BILLIONEA BAKHRESA AONYESHA UFAHARI WA NYUMBA ANAYOKAA YA MABILLIONI.ANAISHI KAMA YUPO PEPONI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • BILLIONEA BAKHRESA AONYESHA UFAHARI WA NYUMBA ANAYOKAA YA MABILLIONI.ANAISHI KAMA YUPO PEPONI
    #emailmarketing #insurance #harmonize

ความคิดเห็น • 107

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 3 หลายเดือนก่อน +6

    Mash Allah
    Allah amzidishie zaidi na zaidi na ampe nguvu ya kukumbuka waliokuwa hawana uwezo

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 3 หลายเดือนก่อน +6

    Allah yarzuk man yashaau bihair hisabu

  • @fatumashabani9122
    @fatumashabani9122 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah mwenyezimungu humzidishia amtakae

    • @bintikhamisi7806
      @bintikhamisi7806 3 หลายเดือนก่อน

      Soma sura Ash shuraa Aya ya 12 na pia Aya ya 19 utajuwa Allah ni Malikul mulk..Allah Akbar

  • @abdulkadirsheikhmohamed5
    @abdulkadirsheikhmohamed5 2 หลายเดือนก่อน +8

    MWAMBIE BAKHRESA ETI MTUME MOHAMED HAKUWA NA KITANDA HATA MOJA ALIKUA ANALAALIA JAMVI TU ALIJUA DUNIA HAINA MAANA HATA CHEMBE NA MTUME ALIKUA KIPEENZI WA ALLAH.

    • @ramadhanihamisi5596
      @ramadhanihamisi5596 2 หลายเดือนก่อน +3

      Aacha kumzushia mtume,

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 หลายเดือนก่อน +3

      Amekukosea nini?

    • @abdulkadirsheikhmohamed5
      @abdulkadirsheikhmohamed5 หลายเดือนก่อน

      @@issaalfani1030 Hajanikosea mimics lakini amekosea Dini ya Islamu ni Sunn ya Mtume Mohamad saw. Dini yeti haikubli majivuno na riyaa au kujionyesha nakupenda dunia kiasi kama Bakhresa.Sheitan andi Kenya kiburi.

    • @marlonointerior
      @marlonointerior หลายเดือนก่อน +1

      Ujinga tuuu wezio hawana dini Hawa kwakua wanajua dini ni uongo😂😂😂

    • @zeddybass6672
      @zeddybass6672 หลายเดือนก่อน

      Maneno ya kimaskini gred ya mwisho

  • @madarakaiddi
    @madarakaiddi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mshukuru Mungu KWA YOTE si KWA ujanja wako tukumbuke safari ya mwisho Mungu akuzidishie

  • @KaghuvaMsuya
    @KaghuvaMsuya 3 หลายเดือนก่อน +7

    Wee usidhalilishe Pepo haifananishwi na chchte tubu

  • @rajabungatanda630
    @rajabungatanda630 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sema tu anayo nyumba mzuri ya kifahari ya mabilioni
    Lkn usiseme kama yupo peponi
    Afikii kiwango cha peponi

    • @SayyidAhmadBaalawy
      @SayyidAhmadBaalawy 2 หลายเดือนก่อน

      Pepo ni moja hupati pepo mbili wala usijidanganye..😮😮

    • @Dfamilysingers
      @Dfamilysingers หลายเดือนก่อน

      Nani aliewahi kupaona peponi kaka

  • @abaskhatoon9425
    @abaskhatoon9425 3 หลายเดือนก่อน +3

    UZURI WAKE NI ANAJUA PIA KUTOA KUSAIDIA NA KUWAJIBIKA.ALLAH KARIM.NI MTU MWEMA NA MTANZANIA .

  • @HawaMkanda
    @HawaMkanda 2 หลายเดือนก่อน

    Mwezimungu akampa alhmdulilahi mungu amkumbushe kufanya ya ahela

  • @SultanKeys1
    @SultanKeys1 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah

  • @HashmaSalim
    @HashmaSalim หลายเดือนก่อน +1

    Bro Kwan umeshawah kufka peponi au ndio u chawa.acha kukufuru,.anaishi kifahar Ila sio Kama Yuko peponi masalaam

  • @MuhamedAjigar-dw9ve
    @MuhamedAjigar-dw9ve 2 หลายเดือนก่อน

    Mm naona upande hospital na upande duka la magari uwanja wa mazoezi aina uzuri wowote mambo yamezidi mengi ndani lkn alhamdulilah

  • @Rukiasijahi
    @Rukiasijahi หลายเดือนก่อน

    Pepo haiwezi kufanania na kit chcht hap dunian pepo anae juwa mungu mwenyew

  • @saadaahmada7600
    @saadaahmada7600 2 หลายเดือนก่อน +2

    Acha uongo hata uishi vipi uwe Na uwezo gani ila pepo haita fanana kabisa, chezea pepo wee! (ACHA UONGO)fisadi wee

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 3 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah

    • @alimuhamed1830
      @alimuhamed1830 3 หลายเดือนก่อน

      Maneno umeyamaliza baba

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 3 หลายเดือนก่อน

      Pazuri sana ❤️❤️

  • @samwellwiza1098
    @samwellwiza1098 2 หลายเดือนก่อน

    Wanawapa sadaka maskini kila siku waache waishi maisha yote mazuri....hatuwadai

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 หลายเดือนก่อน +1

    Duka la magari au nyumba ya kuishi

  • @ZainaRashid-t3m
    @ZainaRashid-t3m 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu humps amtakae na kwa wakati autakaona humnyima amtakae kwa wakati autakaona

  • @NassourBimkubwq
    @NassourBimkubwq 2 หลายเดือนก่อน

    Siwote, kama lazima kukicha tuagize vitu vya bakharesa. Wengine asubuhi muhogo jioni ubwabwa wa nguvu za masikini.

  • @ErickMacha-sb2ot
    @ErickMacha-sb2ot 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda wapambanaji

  • @ErastoMhozya
    @ErastoMhozya 26 วันที่ผ่านมา

    mtu akiwa juu yako kimaisha huyo yupo tu na pepo zinaanziaga duniani maana ndipo tunapo ishi

  • @MASHIRAMADHAN
    @MASHIRAMADHAN 2 หลายเดือนก่อน

    Sheria haijamkataza kikubwa ni ajuwe haki za Mwenyeezi mungu na kuzifanyia kazi

    • @abdulkadirsheikhmohamed5
      @abdulkadirsheikhmohamed5 หลายเดือนก่อน

      @@MASHIRAMADHAN Allah ametuamrisha tufuate Sunna ya mtume.Na MTUME haku anajivuna na magari au kujionyesha na majumba.makubwa.Lazima yoshi vile alikua anaishi.

    • @maryammohammed2345
      @maryammohammed2345 หลายเดือนก่อน

      ​@@abdulkadirsheikhmohamed5jmn bn😅..swahaba othman alikuwa ni tajiri sana wala mtume hakuwahi mwambia tupa kila kitu ishi kma mm ..mungu kaunba matajiri na kawaamuru watoe sadaka na zaka kwa ajiliya maskini wala hajasema kuwa wakiwa nazo watupe....nabii suleiman alaihi ssalam yy alikuwa tajiri mno hadi sakafu ake ilikuwa ni ya madini wasema alikuwa na majivuno ama ..hmn rudi kasome uzur usimzushie mtume kijana

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 26 วันที่ผ่านมา

    Nan anakufahamu peponi? Acheni kudanganya watu bhana huyo yupo duniani tu na akifa anazikwa kama sisi tu! Acheni kukufuru

  • @RashidiHamza
    @RashidiHamza หลายเดือนก่อน

    Mwenyezimu anasema hiyo report ukubwa wake nikama ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba imefika ukubwa huo kama haijafika funga mdomo kuhusu pepo

  • @nasrihussein4293
    @nasrihussein4293 2 หลายเดือนก่อน

    Unajua pepe sio karatasi ni mahala watu wazuri watakapoende bro hatubabaiki na ya dunia mungu atatupea ya akhera paradise tutaishi tukila zaituni na anabu forever inshaallah mungu amempa ya dunia Allah atupe ya paradise akhira

  • @Official_Nilamz
    @Official_Nilamz 10 วันที่ผ่านมา

    POTEZENI MUDA KUKOSANYA MALI MTAZIACHIA WATU WENU NA SISI TUTAWAULIZA MLIZIPATAJE

  • @kelvinmisso4145
    @kelvinmisso4145 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo ndugu mwandishi peponi ndo ipo hivi?

  • @003peaceboykenya
    @003peaceboykenya ปีที่แล้ว +2

    Wow

  • @tajiliwamadeni
    @tajiliwamadeni หลายเดือนก่อน

    Kikubwa pumzi mengine majaliwa

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 3 หลายเดือนก่อน +2

    Ni bandia za dunia tupu!🤔

    • @teyizwilfred429
      @teyizwilfred429 หลายเดือนก่อน

      Msifie mzee aliumiza kichwa na Bado mpaka Sasa anapambana

  • @khalidimponela279
    @khalidimponela279 24 วันที่ผ่านมา

    Hii nyumba ipo wap mkuu

  • @IsackSamwel-nx1xp
    @IsackSamwel-nx1xp 3 หลายเดือนก่อน

    Naomba kazi 4:47 4:50

  • @ShukuruTamla-lp6tm
    @ShukuruTamla-lp6tm 3 หลายเดือนก่อน +1

    Stupid hujaongea Cha maana rudi chuoni ukasome stupid umeongea ujinga unama😅liza bando zetu bure.

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 3 หลายเดือนก่อน

    Onyesha ya kwako bhana ya Bahresa yanakuhusu nini.

  • @NaziruIddy
    @NaziruIddy 2 หลายเดือนก่อน +1

    We ni muongo mbona hatumuoni tutaaminije sasa

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 2 หลายเดือนก่อน

    NI makinini hata hi video NI ya kimaskini haina gharama kubwa ndio maana haioneshi bizurip

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 28 วันที่ผ่านมา

    Yote ni bureeee,kifo kipo palepale

  • @RenatusYuda
    @RenatusYuda 8 วันที่ผ่านมา

    Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ni kutangaza uahamba.Mbona zipo nyumba nyingi za hivyo duniani.

    • @MzeeMkoloni
      @MzeeMkoloni 3 หลายเดือนก่อน +2

      Wakati mwingine jifunze kunyamaza pita kimya kimya kwani utakuwa umepungukiwa nn???????!!!!!!!

    • @RashidNdege
      @RashidNdege 3 หลายเดือนก่อน +2

      Acha wivu ww,haujaambiwa hakuna iyo ni ya omar baharesa,

    • @RashidNdege
      @RashidNdege 3 หลายเดือนก่อน

      Washazoea za diamond uwa awasemi waona roise roise mbili hapo tena zile bei mbaya naajitangazi dogo

  • @IsmailJumatanu
    @IsmailJumatanu 2 หลายเดือนก่อน

    Hajuwi anacho kisema

  • @mayazamzam7274
    @mayazamzam7274 3 หลายเดือนก่อน

    Unataka aishi wapi?

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 3 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @DanielSanga-w9y
    @DanielSanga-w9y 19 วันที่ผ่านมา

    Ww inakuhusu nn

  • @Zainab-f9w5x
    @Zainab-f9w5x 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mali ya dunia

  • @sweetplacidnkya4863
    @sweetplacidnkya4863 3 หลายเดือนก่อน +2

    Msisifietafuteni vyenu

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 หลายเดือนก่อน

    Anaishi ulaya au

  • @eugenkiwale
    @eugenkiwale 2 หลายเดือนก่อน

    Kama hajamwamini Yesu na kuokoka ili asamehewe dhambi moto wa milele unamsubiri hamna lolote hapo kazi bure bila kuokoka

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 หลายเดือนก่อน

      Wivu utakuua

    • @abuuhanifah.1646
      @abuuhanifah.1646 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amuamini Yesu kama nani?
      Unajua kama Yesu mwenyewe alimuamini na kumuabudu Mungu huyo anaemuabudu Omar Bakhresa. Kama hulijui hilo, sema uonyeshwe aya za biblia (si ktk Quran)...huenda nawe siku moja ukasujudu kama alivyosujudu Yesu na waislamu wengine zama zote duniani

    • @mubaarakhassani5746
      @mubaarakhassani5746 2 หลายเดือนก่อน

      Eti yesu ndio nini

    • @ErastoMhozya
      @ErastoMhozya 26 วันที่ผ่านมา

      acha umasikini huo ndio maana mnaendeshwa na kiboko ya wachawi

  • @AishaUpendo
    @AishaUpendo 3 หลายเดือนก่อน +1

    kwer uko Kama pepon

    • @MamuduAziz-h1z
      @MamuduAziz-h1z 3 หลายเดือนก่อน

      Ndio unajua leo, pepo ipo hapa hapa aridhini ndio maana viongozi wa dini wanaishi vizuri kwa michango y misikitini na makanisani embu nambie mfalume gani maskini duniani

    • @Zainab-f9w5x
      @Zainab-f9w5x 3 หลายเดือนก่อน

      Mali ya dunia

  • @Is-hakaRuweikh-k9s
    @Is-hakaRuweikh-k9s 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 20 วันที่ผ่านมา

    Uamini je? Mali zake tosha unazoziona azamu tv pekee ushutuki kuwa huyu ni biliionea

  • @RenatusYuda
    @RenatusYuda 8 วันที่ผ่านมา

    Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?

  • @ErastoMhozya
    @ErastoMhozya 26 วันที่ผ่านมา

    shida za hapa duniani ndio jahanamu yetu na raha za hapa duniani ndio pepo na vyote hivyo mkuu wake ni fedha

  • @jakayajuma9867
    @jakayajuma9867 วันที่ผ่านมา

    Wew nyumba ya baba iyo sio mtoto toka we

  • @SuleimanKhamis2024
    @SuleimanKhamis2024 2 วันที่ผ่านมา

    Akumbuke mayatima nawajane

  • @galluskanenge4898
    @galluskanenge4898 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂 mbona hata chungu hujenga zikabomoka 😂😂

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaiyo tufanyeje sasa

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 20 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kupigia maana cc tunataka tufanane kitu hicho hakuna mwenyezi mungu azido kumubarika hajalishi Nina Hali gani tuachane na wivu usio na tiba comment hujalazimishwa

    • @DotoFlavian
      @DotoFlavian 10 วันที่ผ่านมา

      Pesa alizotoa mahari kuoà si angenunua kitanda

    • @AdaniMohamedi
      @AdaniMohamedi 7 วันที่ผ่านมา

      Mashallah

  • @RashidiHamza
    @RashidiHamza หลายเดือนก่อน

    Mungu anasema hiyo pepo ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba unayosema nikama pepo imefika ukubwahuo usilopoke kuhusu pepo

  • @RaibebeBebe
    @RaibebeBebe 2 หลายเดือนก่อน

    Haya yote ni mapambo ya dunia mimi na wewe tusisahau akhra vyote hivi tutaviacha

  • @AshaAli-u3w
    @AshaAli-u3w 2 หลายเดือนก่อน

    Nyumba yote kubwa hivyo au ndio kwa ajili ya maonyesho kama hivo kupiga picha

  • @pelican752
    @pelican752 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hivo vyote ni dunia tuu

    • @ProsperUlungi
      @ProsperUlungi 3 หลายเดือนก่อน +1

      Kauli za kimaskini hizo😂😂

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 28 วันที่ผ่านมา

    Mbora mbele ya Allah ni mcha Mungu

  • @salimfaraj5509
    @salimfaraj5509 2 หลายเดือนก่อน

    Akumbuke kunakufa asimsahau mola wake

  • @KhalifanRashid
    @KhalifanRashid 2 หลายเดือนก่อน

    Mbna zote na kongwe Hana gari mpya

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 2 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah Mungu amjalie na pepo ya akhera pia

  • @godlovemalekela17
    @godlovemalekela17 2 หลายเดือนก่อน

    Unaijua Pepo wew kaa Kimya na zambi zako kama zangu

    • @floramsacky3929
      @floramsacky3929 หลายเดือนก่อน

      Tutafika mbinguni tumechoka sana

  • @abdulkadirsheikhmohamed5
    @abdulkadirsheikhmohamed5 2 หลายเดือนก่อน

    HATA KAMA ANA NYUMBA KUU KAMAHII YA FAHARI HAINA MAANA SANA KABURI INAMNGOJA NI NI FT 4 TU NA KABURI NI GIZA SANA ATAKUA NDANI PEKE YAKE TU BILA BWAKE NA MAGARI YA FAHARI.

  • @RenatusYuda
    @RenatusYuda 8 วันที่ผ่านมา

    Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?

  • @AristidesJustin-ik7lc
    @AristidesJustin-ik7lc 3 หลายเดือนก่อน

    7j 3:58 3:59 6

  • @frankd1156
    @frankd1156 3 หลายเดือนก่อน +6

    Nyumba kama hospitali....kama chumba cha operation .Hujaona nyumba duniani

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 ปีที่แล้ว +1

    Haven in earth 🌏

  • @khalifakhatibu5123
    @khalifakhatibu5123 2 หลายเดือนก่อน

    Ishalla mwenyezimungu!
    Amsame makosayak
    Akunamkamilifu duniani tumuhombe duanjema
    Jamani azidikutenda mema