20 Percent Akiimba na Watu Wake 72 ya JK

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 206

  • @bahatipeter6304
    @bahatipeter6304 ปีที่แล้ว +154

    Tukatae tukubari tanzania 🇹🇿 hii hakuna anae weza andika nyimbo yenye radha na mpangilio wa vina kama 20%.kama unaungana na mimi gonga like

  • @patrickmkude6968
    @patrickmkude6968 ปีที่แล้ว +14

    💪💪💞💕sijawah kuchoshwa na nyimbo zako Toka umeanza kuimba....Mungu akuongoze katika mapambano yako 20% .... Tunakuomba Rudi tena kwenye game sisi watoto wa tandale tunajivunia wewe

  • @degwaboy8128
    @degwaboy8128 ปีที่แล้ว +47

    Dah mpaka Raha Sasa hv naona mafuta na maji yameanza kujitenga nilikuwa na Iman ipo cku moja utakuja kurud kwenye game Ila nilikuwa cjui ni Lin naona Ile cku imewadia wale wenye mziki wa big jii kwishney Sasa hv watu wamechoka matuc, shukran Sana clouds Fm shukran (mh) kikwete na jopo lote mlioamua kuturudushia mwanamziki bora wa muda wote TZ 20 POWER, MAILE MBISH BIG UP SANA MWAMBA

  • @djkayumba
    @djkayumba ปีที่แล้ว +17

    Punch imekata kabisa mkali wetu sema sio mbaya cha zamani kipewe heshima Asante sana Kaka 20%

  • @marosylvester2851
    @marosylvester2851 ปีที่แล้ว +5

    Kwa upande wangu nakumbuka Enzi za nyimbo yako kiukweli zinaujumbe wenye kima na kiarifu.unaswawiri dhana ya uyakinifu wa simulizi.from Mwanza TZ@sele one .hasa mama Neema ni real fact in our society.salute 20%

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 ปีที่แล้ว +13

    That Natural Voice from 20PA.... Lovely

  • @fanuelsulle6039
    @fanuelsulle6039 ปีที่แล้ว +17

    Nimemwona mheshimiwa jakaya kikwete aliyemwona kama mimi gonga like 👍

  • @izzoboy
    @izzoboy ปีที่แล้ว +14

    20 pacent ni musanii ambae alikua mkl Sana so never disappoint

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 ปีที่แล้ว +18

    Yan nyimbo za kitambo lkn Hadi sasa inasikilizika mpaka sasa ado unainjoy

  • @bonventrychevai5183
    @bonventrychevai5183 ปีที่แล้ว +9

    Duuh!! Namtambua 20% siku sote maana mashairi yake yana ujumbe mzuri kwa sisi vijana, hata hivo sauti yake ni ile ile tokea mwanzo👏👏👏

  • @barnabasmalima4823
    @barnabasmalima4823 ปีที่แล้ว +6

    mh alikua anapata hisia kali sana kwa kweli 20 percent nyimbo zako zilikua zinz hisia sana kusaga msaidie huyu jamaa

  • @mdetetv6050
    @mdetetv6050 ปีที่แล้ว +8

    kunawasanii wana power tz hadi siku watakapokufa huyu mwamba anapendwa sana aiseee

  • @nehemiamollel3186
    @nehemiamollel3186 ปีที่แล้ว +14

    Stay blessed King 20%

  • @sanaanimaisha4072
    @sanaanimaisha4072 ปีที่แล้ว +45

    20% ni msanii mkubwa sana. Ona hadhira inaimba Naye, na ukiangalia wakati anahiti hadhira kubwa ilikuwa changa, lakini wanazijua nyimbo zake. Hongera sana 20%.

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 ปีที่แล้ว +28

    Huyu ndiye msanii mkubwa TANZANIA. Congratulations BROTHER 20%♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥

  • @charlesgervas7566
    @charlesgervas7566 ปีที่แล้ว +4

    Daaaah hakika nyimbo zake hua zinanituliza akili nikianza kuzisikiliza
    Maana zinaingia kwenye mishipa ya damu
    Hakika huyu ni bonge la legendary mkubwa sana i love him so much

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 ปีที่แล้ว +10

    Good voice 20% natural 👏👏

  • @sylasmusic6773
    @sylasmusic6773 ปีที่แล้ว +5

    Namkubali sana huyu jamaa kwanza vitu vyake vyote vinaelimisha sana kwetu bangi likikubar halimtupi mtu piga kazi %20

  • @akidajulius8397
    @akidajulius8397 ปีที่แล้ว +7

    Da huyu mtu ametunza sauti ,mpaka Leo ipo vizuri,

  • @farajajosephat6022
    @farajajosephat6022 ปีที่แล้ว +3

    MI NI UPCOMING ARTIST PIA,,LAKINI 20% NAKUKUBALI MPAKA KESHO,,I CAN'T EVEN EXPLAIN THE FEELING BRO!! WEWE NI MAANA HALISI YA LEGEND!!! MAISHA MAREFU SANA

  • @fyneboy9646
    @fyneboy9646 ปีที่แล้ว +2

    20 yani nalia nikisikia nyimbo zako kbs na flm ya nema kbs upagawe kabisa Asante sana

    • @jamesmwanyula5434
      @jamesmwanyula5434 ปีที่แล้ว

      20% nakupenda Sana naonaga nyimbo zako nafika mbari sana

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 ปีที่แล้ว +8

    20 nyimbo zako zitaishi miaka 1000 tizama mashabiki wanavo furahia nyimbo za Sasa ivi gidi hazinampango wowote

  • @anthonymururu4046
    @anthonymururu4046 ปีที่แล้ว +6

    Legend always 💪💪

  • @GidionNgala
    @GidionNgala 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asilimia ishirini,,,,,,,❤❤❤❤ kenya nakupenda sana

  • @NduwayezuMarc60-zb1uh
    @NduwayezuMarc60-zb1uh 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera mkuu 20.nasisi warundi tu nyuma yako

  • @zakiaramadhan6976
    @zakiaramadhan6976 ปีที่แล้ว +5

    Duuuuh!!nmejikuta nadanlod hizi nyimbo aiseee nakumbuka mbal Sanaaa,huyuuu Kaka ni msanii mkubwa sanaaa

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato2941 ปีที่แล้ว +8

    Msanii kapiga show kistalabu sana hapo wengine ugesikia weka mikono hivi wakati nyimbo zao siyo za kucheza

  • @workbizy4853
    @workbizy4853 ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa ni org clouds heb mchukuen japo kwenye fiesta haf mtanambia atakacho fanya

  • @abrahamanidd1860
    @abrahamanidd1860 ปีที่แล้ว +3

    Dah nafrahi sana kumuonaga huyu bro akiskika tena maana tulimic kipaji chako tulimic mziki wako pia nafrahi kwakua tupo wengi ambao tunaendelea kukuamini na wengi wanakushangilia wewe ni moto bro turejeshee vitamin music tena

  • @shabani_Osee_Ngena
    @shabani_Osee_Ngena ปีที่แล้ว +3

    Aendelee kupewa heshima yake daima🙏🙏🙏

  • @nassornassor4402
    @nassornassor4402 ปีที่แล้ว +3

    Huyu ndio msanii wang boraa wa muda woote💪💪

  • @PhilipAndrew-et3nq
    @PhilipAndrew-et3nq 5 หลายเดือนก่อน

    Yaaa ukizingumzia wasaniii ambao sjawahi kuchoka nyimbo zake nyimbo nzuri zinaishi pia zinagisa kabisa maisha yetu yote ya mtaani kak mungu akupe maisha marefu sana

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 ปีที่แล้ว +5

    Mimi 20 kwakweli nikimsikliza Anita machozi

  • @lovirinaa
    @lovirinaa ปีที่แล้ว +13

    😢❤legend as always

  • @hamzaeleuter8268
    @hamzaeleuter8268 ปีที่แล้ว +11

    Daah sijui nyota, msanii Mkubwa ambaye historia yako inajieleza

  • @AslausKnylon-bn1jr
    @AslausKnylon-bn1jr 6 หลายเดือนก่อน

    Yani always nazimiss sana nyimbo zake test nyimbo forever

  • @jnkb257tv5
    @jnkb257tv5 ปีที่แล้ว +1

    Love from burundi

  • @murugaisaya6681
    @murugaisaya6681 ปีที่แล้ว +8

    Nyimbo za way back zinaishi mpaka leo

  • @jamarmuddy9212
    @jamarmuddy9212 ปีที่แล้ว +2

    Mungu ampe maisha marefu hii ni tunu yetu

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 ปีที่แล้ว +5

    Uyo ndio anaweza kushinda na simba kibongoo

  • @user-bp1cu2jt4c
    @user-bp1cu2jt4c 7 หลายเดือนก่อน

    Félicitations mon frère

  • @saleheathuman4904
    @saleheathuman4904 ปีที่แล้ว +1

    NDUGU HUJAKOSEA ILA WATU WAMETAWALI NA NYIMBO ZAMATUSI NI NYIMBO AMBAZO HAZISHI ILA KWA NYIMBO 20PA NOMA SAMA

  • @kulukusantutv3541
    @kulukusantutv3541 ปีที่แล้ว +1

    Twenty atabaki kuwa mkali wa Tanzania miaka na miaka

  • @hypolitehabonimana6671
    @hypolitehabonimana6671 ปีที่แล้ว

    Twenty power anaweza kweli kwake hakuna mpinzani

  • @seangraceswt8037
    @seangraceswt8037 ปีที่แล้ว +1

    Aisey kumbe Bado yupoo

  • @uwasevalantine9206
    @uwasevalantine9206 ปีที่แล้ว +3

    Fire 🔥 🔥🔥❤️❤️❤️👍

  • @petermwalyene814
    @petermwalyene814 ปีที่แล้ว +1

    20℅ pacent ni hazina ya nchi

  • @ndegeofficial9928
    @ndegeofficial9928 ปีที่แล้ว +4

    Mameneja mko wapi msaidieni twenty wekezeni hela kwake bado anakitu

  • @eddyclassic8996
    @eddyclassic8996 ปีที่แล้ว +1

    20bmkali wao milele

  • @tmpbusinesses1205
    @tmpbusinesses1205 ปีที่แล้ว

    Kwa kwel 20 alimkosha mh rais mstaaf nani anabisha jamn,,,,?!?
    Na ndio inatakiwa iwe hivyo, wimbo uguse hisia za hadhira. Thanks 20 pa

  • @shomaribani2164
    @shomaribani2164 ปีที่แล้ว +4

    Big brain

  • @shadrackniyomukiza9045
    @shadrackniyomukiza9045 ปีที่แล้ว +1

    20% percent unaua sio poa akuna ata tusi

  • @bishensadock8233
    @bishensadock8233 ปีที่แล้ว +7

    Be blessed 20%

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anajua haujifichi yaan

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwamba nyimbo zake Bado zipo so hot

  • @beckasalum2620
    @beckasalum2620 ปีที่แล้ว

    Good music brother 20 p

  • @hamissfesto6492
    @hamissfesto6492 ปีที่แล้ว

    Bad man 20 pacent atareeeee💪💪❤️

  • @user-tb3du8fz7e
    @user-tb3du8fz7e 2 หลายเดือนก่อน

    napenda sana mziki wa zamani kama huu

  • @nostressfreedom8615
    @nostressfreedom8615 ปีที่แล้ว +7

    Waoooo😢❤🔥🔥🔥

  • @witnessniclass3777
    @witnessniclass3777 ปีที่แล้ว +2

    Nikiskiza nyimbo hiz mbaka mwil unanisisimkaa😍😍

  • @ELIFASIMwigema
    @ELIFASIMwigema 11 วันที่ผ่านมา

    Mfuniko ni 20: miaka lak. Wengine matusiiii tupu.

  • @daynesakulu3169
    @daynesakulu3169 ปีที่แล้ว +1

    Asirimahire 20% nyimbo zako zote nzuri sana ,nakumbuka bado kambini Nyarugusu nyimbo zako zote zilivuma vibaya binamu alipenda mama neema mpaka walimpanga baba neema.

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 ปีที่แล้ว +1

    SAIVI UTASKIA
    GIDI!! GIDI!! GIDI!!
    GAGA!! GAGA!!
    Mpuuzi mtupu😁😁😁😁😠😠😠😡🤬😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😬😬😬😬

  • @fatumasaidi497
    @fatumasaidi497 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali sana

  • @costantinevedastus8536
    @costantinevedastus8536 ปีที่แล้ว

    Much love 😻

  • @jumabidery5051
    @jumabidery5051 ปีที่แล้ว +1

    Namkubali huyu mwamba kuliko wasanii wote kwa hii dunia

  • @MaxicM
    @MaxicM 21 วันที่ผ่านมา

    Munngu akuinnuwe kaka 20%

  • @gabrielwilliam4822
    @gabrielwilliam4822 ปีที่แล้ว +4

    20% fund sana ww bigup mwamb

  • @FelixMatiabo-cn9qm
    @FelixMatiabo-cn9qm 2 หลายเดือนก่อน +1

    2024🎉

  • @yusuphthabiti1394
    @yusuphthabiti1394 ปีที่แล้ว

    Kaka kazi unaweza sema hyo Shetan aliyo kupanda ndio kahalib kila kitu

  • @AdrianHenry-tl6sc
    @AdrianHenry-tl6sc ปีที่แล้ว

    Noma sana mwamba

  • @mcdj_tonnizo_muxeed
    @mcdj_tonnizo_muxeed ปีที่แล้ว +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    Motoooooo hot 🥵🥵🥵🥵🥵🥵

  • @tariqmaduga8051
    @tariqmaduga8051 ปีที่แล้ว

    20% uyu ndio kioo cha jamii ..2022 here we go

  • @richardmosses6776
    @richardmosses6776 ปีที่แล้ว +3

    Mwambaaaa 20 paaaa ni firee ase

  • @juniorwilliam6338
    @juniorwilliam6338 ปีที่แล้ว

    Super Nyota 💥💥💥💥20 percent

  • @emmanuelluhozya3909
    @emmanuelluhozya3909 ปีที่แล้ว

    jamani tunampenda musani huyo adileo tunaomba muturushie nyimbo ya sasa ya mwaka wa 2022 🙏🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪

  • @saimonking4958
    @saimonking4958 ปีที่แล้ว

    jakaya anapelekwa na vibe la banged sema ndoiv 😂😂😂😂

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 ปีที่แล้ว

    Nampenda hatar
    Daaaaa nakumbuka mbali

  • @amedeekonde1426
    @amedeekonde1426 ปีที่แล้ว +1

    Rudi baba mimi mukonkomani

  • @aminakunja277
    @aminakunja277 ปีที่แล้ว +3

    %20🙌🙌🙌azichuji

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 ปีที่แล้ว +1

    Katka wasanii wote kwenye show hii huyu ndio alifanya kweli kwa wote waliokuwepo hapa

  • @sedekiakiza
    @sedekiakiza ปีที่แล้ว

    Noma San,Huyu jamaa afanye arudi kwnye sanaa

  • @athumaniferooz7790
    @athumaniferooz7790 ปีที่แล้ว +3

    Kizaz sn hii

  • @kel500
    @kel500 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥👌👌👌huyu jamaa ni konyooooo

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 ปีที่แล้ว

    Dah 🥰🥰

  • @assab3167
    @assab3167 ปีที่แล้ว

    Unajua sana

  • @jossephgorge522
    @jossephgorge522 ปีที่แล้ว

    Nakubari sana

  • @jamilajamila5532
    @jamilajamila5532 ปีที่แล้ว +1

    Mumusapoti.nikwaza.tanzaniy

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 ปีที่แล้ว +3

    Noma kweli

  • @frankkibira9147
    @frankkibira9147 ปีที่แล้ว

    Nzur sanaaaa

  • @jovanuisso309
    @jovanuisso309 11 หลายเดือนก่อน

    Ase anae jua ana jua2

  • @ndevuemcee3000
    @ndevuemcee3000 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa hatumii uwezo alonao vyema. Ana heat songs na voco kali sana ila uwezo wake wa kupiga show ni mdogo na hasa matumizi ya hizi play back ndio zinazidi kumfanya awe mzembee.

  • @mhmundenga5519
    @mhmundenga5519 ปีที่แล้ว

    Merci beaucoup

  • @alfredyego1664
    @alfredyego1664 ปีที่แล้ว

    Living legend

  • @jacksonchristopher6310
    @jacksonchristopher6310 ปีที่แล้ว

    Mzee wa kazi sasa utawaua wqtoto wa sasa mana umekuja na moto

  • @allykivunja5511
    @allykivunja5511 ปีที่แล้ว

    naangalia hapa watu wanaimba huku wanafurahi tena wanaimba kwa hisia na sijaona 20 kuvua shati ,kuwamwagia watu maji ,kuwaambia watu wapige makelele mzee kikwete huyu twenty ni icon mpe njia

  • @EduardoSantos-db8fx
    @EduardoSantos-db8fx ปีที่แล้ว

    One love 20%

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 ปีที่แล้ว

    Noma sanaaa

  • @hagaigospelband_tz4735
    @hagaigospelband_tz4735 ปีที่แล้ว

    Nyimbo za brother zinahisia kwel

  • @BicheMateusMateus-st1xy
    @BicheMateusMateus-st1xy 2 หลายเดือนก่อน

    Good