MWAMBIE BAKHRESA ETI MTUME MOHAMED HAKUWA NA KITANDA HATA MOJA ALIKUA ANALAALIA JAMVI TU ALIJUA DUNIA HAINA MAANA HATA CHEMBE NA MTUME ALIKUA KIPEENZI WA ALLAH.
@@issaalfani1030 Hajanikosea mimics lakini amekosea Dini ya Islamu ni Sunn ya Mtume Mohamad saw. Dini yeti haikubli majivuno na riyaa au kujionyesha nakupenda dunia kiasi kama Bakhresa.Sheitan andi Kenya kiburi.
@@MASHIRAMADHAN Allah ametuamrisha tufuate Sunna ya mtume.Na MTUME haku anajivuna na magari au kujionyesha na majumba.makubwa.Lazima yoshi vile alikua anaishi.
@@abdulkadirsheikhmohamed5jmn bn😅..swahaba othman alikuwa ni tajiri sana wala mtume hakuwahi mwambia tupa kila kitu ishi kma mm ..mungu kaunba matajiri na kawaamuru watoe sadaka na zaka kwa ajiliya maskini wala hajasema kuwa wakiwa nazo watupe....nabii suleiman alaihi ssalam yy alikuwa tajiri mno hadi sakafu ake ilikuwa ni ya madini wasema alikuwa na majivuno ama ..hmn rudi kasome uzur usimzushie mtume kijana
Mwenyezimu anasema hiyo report ukubwa wake nikama ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba imefika ukubwa huo kama haijafika funga mdomo kuhusu pepo
Unajua pepe sio karatasi ni mahala watu wazuri watakapoende bro hatubabaiki na ya dunia mungu atatupea ya akhera paradise tutaishi tukila zaituni na anabu forever inshaallah mungu amempa ya dunia Allah atupe ya paradise akhira
Amuamini Yesu kama nani? Unajua kama Yesu mwenyewe alimuamini na kumuabudu Mungu huyo anaemuabudu Omar Bakhresa. Kama hulijui hilo, sema uonyeshwe aya za biblia (si ktk Quran)...huenda nawe siku moja ukasujudu kama alivyosujudu Yesu na waislamu wengine zama zote duniani
Ndio unajua leo, pepo ipo hapa hapa aridhini ndio maana viongozi wa dini wanaishi vizuri kwa michango y misikitini na makanisani embu nambie mfalume gani maskini duniani
Hakuna kupigia maana cc tunataka tufanane kitu hicho hakuna mwenyezi mungu azido kumubarika hajalishi Nina Hali gani tuachane na wivu usio na tiba comment hujalazimishwa
HATA KAMA ANA NYUMBA KUU KAMAHII YA FAHARI HAINA MAANA SANA KABURI INAMNGOJA NI NI FT 4 TU NA KABURI NI GIZA SANA ATAKUA NDANI PEKE YAKE TU BILA BWAKE NA MAGARI YA FAHARI.
Mash Allah
Allah amzidishie zaidi na zaidi na ampe nguvu ya kukumbuka waliokuwa hawana uwezo
Allah yarzuk man yashaau bihair hisabu
Mashallah mwenyezimungu humzidishia amtakae
Soma sura Ash shuraa Aya ya 12 na pia Aya ya 19 utajuwa Allah ni Malikul mulk..Allah Akbar
MWAMBIE BAKHRESA ETI MTUME MOHAMED HAKUWA NA KITANDA HATA MOJA ALIKUA ANALAALIA JAMVI TU ALIJUA DUNIA HAINA MAANA HATA CHEMBE NA MTUME ALIKUA KIPEENZI WA ALLAH.
Aacha kumzushia mtume,
Amekukosea nini?
@@issaalfani1030 Hajanikosea mimics lakini amekosea Dini ya Islamu ni Sunn ya Mtume Mohamad saw. Dini yeti haikubli majivuno na riyaa au kujionyesha nakupenda dunia kiasi kama Bakhresa.Sheitan andi Kenya kiburi.
Ujinga tuuu wezio hawana dini Hawa kwakua wanajua dini ni uongo😂😂😂
Maneno ya kimaskini gred ya mwisho
Mshukuru Mungu KWA YOTE si KWA ujanja wako tukumbuke safari ya mwisho Mungu akuzidishie
Wee usidhalilishe Pepo haifananishwi na chchte tubu
Sema tu anayo nyumba mzuri ya kifahari ya mabilioni
Lkn usiseme kama yupo peponi
Afikii kiwango cha peponi
Pepo ni moja hupati pepo mbili wala usijidanganye..😮😮
Nani aliewahi kupaona peponi kaka
UZURI WAKE NI ANAJUA PIA KUTOA KUSAIDIA NA KUWAJIBIKA.ALLAH KARIM.NI MTU MWEMA NA MTANZANIA .
Mwezimungu akampa alhmdulilahi mungu amkumbushe kufanya ya ahela
Mashaallah
Bro Kwan umeshawah kufka peponi au ndio u chawa.acha kukufuru,.anaishi kifahar Ila sio Kama Yuko peponi masalaam
Mm naona upande hospital na upande duka la magari uwanja wa mazoezi aina uzuri wowote mambo yamezidi mengi ndani lkn alhamdulilah
Pepo haiwezi kufanania na kit chcht hap dunian pepo anae juwa mungu mwenyew
Acha uongo hata uishi vipi uwe Na uwezo gani ila pepo haita fanana kabisa, chezea pepo wee! (ACHA UONGO)fisadi wee
MashaAllah
Maneno umeyamaliza baba
Pazuri sana ❤️❤️
Wanawapa sadaka maskini kila siku waache waishi maisha yote mazuri....hatuwadai
Duka la magari au nyumba ya kuishi
Mungu humps amtakae na kwa wakati autakaona humnyima amtakae kwa wakati autakaona
Siwote, kama lazima kukicha tuagize vitu vya bakharesa. Wengine asubuhi muhogo jioni ubwabwa wa nguvu za masikini.
Napenda wapambanaji
mtu akiwa juu yako kimaisha huyo yupo tu na pepo zinaanziaga duniani maana ndipo tunapo ishi
Sheria haijamkataza kikubwa ni ajuwe haki za Mwenyeezi mungu na kuzifanyia kazi
@@MASHIRAMADHAN Allah ametuamrisha tufuate Sunna ya mtume.Na MTUME haku anajivuna na magari au kujionyesha na majumba.makubwa.Lazima yoshi vile alikua anaishi.
@@abdulkadirsheikhmohamed5jmn bn😅..swahaba othman alikuwa ni tajiri sana wala mtume hakuwahi mwambia tupa kila kitu ishi kma mm ..mungu kaunba matajiri na kawaamuru watoe sadaka na zaka kwa ajiliya maskini wala hajasema kuwa wakiwa nazo watupe....nabii suleiman alaihi ssalam yy alikuwa tajiri mno hadi sakafu ake ilikuwa ni ya madini wasema alikuwa na majivuno ama ..hmn rudi kasome uzur usimzushie mtume kijana
Nan anakufahamu peponi? Acheni kudanganya watu bhana huyo yupo duniani tu na akifa anazikwa kama sisi tu! Acheni kukufuru
Mwenyezimu anasema hiyo report ukubwa wake nikama ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba imefika ukubwa huo kama haijafika funga mdomo kuhusu pepo
Unajua pepe sio karatasi ni mahala watu wazuri watakapoende bro hatubabaiki na ya dunia mungu atatupea ya akhera paradise tutaishi tukila zaituni na anabu forever inshaallah mungu amempa ya dunia Allah atupe ya paradise akhira
POTEZENI MUDA KUKOSANYA MALI MTAZIACHIA WATU WENU NA SISI TUTAWAULIZA MLIZIPATAJE
Kwa hiyo ndugu mwandishi peponi ndo ipo hivi?
Wow
Kikubwa pumzi mengine majaliwa
Ni bandia za dunia tupu!🤔
Msifie mzee aliumiza kichwa na Bado mpaka Sasa anapambana
Hii nyumba ipo wap mkuu
Naomba kazi 4:47 4:50
Stupid hujaongea Cha maana rudi chuoni ukasome stupid umeongea ujinga unama😅liza bando zetu bure.
Onyesha ya kwako bhana ya Bahresa yanakuhusu nini.
We ni muongo mbona hatumuoni tutaaminije sasa
NI makinini hata hi video NI ya kimaskini haina gharama kubwa ndio maana haioneshi bizurip
Yote ni bureeee,kifo kipo palepale
Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?
Huu ni kutangaza uahamba.Mbona zipo nyumba nyingi za hivyo duniani.
Wakati mwingine jifunze kunyamaza pita kimya kimya kwani utakuwa umepungukiwa nn???????!!!!!!!
Acha wivu ww,haujaambiwa hakuna iyo ni ya omar baharesa,
Washazoea za diamond uwa awasemi waona roise roise mbili hapo tena zile bei mbaya naajitangazi dogo
Hajuwi anacho kisema
Unataka aishi wapi?
Nice
Ww inakuhusu nn
Mali ya dunia
Msisifietafuteni vyenu
Nimekuelewa
Anaishi ulaya au
Acha ushamba
Kama hajamwamini Yesu na kuokoka ili asamehewe dhambi moto wa milele unamsubiri hamna lolote hapo kazi bure bila kuokoka
Wivu utakuua
Amuamini Yesu kama nani?
Unajua kama Yesu mwenyewe alimuamini na kumuabudu Mungu huyo anaemuabudu Omar Bakhresa. Kama hulijui hilo, sema uonyeshwe aya za biblia (si ktk Quran)...huenda nawe siku moja ukasujudu kama alivyosujudu Yesu na waislamu wengine zama zote duniani
Eti yesu ndio nini
acha umasikini huo ndio maana mnaendeshwa na kiboko ya wachawi
kwer uko Kama pepon
Ndio unajua leo, pepo ipo hapa hapa aridhini ndio maana viongozi wa dini wanaishi vizuri kwa michango y misikitini na makanisani embu nambie mfalume gani maskini duniani
Mali ya dunia
Mashaallah
Uamini je? Mali zake tosha unazoziona azamu tv pekee ushutuki kuwa huyu ni biliionea
Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?
shida za hapa duniani ndio jahanamu yetu na raha za hapa duniani ndio pepo na vyote hivyo mkuu wake ni fedha
Wew nyumba ya baba iyo sio mtoto toka we
Akumbuke mayatima nawajane
😂😂 mbona hata chungu hujenga zikabomoka 😂😂
Kwaiyo tufanyeje sasa
Hakuna kupigia maana cc tunataka tufanane kitu hicho hakuna mwenyezi mungu azido kumubarika hajalishi Nina Hali gani tuachane na wivu usio na tiba comment hujalazimishwa
Pesa alizotoa mahari kuoà si angenunua kitanda
Mashallah
Mungu anasema hiyo pepo ukubwa wake nikama mbingu na arizi je hiyo nyumba unayosema nikama pepo imefika ukubwahuo usilopoke kuhusu pepo
Haya yote ni mapambo ya dunia mimi na wewe tusisahau akhra vyote hivi tutaviacha
Nyumba yote kubwa hivyo au ndio kwa ajili ya maonyesho kama hivo kupiga picha
Hivo vyote ni dunia tuu
Kauli za kimaskini hizo😂😂
Mbora mbele ya Allah ni mcha Mungu
Akumbuke kunakufa asimsahau mola wake
Mbna zote na kongwe Hana gari mpya
Masha Allah Mungu amjalie na pepo ya akhera pia
Unaijua Pepo wew kaa Kimya na zambi zako kama zangu
Tutafika mbinguni tumechoka sana
HATA KAMA ANA NYUMBA KUU KAMAHII YA FAHARI HAINA MAANA SANA KABURI INAMNGOJA NI NI FT 4 TU NA KABURI NI GIZA SANA ATAKUA NDANI PEKE YAKE TU BILA BWAKE NA MAGARI YA FAHARI.
Amekukosea nini?
Fukara huwa ana taabu
Anaishi kama peponi, wewe ulisha ishi peponi ukapajuwa palivyo?
7j 3:58 3:59 6
Nyumba kama hospitali....kama chumba cha operation .Hujaona nyumba duniani
Haven in earth 🌏
Ishalla mwenyezimungu!
Amsame makosayak
Akunamkamilifu duniani tumuhombe duanjema
Jamani azidikutenda mema