Nilikuwa nawaza hivi wazee wetu walipokuwa wanapewa shanga na wakoloni na wao wanatoa dhahabu,hivi walikuwa wanawaza nini na walikuwa timamu kweli,na sasa nayaona kumbe tusiwadharau wale wazee wetu kumbe ni jadi yetu,hivi Kazi kubwa anazozifanya Mh Magufuli hadi dunia inashangaa,wenzetu uchumi umeshuka ,sisi ndiyo kwanza tunaingia uvhumi wa kati kabla ya muda wa malengo yetu,hivi wewe unayedharau na kuzomea unaakili kweli?au laaana?Mungu aseme nawe leo je ni Rais yupi yule tuluyemuona akitejekeza kwa vitendo au hawa wa maneno tuu.Hebu sema na Mubgu wako.kumbe watanzania tumezoea maneno matamu bila vitendo.Mungu aingilie kati tumtie moyo Mh Magufuli kwa kazi nzuri na anastahili kuwa kiongozi
Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
Kumbe na kipindi hicho mlikuwa na watu nyomi ivo bado mkaanguka na leo hii bado mnapiga kelele. Utaendelea kutoamin mpaka kufa kwako. Ccm no 1, nyie wengine kalale mnatufokea bhana 🙄
Watanzania fanyeni mabadiliko tuko nyuma yenu tutawalinda. Acheni kutishwa na hawa CCM hawana msaada wowote nchi hii. Wananunua Ndege hazina pa kwenda wanaacha kufufua viwanda vyenye kutoa ajira kwa vijana. Boda boda zikichakaa mtafanya kazi gani sasa ndugu zangu. Kura zenu ni za siri mchagueni mtu atakaebadili nchi. Toka Magufuli aingie madarakani afya za Watanzania wasio wa CCM mbaya sana. CCM wananenepa tu lakini Watanzania wenye kuzalisha na kulipa kodi wanakondeana tu. Wakati CCM wanataka kuongeza ndege CHADEMA fufueni viwanda na kuwajengea Watanzania huduma muhimu.
Watanzania tunataka mabadiliko hizi boda boda zikichakaa tutafanya kazi gani. Tumchagueni Tundu Lissu afufue viwanda alivyojenga Mwalimu Nyerere CCM wakaviua. Lissu atatujengea mashule ya kutosha watoto wasome. Leo hii watoto waliofaulu kidacho cha 4 kwenda kidato cha 5 wamekwama hakuna mashule wanarudi majumbani. Wafanyakazi wanakaa miaka 5 hakuna kuongezwa mishahara ili zinunuliwe ndege za kuanika juani.Tumechoka kuona inanunua ndege huku wanatukana Wazungu wenye viwanja vya kutua ndege ulaya na Marekani kwa kuwaita MABEBERU/MASHOGA. Hivi ni akili kutukana mzungu anaekutumia Watalii kwenye nchi yako. Mzungu anakuletea madawa hosipitalini unamuita BEBERU/SHOGA mimi nadhani CCM wamechanganyikiwa. Binadamu mwenzako unamuita SHOGA mimi naomba Mungu usiku na mchana wasisikie haya matusi. Hivi haya matusi ni kwa ajili ya kodi za CHADEMA, ACT, CUF, TLP, NCCR, CHAUMA na wengineo tunazolipa Serekali kuletea nchi maendeleo CCM irudi itambe na kutukana kuwa kila kitu wamefanya wao. Siku tukikosa kodi kabisa au tukipata janga itakuwaje na sisi tunaishi kwa kutukana. Majirani wametuchoka kwa ajili ya matusi ya CCM wakiwa majukwaani. CCM wachome vifaranga, na kupiga risasi ngombe za majirani tunawangalia tu tutakuwa wageni wa nani tukikosana na majirani. "SASA BASI""
Nilikuwa nawaza hivi wazee wetu walipokuwa wanapewa shanga na wakoloni na wao wanatoa dhahabu,hivi walikuwa wanawaza nini na walikuwa timamu kweli,na sasa nayaona kumbe tusiwadharau wale wazee wetu kumbe ni jadi yetu,hivi Kazi kubwa anazozifanya Mh Magufuli hadi dunia inashangaa,wenzetu uchumi umeshuka ,sisi ndiyo kwanza tunaingia uvhumi wa kati kabla ya muda wa malengo yetu,hivi wewe unayedharau na kuzomea unaakili kweli?au laaana?Mungu aseme nawe leo je ni Rais yupi yule tuluyemuona akitejekeza kwa vitendo au hawa wa maneno tuu.Hebu sema na Mubgu wako.kumbe watanzania tumezoea maneno matamu bila vitendo.Mungu aingilie kati tumtie moyo Mh Magufuli kwa kazi nzuri na anastahili kuwa kiongozi
Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
Mungu awalinde viongozi wetu 😍 Mungu mlinde lisu kama ulivyo muokoa maisha yake
Asimilia 💯 chadema mbele kurudi nyuma ni mwiko kabisa 2020.hadi mwaka 3020.chadema100
Mbeya is the best of luck
Dahhhhhhhhhhhhhhh uyu yani mbunge tu at a magu haoni ndqni mhh
C kweli video za kuunganishwa hizo
Makamanda peoplezzzzzz!!!!
Mikutano ya Siasa Tanzania lazima ijae watu kwa sababu mumeua viwanda vya kutoa ajira na kununua Ndege. Siasa ni shidaaaaaa.
Nyomi mafuriko
Chadema ilikuwa ichukuwe nchi zaman
Ata Mimi siamini hilo nyomi sijawai kuona
Hii chadema ya Dr slaa haita kuja kutokea tena
Huyu ni yule Zitto Kabwe opportunists aliyefukuzwa Chadema. Eti ilikuwa waungane wamutowe Rais MAGUFULI our GOD sent President WATAWEZA? HAWAWEZI
Good na Mungu atutangulie nami 2030 ni lazima nigombee
Nguvu ya umma
Duuu wapo Tena wale walosema upinzani umekufa
Peopleeee napenda chadema sana
Ninyi.watu wa mbeya.badilikeni mnamchagua mbunge kila siku rumande ndiomaana hamna maendeleo amewafanyia nini.cha maendeleo hiyo sugu ? Mjitafakari
Tunduuuuu la shetaniiiiiii
Pombeee imelaaaniwa ni haramu
MwnyZ mungu kaiharamishaa
Msinywe
Ccm mngekua mnaenda mazuri chadema
Hiyo ni miaka 9 iliopita but CCM iko pale pale wai
Naipenda sana chadema family
Kumbe na kipindi hicho mlikuwa na watu nyomi ivo bado mkaanguka na leo hii bado mnapiga kelele. Utaendelea kutoamin mpaka kufa kwako. Ccm no 1, nyie wengine kalale mnatufokea bhana 🙄
Umoja ni nguvu
Mumetisha
Kumbe ndaza
Leo ana chama chake binafsi
😀😀
Shule hazikufungwa, ni mtu mzima nyomi!
Waliosema chadema imekufa wajipange cheki hiyo nyomi
Jaman naomba kuuza hivi kunawasinii au
Picha za miaka 9 iliyopita ndo mnatuwekea.
Wamechoka mapicha tangu utawala wa mweheshimiwa kikwete duuh pumba tu
Kwan niyie melogwa na nn jaman
Watanzania fanyeni mabadiliko tuko nyuma yenu tutawalinda. Acheni kutishwa na hawa CCM hawana msaada wowote nchi hii. Wananunua Ndege hazina pa kwenda wanaacha kufufua viwanda vyenye kutoa ajira kwa vijana. Boda boda zikichakaa mtafanya kazi gani sasa ndugu zangu. Kura zenu ni za siri mchagueni mtu atakaebadili nchi. Toka Magufuli aingie madarakani afya za Watanzania wasio wa CCM mbaya sana. CCM wananenepa tu lakini Watanzania wenye kuzalisha na kulipa kodi wanakondeana tu. Wakati CCM wanataka kuongeza ndege CHADEMA fufueni viwanda na kuwajengea Watanzania huduma muhimu.
Kwenye mitandao bana mnamdanganya sana huyu tundu
Mnafukua makaburi 🤣🤣🤣kila aliondoka na watu wake kama alivyokuja kuanzia dr silaha
Ni yeye
Mwaka 2015 tunataka 2020
Hapo panaitwa mkendo
Mashaalah
Mwaka huu niwakwetu
Sawasawa tumechoka viongozi wetu wameteseka sana na CCM safari hii mungu katuona mshikamano wetu nchi zima
Mwaka huu nyinyi wajinga kwel zitto no chadema
Mtabaki hamna stendi wala maendeleo
Watanzania tunataka mabadiliko hizi boda boda zikichakaa tutafanya kazi gani. Tumchagueni Tundu Lissu afufue viwanda alivyojenga Mwalimu Nyerere CCM wakaviua. Lissu atatujengea mashule ya kutosha watoto wasome. Leo hii watoto waliofaulu kidacho cha 4 kwenda kidato cha 5 wamekwama hakuna mashule wanarudi majumbani. Wafanyakazi wanakaa miaka 5 hakuna kuongezwa mishahara ili zinunuliwe ndege za kuanika juani.Tumechoka kuona inanunua ndege huku wanatukana Wazungu wenye viwanja vya kutua ndege ulaya na Marekani kwa kuwaita MABEBERU/MASHOGA. Hivi ni akili kutukana mzungu anaekutumia Watalii kwenye nchi yako. Mzungu anakuletea madawa hosipitalini unamuita BEBERU/SHOGA mimi nadhani CCM wamechanganyikiwa. Binadamu mwenzako unamuita SHOGA mimi naomba Mungu usiku na mchana wasisikie haya matusi. Hivi haya matusi ni kwa ajili ya kodi za CHADEMA, ACT, CUF, TLP, NCCR, CHAUMA na wengineo tunazolipa Serekali kuletea nchi maendeleo CCM irudi itambe na kutukana kuwa kila kitu wamefanya wao. Siku tukikosa kodi kabisa au tukipata janga itakuwaje na sisi tunaishi kwa kutukana. Majirani wametuchoka kwa ajili ya matusi ya CCM wakiwa majukwaani. CCM wachome vifaranga, na kupiga risasi ngombe za majirani tunawangalia tu tutakuwa wageni wa nani tukikosana na majirani. "SASA BASI""
Kumbe Tundulisu ndo alivyo fanya hivyo kabla ya kuja Tanzania sikiliza 👇👇👇👇
th-cam.com/video/U5Ca3QHTrfc/w-d-xo.html
Chadema moja
Mwaka gani?
Wataelew2
Kabisa
Sana
Arusha washamba wengi
Naomba kwa anae faham apa niwap anijulishe
Lina maana gani hasa kwa mtu mzima
Zilipendwa
Pipozzzzzzzzz pombeeeeeeeeddsdss
Mmetufunika Arusha tupo pamoja
Yeyeeeee
Wote hao unaowaona na ccm wataishangilia wamenunuliwa sehem mbali2 hao chadomo nao watu
Nape na bao LA mkono yupo, hatuogopi
Nani nipo Musoma ,uwingi wa watu usikupe matumaini, sio wote watakupigia kura. CCM TUMEJAA ,tunakuangalia unavyojigonga .
Hii ni lini
Hii ni lini
Enzi za kina zito
Ccm ccm
Kumbe Tundulisu ndo alivyo fanya hivyo kabla ya kuja Tanzania sikiliza 👇👇👇👇
th-cam.com/video/U5Ca3QHTrfc/w-d-xo.html