AY alianza kuwa nominated(KORA) nje kabla ya Bongo | Asisitiza Time management
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 พ.ค. 2024
- Sehemu ya tatu na ya mwisho ya mahojiano kati ya Bongo Project na AY.
#ay #bongoproject #bongofleva #tanzania #Kora Awards #kora
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org/
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
TikTok: / bongoproject
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org - บันเทิง
Time management bongo sahau...
😀
Huyu ndiye msanii ambaye namkubali sana, hana majivuno, hana mashauzi ya Kiingereza kingi kwenye mahojiano, vizuri sana.
Kwani majivuno yake yanakuhusu nini au yana ubaya gani?
Kipindi safi kuna vingi vya kuchukua
Shukrani
Sauti vipi ?
Sauti iko poa
Watu wasichojua ni kwamba Jay-Z mke wake ni msanii hivyo public wataonekana kama wafanya biashara
Hata huyo Jay Z anayemtolea mfano mbona anamwonesha mkewe na mtoto wao public? Ajibu swali kama yeye na mkewe bado wako sawa?
Maisha binafsi yanahusu nini katka humu
Mke wa huyo jayz nae ni msanii...so automatically lazima umjue