Haya mambo ya hapa Duniani tusimsingizie Mungu,Wananchi tuchukue hatua kali dhidi ya hawa watekaji,wauaji,wezi wa Rasilimali zetu na wezi kura wakati wa uchaguzi,CCM ni janga la taifa,tuiondoe madarakani,hapa asiachiwe Mungu ni UBAYA UBWELA.
Mungu ni mwanasayansi hashughuliki na mambo yanayobadilishwa kila kukicha. Hatasaidia watu kushinda au kushindwa. Hili ni jukumu letu, tukiamini mungu ataingilia kati tazama mayahudi yanavyotesa na kuteswa pia lakini hakuna nguvu kutoka mbinguni kusaidia. Achana na ndoto!
kila siku wanajitamba kuwa ccm inakubalika lakini ikifika uchaguzi wanaiba kura hapo utagundua kuwa CCM ipo madarakani kwa mabavu na sio ridhaa ya wananchi
Hata mjisumbue wawe wapinzani au ccm, Sisi tutawaachia, hakuna uchaguzi ila maigizo ya uchaguzi..bora kirudi kivuli na picha ya mtu ili tuache kuchagua kivuli tumchague mtu
Kwahili hakuna kukosea maana mumelijua mwanzo kabla ya kulifanya. Kwahiyo tutawawajibisha jinsi tunavyojua sisi. Maana serikali haitokufanyeni kitu maana mupo pamoja nao.
Mm nimefika kituoni kuandikisha naona huu uandikishaji ni ni feki huulizwi unaishi wop kwahiyo mtu mmoja anaweza akaandika hata vituo 3 sababu hakuna data za huyo mpiga kura
Hapo ni uandikishaji, vipi ktk kupiga kura na kutangaza matokeo? Midomoni tunasisitiza haki na uhuru lkn miyoni mmebeba shetani na kwa dhambi hii Mungu hatawaacha!
Sisiem wanaleta mambo ya kihuni! Wamezoea kuiba kura, hawana ukomavu, wao kila uchaguzi hawajiamini. Kama wanasema wamefanya makubwa, mazuri kuna haja gani kufanya mambo ya kihuni Kama hivi?! Kuna haja gani kutumia pesa ya umma kwenye chaguzi fake kila wakati?!
😂😂yan haya mambo ni upuuzi mtupu,,tusubirie kizazi kingine cha kuikomboa hii nchi kifikra,,sio ccm wala chadema wala yoyote yule kwa sasa wa kuisaidia nchi isipokuwa waliopo wanaisimamia kama geresha hadi kizazi kinachojitambua kitakapofika,maana waliopo kwenye nafasi wanakula zaidi na kujilimbikizia mimali tu kuliko kuijenga nchi...yani mambo ya siasa huwa siyapendi hata kwa kuyasikia tu
CCM hawajawa tayari na demokrasia
Asante kwa wananchi kufichua haya.wananchi amenities acheni usingizi
Yaani kwa uwezo wa Allah CCM uchaguzi ujao itaondoka madarakani. Tumechoshwa nayo. Nchi imewashinda. Lakini wanatumia udhalimu tu kuiongoza.
Haya mambo ya hapa Duniani tusimsingizie Mungu,Wananchi tuchukue hatua kali dhidi ya hawa watekaji,wauaji,wezi wa Rasilimali zetu na wezi kura wakati wa uchaguzi,CCM ni janga la taifa,tuiondoe madarakani,hapa asiachiwe Mungu ni UBAYA UBWELA.
Mungu ni mwanasayansi hashughuliki na mambo yanayobadilishwa kila kukicha. Hatasaidia watu kushinda au kushindwa. Hili ni jukumu letu, tukiamini mungu ataingilia kati tazama mayahudi yanavyotesa na kuteswa pia lakini hakuna nguvu kutoka mbinguni kusaidia. Achana na ndoto!
@@JumaNjiku-df1fd Nikweli kabisa
Ndoto
Watanzania tuamke wenyewe na CCM ni waongo wanafiki wasiaminiwe
Ccm chama change mnanitia aibu
@@neemanziku5403 hawajui aibu imekaa vipi ndio maana
Ccm ama kweli wauwaji na wezi wakuu hiko chama cha ccm hakitufai Tz
Good wananchi.
Hiyo ndiyo ccm, ukishazoea kula nyama ya mbwa mwisho utaihalalisha ndivyo ivanyavyo ccm wizi ktk uchaguzi na mali za umma kwao ni sawa tu
Na walivo dhulma ukisema hakki unatekwa
Milady Ayo na Global hawawezi riport hii sijui kwa nini wakati ndiyo tunawaamini kiasi😢
CCM wanaiba kweli, lakin wanatia aibu jaman!!
kila siku wanajitamba kuwa ccm inakubalika lakini ikifika uchaguzi wanaiba kura hapo utagundua kuwa CCM ipo madarakani kwa mabavu na sio ridhaa ya wananchi
Hatari sana
Mungu fundi tutaona mengi sana mapaka uchanguzi uishe mungu huu ni ufuno mwenyezi mungu anafanya kazi yake apa nihaki tu mungu ni moja tu jamani
😊😊
Nimeipenda sana ndugu zangu watanzania tufanye maamuzi ya maendeleo ya nchi yetu
Yaani bado wapo nje.
Hahahaa,,hovyo mapema sana
Yani kumeanza kuchangamkaa mapema sana
Tatizo wapinzan mnajitakia hawa mkiwapiga wagapigia watasoma lakin mnawachia hata kofi
Tanzania ni nchi ya amani ila ccm na polisi ndo wanao leta vurugu Tanzania.
WATANZANIA tunapenda kufuatilia mambo ya nchi zingine kama ya akina pididy lkn twaacha yetu ya msingi kama haya.
Very true
Tunawaomba waandishi wa habari mutusaidie kufichuwa maovu ili nchi yetu ibaki salama
Waandishi gani
Tuache kufuatilia ya hexbola na Israeli tuaze kufuatilia ya nchi yetu
Hahaaa hebu tufatilie mashariki ya kati tujue nani kapigwa leo hapa bongo tupaache
M cc mijizi midhalimu wanatafuta mbinu za kuwa watu
Waandishi wa habari hawawezi kulipoti hizi taarifa nchi ipo kimya kama hakuna uchaguzi mbele
Hawo ndo wa kuwa mana wanatufanya.tuendelee kuwa masikini
Kwani ih nchi ina shida gani haswa kwa nn wasiachiwe wananchi wakachagua viongozi wanaowataka kuliko kuwalazimisha kuwawekea viongozi wasiowataka
Mama yuko kaziniiiii mama kaziniiiii
Kweli, kazi ipo. CCM hawajiamini.
Hao wezi bila kukinukicha hakuna liwalo
Pigamot haoo
Uweni huyoo uwaa
Mkwe waziri du anasimamia Watanganyika tumelogwa
Wakamataji waongo huu ni mchezo wa kuigiza hao ni wapinzani wenyewe kwa wenyewe hao kukitia Chama cha CCM ubaya tuu.
Pambana nao mpaka kieleweke washenzi sana hao wamezoea kula bila kunawa hawana akili
Safi sana,kazi NZURI ,wanaweka watoto?
Kuna tatizo kubwa la kutenda haki na kusimamia haki.mm sihangaiki
jamani Mungu wa haki atusaidie
Mnatia aibu ccm
Hahaha😂😂😂😂😂😂
Ni kweli ni feki hawakuulinzi unakaa wapi yaani hawadadisi kabisa Kuna vitu ccm wamepanga
Hata mjisumbue wawe wapinzani au ccm, Sisi tutawaachia, hakuna uchaguzi ila maigizo ya uchaguzi..bora kirudi kivuli na picha ya mtu ili tuache kuchagua kivuli tumchague mtu
Piga mbwaaaaaa huyooooo
Kwahili hakuna kukosea maana mumelijua mwanzo kabla ya kulifanya. Kwahiyo tutawawajibisha jinsi tunavyojua sisi. Maana serikali haitokufanyeni kitu maana mupo pamoja nao.
Uchaguzi huuu ccm mtakunya maviii"mmezoea mmayeeeewwe
Hio ni comed Yenu wapinzani CCM haina ubabaishaji
AIBUU KUHUBIRI HAKI
Mm nimefika kituoni kuandikisha naona huu uandikishaji ni ni feki huulizwi unaishi wop kwahiyo mtu mmoja anaweza akaandika hata vituo 3 sababu hakuna data za huyo mpiga kura
Nchi ya hovyo sana wizi mtupu.
Nyumbu wananaswa mmoja baada ya mwingine
Wana andikisha kwa siri sana
Wewe kijana wa njombe unatuzalilisha
Yani ccm mnaharibu sana ndiyo maana ccm imekuwa ikipinga tume huru ili waendelee na mambo ya ajabu kama haya.
Hapo ndio kuna wizi mkubwa unaofanyika
Mmuchome uyo mrah
Hivi kwanini kuna mambo ya kipumbavu na yakijinga kama hivi mpaka inakera yaani sijui CCM IKOJE
Huyo achezeee kichapo
Looo CCM Allah atazidi kuwaadhir hachaguliwi mkwe asimamie kazi alafu aifanye kihalal washazowea kula haram Hasbunallah Waniimal Wakiil
Uongo mnapandikiza wstu nyie duuuh yaani mnashindwa kabla poleni chadema
Haya mambo yahovyo sana
Visha tairi huyoooooo😅
😄 😄 😄
Chapa fimbo hao NDIO wanakula BILA KUNAWA,PUMBAVU ZAO.
Cc wanaiba sana
Tanzania !hakunaga uchaguzi!!😂😂😂
😂😂😂😂 ccm buana! Hamjiamini kiasi hiki pamoja na kutawala tangu enzi za mwalimu?!
Mh! Tufanyeje jamani mbona hii selikari inatuonea hivi?
Usanii tu huo tunajua
Mpigeni.mawe.msenge
Ccm ndo umefika mwisho tuandae kaburi lakuzika
Awamu hii tutawanyonga inchi hii watakao leta vita ni ccm wala si wengine
Kweli ndugu yangu dhalau na uongo ndo utawala wao
Ngoma inogileee
Hapo ni uandikishaji, vipi ktk kupiga kura na kutangaza matokeo? Midomoni tunasisitiza haki na uhuru lkn miyoni mmebeba shetani na kwa dhambi hii Mungu hatawaacha!
Ngoma nagwa😅😅
Hiyo comedy
Kazi ushenzi tuu kutaka vyakuchinjwa. Kazi za chama ushenzi ushenzi mtupu.
Sisiem wanaleta mambo ya kihuni! Wamezoea kuiba kura, hawana ukomavu, wao kila uchaguzi hawajiamini. Kama wanasema wamefanya makubwa, mazuri kuna haja gani kufanya mambo ya kihuni Kama hivi?! Kuna haja gani kutumia pesa ya umma kwenye chaguzi fake kila wakati?!
Usani tu huoo jamaaa
Mchomeni moto huyo mwizi ni mwizi
Hawa ni maccm sasa muuone haya.
Waliandaliwa mapema hao wote ni maccm wote
Hizi ile kesi imeishia wapi??
Naya chukia sana ma CCM
Tunduru huku maaneo ya kalanje wamefanya hivyo hivyo
Sijaona hata banzii moja apigweee
Ccm wanajua hawakubaliki tena hawana njia nyingine upuuzi mtupu
Duh ubaya ubwela shikilieni hapohapo ndugu zangu ubaya ubwela kuma nyie CCM waizi
kinacho fata xaxa ni kuuana coz cion polci wakitoa maelezo yoyte juu ya hili cjui
Watu wakichaluka munasema chadema wakolofi serikali tafazali muwe makini nahayo mambo ipo siku mutayalipa hayo mambo
Hellos
Ccm hawawajua wananchi Bado wanabeep
Piga jinga hilo
😂😂yan haya mambo ni upuuzi mtupu,,tusubirie kizazi kingine cha kuikomboa hii nchi kifikra,,sio ccm wala chadema wala yoyote yule kwa sasa wa kuisaidia nchi isipokuwa waliopo wanaisimamia kama geresha hadi kizazi kinachojitambua kitakapofika,maana waliopo kwenye nafasi wanakula zaidi na kujilimbikizia mimali tu kuliko kuijenga nchi...yani mambo ya siasa huwa siyapendi hata kwa kuyasikia tu
Duuuu
Mtoeni sadaka
😢
Amejtuma baada ya aliowahamassha kukuta niwagonjwa sishida nikuelmishana tu
Kwendeni zenu huko mnataka hata sie tunao wamini kidogo tuwafute kichwani mwetu
HAKI HUINUA TAIFA
Ccm wezi majambazi wauwaji wote makonda na rais wao shenz..hi nchinwataichafua
Dunia iko mwisho mbona hakuna hata mtu ataondoka na madaraka?
Chukueni hayo majina walioanza kuandika
Ipo cku Ccm watawezwa Tu
Hiyo ndio ccm kazi yao ni DHULMA TUPU.
Hii mchi ngumu kisenge hii
Hawataki haki nimabaze