Mambo ya Nywere na Mungu inahusiana na nini? Kwakua mwanaume kwenye bibilia hatakiwi kua na nywere. Je, wewe hua nywere hazikui? Je, Samson alikua na nywere au hakua na nywere?
@@ProsperUlungi huwo ni ukaafiri kuwweka manywele hivyo katika dini yetu ya uislamu huwezi fanya ibada na munywele kama hiyo labda huko kwakuwa ni mnamaambo powa hamna sheria
Chamaana walichokifata sijakiona wanachezea pesa wakati watu mahospitarini wanateketea bila huduma ya afya.
Nimatumiz,mabaya yawatanzania,bima zawatoto selikali haina pesa,ila hao kwenda kufanya vikatuni pesa ipo daaa,inaumiza sana
Kwa kweli yani watz tunapigwa kila kona cjui shida ni nn
Nyerere sio Nyerele
Afande,,,,,, well spoken
Naendeza ukoo rasta tuu
Perfect sele
Karibu sanaa kwenye game nyie ndo mafather legang
Kumbe wamelipiwa na serikali kwa kutumia fedha za Kodi ya watanzania hata bana
Ndioo hivyo
Matumizi mabaya ya pesa za umma
Noma sana
Walienda kufanya comedy. Hakuna cha maana
Akili kubwa sana alio nao
hatukupeleki mpaka unyoe hizo nywele
Acha uchawa afande. Unatambua gharama za kwenda korea?
Kipindi cha kampeni kimefika ivyo lazima kulambishwa asali.
Kwenda kujizalilisha
Sasa walioenda korea ni waigizaji..Sasa ww ni mwigizaji ama mwanamuziki?
Na hilo sura bayaaa linatisha mpka wakorea wangekimbia
afande wa wapi
Morogoro
Bangi nyingi ukafanye nn?
Funguka mzee achaa kupiga kona kona
Ushamba wote huu
Afande umeongea kwamwenye hakili kaelewa maana yako
😂😂😂
Mmmmh
Amsubili tu atarudi...pumbavu
Mabang hayajawah muacha mtu salama Kama mama anakukera ama nch fala wewe mzee mzik umekushinda
Afandesele baada ya kukata hiyo minywele umrudie mungu we kazi kula bangi tuuh hadi umri huoo
Mambo ya Nywere na Mungu inahusiana na nini? Kwakua mwanaume kwenye bibilia hatakiwi kua na nywere. Je, wewe hua nywere hazikui?
Je, Samson alikua na nywere au hakua na nywere?
Waarabu wanavipara😂😂
@@ProsperUlungi huwo ni ukaafiri kuwweka manywele hivyo katika dini yetu ya uislamu huwezi fanya ibada na munywele kama hiyo labda huko kwakuwa ni mnamaambo powa hamna sheria
@@user-yj5on8cz3e nipo andiko linalozuiya waarabu wanaswali na vipala
Ona vichwa maji
Ww sele fala tu mshamba ww
Acha kutukana wa2
Fala kama yule mamako😅😅
Mama kachukua hela kule so wanatuvuta