#KANUNI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 235

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili.
    Kama hautavielezea kibiblia
    Msingi wa ndoa kibiblia
    Ni
    Moja kwa mwanamke 1-utii
    Mbili kwa mwanaume
    2-upendo kwa mwanaume
    Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema
    Sasa utakuja
    Kufundisha
    Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk

  • @rhodalameck5722
    @rhodalameck5722 ปีที่แล้ว +40

    Sasa mnaomwambia pastor wamevaa ovyo yeye awafanyaje kama watu wazima wameamua kuvaa vibayaaa,awachape?au awafukuze wakavae vizuri?acha magugu na ngano vikue pamoja mvunaji ndio atachagua coz am sure wanajua wapasavyo kuvaa

    • @lilianrichard6164
      @lilianrichard6164 ปีที่แล้ว +3

      Wakavae vizuri ndipo waje wafunge ndoa. Tunatakiwa kukemea dhambi kwa jina, co kuacha tu, kumbuka huo mvuto mbaya unaharibu kanisa.

    • @janelebayo6161
      @janelebayo6161 ปีที่แล้ว +1

      @@lilianrichard6164 are you holly enough to judge? Vipi dhambi zako umeshaziacha au unaona wengine ndo wanafanya dhambi

    • @lilianrichard6164
      @lilianrichard6164 ปีที่แล้ว +1

      @@janelebayo6161 Mimi co mtakatifu na hakuna sehemu nimeandika hivyo, rudia kusoma uelewe nini namaanisha.

    • @jamesmelkiadesmpinika6337
      @jamesmelkiadesmpinika6337 ปีที่แล้ว

      ​@@janelebayo6161kukemea na kuzuia vitu vinavyoleta makwazo sio dhambi wala sio kosa......!!!! Nadhan ingekuwa Heri wazee wa Kanisa wakawapanga kabla ya Much. Kuanza mahubiri😢

    • @naomisimion1702
      @naomisimion1702 ปีที่แล้ว +1

      Amen pr, lakin Hawa wanawake wamevaa vibaya Sana, and they are comfortable kuingia kanisani hivyo .

  • @timothymuthomi1618
    @timothymuthomi1618 ปีที่แล้ว +5

    It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.

  • @mildredkhavayi6033
    @mildredkhavayi6033 ปีที่แล้ว +6

    Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏

  • @THERESIANDIMI-te6rm
    @THERESIANDIMI-te6rm ปีที่แล้ว +4

    Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu

  • @HarrisonMuriithi-bd2jo
    @HarrisonMuriithi-bd2jo ปีที่แล้ว +4

    Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.

  • @osorosamuel2023
    @osorosamuel2023 ปีที่แล้ว +5

    Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church

  • @ElizaAmiri-g8x
    @ElizaAmiri-g8x หลายเดือนก่อน

    Mchungaji kwahyo Kwa changamoto ya unzinzi wanandoa wanaweza kuachana???

  • @kubungalucas2047
    @kubungalucas2047 7 หลายเดือนก่อน

    Huwa sipendezwi na hao wanaokaa kule mbele na wanakaa mkao wa kuandika nne kanisani. Au hapo imekaaje wapendwa?

  • @rachelissa115
    @rachelissa115 ปีที่แล้ว +10

    Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰

    • @ibrahimmalabeja3692
      @ibrahimmalabeja3692 ปีที่แล้ว

      Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.

    • @ibrahimmalabeja3692
      @ibrahimmalabeja3692 ปีที่แล้ว

      Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.

  • @fredrickasoya7987
    @fredrickasoya7987 ปีที่แล้ว +4

    Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka
    I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa

    • @RAHELIDARABE
      @RAHELIDARABE ปีที่แล้ว

      Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi

    • @virginianduhia691
      @virginianduhia691 ปีที่แล้ว

      Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato

  • @mokombapomobisaop6946
    @mokombapomobisaop6946 10 หลายเดือนก่อน +2

    Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.

  • @EliaSimoni-ye6lv
    @EliaSimoni-ye6lv ปีที่แล้ว +6

    Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @moniquenimbabazi4528
    @moniquenimbabazi4528 ปีที่แล้ว +2

    Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga
    Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo
    Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza

  • @TALIGU_ONLINE_TV
    @TALIGU_ONLINE_TV 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eeeee,Mungu tusaidie tujue hiyo

  • @BekaMerama
    @BekaMerama หลายเดือนก่อน

    asante nafatilia mafundisho yako

  • @josephshida469
    @josephshida469 28 วันที่ผ่านมา

    Nakuelewa sana mungu akubaliki sana

  • @Faith-zc1hs
    @Faith-zc1hs ปีที่แล้ว +3

    Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi

  • @EMANUELITAMBU-y7j
    @EMANUELITAMBU-y7j 9 หลายเดือนก่อน +3

    God bless you pastor. Thanks for your nice sermon

  • @JohnJohn-ql2kf
    @JohnJohn-ql2kf 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe sana pastor

  • @RuelkambaleBinwangusu
    @RuelkambaleBinwangusu 11 หลายเดือนก่อน +3

    Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤

  • @sarahezekiel3301
    @sarahezekiel3301 ปีที่แล้ว +17

    Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .

  • @PeterBoroi
    @PeterBoroi 28 วันที่ผ่านมา

    Hakika pst mungu akubariki

  • @moniquenimbabazi4528
    @moniquenimbabazi4528 ปีที่แล้ว +1

    Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga
    Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo
    Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza

  • @marcelinebyamungu3463
    @marcelinebyamungu3463 2 หลายเดือนก่อน

    Amina Amina

  • @PatrickMwamlima-u3j
    @PatrickMwamlima-u3j หลายเดือนก่อน

    Imeingia iyo past

  • @PatrickMwamlima-u3j
    @PatrickMwamlima-u3j หลายเดือนก่อน

    Imeingia iyo past

  • @AngelngonyaniAngelngonyani
    @AngelngonyaniAngelngonyani 17 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe kwasomo

  • @alundalubuku9021
    @alundalubuku9021 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.

  • @PeterNdembo
    @PeterNdembo ปีที่แล้ว +1

    Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...

  • @mathiaskigumbe1193
    @mathiaskigumbe1193 3 หลายเดือนก่อน

    Ndio ni dhambi

  • @cosmaskabila3058
    @cosmaskabila3058 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @ElizabethJackobo
    @ElizabethJackobo 25 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @innocentkabeya2498
    @innocentkabeya2498 ปีที่แล้ว +11

    You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.

  • @KendiLydia-tf2ii
    @KendiLydia-tf2ii 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akuongezee hio neheema Pst

  • @Mwajumalyanga
    @Mwajumalyanga 7 หลายเดือนก่อน

    Ndoa

  • @JusterKendi-si9wo
    @JusterKendi-si9wo 10 หลายเดือนก่อน +1

    Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake

  • @Annienyagama
    @Annienyagama 11 หลายเดือนก่อน +1

    Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤

  • @sauud2some471
    @sauud2some471 ปีที่แล้ว +4

    Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 ปีที่แล้ว +4

    Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...

    • @SelestinMukulasi
      @SelestinMukulasi 11 หลายเดือนก่อน

      Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest

  • @kasokihortense7313
    @kasokihortense7313 5 หลายเดือนก่อน

    unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru

  • @mush337
    @mush337 ปีที่แล้ว +11

    Ndoa isiyo na upendo Sio ya kutoka kwa Mungu
    Waefeso 5:25
    25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake ili 26 alitakase
    Wimbo 3:4
    Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa.
    1 Yohana 4:12:
    Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Ikiwa tunapendana, Mungu anakaa ndani yetu, na upendo wake umekamilika ndani yetu
    Mithali 10:12:
    Chuki huchochea ugomvi, lakini upendo hufunika dhambi zote

    • @Annie-u4n
      @Annie-u4n ปีที่แล้ว

      Ndoa HAIDUMISHWI sio HAINSISHWI na upendo. Upendo upo lakini hautaidumisha ndoa.

    • @mush337
      @mush337 ปีที่แล้ว +2

      @@Annie-u4n Kikwako lakini kibibilia upendo ndio Kila kitu,ndio utu wa Kila kitu

    • @mwalumaduhu7716
      @mwalumaduhu7716 ปีที่แล้ว +3

      Asanteh sana chungaji napenda mafundisho yako♥️♥️♥️♥️

    • @joshuamoseontruehealth9128
      @joshuamoseontruehealth9128 ปีที่แล้ว

      Soma mithali 24:3...Je, unaweza mwambia mke eti unampenda wakati hujui kumjibu ki-hekima au hauna hauna maarifa ya mapenzi akuelewe?Upendo hauna lolote bila matendo (1john3:18) hekima na hapa ndipo hekima na maarifa huingilia

    • @JosephatAytoo
      @JosephatAytoo ปีที่แล้ว

      Kweli mchg upendo ndio kila kitu mzigo huwa mwepesi kwenye pendo na amani upatikana kwenye pendo

  • @CarlosKavenuke
    @CarlosKavenuke 9 หลายเดือนก่อน +1

    Amina Sana mungu akubariki

  • @cerealisfelician3807
    @cerealisfelician3807 ปีที่แล้ว +3

    Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya

  • @alliancemurefu5210
    @alliancemurefu5210 ปีที่แล้ว +1

    Amen pastor ila ningependa kupata number yako

  • @lastbornpurity
    @lastbornpurity 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @KatemboKihalamanase
    @KatemboKihalamanase 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @mujumbemtiifu1908
    @mujumbemtiifu1908 ปีที่แล้ว +1

    Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah

  • @KatotoKatoto-ll8ue
    @KatotoKatoto-ll8ue 4 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @modesterstephanokusekwa1432
    @modesterstephanokusekwa1432 8 หลายเดือนก่อน +1

    Aminaa

  • @dicksonkarithi5637
    @dicksonkarithi5637 10 หลายเดือนก่อน +1

    You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya

  • @RAHELIDARABE
    @RAHELIDARABE ปีที่แล้ว

    Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia

  • @PatrickMwamlima-u3j
    @PatrickMwamlima-u3j หลายเดือนก่อน

    Asante past mafundisho yamenibaliki

  • @rosedickson6243
    @rosedickson6243 9 หลายเดือนก่อน

    The Bible says husband love your wife so don't convince us😅

  • @FelisterMsyani
    @FelisterMsyani 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa ikivunjika tufanyaje pastor?

  • @IRENEMasisi-hm1cb
    @IRENEMasisi-hm1cb 3 หลายเดือนก่อน

    asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu

  • @JosephKhabweri
    @JosephKhabweri ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo

  • @mophinenyaboke8678
    @mophinenyaboke8678 9 หลายเดือนก่อน

    Pastor kutoboa sikio ni dhambi nataka kujua sababu naogopa

  • @InnocentDominoes-nc3kz
    @InnocentDominoes-nc3kz 2 หลายเดือนก่อน

    17:47

  • @makeretv97
    @makeretv97 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 ปีที่แล้ว +1

    UKIFUFUKA UKASKIA ULE MJI TUUTEKE UJUE WEWE NI WA SHETAN

  • @vicentsanane4167
    @vicentsanane4167 11 หลายเดือนก่อน

    Ila kiukweli wamevaa kinusu uchi! Hapana hata kama hatasema leo, anapaswa kulifundisha ili wajue mfumo wa mavazi ya kikristo. Hayo mavazi wanajuwa huwa yanavaliwa na wanawake wenye biashara gani! Kwa makusudi kabisa,wameamua kuvaa hivyo. Hilo mtumishi wa Mungu hawezi kulikwepa, ni jukumu lake kabisa, kama lengo la utumishi wake ni kuwaelekeza watu njia ya kwenda mbinguni

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  11 หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi,alishaongea nao uso kwa uso

  • @christinapeter7131
    @christinapeter7131 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani2571 หลายเดือนก่อน

  • @zainabuathumani2571
    @zainabuathumani2571 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @mophinenyaboke8678
    @mophinenyaboke8678 9 หลายเดือนก่อน

    Naogopa ni dhambi nataka hufahamu please

  • @CHRISTINEONESMO
    @CHRISTINEONESMO 3 หลายเดือนก่อน

    Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu

  • @FainesKitinusa
    @FainesKitinusa 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu

  • @FfFf-yb9cp
    @FfFf-yb9cp 10 หลายเดือนก่อน

    Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉

  • @PeterVenancePeterjr
    @PeterVenancePeterjr 11 หลายเดือนก่อน

    Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta

  • @Life10061
    @Life10061 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nimekuelewa Mtumishi..
    Lakini naupendo pia inatakiwa uwepo

    • @pendomanga813
      @pendomanga813 ปีที่แล้ว

      Hiyo nikweli upendo ni muhimu sana katika ndoa

  • @AlbatMwainunu
    @AlbatMwainunu ปีที่แล้ว +1

    😅

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 9 หลายเดือนก่อน

    Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi

  • @florencekanze
    @florencekanze 8 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁

  • @InnocentDominoes-nc3kz
    @InnocentDominoes-nc3kz 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina

  • @RehemaEmanueli-so2kv
    @RehemaEmanueli-so2kv 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana

  • @France-v1x
    @France-v1x 9 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji tunaomba namba tafadhali

  • @marcelineshanga9811
    @marcelineshanga9811 11 หลายเดือนก่อน

    Muko.namucungaji..lakini.waumini.nihatari

  • @tumaininestory4037
    @tumaininestory4037 ปีที่แล้ว +1

    Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 ปีที่แล้ว +3

    Great massage

  • @mercykassile363
    @mercykassile363 3 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri sana limenijenga

  • @EmmaNdivo-t3p
    @EmmaNdivo-t3p 5 หลายเดือนก่อน

    Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako

  • @elizabethyaadzomboelizabeth
    @elizabethyaadzomboelizabeth ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwee mchungaji

  • @kombeonaumishenaritv642
    @kombeonaumishenaritv642 ปีที่แล้ว

    Kwene marashi umerahisisha lugha na kauli hiyo TU utawaingiza wengi jehanamu kabisaaa sawa kama biblia ninayosoma kuhusu marashi ni tofauti au shule yangu ni ndogo MUNGU aniongezee elimu zaidi

  • @RachealMndambi-kv9sd
    @RachealMndambi-kv9sd 11 หลายเดือนก่อน

    Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu

  • @taizcitynam-nu8hk
    @taizcitynam-nu8hk ปีที่แล้ว +6

    powerful message

    • @Allan-rg2bp
      @Allan-rg2bp ปีที่แล้ว

      Powerful message.thanks

    • @betrs5285
      @betrs5285 ปีที่แล้ว

      Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭

  • @JosephatAytoo
    @JosephatAytoo ปีที่แล้ว

    Pia imeandikwa ktk maandiko matakatifu biblia enyi wake watiini waume zenu nakupinga jambo ambalo siyo jema kwa hekima nabusara.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  ปีที่แล้ว

      Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.
      Wakolosai 3:18

  • @josephinesanita4904
    @josephinesanita4904 ปีที่แล้ว

    Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 11 หลายเดือนก่อน

    Asanteee kw somo mungu akujalie pastor

  • @RehemaMuhagama-es3bj
    @RehemaMuhagama-es3bj ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubarik sana mchungaj

  • @matildamwakatuma1206
    @matildamwakatuma1206 10 หลายเดือนก่อน

    Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema

  • @MariamEmmanuel-s5r
    @MariamEmmanuel-s5r 9 หลายเดือนก่อน

    Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉

  • @alice-sd1sv
    @alice-sd1sv 9 หลายเดือนก่อน

    Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed

  • @PhionaAbdallah-uv5fl
    @PhionaAbdallah-uv5fl ปีที่แล้ว

    Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri

  • @MwasomolaKalinga
    @MwasomolaKalinga ปีที่แล้ว

    Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga

  • @TammyNickolas
    @TammyNickolas 5 หลายเดือนก่อน

    Unanibariki sana paster

  • @shedomumbere2044
    @shedomumbere2044 7 หลายเดือนก่อน

    Whouah 👊

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 ปีที่แล้ว

    Mchungaji hawa watu wamevaa half naked ,ni wasabato kweli.

  • @EvaNyondo
    @EvaNyondo ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo

  • @NuruDonald
    @NuruDonald 11 หลายเดือนก่อน

    Napitia magumu mama mkwe wangu anapambana niachane na mumewngu naumiaa

    • @godonnguru9862
      @godonnguru9862 7 หลายเดือนก่อน

      Hakikisha unakuwa karibu na Mungu kuliko wakati mwingine na hakikisha mmeo unakuwa naye karibu kuliko wakati mwingine uliowahi kuwa naye karibu