Big up sana broo kwa ujumbe unaogusa jamii usikate tamaa usichoke wala usibadirishe mziki wako maana upo poa achana na akina furani wao kila siku mapenzi tuuuuuu eh
Twenty namurespect so much reality nimusician anayeelemisha au kueducate societies so hata waweza angalia nawazazi nyimbo zake. Ooooh wahooo twenty well done hata your movie's very well.
Dunia mungu akupe maisha marefu sanaaa kwa ujumbe mzuri sana sijui kwanini hawa vijana sasa hawataki kujifunza kwako wimbo huuu hata ifike miaka therathini mbele bado utakuwa juuuu zaidi msg ya ukweli
Ukweli nafurahia kazi zako 20% kinachonishangaza ni jinsi nyimbo kama hizi hazisikiki hewani! Endelea kutupa radha. Hubahatishi unaijua kazi yako. Hivi una official page you Tube au Twitter? Tupatie kama unazo.
2023 kama umesikiliza wimbo wa uyu jamaa nipe like
Wanamkubli 20% wekeni like, 2023
kama uko hapa 2024 say hi
Hi❤
Huyu braza haisee harudi kwnye ubora wake, nyimbo zake zakuelimisha jamii kwel kabisa
2023 malegend tujuane...
Bigapu sana pamoja bro
Wwe ndo mwenye mziki rudi kwenye kiti chako 20 wanaomkubali kama mmi weka like yko ili tuondoke
Aisha Abdj yeah
Aisha Abdj au sio
inatakiwa aludi Kwenye kazi yake
Nice
Ulikuwa msanii wa kwanza kupata tuzo 5 mfululizo
Tunda
ushauri wangu ukiludi kwenye gemu piga chini makundi yako hayana ushauri mzuri kwako wanapenda uwe kama wao nakukubali sana 20p
20 pa unaitendea haki sanaa ya muziki ❤
Vizuri
huyu jamani yani nyimbo zake zakufundisha mnoo
Kaz yako nzuri sana broo mpaka sasa hakuna zaidi yako uko wapi jaman😮❤
Umeshaimba mpaka umezurika na nyimbo zako
Asilimia ishirini hongera mzee wa treu kwa jamii tunakupenda ngoma kali zaidi ya kali
Safi sana 20% good sanaaa
Yupo wap huyu mwamba anajua sana
Nyimbo safi.. ujumbe mkubwa
picha linaanza mzee kapata kiwanja, nomaa haya jamiii zetu hizi
Ujumbe mzuri na wa nguvu
Msanii mwenye mashairi ya kueleweka
Jamaa anajua sana maneno yake sio poa big up 20 pasent
Big up sana broo kwa ujumbe unaogusa jamii usikate tamaa usichoke wala usibadirishe mziki wako maana upo poa achana na akina furani wao kila siku mapenzi tuuuuuu eh
My favorite song 20% keep it up bro, if you agrees with me drop your like plz
Endelea kutupa akili kupitia nyimbo zako.
Ngoma nzuri nikama umetoka leo
nakushauri rudi kwenye gemu
2024 tujuane hapa🎉😊
bado naiangalia hata Leo tarehe 10 January 2019,
Nakubali 20% kwanza mbona kimya leo talehe 11/4/2019
message yako huwaga na maarifa sana man water.rudi kwenye mziki zamu yako babaaaa
❤❤❤❤❤❤courage 💪
Nakubali Sana Kaka Nyimbo Zako Zina ujumbe
Hawa wasanii wazani hawana mafanikio lakini mungu Ndio alipanga wafanye kazi hii
Twenty namurespect so much reality nimusician anayeelemisha au
kueducate societies so hata waweza angalia nawazazi nyimbo zake. Ooooh wahooo twenty well done hata your movie's very well.
Asilimia chache sana ulimwenguni 20%
Rudi Bwana wewe we need you because the world can learn many things through your songs we are here we are waiting for you Come back
Mm apa wa 2024
kazi mzur kwakwel
Karibu bukoba
huyu yupo wapiiiiii jomoniiiiii mrudisheniiiii
Usichoke kk 20%rudi ktk kazi ipocku mungu atakuona naww
rudi kwenye game broo
Muziki namba 1twenti wewe wajuu nimafundisho
Hii ndiyo talanta ya muziki.Anybody can listen his songs.Siyo kilasiku nyimbo za mpenzi na matusi tu.
Gonga like Kama unaipenda Kama mm hii song
Oyoooo 2018
huyu 20% anaweza xn na nyimbo zake ni za kuelimisha jamii kwa 95% ila nyota haing'ai2 inshalah mungu akufanyie wepesi ufike mbaliiiiiiiii
Kubali sana
Upo juu twent
20% ludi my bro
Twenty per cent wanakuita sina cha kusema we mkali nimekukubali mda mrefu
Rudi jamani 20 tumekumisi sana mashabiki zako kaka 😍😍😍😍 12’ 25 ‘2018 bado nasikiza bado siku tano tuingie 2019 ila sijachoka kak
kiukweli broo nyimbo zako ziko fiti sana kwetu
Napenda nipate namba za 20 percent ili niongee naye live tupange bei atoe wimbo wa familia mana hii nyimbo ni muhimu kwa wanaojua Mungu yupo
Minakubari nyimvmbohiyi inanifurahishasanaa enderea tukopamoja
niukweli pamoja sana 20%👏👏👏
Unstoppable song🔥🔥🔥🔥💪💪.
One love 20 percent 2019 I’m here
huyu mwalimu 20per kapotelea wapy jamani daah!
Daaa lud kweny game dady lake💗💗💗
20bgap sana
Mziki wako tunishinao
Sahivi tuna honey ya z😂😂😂
Asie kukubal ww bas ni mwanga
My artidt my favourite guy.
Still snatching
Rudi kwenye gem kaka unaweza sana.
,najua wanakufanyia ftna Ila kipaji chako nizaid
Umekwama wp brother nakuomba bc lud kweny game
Jaman anaejua movie ya huu wimbo anitajie jina maana niliangaliaga zaman nimesahau jina
Dunia mungu akupe maisha marefu sanaaa kwa ujumbe mzuri sana sijui kwanini hawa vijana sasa hawataki kujifunza kwako wimbo huuu hata ifike miaka therathini mbele bado utakuwa juuuu zaidi msg ya ukweli
❤😂
Mziki mtamu wa bongo flava ulikuwa zamani =
2019 lakini mziki bado unaishi .
Daaa nakukubal Sana mwamba weweeeee
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hilo jina tu linatosha,kiti chambele cha kwako
Ukweli nafurahia kazi zako 20% kinachonishangaza ni jinsi nyimbo kama hizi hazisikiki hewani! Endelea kutupa radha. Hubahatishi unaijua kazi yako. Hivi una official page you Tube au Twitter? Tupatie kama unazo.
Patson Ikula uyo Diamond ame tumwa na shetani kaja kutu aribu familia zetu
20% percent mfollow instagram kisha ingia kwny bio yake
ludi
❤❤❤❤❤
💻💿📀
jamani 20%akisema anataka kurudi kwenye gemu ila hana pesa anaomba kuchangiwa nani yupo tayari kumchangia
AMANI MWIDOWE kama wote yaan
Me wa kwanza kumchangia
Dah tupo wengi
Nipo tayar
Nipo Tayari kabisa
Gud job 20%
2020 like
I like it
Nakukubali sana kaka
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
nikali sanaaaa
Wa kali kwanza
Unaweza sana brother,,,,hongera 👏
fire gun master20%
hatari sana 20 paaa🙌
Broo uko wapi hebu rudi tena tunakuhitaji bado nyimbo zako zina message nzuri hasa hii naikubali sana
nakupenda bureeeee
uko wp bro
maisha na mtihani kwel
Yuko wapi uyu broo
Who see this 2021
2019 wap kaka
uhakika
C'est très fort 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
huu wimb niyakwel kabisa ndugu tunafanyiana ivo wala s uwongo mtu apendi mafanyikio yamwezak mtu japo ndugu yak
Hatar sana mzee
Big up 20%
Very nice music
Endelea kama kawaida kaka.
Kamanda wangu umetishaa yaan.....
20%pacent jaman Uko wap mm kazi zko nilizipenda xana make zililenga jamii 20%ludin jaman
20 ukowapi jaman rudi kwenye gam tunakumiss saaan. music yak inafunz san