Aliyekusaliti ni msaliti tu, asingekuwa msaliti asingetaka watu waijue sehemu yake ya siri
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Kama umejifunza kitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo:
Facebook | / madamleilaabubakar
Instagram | / madam_leila_abubakar
Tiktok | / madam_leila
Usisahau kubonyeza neno SUBSCRIBE
Pia usisite kutuandikia (comment) maoni yako.
Mashaallah..shukran sana madame Kila napo kusikiliza naongeza kitu na kujirekebisha inapo takiwa nijirekebishe..
Naomba ya madam leila anaeijua
+255 757 643 746
❤❤
Jazakallah khayran
Madam naomba no zako nikutafute private
Binafsi nilisalitiwa kama mara nne hivi kwasababu nilikuwa bize saana kusafiri safiri kikazi nilimtimua wa kwanza mbaka wa nne lakini wa tano niliamua kumsamehe bure japo inakera saana hilo swala la usaliti
Mashaa'Allah ❤
Masha Allah
Mashallah ❤❤❤
Dada unasema upweke ninini daaah! Unajua maumivu yakuongezewa mke kipindi uko mjamzito??? Nitasahau niko namienzi 8 mpaka sasa niko uzazi
😓
@@MadamLeilaAbubakar Dada usione watu tunaingia humu nikwasababu tunatafuta faraja wengine tulishapoteza wazazi tumebaki na ndugu ambao nao wanapitia Yao sotunakosa hata tusimame kwenye njia ipi
❤❤❤