislam ukapata nuru yake kaa mwanzo.

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz 4 หลายเดือนก่อน

      Nilitaka kumjibu hyu Lakin wanaochangia ni ambao sio waislamu na hauliz kutaka Kujua a aunauliza kwa upinzani tu

    • @user-te7xl4ln6u
      @user-te7xl4ln6u 3 หลายเดือนก่อน

      Kuna zama za nabii Adam hd nabii Muhammad S.A.W

    • @aooshosho4255
      @aooshosho4255 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-te7xl4ln6u ni Sawa kabisaa ukisema hivyo ila yafa MTU akisema afafanulie watu juu wasiokuwa waislamu watalichukuwa hivyo hivyo, hakuna vile utamuambia yesu alikuwa muislam tena huku anasikia mtume ndio alikuja na uislam ni usawa kusema yeye ndie alieuidhirishaa uislam baada ya uislam ulikuwa si kitu chakutajwa....kama vile mtume alisema uislam ulikuja kaa kitu kipya na kitarudi kuwa hivyo,,saa waona iko waZi japo ulikueko but watu waliona ni kaa kitu kipya amekizuwa mtume.....

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe muongo eti kusema ukitaka mema ni kwenda tu kuswali msikitini na hakuna gharama.Kwani msikiti umeota
    kama mti pori au ulijengwa kwa pesa.
    Kwa hiyo Alah anataka pesa

    • @ZayyunSaleh
      @ZayyunSaleh 4 หลายเดือนก่อน

      Kuswal sio lazima mskitin ndug yang ni popote pale kwny ardhai ya Allah ambapo n

  • @user-qv8zq3fy7f
    @user-qv8zq3fy7f 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-pq3kg2du2u
    @user-pq3kg2du2u 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @user-jn8nm9kh3m
    @user-jn8nm9kh3m 4 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @user-wx6ez9jn8s
    @user-wx6ez9jn8s 3 หลายเดือนก่อน

    Masha.allh

  • @zalfaAlmas
    @zalfaAlmas หลายเดือนก่อน

    Aslm alkm...naomba kujua Dua gani ama Aya gani nasoma ili msichana wangu ajaaliwe apate mume mwema

  • @halimabwana5944
    @halimabwana5944 3 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-fx6nv2cf1y
    @user-fx6nv2cf1y 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-so9id8rp3u
    @user-so9id8rp3u 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @user-cq8li4kt8q
    @user-cq8li4kt8q 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @user-gr7kw8rb6i
    @user-gr7kw8rb6i 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @user-oz6vk5xm1t
    @user-oz6vk5xm1t 4 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah