REV. DR. ELIONA KIMARO: FULFILL YOUR CALLING ( Masanja)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 221

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 ปีที่แล้ว +1

    Mch Kimaro Mungu asikuache Kwa maono hayo Asante Kwa somo la leo

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 ปีที่แล้ว +2

    Sijutii kutumia MB zangu kufuatilia hili, asante Yesu ww ujuaye maarifa na elimu tunayoihitaji sisi vijana wa kitanzania,Tujitafute tujipate😅😅😅

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 ปีที่แล้ว +4

    @masanja kuwa serious Sasa bro 😂😂😂 ubarikiwe Sana pastor kimaro na bro masanja Mungu akuweke siku nagonga hodi tukalime kaka watu waliopo mbele hapo Mungu awa bariki dada getrude pia Mungu akutete.

  • @emmanuelmatinde4895
    @emmanuelmatinde4895 10 หลายเดือนก่อน +1

    Very impressing am following from Kenya , agriculture is the only backbone

  • @nsajimoses6781
    @nsajimoses6781 ปีที่แล้ว +3

    Ningepata hii elimu enzi hizo niko chuo kikuu ningekuwa mbali sana. Ubarikiwe sana Mch. Kimaro

  • @ndekusurasikawa6060
    @ndekusurasikawa6060 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Mungu kwa kunipa hii tecno nimejifunza makubwa kutoka watumishi hawa

  • @josephinemapuga3515
    @josephinemapuga3515 ปีที่แล้ว +1

    Namshukuru Mungu kwa ajili ya Mchungaji Dk.Eliona Kimaro hakika nimejifunza mengi kupitia mdahalo huu uliouandaa kwa neema ya Mungu.

  • @jacklinafrancis7457
    @jacklinafrancis7457 ปีที่แล้ว +9

    Amen
    hakika siku hii imekuwa siku ya mabadiliko makubwa sana katika ufahamu wangu kupitia Life experience ya kilimo kumuhusu Masanja
    naona kutiwa nguvu.
    Nimeanza leo, kwa imani kesho nitashuhudia mavuno ya shangwe.
    thank u Pastor Dr Eliona Kimaro.

    • @HolySmileMedia
      @HolySmileMedia ปีที่แล้ว

      *HAKIKA KAZI NZURI IMEFANYIKA*

  • @user-sj4pv4gx3w
    @user-sj4pv4gx3w ปีที่แล้ว +5

    Kimaro ndie mch anayeenda na wakati, hongera sana Mungu azidi kukupa maono makubwa zaidi

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu ปีที่แล้ว +7

    Nimejikuta nachukia kazi nahisi kuchelewa nimepata kitu Asanteni watumishi

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 ปีที่แล้ว +2

    Niko hapa Saudia Arabia eneo la Riyadh naomba mawasiliano tufanye hii kazi waraabu wanakula mchele tangia asubuhi

  • @ElidaimaLevayo-xp1oe
    @ElidaimaLevayo-xp1oe ปีที่แล้ว +4

    Ongeraaa sana mchungajii wew ni wakipekee sanaa

  • @origakossan118
    @origakossan118 ปีที่แล้ว +7

    Ubarikiwe sana Mch. Kazi unayofanya utalipwa na Mungu🙏🙏

  • @anethkitambi3140
    @anethkitambi3140 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Mch Kimaro, kazi unayofanya ni njema Mungu akulinde sana

  • @kilimba687
    @kilimba687 ปีที่แล้ว +1

    Amen, nimebarikiwa na nimejifunza kitu Sana Mtumishi, Mungu akubariki Sana kwa darasa hili Mimi nikiwa kama kijana inahitajika nichukue hatua na hii ndio sehemu mojawapo ya kuanza kuchukua hiyo hatua kupitia watu kama Hawa waliofanikiwa!

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 ปีที่แล้ว +6

    Hongera sana baba mchungaji,Masanja wewe ni mfano wa kuigwa Mungu akuinue zaid!

    • @victoriangomuo1501
      @victoriangomuo1501 ปีที่แล้ว

      Shalom. Mungu wa UPENDO azidi kukuinua na kukupa maono zaidi na zaidi na kufungua wengi zaidi na zaidi. Nakuomba usiishie kwenye kongamano kwa vijana Bali MUNGU akupe maono ya kuwafungua na Wazee waliostaafu wanakufa kwa msongo wa mawazo. Kwenye KONGAMANO hilo la wazee umkumbuke Dr Victoria Ngomuo miaka 71 mama LISHE TIBA uliemkaribisha kanisani siku moja ambapo kupitia Huu ufunuo Mungu aliempa KUPITIA MWANZO 1:29-30, HATA KANSA YA DAMU, YA "OVARY, YA UTUMBO MKUBWA, KIZAZI, KOO wamepona. UTUKUFU KWA MUNGU UZIDI KUPITIA KWAKO. AMEN

    • @victoriangomuo1501
      @victoriangomuo1501 ปีที่แล้ว

      MCH. DR ELIONA KIMARO MUNGU AZIDI KUKUINUA AKUPE MAISHA MAREFU UONE WANA WA WANAO KIZAZI CHA TATU NA CHA NNE ILI WENGI WAPATE KUMJUA MUNGU ZAIDI NA ZAIDI KATIKA MAFUNDISHO YAKO NA MAKONGAMANO HAYA. VITA NI MTAJI WA KUMUINUA MTU ZAIDI NA ZAIDI NA KUMPA MUNGU UTUKUFU ZAIDI NA ZAIDI. AMEN

    • @GilgariMinistryTanzania
      @GilgariMinistryTanzania 7 หลายเดือนก่อน

      Nakupenda Sanaa sanaaa me ni mchungaji ila pasta kimaro nakupenda sanaaa Kwa kuwa na ufahamu mkubwa sanaaa songa mbele kaka pasta

    • @GilgariMinistryTanzania
      @GilgariMinistryTanzania 7 หลายเดือนก่อน

      Nakupenda Sanaa sanaaa me ni mchungaji ila pasta kimaro nakupenda sanaaa Kwa kuwa na ufahamu mkubwa sanaaa songa mbele kaka pasta

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py ปีที่แล้ว

    Am feel very blessed, kwa sababu ili kusudi la BWANA litimie ni lazima watu tufanye kazi kwa kumaanisha.
    Hongereni watumishi wa mungu for this very special class.

  • @AnnaMunishi-bm1qf
    @AnnaMunishi-bm1qf หลายเดือนก่อน

    Yaa mch. Nikivyopindi laiti ungeniuza duniani . Hapa milipo nimelegea kbsaa.Nawaza mpk nimechanganyikiwa Lait ningepata ht mfadhili mmoja na Mungu ambariki. Mwanangu anasomea upadri lkn naona giza. Bb mwambie ht masanja anisaidia ufadhili kwa ht mtoto huyu mmoja. Bb umepitia shida unajua. Mungu akutunze kwa unayofanya Mchungaji.

  • @emmanueljacob4303
    @emmanueljacob4303 ปีที่แล้ว +1

    Pastor Kimaro I love you,just because what GOD insect in you,may GOD bless u.

  • @IREENNTIJE
    @IREENNTIJE 4 หลายเดือนก่อน

    Yaaan mm ninaelekea shamba kweli masanja kutoka kuchekesha leo ubadilisha dunia mungu akutunze kabisa

  • @everlastinggospelchurchtz
    @everlastinggospelchurchtz หลายเดือนก่อน

    Kimaro you are awesome pastor

  • @ombeninassary7428
    @ombeninassary7428 ปีที่แล้ว +4

    Ni kweli vijana tunatumia mitandao ya kijamii vijana. Lakini kuna wanaotumia kama fursa. Mfano mm niko arusha nilinunua tv yangu smart tv online kwa njia ya instagram kutoka dar.
    Nilikuwaga nahofia sana kama nitatapeliwa lakini yule bwana alikuwa mwema sana nililipa kidogo kidogo hadi ikajaa milioni moja na laki tisa. Siku nimemalizia tu kulipa alinitumia picha ya mzigo na risiti ya cargo aliyopakia nikaenda kuichukua. Alikuwa mwema sana yule bwana hadi leo tunawasiliana japo hatukuwahi kuonana. Anaitwa somebody nyaki. Yupo kariakoo duka linaitwa nard electronics

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 ปีที่แล้ว +10

    Safi Sana mch.kimario,endelea kuita makongamano ya kutuhamasisha huo ni ukombozi wa fikra.

    • @jordanchisawilo6177
      @jordanchisawilo6177 ปีที่แล้ว

      Maono mazuri mchungaji kwa kuamsha fikra zetu kujitambua safi sana mchungaji

  • @mlimanigroup1278
    @mlimanigroup1278 ปีที่แล้ว +1

    Masanja bro nimekupata vizuri...nitachukua hatua

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 ปีที่แล้ว +1

    Mch ulichokifanya Mungu akubariki sana sana sana , maono yako ni makubwa mno, Hongera sana baba , chamecha mlisi o wandu wa ruwa

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 ปีที่แล้ว +5

    🇮🇱Ubarikiweeeeeeeeeeeeee!
    Mchungaji Kimaro
    Masanja Ubarikiwe tena na tena

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana tumepata kitu kikubwa Sana.

  • @enocklutonja339
    @enocklutonja339 ปีที่แล้ว +11

    Am so excited for the dialogue, we need to work up from the heavy dark wrapped our brain. Thank you for it

  • @dastansimpanzye4019
    @dastansimpanzye4019 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awabariki sana, Ahsante Dr.Kimaro kwa maono mazuri.

  • @alphamosha5571
    @alphamosha5571 10 หลายเดือนก่อน

    Thank you Pastor Kimaro for this i keep rewatching this interview it motivates me i want to farm like Masanja

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 ปีที่แล้ว

    Azadea group is my company one of the biggest company, amazing company, and proud working with them, is by grace of GOD im here

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 ปีที่แล้ว +1

    Baba mchungaji Kimaro wewe ni wa pekee. Watching from USA 🇺🇸

  • @YonaFute-bq7mz
    @YonaFute-bq7mz ปีที่แล้ว

    Amen amen,sikitu kidogo umetoa maarifa kwa maelf ya maelf ya watu ili tufanikiwe hakika umejazwa Roho ya Mungu Kimaro
    Kutoka 31:3
    [3]nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina.

  • @echodelouange7722
    @echodelouange7722 ปีที่แล้ว

    Hongera sana pastor Kimaro and pastor Masanja kweli vijana wak’africa lazima tuhamke natujue kwamba africa yetu inazo opportunities nyingi.conference kama hizi zingeletwa pia Hapa USA KWA vijana wetu W’africa sababu wengi wafikirihi kuhusu investment.

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 ปีที่แล้ว +1

    Huwa na barikiwa sana na matendo yako ya kiimani Mungu akutunze baba

  • @ngusubilambope3964
    @ngusubilambope3964 ปีที่แล้ว +7

    So inspiring Pr Kimaro and your hosts nimejifunza kitu kikubwa sana! Mbarikiwe mnoooo!

    • @gracemkomwa5172
      @gracemkomwa5172 ปีที่แล้ว

      Mbarikiwe sana kwa maono mazuri yanayo hamasisha. Na kuwafanya vijana au watu kujitambua na kubadilisha maono yao. Mungu awabariki sana.

  • @gracengole2773
    @gracengole2773 ปีที่แล้ว

    Asante kwakupitia utumishi wako Mchungaji Kimaro umefanya Hadi Mimi ninafikiwa na ujumbe huu mzuri. Asnte

  • @lydiambwele7026
    @lydiambwele7026 ปีที่แล้ว +2

    Pastor Dr. Kimaro you are amazing. Be blessed ambundantly

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 ปีที่แล้ว +1

    Mchungaji ameupigaa mwingi sana hongeraaa sana mchungaji Kwa wazo hilii

  • @user-ho5wn8di5h
    @user-ho5wn8di5h ปีที่แล้ว

    Baba kimaro watashindana na hawatashinda songa mbele maneno yasikurudishe nyuma tupo pamoja kukuombea damu ya yesu ikufunike ❤

  • @amonmnzava6522
    @amonmnzava6522 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki kwa kazi njema unayo ifanya

  • @user-mz5vf9ke3j
    @user-mz5vf9ke3j ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki sana mchungaji kimaro. Tumejifunza mengi mno.

  • @lovemayengo7426
    @lovemayengo7426 ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa sana, Asante Pastor Dr. Kimaro kwa maono haya. Be Blessed

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 ปีที่แล้ว +1

    From dubai here mtumishi

  • @mbokaandbahatitv8509
    @mbokaandbahatitv8509 ปีที่แล้ว

    Namshukuru Mungu sana kwa ajili yako Mch Dr Kimaro na Mch Masanja... Asante sana kwa kazi nzuri

  • @siambowe9875
    @siambowe9875 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana baba, mchungaji kimaro,ni jinsi gani unatamani vijana wetu,waamke,ili waeze kufanikiwa.
    Masanja ninaomba connection please 🙏 ya kupata mashamba😅

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 ปีที่แล้ว +3

    GOD bless you pastor

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 ปีที่แล้ว +1

    Masanja ana mtaji amejipanga na anafanya kazi nyingi

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu ปีที่แล้ว +2

    Nimeipenda sana hii ni hood motivation asanteni sana

  • @awazimwazembe8469
    @awazimwazembe8469 หลายเดือนก่อน

    Mungu naomba nitie Nguvu na kunipa kibali Cha kuwa mkulima mkubwa mwenye mafanikio

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 ปีที่แล้ว

    Asanteee Mch Masanja umeniokoa sana kiakili baba yangu

  • @mlimanigroup1278
    @mlimanigroup1278 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza kitu mtumishi. Mungu azidi kukuinua.

  • @sayunisisya4862
    @sayunisisya4862 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza mengi sana nashkru sana mchungaji wangu

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 ปีที่แล้ว +4

    Mtaji ndo tatizo.Masanja hajakurupuka.Asante kwa elimu lakini uwezeshaji uwepo.Mimi nimejaribu lakini hoi.Kilimo ni mtaji.

    • @dominickmassi7821
      @dominickmassi7821 11 หลายเดือนก่อน

      KUBWA NI WAZO

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 2 หลายเดือนก่อน

      Yeah ni mtaji ,kwaiyo anza na hicho kidogo au chagua kuuza mauza

  • @banguha
    @banguha ปีที่แล้ว +3

    Ningepata elimu hii miaka 3 iliyopita nisingekuwa na hali ngumu hivi nilitumia zaid ya m 10 kwenye biashara nyingine ikanikata si ningefanya kilimo eee Mungu nipe nguvu nataman kulima

  • @user-fk2cp6rl3m
    @user-fk2cp6rl3m ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki Mch kimaro kumleta masanja umetufumbua macho

  • @sayunilyego
    @sayunilyego ปีที่แล้ว

    amen God bless you pastor kimaro🙏🙏🙏

  • @user-tj6tl7cp9z
    @user-tj6tl7cp9z ปีที่แล้ว

    👏👏👏🙏🙏🙏 ashukuliwe mungu nimejifunza sana

  • @thomasmakweta3860
    @thomasmakweta3860 ปีที่แล้ว +1

    Mch.Mungu akubariki kwa maono

  • @mkapaelisha3813
    @mkapaelisha3813 ปีที่แล้ว

    🙏🙏asante Dr Eliona na Masanja kwa mjadala huu

  • @lulumasangwa9962
    @lulumasangwa9962 ปีที่แล้ว +1

    Naomben connection na masanja please nataka kwenda nae shamba na mimi nataka nikalime

  • @siansaw8572
    @siansaw8572 11 หลายเดือนก่อน

    Kweli Rev. Anakuuza na umeniinspire sana nimemwandikia masanja insta nataka nimpe nondo ya UK safi sana

  • @mariachengula5166
    @mariachengula5166 ปีที่แล้ว

    Mchungaji kimaro Mungu akubariki sana kwa ufunuo huu

  • @elisanteyeremiamuro883
    @elisanteyeremiamuro883 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mchungaji kimaro pamoja na masanja

  • @RonaldMseke-ce9qn
    @RonaldMseke-ce9qn ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mchungaji,pamoja namasanja.nimenufaikasana

  • @agricolajoseph2017
    @agricolajoseph2017 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana kilimo na ufugaji lazima utoke tusiogope vijana
    Tumepokea kwa kweli.

  • @pmgpmg7717
    @pmgpmg7717 ปีที่แล้ว

    Very informative thank and be blessed

  • @JanethKahamba-cn4bq
    @JanethKahamba-cn4bq ปีที่แล้ว

    ❤❤❤nimebarikiwa mno cntokatamaa kumbee Mm ni boss mkubwa tu

  • @MICHAELMOBILECARE
    @MICHAELMOBILECARE ปีที่แล้ว

    Shamba tour season 2 nimeinjoy sana kweli bishop unachange World kwa kilimo watu wajue ukweli

  • @user-yt8mw2xt7k
    @user-yt8mw2xt7k ปีที่แล้ว

    Am very inspired of this talk!

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki mchungaji

  • @oswardndilahomba2903
    @oswardndilahomba2903 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli pastor Kimaro dagaa wa kigoma marekani wana soko kubwa sana kuna rafiki yangu ana password hiyo ya kuuza dagaa wa kigoma yako vizuri na oda zenyewe anapeleka kwa mwezi mara moja

    • @jonaslimbida8691
      @jonaslimbida8691 4 หลายเดือนก่อน

      Waooow connection rafiki yangu

  • @stephanimtaita1158
    @stephanimtaita1158 ปีที่แล้ว

    Dah nimejikuta naisikiliza mwanzo mwisho. Very good

  • @RahabuMgoo-pl6vy
    @RahabuMgoo-pl6vy ปีที่แล้ว

    Nashukuru Rev pamoja na Mr masanja kwa kinifungua akili

  • @neywilly9817
    @neywilly9817 ปีที่แล้ว

    Ahsanteni kwa kongamano zuri, lenye kufungua fahamu za wengi.

  • @AndreaMwinuka
    @AndreaMwinuka ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa sana masanja and pastor kimaro

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 ปีที่แล้ว

    Asante kwa semina swali langu tuna vyakula vya asili ila mbona tunaishi maisha mafupi tatizo Nini

  • @zubedambilinyi6426
    @zubedambilinyi6426 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akbariki masanja

  • @officiallymercymargaret3259
    @officiallymercymargaret3259 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki baba kwa kufungua vijana akili

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn ปีที่แล้ว

    Nimebarikiwa na mafundisho yenu kuna kitu nimechukua mungu awabariki sana

  • @eliyamaswi6762
    @eliyamaswi6762 ปีที่แล้ว

    Have got something pastor. Mungu awe nanyiiii.

  • @mnyatulustores
    @mnyatulustores ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe kwa kutukumbuka MAMA JoHN MBEYA

  • @yolandaliyoya1839
    @yolandaliyoya1839 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana👏👏🙏🙏

  • @user-mo8zo5ge2i
    @user-mo8zo5ge2i ปีที่แล้ว +2

    Blessing 🙌 🙌 doctor I wish to meet with you

    • @dainessayubu3088
      @dainessayubu3088 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki sana kwa kipindi hiki kizuri. baba mzuri na pastor kimaro huu ni ufunuo mkubwa sanaaaaaa wa kutufungua kimaisha kwaajili ya kesho yetu na watoto wetu.barikiwa sanaaa sanaaa sanaA mbarikiwa nyote kibibi kwa ushuhuda wako mzuri na masanja nimejifunza kuthubutu.

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Mungu anamtumia huyu baba yetu Mchungaji Kimaro azidi kumtunza

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 ปีที่แล้ว

    Im blessed today

  • @AlfredVicent-eu5fi
    @AlfredVicent-eu5fi 11 หลายเดือนก่อน

    Sawa safi kaka naomba mawasiliano yako

  • @honorathapaschal1523
    @honorathapaschal1523 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana mchungaji

  • @irenekilenga-jb7bh
    @irenekilenga-jb7bh ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze much.kimaro Kwa maono yako

  • @zerishmoses2280
    @zerishmoses2280 ปีที่แล้ว

    God bless you pastor kimaro

  • @WinfridaLyagoda-jh4xc
    @WinfridaLyagoda-jh4xc ปีที่แล้ว

    Mtumishi wangu kimaro nimeangalia na kiisikiliza tube hii mada nijifunza na kuipenda na nilikuwa napenda kuingia kwenye kilimo ila nilikosa mongozo mzuri km huu naomba niunganishe na kaka masnja amen🙏💯♥️

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 ปีที่แล้ว +2

    Napenda kilimo ❤

  • @ocenathrkalwans6545
    @ocenathrkalwans6545 ปีที่แล้ว

    Asante baba kwa kipindi hiki nimejifunza kitu barikiwa baba

  • @user-ph8es2dn3y
    @user-ph8es2dn3y 3 หลายเดือนก่อน

    Sisi hapa marekani tuna kula chakula toka tanzania 🇹🇿

  • @esthersimaomukama7843
    @esthersimaomukama7843 ปีที่แล้ว

    Asante sana Mch kwa proactive panel

  • @GabrielMyombe-st3us
    @GabrielMyombe-st3us ปีที่แล้ว

    Hongera Mtumishi masanja

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 ปีที่แล้ว

    Haleluya Kuna kitu nimepata Mbarikiwe saana

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 11 หลายเดือนก่อน

    Nimebarikiwa Sana Sana na Maono ya mchungaji kimaro natamani siku moja nikuone Kwa macho ana mkono Kwa mkono nipate maarifa zaidi nipate maarifa maana ni miaka minne nahangaika na kilimo cha sasa nimeamua kuweka mikorosho ekari nyingi kwako nataka neno moja tuu kwangu nami nitapona

  • @hosealutangilo5058
    @hosealutangilo5058 5 หลายเดือนก่อน

    Heri ukafeli shule ukafaulu maisha....

  • @chloecallie3619
    @chloecallie3619 ปีที่แล้ว +3

    Sijawahi kujutia mb zangu kukusikiliza na kujifunza kutoka kwako