Ndugu tafadhali nakuomba ufanye utafiti vizuri kabla yakutangaza.pepe Kale hakuwahi imba na Orchestra Lipua Lipua aliimba na Nynoma katika Bendi ya Orchestra Kamale tena Pepe Kale ndie alianzisha dance Kwasa kwasa ambapo Kanda Bongo Man aliiba sytle zakucheza. Fanya uchambuzi wakutosha kabala yakukuruputa nahabari nusu nusu.
Sikiliza wimbo wa JB MPINA 48HRS COCO ... Anaitaja hiyo hospitali .... Ila simaanishi kua amemuimbia PEPEKALE ... JINA NI GERALD MULUMBA NA AMETAJA MDIGOWAKE ...'GASET MPIANA" ....ahsante... Moyobi...... Moyibi (mwizi) ila mwizi kwa tafsida....)
Ndugu tafadhali nakuomba ufanye utafiti vizuri kabla yakutangaza.pepe Kale hakuwahi imba na Orchestra Lipua Lipua aliimba na Nynoma katika Bendi ya Orchestra Kamale tena Pepe Kale ndie alianzisha dance Kwasa kwasa ambapo Kanda Bongo Man aliiba sytle zakucheza. Fanya uchambuzi wakutosha kabala yakukuruputa nahabari nusu nusu.
Eti mtangazaji anasema kwasasa kwasasa😅😅😅 atakuwa mtoto wa 2000
@@amirhamud3343kwasasa kwa Sasa 😀kwasa kwasa
Nadhani amedandia mana hata utamkaje wa maneno hovyo
Nyboma Mwandido mtindo Kwasakwasa si Kwasasakwasasa mengine 🎉
Pepe Kalle- Hidaya ngoma kali sana kutoka kwa pepe kalle
Empire Bakuba the best band ever
Christina shusho asikiye .
Amejiunga sana diamond.
Pepe kale alifariki 1999 December
We jamaa inabidi ujifunze mambo vzr,.Yan ata kutaja majina vzr hujui,.kwasa kwasa unasema kwasasa kwasasa 😂😂😂
😅😅😂
Kazaliwa 2005 Kwasa kwasa ataijulia wapi .
Watoe wasifu wa kizazi cha akina Burna Boy , Davido na Diamond .
😅😅😅mi mwenyewe nimeshangaa
Moyibi Sio Moyobi😅
Pepe Kalle Alikufa Baada Ya Kuingia Kwa Mwanamke Alie Mwambia Asiingie Chumbani Humo Kwa Muda Wa Siku Tatu,, Kweli Ali Kuwa Anaoza!!
Sikiliza wimbo wa JB MPINA 48HRS COCO ... Anaitaja hiyo hospitali .... Ila simaanishi kua amemuimbia PEPEKALE ... JINA NI GERALD MULUMBA NA AMETAJA MDIGOWAKE ...'GASET MPIANA" ....ahsante...
Moyobi...... Moyibi (mwizi) ila mwizi kwa tafsida....)
Sorry ni 48hrs Gecoco instead of 48 coco
Hizo nyimbo zote nazipenda sana.
Kabasele yampanya
Duh
Unaboa Soukou (Sukus) unasema Sokos! Simaro (Simaroo) sio Simalo.
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Jaman hapa kuna historia ya biblia kweli
Amefariki 98 na arbam ya mwisho lalumbalumba
Album ya mwisho ni:"Cocktail"
Mmmm mbona kama amefariki nikiwa mtu mzima kabisa.labda mseme 2008 kwan 1998 nilikuwa mtoto.
nikwel 1998
Kafa 98
1998
Achana na izo vichwa za habari za STORI YA KUSIKITISHA
Siyo kwasasa kwasasa ni kwasakwasa
Hapana bana sizani kama alifariki huo mwaka wa 1998 hebu angalia vizuli
wewe ndo uangalie vzuri sio kila kitu unabisha hata kugoogle haujui, pepe kalle kafariki november 29 mwaka 1998 , mjini kinshasa sasa unabisha nini
@@abduldjay3034 MWAMBIE AENDE GOOGLE MBISHI HUYU
28 NOVEMBA 1988
😂😂😂😂😂African ooh my African
Alifariki kwa ugonjwa au nn
NADHANI alifariki 1996
Upo sahihi kabisa pepe kale alifariki 1996 nikiwa darasa la saba sitaisahau iyo siku nilikua nampenda sanaa nilisikitika
@@BonaNgatuni MIM nakumbuka nilikuwa darasa la pili nakumbuka Maza alikuwa akizungumza Leo wanamzika pepe kalee hapo Nina miaka 11🤣🤣🤣 longtime aisee
28 NOVEMBA 1998
Tikamwana
Alifariki mwaka1997
Uzushi
Ni sahihi alifariki 1998 Nina hakika pasina shaka lolote.
Alifariki mwaka 1999 baada ya kutoa albam ya larumba
Tuambie wewe . Alifariki lini?
Alifariki mwaka 1999
Sikiliza vzur
@@reonardchatanda6371 1998
Ila na wewe mtoa taarifa tamka vizuri maneno eti mwandindo ,. Moyebe mhj
WHAT LIES!!!🙄🙄🙄🙄SHAME ON YOU. HIDAYA MAMIE REHEMA ALIYEUAWA NA MWANAE SKASSY KASAMBULA HAPA LONDON UK 🇬🇧 LOL 😆 🤣 😂 😹
U got me 😅
Wewe ndiyo muongo