ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Makonda oyeee baba ubarikiwe sana 🎉@
HAWA POLISI WETU NI HATARI SANA.
Mungu akutie nguvu baba
Kwa hiyo mzee alikuwa RPC dakika kadhaa
Hawa watu wanaolalamikia hawa wakubwa baada ya makonda kuondoka watakuw salama?
Kwa Hawa polis sugu IGP umeshindwa Kaz. Kwani hata MaaRPC hawafiki hata rokap kwenda kuangalia watuhumiwa na kusikiliza mahabusu.
Yan huyu Mzee anaeongea ndo alitakiwa awe mkurugenzi au mkuu wa wilaya maana ana akili nyingi sana!
Kabisaa
Ata.ww
Tanzania dhulma imezidi
Kweli
Tanzania ni nchi ambayo raia unaweza kususiwa kituo cha police ukajikuta ni afisa ghafla
😂😂😂😂😂
Mmm asee uyumzee ame piga mwingi adi kapata 500000
Kuna watu wanajielewa
Mwanasheria Mkuu Upoooo ???
Jamaa kaachiwa kituo mazima 😂😂
Mipolisi mingi mijizi ifukuzwe kazi
🤣🤣
Makonda oyeee baba ubarikiwe sana 🎉@
HAWA POLISI WETU NI HATARI SANA.
Mungu akutie nguvu baba
Kwa hiyo mzee alikuwa RPC dakika kadhaa
Hawa watu wanaolalamikia hawa wakubwa baada ya makonda kuondoka watakuw salama?
Kwa Hawa polis sugu IGP umeshindwa Kaz. Kwani hata MaaRPC hawafiki hata rokap kwenda kuangalia watuhumiwa na kusikiliza mahabusu.
Yan huyu Mzee anaeongea ndo alitakiwa awe mkurugenzi au mkuu wa wilaya maana ana akili nyingi sana!
Kabisaa
Ata.ww
Tanzania dhulma imezidi
Kweli
Tanzania ni nchi ambayo raia unaweza kususiwa kituo cha police ukajikuta ni afisa ghafla
😂😂😂😂😂
Mmm asee uyumzee ame piga mwingi adi kapata 500000
Kuna watu wanajielewa
Mwanasheria Mkuu Upoooo ???
Jamaa kaachiwa kituo mazima 😂😂
Mipolisi mingi mijizi ifukuzwe kazi
🤣🤣