ZINGATIA: Majibu ya kipimo yanatakiwa kusomwa ndani ya dakika 15-30. Kama utawahi sana au utachelewa kusoma majibu, unaweza ukapata majibu yasiyo sahihi. Kwa mfano: ukikiacha kipimo kwa muda mrefu, kuna mistari mingine inayoonekana kwa mbali inaweza ikajitokeza.
Kama unahitaji ushauri kitaalamu au una swali kuhusu maswala ya mzunguko wa hedhi, Uzazi au Afya kiujumla, tutumie message WhatsApp kwenye namba 0717 442 590
Samqahan naomba kuuliza kama umepima majib yakqtoka vizuri mstqr mmoja lakin baada ya masaa matat au zaid kipimo kikabadilika shida inakua nn kwamaana ikatokeq mistar miwili
Abou Hamidu ndio, ni muhimu sana mtu mwenye VVU akazingatia dawa na kumeza kila siku. Hii husaidia kupunguza makali ya VVU, na mtu kuendelea kuishi kawaida
Usihofu, majibu ya kipimo yanatakiwa kusomwa ndani ya dakika 15-30. Baada ya hapo mistari mingine inaweza ikajichora na hivyo kutoa majibu yasiyo sahihi.
Ndio. Vipimo vya kawaida vya UKIMWI huwa vinaanza kuonyesha kama mtu ana UKIMWI miezi mitatu baada ya mtu kupata UKIMWI. Na ndio maana ukienda hospitali kucheck wakakuta negative huwa wanakwambia rudi tena kupima baada ya miezi mitatu.
@@dottokasimu1504 hapo inategemeana na aina ya kipimo cha UKIMWI kinachotumika. Kuna vipimo vingi vya kawaida huwa vinaonyesha baada ya miezi mitatu. Lakini kuna vipimo vyenye uwezo mkubwa vyenyewe huwa vinaweza vikaonyesha kabla hata ya miezi mitatu.
Samahani kwa kuuliza.. inawezekana mtu kujipima ukimwi kwa damu pekee bila bafer na majibu yakatoka sawa??? Naomba mnisaidie kwa hapa tafadhali mimi nilijipima bila kutumia bafer ilikuwa ni damu tuu ba ikaleta majibu
Docta mm nliwah kumpeleka mtu ikatokea mistar miwil na nkaambiwa Hana ugonjwa au kuna sehemu malum ambazo ukiona hii mistar ndio mtu anakua mwasirika au sehemu yoyotetu ya kpimo ikiwa mistar miwil ni poztv?
Majibu ya hichi kipimo yanatakiwa yasomwe ndani ya dakika 20- 30. Hapa ndio utapata majibu sahihi. Lakini ikitokea kipimo kimekaa kwa muda mrefu, kuna mistari mingine inaweza kujichora na kukupelekea ukadhani kuwa mtu huyo alikuwa ni positive
Dah doct nimekubali sana kuna siku nilimpima mtu kama kawaida lakini kipimo kilikaa muda mrefu kikanishangaza sana tayar nilikuwa nimeshamtumia kuna mistar kwa ndan inaonekana mmoja ndio ulikuwa mwekundu niliogopa sana lakini nimeshagundua asante sana doct ndg yko majidi Namanka drc congo mtanzania
Mtu mweny tb or gono akipim ukimw kwenye hicho kipimo ch kawaida anakutwa imo but ukienda hospital kunakuaga n vipimo vyao ukipimw kule unapata majibu y uhakika so bora uende hospitl moja kwa moja
Usipo weka hayo maji hakisomi mm nimesha jaribu mara kumi lakini nilivyo kuja kudondosha tome kubwa la maji kilianza kutembea mfano wa alivyo onyesha hapo na kilipiga mstari mmoja kama alivyo onyesha hapo ila changa moto iliyopo nikusubir majibu hapo ndo unaweza kukiacha uka kikimbia
Dr unaweza kuishi na mtu mwenye ukimwi? Mwanaume anatumia dawa ya H 124 harafu hakwambii kama yeye ni mwasilika,ikatokea umeviona vidonge anatumia bila kukushilikisha je utakuwa na imagine anyone?
Ivi vipimo nasikiaga kuna mda mwingine vinakosea yaan unawwza kupima ukaonekana unao alafu ukienda kurudia tena siku nyingine ukipima unaambiwa huna no kweli? Maana mpka naogopa kupima
Jee? kama huyu mtu amepata maambukiz anaweza julikana kama ana maambukizi mara nyingine tunaowa tunasema lazima tupime inakuwaje hapo doct samahani Naitwa majidi niko congo ni mtanzania
Kama mtu ana maambukizi akipima kwa kutumia hichi kipimo kitaonyesha kuwa anayo. Na kwa uhakika zaidi, kama mtu alipima akaonekana ni negative anaweza kurudia kupima tena baada ya miezi mitatu.. kikionyesha kuwa hana basi kweli hana
ZINGATIA: Majibu ya kipimo yanatakiwa kusomwa ndani ya dakika 15-30. Kama utawahi sana au utachelewa kusoma majibu, unaweza ukapata majibu yasiyo sahihi.
Kwa mfano: ukikiacha kipimo kwa muda mrefu, kuna mistari mingine inayoonekana kwa mbali inaweza ikajitokeza.
Vinapatikana wapi?
@@allymuhammadi9497 unapatikana mkoa gani??
Kuonekana kwa hiyo mstari ya mali pia inaweza ikawa HIV maana mimi nimepima lakin naona mstari minne 4 nachanganyikia hata sielewi
@@kasimumaulidi7690 umesoma majibu baada ya muda gani?!
@@afyatips nilisoma majibu ndani ya dakika 15
Mwenyezimungu akubariki. Naomba utuandikie majina ya vifaa hivyo ktk usahh
Na Mimi na mpeziwangu nime Pima na Mimi umetoka msitari mmoja kwenye c lakin yeye misitary miwili kweny c na kwenye namba mbil VP dokta apoo
Hivi ukimwi unaweza kuupata kupitia salon wakati wa kuchonga endapo mashine hiyo ilitumika kumchonga mtu mweny maambukiz? Naombeni majibu please.
Huwezi pata ,
@@davidfrancis8582kwann huwez Pat why
Thanks kaka nataka nipime hapa nna kipimo.umeelkeza vzur sana ubarkiwe
Asante sana.
Umenunua wap natak nijue
Asante nimekuelewa
Karibu sana Topista
Asilimia kubwa hapa mliopima inaelekea mmechepukachepuka sana.... Bakini njia kuuu michepuko inaleta umasikini
😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😹😹 nimecheka
Kama unahitaji ushauri kitaalamu au una swali kuhusu maswala ya mzunguko wa hedhi, Uzazi au Afya kiujumla, tutumie message WhatsApp kwenye namba 0717 442 590
Kipimoni aina gan
Samqahan naomba kuuliza kama umepima majib yakqtoka vizuri mstqr mmoja lakin baada ya masaa matat au zaid kipimo kikabadilika shida inakua nn kwamaana ikatokeq mistar miwili
Weeeh Asante sana
Mm nilijipima ikakuja line moja nusu iko sawa
Good!
Thank you Frank
Ivi vpimo nivyakijinga unapima unajikuta Safi ukikiweka kwenye. Jua kinabadili majibu
nimependa mno maana nilikua sijui asante
Unaweza ukajioma mwenyewe ikaja mistri miwi nikenda sptl ukaja mmoja apo nnntatiz
Ulisoma majibu baada ya muda gani?
Mmmmh
Dr ukipima bila maji akileti majibu sahihi!!!
Je ni ni kweli muhathirika anatakiwa atumie dawa kila Yani asipitishe siku bila kutotumia je ni kweli Naitaji kujua kiongozi
Abou Hamidu ndio, ni muhimu sana mtu mwenye VVU akazingatia dawa na kumeza kila siku. Hii husaidia kupunguza makali ya VVU, na mtu kuendelea kuishi kawaida
Mbona me nilipima tng Juz hd leo mstari ni Mmoja tyuuu
Ni dakika ngapi majibu yanabaki kua sahihi na inawrza kubadili majibu baada yadakika izo kupitaa au itabaki na manibuyaleyale yakiwa
Mm nimepima lakini umekuja mstari mmoja umekooza lakini wapili unaonekana kwambali sana pia ni nusu na upo mwisho kwenye moja hii ni inakuaje
Una maambukizi tayari
Mmmh jaman pole umeisha
Úuuuuwiiiiiii😭😭
Nimepima na mpnz wangu leo lkn yake imeonyesha mstari mmoja umekolea mwingine umepauka nimemshaur arudie tena
Ni wazo zuri sana.
Ikiwezekana aende kituo cha afya akapime ili apate uhakika zaidi.
Kwann itokee ivyo dr
Tayari huyo, achana nae
Hahhahha eti umepauka hahaha daaah
Mkimbie huyo tayar kaumia dadekhiiii
Nimepima vizuri tuu uka tokea musitari mmoja nika subili wa pili wapi nika sepa job kuludi nakuta misitari mitatu miwili imefifi sasa do nini
Usihofu, majibu ya kipimo yanatakiwa kusomwa ndani ya dakika 15-30.
Baada ya hapo mistari mingine inaweza ikajichora na hivyo kutoa majibu yasiyo sahihi.
Yamenikuta Mimi nilipima hivyo hivyo ukatoka mstari mmoja nimelala kuamka asubuhi nakuta mistari mitatu nusu nianguke kwa mshtuko
@@fauziaherry2550 pole
Dah hivi vipimo kibo me mwenyew nilipima Ucku msat ulikua moja kuamka asubuh mistar mi ta3 presh ilipanda joto kama lote 😥😥
@@abigaelymahenge6915 pole sana
Kwa mfano mtu kafnya mapnz na mtuu mwenye vvu amekaa miezi 2 kaenda kupima kaonekana Yuko negative je ina umuhimu wa kwend kupima tena mwezi unao fata
Ndio. Vipimo vya kawaida vya UKIMWI huwa vinaanza kuonyesha kama mtu ana UKIMWI miezi mitatu baada ya mtu kupata UKIMWI.
Na ndio maana ukienda hospitali kucheck wakakuta negative huwa wanakwambia rudi tena kupima baada ya miezi mitatu.
Lakni siinawezakna mtu kupata ukimwi kama leo akakaa kama wiki kuenda kupima akaonekna anao au ndoo mpka miezu 3
Ndoo unaonekana kwani lazma miezi 3
@@dottokasimu1504 hapo inategemeana na aina ya kipimo cha UKIMWI kinachotumika.
Kuna vipimo vingi vya kawaida huwa vinaonyesha baada ya miezi mitatu. Lakini kuna vipimo vyenye uwezo mkubwa vyenyewe huwa vinaweza vikaonyesha kabla hata ya miezi mitatu.
Afya Tips na ikipita miezi mitatu huna inakuaje
Samahn dokta ukipm ukikut mistr miwil mmoj umekolea mwngn umepauk unaez kua na ukimw
Au ukiw na magnjw mengn ya zinaa ukipm itaonyesh mistr miwil
Mmh kwel ukiwa na magonjwa ya zinaa vinaonekn
@@lailathhussein4975 sawa lkn unaez kua huna ukimw
Je kipimo wakati wakisubir kikasheki mfano ukakitia ndani ya begi,mfuko,au hakijakaa sweya yani semu ambayo haiko sawa kinaweza kuleta majibu sahiii
Samahani kwa kuuliza.. inawezekana mtu kujipima ukimwi kwa damu pekee bila bafer na majibu yakatoka sawa??? Naomba mnisaidie kwa hapa tafadhali mimi nilijipima bila kutumia bafer ilikuwa ni damu tuu ba ikaleta majibu
Jamani Leo Nimepima HIV DAHHH IS NEGATIVE
Hongeraa!!
Jaman nyie hivo vipimo mnanunua wapi, havipatikani kama nyara za serikali
Dokta mfano umetia tu damu kwa harakaharaka imetika nying imengii pale dakika3 ikaja mistari 2 inakuwaje
@@tumastar9397 mmh sitk kukuvunja moyo nenda hospitl tu moja kwa moja huko ndo utapata uhakika
@@emmyaugustine4024 pharmacy
Mfano ukijitoboa bila kijisafisha kidole kuna shida
Vinapatikana wapi vipimo hivi
Unapatikana mkoa gani?!
Kwa mimi nipo dar ... Naomba kujuaa vinapatikana WAP hospital ama maduka ya dawa na bei ipoje?
Dokta ukisoma kuanzia dakika ya 3-15 unaweza pata majibu sahihi?
Je kipimo kinaweza kisionyeshe majibu mara ngap
hivi kwa mfano umetumia kipimo ambacho kimeexpire je kitaonyesha majibu kua umeadhirika au vipi doctor
Kwa sababu kitakuwa kimeexpire... hata majibu kitakayotoa yatakuwa sio ya kuaminika
@@afyatips eti nawez pima alafu nitumie maji yoyot
@@hawakimaya8482 hapana, tumia maji hayo yanayokuja na vipimo
Et kwa mtu alitumia Dozi wanasema Ukipima virus avionekani kuna ukwelii??
Ndio. Mtu akitumia dawa vizuri kuna kipindi huwa inafika virusi vinashuka kiasi kwamba hata akipimwa damu vinakuwa havionekani.
@@afyatips vinakuwa havionekani au vinasoma negative?
@@rodneylamai2847 vinakuwa havionekani kwenye tests so kipimo kinasoma negative
@@afyatips shukran
Unafaa kuwa mwalimu
Asante...
Ikitoke imesoma mistari 3 inakuaje
Kama sijajifuta kabla ya kujitoboa,alafu nikachukua damu nikaweka, kipimo kinaweza kutoa majibu sahihi??
Docta mm nliwah kumpeleka mtu ikatokea mistar miwil na nkaambiwa Hana ugonjwa au kuna sehemu malum ambazo ukiona hii mistar ndio mtu anakua mwasirika au sehemu yoyotetu ya kpimo ikiwa mistar miwil ni poztv?
Majibu ya hichi kipimo yanatakiwa yasomwe ndani ya dakika 20- 30. Hapa ndio utapata majibu sahihi. Lakini ikitokea kipimo kimekaa kwa muda mrefu, kuna mistari mingine inaweza kujichora na kukupelekea ukadhani kuwa mtu huyo alikuwa ni positive
Yeeeeeees, I'm healthy
Hicho kipimo kinaweza kuonesha maambukizi baada ya muda gani tangu kuambukizwa?
Miez mi3-
Mpk iwe nyeup kbis dam hizo hazionekn zinazopit Ila ss watu wanatum zikiw n dam
Dah doct nimekubali sana kuna siku nilimpima mtu kama kawaida lakini kipimo kilikaa muda mrefu kikanishangaza sana tayar nilikuwa nimeshamtumia kuna mistar kwa ndan inaonekana mmoja ndio ulikuwa mwekundu niliogopa sana lakini nimeshagundua asante sana doct ndg yko majidi Namanka drc congo mtanzania
ikitokea imekomea kwenye namb 1 inakuaje apo dokta
Damu ni lazima ya kidole?
Kipimo kina bei gan dukani?
Pharmacy nyingi huwa wanauza kati ya sh 3,000/= hadi sh 5,000/=
Et negative ikichora misitari miwili maan ake nn naomba jib samahani
tayr
Vifaa hivyo vinauzwa dukan
Ndio... ukienda kwenye maduka ya dawa (pharmacy) utapata
Matone mangapi?
Boniface Beatrice matone matatu
Je hayomaji yanaunzwa pamoja nakipimo au?
Ndio huwa yanauzwa na kipimo
Dawa yake Nini? Ww kma doctor ebu tueleze msitake kuachia Kila kitu madoctor wa kzungutu tu.
Kunywa mkojo wako utapona kaka @peter elisha
Mbona kikikaa masaa mengi km 12 kinaonesh n mistar mngne kwa kufifia nn maan yke?
Majibu sahihi ni ndani ya dakika 20 toka uweke maji
Na kma ikitokea vimejichora vimichirizi vitatu
Hiyo mistari mitatu yote imetokea imekolea??
Au kuna mingine haionekani vizuri?
Mingine imefifia momoj ndo umekolea
Yaan miwil imefifia mmoj umekolea
Majibu yanaweza yakaonyesha mstar mmoja lakini kikikaa sana kinajiweka cha pili kinakuwa kwa mbali hapo inakuwa vp
Ukishapima ni mda gan na uki2pe baada ya kupat majibu
Mtumwenye TB inawezekana akipima vvu asikutwe na vvu
Mtu mweny tb or gono akipim ukimw kwenye hicho kipimo ch kawaida anakutwa imo but ukienda hospital kunakuaga n vipimo vyao ukipimw kule unapata majibu y uhakika so bora uende hospitl moja kwa moja
Vipi kama utapima bila kuweka hyo buffer? Hutapata majibu sahihi?
Usipo weka hayo maji hakisomi mm nimesha jaribu mara kumi lakini nilivyo kuja kudondosha tome kubwa la maji kilianza kutembea mfano wa alivyo onyesha hapo na kilipiga mstari mmoja kama alivyo onyesha hapo ila changa moto iliyopo nikusubir majibu hapo ndo unaweza kukiacha uka kikimbia
Hi doctor ningependa kuuliza kwamba mtu anayetumia dawa akipima kupitia vipimo vya kawaid majibu yake yataonyesha vp
Yataonyesha kwamba yupo positive.
Dr unaweza kuishi na mtu mwenye ukimwi? Mwanaume anatumia dawa ya H 124 harafu hakwambii kama yeye ni mwasilika,ikatokea umeviona vidonge anatumia bila kukushilikisha je utakuwa na imagine anyone?
Sorry je utakuwa na imani nayo? Yani kuishi pamoja?
Subiri dakika 15-30.
Je ikitokea mitatu
Kuna kipimo kinaweza kuonyesha mstar mmj umekolea miwili imefifia hapo majb yake yapoje?
Doctor kalala mbele😆😆😆😆
@@peterelisha1828 duuuuuu
Ukiona doctor kala kona ujue mmh
Ikishapita dakika kumi na tano hayo mengine sio sahihi ndo maana unashauriwa majibu ndan ya dkk kumi na tano
Mataka kupima nitavipata wap ivo vipimia nipe maelekezi tafadhari dokta
Samahan kiongozi me nasumbuliwa na mishipa ya dam ya kichwa inaniuma sjui tatizo ni nn
Ivi vipimo nasikiaga kuna mda mwingine vinakosea yaan unawwza kupima ukaonekana unao alafu ukienda kurudia tena siku nyingine ukipima unaambiwa huna no kweli? Maana mpka naogopa kupima
hakuna kukoseaaa unao bwana 😆kipimo kinakosea vp jmn
Ata mm Kuna mdogo wangu tayali anatumia dawa ila kapima nne mara Tano ndio imeleta majibu
Jee? kama huyu mtu amepata maambukiz anaweza julikana kama ana maambukizi mara nyingine tunaowa tunasema lazima tupime inakuwaje hapo doct samahani Naitwa majidi niko congo ni mtanzania
Kama mtu ana maambukizi akipima kwa kutumia hichi kipimo kitaonyesha kuwa anayo. Na kwa uhakika zaidi, kama mtu alipima akaonekana ni negative anaweza kurudia kupima tena baada ya miezi mitatu.. kikionyesha kuwa hana basi kweli hana
kinauzwaje icho kipimo na je nakipata wap
Sorry kwani ukinunua hicho kipimo kwenye famance unapewa moja kwa moja hayo maji au hayo yanauzwa kivyake
Samahan dokta Kuna vifonde sivielew kutoka kwa mpenzi wangu dokta
Vidonge gani hivyo?!
@@afyatips samhana dokta naomba namba yako ya sim nikupigie doktq
Nitumie mesaage whatsapp kwenye namba 0717 442 590
@@afyatips saw dokta
@@afyatips doctor
Je ikiwa umepima ikitokea mistari mitatu?
Tayari
Uongo
Na kama ikitokea mistari mitatu?
Umesoma majibu baada ya muda gani?!
Et mtu mwenye vvu akiparua na kucha yake anaweza kukuambukiza
Rudi shule
NI muda gani natakiwa kusoma maji
ikaa poa sana
Kilimo cha kupima HIV kuchukua dakika 10-15dk zaidi ya hapo ni wrong results. Usije ukachanganyikiwa
Mmi nikipimaga inaniletea majibu ayaeleweki mbele Apo nimekaa Kama dakika 40 adi masaa 2 nashangaa kimebadlik naishia kuishiwa pozi
Ahsante maana nilipima juzi nikakaa dakiki 20 mstari ukatoka mmoja Sasa nilikitupa sehemu nikakuta Kama kinaniletea mambo meusi nimekivunja😂😂😂😂
@@calvinkimario1318😂😂😂😂 vinabadilika hivi, ukitupa utupe mbali kabisa
Mi nataka kupima lakini maji hayamo kwenye test nifanyeje?au nitmie ya kawaida?
Hapana usitumie maji ya kawaida.
Majibu utakayoyapata hayatakuwa ya uhakika
Je nikitumia injection water n sahihi?
hiko kipimo kinauzwa bei gan?
Huwa kinauzwa kati ya 4,000/= na 5,000/=
na je kupima hospitali au klinik wanatoza pesa au n bure?
@@levinastephano2961 kuna baadhi ya hospital wanatoza hela na baadhi ya hospital ni bure
@@afyatips sawa asante
@@afyatips duka LA dawa kipimo hakipatini au mpaka hospitali
Kwaiyo doctor kama una hiv ndani tatizo dk 15 mpka 30 ndo uleta mistali 2
Yes... ndani ya hizo dakika, mstari wa pili utajichora kama una HIV
Yani ukijichora baada ya dk 30 wapi umeathirika?
Kipimo kimoja kina weza tumiwa na watu wangapi
Kuna watu wanasema vipimo hivi vinadanganya je ni kweli?
ULINDULA ADAMSON hapana sio kweli.
Ukikitumia kipimo kwa usahihi, na kama kipimo hakijaexpire bado, kipimo kinatoa majibu ya kweli
Je kama kipimo kimeisha muda wake unajuaje
Huwa vinaandikwa expiry kwenye hiyo package yake, so hakikisha unaangalia expiry date kabla ya kukifungua na kukitumia
sorry ivo vipimo vinauzwa au mpaka ukapime