💪💪💞💕sijawah kuchoshwa na nyimbo zako Toka umeanza kuimba....Mungu akuongoze katika mapambano yako 20% .... Tunakuomba Rudi tena kwenye game sisi watoto wa tandale tunajivunia wewe
Dah mpaka Raha Sasa hv naona mafuta na maji yameanza kujitenga nilikuwa na Iman ipo cku moja utakuja kurud kwenye game Ila nilikuwa cjui ni Lin naona Ile cku imewadia wale wenye mziki wa big jii kwishney Sasa hv watu wamechoka matuc, shukran Sana clouds Fm shukran (mh) kikwete na jopo lote mlioamua kuturudushia mwanamziki bora wa muda wote TZ 20 POWER, MAILE MBISH BIG UP SANA MWAMBA
Kwa upande wangu nakumbuka Enzi za nyimbo yako kiukweli zinaujumbe wenye kima na kiarifu.unaswawiri dhana ya uyakinifu wa simulizi.from Mwanza TZ@sele one .hasa mama Neema ni real fact in our society.salute 20%
20% ni msanii mkubwa sana. Ona hadhira inaimba Naye, na ukiangalia wakati anahiti hadhira kubwa ilikuwa changa, lakini wanazijua nyimbo zake. Hongera sana 20%.
Daaaah hakika nyimbo zake hua zinanituliza akili nikianza kuzisikiliza Maana zinaingia kwenye mishipa ya damu Hakika huyu ni bonge la legendary mkubwa sana i love him so much
MI NI UPCOMING ARTIST PIA,,LAKINI 20% NAKUKUBALI MPAKA KESHO,,I CAN'T EVEN EXPLAIN THE FEELING BRO!! WEWE NI MAANA HALISI YA LEGEND!!! MAISHA MAREFU SANA
Dah nafrahi sana kumuonaga huyu bro akiskika tena maana tulimic kipaji chako tulimic mziki wako pia nafrahi kwakua tupo wengi ambao tunaendelea kukuamini na wengi wanakushangilia wewe ni moto bro turejeshee vitamin music tena
Yaaa ukizingumzia wasaniii ambao sjawahi kuchoka nyimbo zake nyimbo nzuri zinaishi pia zinagisa kabisa maisha yetu yote ya mtaani kak mungu akupe maisha marefu sana
Asirimahire 20% nyimbo zako zote nzuri sana ,nakumbuka bado kambini Nyarugusu nyimbo zako zote zilivuma vibaya binamu alipenda mama neema mpaka walimpanga baba neema.
Huyu jamaa hatumii uwezo alonao vyema. Ana heat songs na voco kali sana ila uwezo wake wa kupiga show ni mdogo na hasa matumizi ya hizi play back ndio zinazidi kumfanya awe mzembee.
naangalia hapa watu wanaimba huku wanafurahi tena wanaimba kwa hisia na sijaona 20 kuvua shati ,kuwamwagia watu maji ,kuwaambia watu wapige makelele mzee kikwete huyu twenty ni icon mpe njia
Tukatae tukubari tanzania 🇹🇿 hii hakuna anae weza andika nyimbo yenye radha na mpangilio wa vina kama 20%.kama unaungana na mimi gonga like
Xahiii nakubali kk.
Iko ivyo
Sanaaaaa kuna ile ngoma ya maisha ya bongo
Unyama Sana namkubali kinoma huyu jamaa
Hayupo kabisa
💪💪💞💕sijawah kuchoshwa na nyimbo zako Toka umeanza kuimba....Mungu akuongoze katika mapambano yako 20% .... Tunakuomba Rudi tena kwenye game sisi watoto wa tandale tunajivunia wewe
Dah mpaka Raha Sasa hv naona mafuta na maji yameanza kujitenga nilikuwa na Iman ipo cku moja utakuja kurud kwenye game Ila nilikuwa cjui ni Lin naona Ile cku imewadia wale wenye mziki wa big jii kwishney Sasa hv watu wamechoka matuc, shukran Sana clouds Fm shukran (mh) kikwete na jopo lote mlioamua kuturudushia mwanamziki bora wa muda wote TZ 20 POWER, MAILE MBISH BIG UP SANA MWAMBA
20 power
Huwa namuelew sana uyu jamaa
Huwa namuelew sana uyu jamaa
Big up brother
Upo unajua kuwajua wasanii
Punch imekata kabisa mkali wetu sema sio mbaya cha zamani kipewe heshima Asante sana Kaka 20%
Kwa upande wangu nakumbuka Enzi za nyimbo yako kiukweli zinaujumbe wenye kima na kiarifu.unaswawiri dhana ya uyakinifu wa simulizi.from Mwanza TZ@sele one .hasa mama Neema ni real fact in our society.salute 20%
That Natural Voice from 20PA.... Lovely
Nimemwona mheshimiwa jakaya kikwete aliyemwona kama mimi gonga like 👍
Ni siku ya birthday yake JK
20 pacent ni musanii ambae alikua mkl Sana so never disappoint
Yan nyimbo za kitambo lkn Hadi sasa inasikilizika mpaka sasa ado unainjoy
Duuh!! Namtambua 20% siku sote maana mashairi yake yana ujumbe mzuri kwa sisi vijana, hata hivo sauti yake ni ile ile tokea mwanzo👏👏👏
mh alikua anapata hisia kali sana kwa kweli 20 percent nyimbo zako zilikua zinz hisia sana kusaga msaidie huyu jamaa
kunawasanii wana power tz hadi siku watakapokufa huyu mwamba anapendwa sana aiseee
Stay blessed King 20%
20% ni msanii mkubwa sana. Ona hadhira inaimba Naye, na ukiangalia wakati anahiti hadhira kubwa ilikuwa changa, lakini wanazijua nyimbo zake. Hongera sana 20%.
Huyu ndiye msanii mkubwa TANZANIA. Congratulations BROTHER 20%♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥
Hakika
mkubwa umri au ??
@@Mahonda8080 Atwaambie
Daaaah hakika nyimbo zake hua zinanituliza akili nikianza kuzisikiliza
Maana zinaingia kwenye mishipa ya damu
Hakika huyu ni bonge la legendary mkubwa sana i love him so much
Good voice 20% natural 👏👏
Kaka we unajua mziki
Namkubali sana huyu jamaa kwanza vitu vyake vyote vinaelimisha sana kwetu bangi likikubar halimtupi mtu piga kazi %20
Da huyu mtu ametunza sauti ,mpaka Leo ipo vizuri,
MI NI UPCOMING ARTIST PIA,,LAKINI 20% NAKUKUBALI MPAKA KESHO,,I CAN'T EVEN EXPLAIN THE FEELING BRO!! WEWE NI MAANA HALISI YA LEGEND!!! MAISHA MAREFU SANA
20 yani nalia nikisikia nyimbo zako kbs na flm ya nema kbs upagawe kabisa Asante sana
20% nakupenda Sana naonaga nyimbo zako nafika mbari sana
20 nyimbo zako zitaishi miaka 1000 tizama mashabiki wanavo furahia nyimbo za Sasa ivi gidi hazinampango wowote
Legend always 💪💪
Asilimia ishirini,,,,,,,❤❤❤❤ kenya nakupenda sana
Hongera mkuu 20.nasisi warundi tu nyuma yako
Duuuuh!!nmejikuta nadanlod hizi nyimbo aiseee nakumbuka mbal Sanaaa,huyuuu Kaka ni msanii mkubwa sanaaa
Msanii kapiga show kistalabu sana hapo wengine ugesikia weka mikono hivi wakati nyimbo zao siyo za kucheza
😂😂😂😂😂
Huyu jamaa ni org clouds heb mchukuen japo kwenye fiesta haf mtanambia atakacho fanya
Utu sio vazi roho mjinga wew
Dah nafrahi sana kumuonaga huyu bro akiskika tena maana tulimic kipaji chako tulimic mziki wako pia nafrahi kwakua tupo wengi ambao tunaendelea kukuamini na wengi wanakushangilia wewe ni moto bro turejeshee vitamin music tena
Aendelee kupewa heshima yake daima🙏🙏🙏
Huyu ndio msanii wang boraa wa muda woote💪💪
Yaaa ukizingumzia wasaniii ambao sjawahi kuchoka nyimbo zake nyimbo nzuri zinaishi pia zinagisa kabisa maisha yetu yote ya mtaani kak mungu akupe maisha marefu sana
Mimi 20 kwakweli nikimsikliza Anita machozi
😢❤legend as always
Daah sijui nyota, msanii Mkubwa ambaye historia yako inajieleza
Dunia inamambo mengi sanaaa
Dunia kweli inazunguka😞
Yani always nazimiss sana nyimbo zake test nyimbo forever
Love from burundi
Nyimbo za way back zinaishi mpaka leo
Mungu ampe maisha marefu hii ni tunu yetu
Uyo ndio anaweza kushinda na simba kibongoo
Félicitations mon frère
NDUGU HUJAKOSEA ILA WATU WAMETAWALI NA NYIMBO ZAMATUSI NI NYIMBO AMBAZO HAZISHI ILA KWA NYIMBO 20PA NOMA SAMA
Twenty atabaki kuwa mkali wa Tanzania miaka na miaka
Twenty power anaweza kweli kwake hakuna mpinzani
Aisey kumbe Bado yupoo
Fire 🔥 🔥🔥❤️❤️❤️👍
20℅ pacent ni hazina ya nchi
Mameneja mko wapi msaidieni twenty wekezeni hela kwake bado anakitu
20bmkali wao milele
Kwa kwel 20 alimkosha mh rais mstaaf nani anabisha jamn,,,,?!?
Na ndio inatakiwa iwe hivyo, wimbo uguse hisia za hadhira. Thanks 20 pa
Big brain
20% percent unaua sio poa akuna ata tusi
Be blessed 20%
Jamaa anajua haujifichi yaan
Huyu mwamba nyimbo zake Bado zipo so hot
Good music brother 20 p
Bad man 20 pacent atareeeee💪💪❤️
napenda sana mziki wa zamani kama huu
Waoooo😢❤🔥🔥🔥
Nikiskiza nyimbo hiz mbaka mwil unanisisimkaa😍😍
Uko kama mie jamani,yaani mpaka Raha!!!
Mfuniko ni 20: miaka lak. Wengine matusiiii tupu.
Asirimahire 20% nyimbo zako zote nzuri sana ,nakumbuka bado kambini Nyarugusu nyimbo zako zote zilivuma vibaya binamu alipenda mama neema mpaka walimpanga baba neema.
SAIVI UTASKIA
GIDI!! GIDI!! GIDI!!
GAGA!! GAGA!!
Mpuuzi mtupu😁😁😁😁😠😠😠😡🤬😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😬😬😬😬
Nakukubali sana
Much love 😻
Namkubali huyu mwamba kuliko wasanii wote kwa hii dunia
Munngu akuinnuwe kaka 20%
20% fund sana ww bigup mwamb
Pongezi mwamba
2024🎉
Kaka kazi unaweza sema hyo Shetan aliyo kupanda ndio kahalib kila kitu
Noma sana mwamba
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Motoooooo hot 🥵🥵🥵🥵🥵🥵
20% uyu ndio kioo cha jamii ..2022 here we go
Mwambaaaa 20 paaaa ni firee ase
Super Nyota 💥💥💥💥20 percent
jamani tunampenda musani huyo adileo tunaomba muturushie nyimbo ya sasa ya mwaka wa 2022 🙏🙏🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪
jakaya anapelekwa na vibe la banged sema ndoiv 😂😂😂😂
Nampenda hatar
Daaaaa nakumbuka mbali
Rudi baba mimi mukonkomani
%20🙌🙌🙌azichuji
Katka wasanii wote kwenye show hii huyu ndio alifanya kweli kwa wote waliokuwepo hapa
Noma San,Huyu jamaa afanye arudi kwnye sanaa
Kizaz sn hii
🔥🔥🔥👌👌👌huyu jamaa ni konyooooo
😂😂😂😂😂😂
Dah 🥰🥰
Unajua sana
Nakubari sana
Mumusapoti.nikwaza.tanzaniy
Noma kweli
Nzur sanaaaa
Ase anae jua ana jua2
Huyu jamaa hatumii uwezo alonao vyema. Ana heat songs na voco kali sana ila uwezo wake wa kupiga show ni mdogo na hasa matumizi ya hizi play back ndio zinazidi kumfanya awe mzembee.
Merci beaucoup
Living legend
Mzee wa kazi sasa utawaua wqtoto wa sasa mana umekuja na moto
naangalia hapa watu wanaimba huku wanafurahi tena wanaimba kwa hisia na sijaona 20 kuvua shati ,kuwamwagia watu maji ,kuwaambia watu wapige makelele mzee kikwete huyu twenty ni icon mpe njia
One love 20%
Noma sanaaa
Nyimbo za brother zinahisia kwel
Good