Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili. Kama hautavielezea kibiblia Msingi wa ndoa kibiblia Ni Moja kwa mwanamke 1-utii Mbili kwa mwanaume 2-upendo kwa mwanaume Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema Sasa utakuja Kufundisha Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
Sasa mnaomwambia pastor wamevaa ovyo yeye awafanyaje kama watu wazima wameamua kuvaa vibayaaa,awachape?au awafukuze wakavae vizuri?acha magugu na ngano vikue pamoja mvunaji ndio atachagua coz am sure wanajua wapasavyo kuvaa
@@janelebayo6161kukemea na kuzuia vitu vinavyoleta makwazo sio dhambi wala sio kosa......!!!! Nadhan ingekuwa Heri wazee wa Kanisa wakawapanga kabla ya Much. Kuanza mahubiri😢
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
Ndoa isiyo na upendo Sio ya kutoka kwa Mungu Waefeso 5:25 25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake ili 26 alitakase Wimbo 3:4 Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa. 1 Yohana 4:12: Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Ikiwa tunapendana, Mungu anakaa ndani yetu, na upendo wake umekamilika ndani yetu Mithali 10:12: Chuki huchochea ugomvi, lakini upendo hufunika dhambi zote
Soma mithali 24:3...Je, unaweza mwambia mke eti unampenda wakati hujui kumjibu ki-hekima au hauna hauna maarifa ya mapenzi akuelewe?Upendo hauna lolote bila matendo (1john3:18) hekima na hapa ndipo hekima na maarifa huingilia
Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia
Ila kiukweli wamevaa kinusu uchi! Hapana hata kama hatasema leo, anapaswa kulifundisha ili wajue mfumo wa mavazi ya kikristo. Hayo mavazi wanajuwa huwa yanavaliwa na wanawake wenye biashara gani! Kwa makusudi kabisa,wameamua kuvaa hivyo. Hilo mtumishi wa Mungu hawezi kulikwepa, ni jukumu lake kabisa, kama lengo la utumishi wake ni kuwaelekeza watu njia ya kwenda mbinguni
Kwene marashi umerahisisha lugha na kauli hiyo TU utawaingiza wengi jehanamu kabisaaa sawa kama biblia ninayosoma kuhusu marashi ni tofauti au shule yangu ni ndogo MUNGU aniongezee elimu zaidi
Mimi naweza kukupinga Kwa hivyo VITU viwili.
Kama hautavielezea kibiblia
Msingi wa ndoa kibiblia
Ni
Moja kwa mwanamke 1-utii
Mbili kwa mwanaume
2-upendo kwa mwanaume
Hivyo vitu vikikosa kwa wanandoa lazima ndoa ife mapeeeema
Sasa utakuja
Kufundisha
Nini maana ya utii na namna Gani utii unavyoweza kunisaidia ndoa au kuiangusha ndoa nk
Sasa mnaomwambia pastor wamevaa ovyo yeye awafanyaje kama watu wazima wameamua kuvaa vibayaaa,awachape?au awafukuze wakavae vizuri?acha magugu na ngano vikue pamoja mvunaji ndio atachagua coz am sure wanajua wapasavyo kuvaa
Wakavae vizuri ndipo waje wafunge ndoa. Tunatakiwa kukemea dhambi kwa jina, co kuacha tu, kumbuka huo mvuto mbaya unaharibu kanisa.
@@lilianrichard6164 are you holly enough to judge? Vipi dhambi zako umeshaziacha au unaona wengine ndo wanafanya dhambi
@@janelebayo6161 Mimi co mtakatifu na hakuna sehemu nimeandika hivyo, rudia kusoma uelewe nini namaanisha.
@@janelebayo6161kukemea na kuzuia vitu vinavyoleta makwazo sio dhambi wala sio kosa......!!!! Nadhan ingekuwa Heri wazee wa Kanisa wakawapanga kabla ya Much. Kuanza mahubiri😢
Amen pr, lakin Hawa wanawake wamevaa vibaya Sana, and they are comfortable kuingia kanisani hivyo .
It powerful sermon but actually do they dress in diceits way . their dressing codes are alarming as an adventists The outward appearance portrays the inward character.
Ahsante sana muhubiri, mafunzo mazuri sana nmejifunza kuishi kwa ndoa na kuitinza ndoa yangu,nina Imani nitapoingia kwenye ndoa yangu hivi karibuni,nina Imani nitayazingatia mafunzo yako🙏🙏 Mwenyezi Mungu anijalie maarifa na uelewa zaidi 🙏🙏
Maubili yako mchungajiNimebalikiwa sana nimejifunza kitu
Asantemtumishi
Watumishi wa Mungu aliye juu,Bwana asifiwe.Ninaloitaji la kipekee la kuongea mambo ya kiroho na mchunga Mmbaga tafadhari mnisaidie na namba yake.Mimi ni Murithi Harrison kutoka Kenya.
Powerful sermon but poor dressing, very unfortunate for our church
Mchungaji kwahyo Kwa changamoto ya unzinzi wanandoa wanaweza kuachana???
Huwa sipendezwi na hao wanaokaa kule mbele na wanakaa mkao wa kuandika nne kanisani. Au hapo imekaaje wapendwa?
Ujumbe wa ndowa ni mzuri, Mungu akubariki sana, ila fundisha pia na jinsi ya kuvaa mavazi ya Heshima ndani ya nyumba ya Bwana na mtaani pia, wakristo tunapaswa kuwa tofauti, Neno Lina sema kuwa tusienende kwa kuifuatisha namna ya Dunia hii, kwa habari ya mwenendo na tabia na mavazi pia🥰
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Mchungaji yupo sahihi. Upendo tu hautoshi. Biblia husema hivi: "wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika" Soma-{Luka 11:28} Kwa hivyo Kila mshirika wa familia mmoja mmoja kusimamia sehemu yake na kuiwajibikia.
Hello mchungaji! Mahubiri mazuri ya Mibaraka
I'll Hawa wanadada wamejipodoa Sana huku Kenya huwa tunawafurusha hadi wavae kulingana na kanuni za kanisa
Nimeipenda pastor unanibariki sana ila wanaume hawapendi criticism na wakikataa tunawaachia afu yakiharibika ndo wanajirudi
Rafiki mpendwa hii ni arusi ,so Kila mtu ni msabato
Amen pastor Mmbaga, lakini hizi kanuni Saba ya faa uongeze zingine next time, very excellent teaching and may God bless you and bring more of this kind to marriage and church.
Amen 🙏 ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga
Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo
Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
Eeeee,Mungu tusaidie tujue hiyo
asante nafatilia mafundisho yako
Nakuelewa sana mungu akubaliki sana
Wooh thanks for the teaching nimejifunza mengi
God bless you pastor. Thanks for your nice sermon
Ubarikiwe sana pastor
Ahsante saana Pastor kwa ujumbe huu ❤
Ikimpendeza Bwana I pray this servant of the most high weds me when my time comes 🙌🏿🙏🙏one of my favourite teacher .
Mungu akuongoze
Hakika pst mungu akubariki
Asant kwa somo tunakusikiliza kwa neno na lina tujenga
Nakuomba uwe unafundisha pia mwenendo ya nje maana niyamaana sana maana wao wake wamevaa vya kidunia na mapodozi yohovyo
Maana ninyi ndo Wachugaji wakutwelekeza
Amina Amina
Imeingia iyo past
Imeingia iyo past
Ubarikiwe kwasomo
Barikiwe mchunga kwa some mzuri ya ndoa.
Yani wewe mtumishi pastor ufike mbali....nakuelewa sana na unaeleweka sana...barikiwa sana unatubariki sana...
Ndio ni dhambi
Ubarikiwe sana mchungaji
Amina
You don't get into marriage because your friends are getting married, but you get into marriage because you have found love and you are ready to commit. We have so many divorce cases these days because people think they are in competition with their age mates.....My dear, Life is never a race, things happen at different times for different people....Think before you say yes.
Mungu akuongezee hio neheema Pst
Ndoa
Amen pastor, umeniguza sana hpo kwa kila ndoa iko na siri yake
Endelea hivohivo mnekuelewa mngu akupe maisha malefu❤
Mungu alibariki mutumishi wa Mungu ❤❤❤
Amina Baba...Nimekuelewa sana...Nimekusikiliza hadi Mwisho ...Hakika ni Mahubiri ya KPHD...umehubiri ukweli mtupu...Yohane 13:16...Kwa Maana hii Mungu aliupenda ULIMWENGU...
Uvaaji uo siomzuuri kwa mabest
unarikiwe sana umenijenga Sanaa pokea salamu zangu kutoka Congo DRC n'a kushukuru
Ndoa isiyo na upendo Sio ya kutoka kwa Mungu
Waefeso 5:25
25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake ili 26 alitakase
Wimbo 3:4
Kitambo kidogo tu nikiisha kuwaondokea, Nikamwona mpendwa wa nafsi yangu; Nikamshika, nisimwache tena, Hata nilipomleta nyumbani mwa mamangu, Chumbani mwake aliyenizaa.
1 Yohana 4:12:
Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote. Ikiwa tunapendana, Mungu anakaa ndani yetu, na upendo wake umekamilika ndani yetu
Mithali 10:12:
Chuki huchochea ugomvi, lakini upendo hufunika dhambi zote
Ndoa HAIDUMISHWI sio HAINSISHWI na upendo. Upendo upo lakini hautaidumisha ndoa.
@@Annie-u4n Kikwako lakini kibibilia upendo ndio Kila kitu,ndio utu wa Kila kitu
Asanteh sana chungaji napenda mafundisho yako♥️♥️♥️♥️
Soma mithali 24:3...Je, unaweza mwambia mke eti unampenda wakati hujui kumjibu ki-hekima au hauna hauna maarifa ya mapenzi akuelewe?Upendo hauna lolote bila matendo (1john3:18) hekima na hapa ndipo hekima na maarifa huingilia
Kweli mchg upendo ndio kila kitu mzigo huwa mwepesi kwenye pendo na amani upatikana kwenye pendo
Amina Sana mungu akubariki
Nashukuru Sana pastor kwa mafunzo haya
Amen pastor ila ningependa kupata number yako
Amen
Amen
Pastor nimebarikiwa sana namahubiri hayo,ila nimevunjwa miguu nahào cjajua ni washiriki au laah
Amen
Aminaa
You are so interesting sir. Thank you for your teaching. My family will prosper. Dicken from Kenya
Very true darling
Wachungaji washachoka maana waumimi wa siku hizi hawaambiliki kuhusu kujipodoa yaacheni magugu na ngano vikue pamoja Bwana wa mavuno mwenyewe atashughulikia
Asante past mafundisho yamenibaliki
The Bible says husband love your wife so don't convince us😅
Sasa ikivunjika tufanyaje pastor?
asante mungu Kwa ajili ya plaster unaponya ndoa zetu
Ubarikiwe Sana pastor ...lakini washauri kuhusu mavazi ya kikristo
Pastor kutoboa sikio ni dhambi nataka kujua sababu naogopa
17:47
❤❤❤❤❤❤
UKIFUFUKA UKASKIA ULE MJI TUUTEKE UJUE WEWE NI WA SHETAN
Ila kiukweli wamevaa kinusu uchi! Hapana hata kama hatasema leo, anapaswa kulifundisha ili wajue mfumo wa mavazi ya kikristo. Hayo mavazi wanajuwa huwa yanavaliwa na wanawake wenye biashara gani! Kwa makusudi kabisa,wameamua kuvaa hivyo. Hilo mtumishi wa Mungu hawezi kulikwepa, ni jukumu lake kabisa, kama lengo la utumishi wake ni kuwaelekeza watu njia ya kwenda mbinguni
Uko sahihi,alishaongea nao uso kwa uso
Barikiwa sana mchungaji maana hayo usemayo ni laivu bila chenga
❤
🎉
Naogopa ni dhambi nataka hufahamu please
Amen barikiwa umenifundisha kitu mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe kwa neno lenye kuponya ndoa zetu
Amina paster mungu akubariki sana na huu ujumbe .nasikia nimebarikiwa .mungu akufunulie zaidi ya hivi❤❤❤🎉
Nimejifunza mengi. Sana ubarikiwe pasta
Mimi nimekuelewa Mtumishi..
Lakini naupendo pia inatakiwa uwepo
Hiyo nikweli upendo ni muhimu sana katika ndoa
😅
Be blessed mtumishi umenifunze na nimejua mengi na kukumbuka mengi Mungu azidi kukupa hekma zaidi
Asante Sana pastor kunakitunimepokea kwakweli🎁
Mungu akubariki sana uishi miaka mingi.Amina
Mungu akubark pasta Kwa ujumbe mzuri sana nimebarikiwa sana
Mchungaji tunaomba namba tafadhali
Muko.namucungaji..lakini.waumini.nihatari
Aminaa Asante sana kwa ujumbe mzuri
Great massage
Somo zuri sana limenijenga
Pastar mungu akubariki kwa ushauri wako
Ubarikiwee mchungaji
Kwene marashi umerahisisha lugha na kauli hiyo TU utawaingiza wengi jehanamu kabisaaa sawa kama biblia ninayosoma kuhusu marashi ni tofauti au shule yangu ni ndogo MUNGU aniongezee elimu zaidi
Pr. Mungu akubarik sana.Songa Mbele Mungu Akutie Nguvu
powerful message
Powerful message.thanks
Nimejifunza God bless you , japo sina ndoa😭😭😭
Pia imeandikwa ktk maandiko matakatifu biblia enyi wake watiini waume zenu nakupinga jambo ambalo siyo jema kwa hekima nabusara.
Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.
Wakolosai 3:18
Mm ombi langu ni utakuja unifungishe ndoa panapo majaliwa ya mungu nmependa ushauri wako pr
Asanteee kw somo mungu akujalie pastor
Mungu akubarik sana mchungaj
Amen Pastor Mmbaga kwa somo zuri tumesoma vema
Ahsante Sanaa pastor nimebarikiwa sanaa🎉
Wow I'm being blessed with your advice and preaching,be blessed
Pr ubarikiwe sana mafundisho mazuri
Hakika mtumishi umefungua ufahamu wa akili yangu barikiwa pr Mbaga
Unanibariki sana paster
Whouah 👊
Mchungaji hawa watu wamevaa half naked ,ni wasabato kweli.
Sio wote wasabato
Mungu akubariki san baba mungu azidi kuku2mia kadri awezavyo
Napitia magumu mama mkwe wangu anapambana niachane na mumewngu naumiaa
Hakikisha unakuwa karibu na Mungu kuliko wakati mwingine na hakikisha mmeo unakuwa naye karibu kuliko wakati mwingine uliowahi kuwa naye karibu