𝐌𝐒𝐄𝐓𝐎 | 𝐙𝐈𝐉𝐔𝐄 𝐀𝐈𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐔 𝐙𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐔 𝐊𝐈𝐓𝐀𝐁𝐈𝐀 / 𝐊𝐈𝐒𝐀𝐈𝐊𝐎𝐋𝐎𝐉𝐈𝐀 |
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ต.ค. 2023
- KIPINDI: MSETO
MUONGOZAJI: KHATIB SALIM OMARI
MGENI: MWANASAIKOLOJIA BI. LEYLA ABUBAKAR @MadamLeilaAbubakar
94.5 𝙛𝙢 𝙏𝙖𝙣𝙜𝙖
𝙆𝙞𝙩𝙪𝙤 𝙘𝙝𝙖 𝙃𝙞𝙠𝙢𝙖
𝐓𝐔𝐅𝐔𝐀𝐓𝐈𝐋𝐈𝐄 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌𝐈𝐓𝐀𝐍𝐃𝐀𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐉𝐀𝐌𝐈𝐈
𝗜𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺: / radionuurfm
𝗙𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸: / radionuurfm
𝗧𝗶𝗸𝘁𝗼𝗸: / radionuurfm
𝗧𝗵𝗿𝗲𝗮𝗱𝘀: www.threads.net/@radionuurfm
𝗧𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿: / radionuurfm
Huyu Madam , anatakiwa atengeneze wigo mkubwa kwa wanawake wenziwe yuko vizuri.
Masha a Allah
❤
"Maneno yapendezayo ni kama sega la Asali;
Ni tamu nafsini na Afya mifupani".
Mashallah Mashallah tunajifunza mengi sana my dear ❤❤❤🎉
Mashallah
Kiukwel leo nmefrah nmecheka na nimeelimika.
وفوق كل ذي علم عليم ما شاء الله 🙌🙌🙌
Mimi ni Théophile badesirwe nikiwa UVIRA Sud Kivu DRC nashukuru kwa mafundisho haya munayotufundisha. Mubarikiwe ya zaidi
MashaAllah ❤
Jazakallah khayran
Real wisdom, it's important if many young and even mature people are good to listen to what you say on family life.
Wanadanganywa sio kupenda, nisababu watu waleo hawana uaminifu, ndizo sababu kuishi kwa matumaini na kubahatisha, yawezekana ikawa kweli unampenda na vile vile unaweza uko kwa nia tofauti.
Hongereni saana,, Allah baariq,,aa Tanga ndio kwa kuoa.
Ukweli kabisa madam leila.
Upo sawa kabisa
Mashaallah ukt
Nuur ipo juu africa mashaliki nuur ala nuur.
Yani madam Leila anachanganua kwa ufasaha saana.
Assalam aleikum, huyu Dada anayo hikma, kwa kweli kama unae mume,unauwezo wakumbadilisha maono au mtazamo wake, anavyo angalia mambo mengi.
Assalamu alaykum hajjat you need more time to explain this issue
mafunzo mazuri kabisa
Mimi sipo tz nitaipataje redio nuur live naipenda sana jaman
Pakua App ya Radio garden kisha ndani yake tafuta redio nuur tanga
❤😂😊😅❤❤
@@radionuurfm mbona naingia lakini naambiwa station is unreachable
jaman iachien hii video
Naomba namba za simu za huyu dadad
Kwani huyu madam keshafanyiwa nusra siwez muoa mimi
mwisho wa Kusamehe ni mara ngapi?
Acheni uchoyo basi iachieni hii video iwe downloaded
Mbn mimi nime download tayar ww umeshndwa wapi
Sijaona kitufe cha download hapo, nielekeze ume-download vp
Sasa Hao perceiving ni Arabs. Yani Hao watu acha tu
mwisho wa Kusamehe ni mara ngapi?
Hakuna mwisho wa kusamehe, kumbuka hata sisi wanadamu kila siku tunakosea lakini tunaporudi kwa Muumba wetu anatusamehe, sembuse wanadamu tunao ishi nao kila siku?.
Ni muhimu kusamehe na kuweka umbali kati ya huyo mtu uliye msamehe, endapo utajiridhisha kwa kuona kama utaendeleza nae uhusiano atakuridisha shimo, ni bora mkaweka gap kama kuna uwezekano mkaendelea kwenye maisha mengine endapo ya ndoa yatashindikana(aidha ya kirafiki au mzazi Mwenza)