Assalam alaikum Sheikh naomba kujua mwanamke akiolea na mume hakuwahi kufanya nae tendo la ndoa akafariki jee yafaa mwanamke huyo kurithi kwa mume huyo na kukaa eda.
Assalaam Aleykum Sheikh. Tafadhal tufafanulie huo uradi wa Imam Nawawi nasi tufaidike. Allah atakulipa jazaa yako na wewe Allah atakufungulia njia kwa mahita yako. tafadhal Ni kweli watapeli wamekuwa wengi, bora mtu ajisomee ruqya mwenyewe usiende ukaongezea shida ukidhani ndo watibu. Wapata faida ya kusoma Qur'an na pia ya kujitibu. NA kwa vile wasoma mara nyingi pia wahifadhi Qur'an humohumo. faida juu ya faida. Kwa wale ambao hawajui aya zipi za ruqya... -------------------------------------------------------------------- Jambo la kwanza la kujikinga na Shaytaan ni - kufuata maamrisho ya Allah na kuachana na makatazo yake. kwa hio kama unahusika na madhambi jaribu uache. hasa shirki, zina na miziki ya midundo. - Muhimu sana Swala za faradhi ziswali kwa wakati wake. na usome Qur'an kwa wingi. - hakikisha kuwa wala halali, wafanya kazi ya halali na nyumba yako haina masanamu na mapicha ya viumbe walio hai (wanyama na wanadamu) kwenye kuta. malaika hawaingii nyumba yeneye vitu hivyo. kisha ondoa majibwa kwenye nyumba ikiwa una majibwa (dog pets) - pia zaidi na hizi ayat, tafuta kitabu kinachouzwa madukani (Hisnul Muslim) kina dua tele humo ndani za asubuhi, maghrib, wakato wa kulala na kadhalika. zinafaa sana surah na ayat za ruqya ni hizi (kuzisoma ni vizuri kuliko kusikiliza tu) ----------------------------------------------- Surah AlFatiha. Suratul Baqarah 1-5 Suratul baqarah 255 (ayatul Kursi) Suratul Baqarah ayat 256 & 257 Suratul Baqarah Ayat 285 & 286 hizi aya 10 za suratul Baqarah wafaa uzisome asubuhi baada ya fardh ya alfajr na kila baada ya fardh ya maghrib. ni kinga dhidi ya shaytaan. Suratul 59 Al Hashr aya 22 23 na 24 surat Kaafirun 109 suratul Ikhlaas, Suratul Falaq na suratuN Naas (112 113 na 114) ni zizuri usome hizi aya kila baada ya swala ya fardh. hasa baada ya swala ya alfajr na swala ya maghrib wakati wa kulala usome ayatul kursi (2:255) na (2:285 & 286) [[[wakati wa kulala pia ufuate sunna ya Mtume (s.a.w) unaweka mikono kama vile ukisoma dua, soma suratul Ikhlaas, Falaq na Naas mara 3 puliza kwa mikono kisha futa mwili wako mzima kama vile wapaka mafuta. rudia hizi mara 3.]]] kwa hio utakuwa umesoma ikhlaas mara 3, falaq mara 3 na Naas mara 3 sunna nyengine ya mtume (s.a.w) inayosaidia sama kujikinga na shaytaan ni Ulale na wudhu ulale kwa ubavu wa kulia na usome ayatul kursi ukijilaza. kisha kila baada ya siku 3 usome suratul baqarah yote kwa nyumba yako. Shaytaan haingii nyumba ambayo imesomewa suratul baqarah kwa muda wa masaa 72. jambi lingine ni utangulize mambo yako kwa kutaja jina la Allah Bismillah. ukiingia nyumbani kwako sema bismillah na utoe salamu (asalaam aleykum) ukianza kula sema bismillah ukiingia chooni sema dua ya kuingia chooni Allahumma inni audhu bika minal Khubthi wal Khaba'ith (ya Allah mimi najilinda kwako kutokana na mashetwani wanaoishi chooni wa kike na wa kiume) na kama umeoa ukifanya kitendo cha ndo useme dua - “Bismillahi, Allahumma jannibnaa ash-shaitaan, wa jannib ash-shaitaan maa razaqtanna” “In the name of Allah, O Allah, keeps us away from the devil, and keep the devil away from that which You may grant us (ie. offspring).” samahani hio maana yake naijua kwa kiswahili lakini nafikiri ni Bismillah Ya Allah tuepushane na Shaytaan na kizazi utakacho turuzuku uwaepushane na shaytaan. huo uradi tuupate tafadhal. watu wengi wana haya matatizo
Sheghe naomba kuuliz mm nimeolew natun miaka 6 lkn sin furh na ndoa yang mwanaum ananipenda lkn mm simpend na sin hisia nae kbis nilikuw naish nae bs lkn hisia nae sina kba nasitak kumuumiz sabab mda mwingin ananihitj mm simhtaj kabs huwa natoa sababu yoyt tu ila asingus naomb unisaidia nitafanyaj
Tumsifu YESU KRISTO je mnautambua umuhimu Wa YESU KRISTO masihi akuna awezaekutoa pepo wachafu osipokuwa kwajina lake injili ilionukuliwa marko 16:14.....utaona Kwa nini tunakemea mapepo waganga wakienyeji washirikina kwajina LA MASIHI YESU sio venginevo nikujijazia mzigo Wa mashetani muaminini YESU enyi mafarisayo mnaovaa kanzu ndefu mkizunguka mijini kujionyesha mnamcha MUNGU kumbe YESU MASIHI hamumtaki
Aslamu alikum sheikh izudin kuna wanadoa wameowana juzi wana mwezi na siku kumi shida nikwamba mume asema mke haswali vile invotakekana mume asema hana makini na swala huyo msichana sikwakua haswali kabisa nivile tu hana makini na swala sasa mume amemkasirikia hakuna imani tena kwenye nyumba wala kufanya tendo la ndoa mume hataki ana hasira na mke wake naomba majibu yako shekhe
Ni sunnah mume kuowa mke zaidi miaka kama vile alivyo fanya Mtume Mohammed s.a.w sijuwi kwa nini wanaume wa kislamu hawafuati sunnah hii allahu akbar!!
Maustadh sahii imekua too much waiteni ama wahamasisheni vijana kuswali jambo muhimu,kuacha zina ndio mambo mnafaa kila siku muongelee nyinyi wengiweni mmekua makungwi mnaongelea mambo ya uke na mume sjui tendo landoa haya muhimu mumeyasahau kueni makini
Na ampeleke hosp kabla hajaanza kushiriki majini,sisemi majini hakuna au hawafanyi lakini pia nimeona wanawake wanapata matatizo ya homonzi na yanahitajia kuonana na mtaalamu wa kihosp mengi tu hassa mama anapotoka kuzaa au akiwa ananyonyesha na asipojiangalia huyu mwanamke utakuwa ni ulemavu wa kudumu
Tia rukya kila siku mara mbili siku za mwanzo utaona kama haifanyi lolote lakini hakika ni dawa pekee iliyonisaidia mie na wengine wengi niwajuao, ziko nyingi kwenye you tube . mimi ilinichukua wiki saba kupona lakini kuna watu walipata nafuu mapema zaidi au kuchelewa zaidi yangu
Niamsikiliza kwa umakini huyu mwalimu na kwa ungalifu sana asije akawa Mshia maana waislam wengi hawajui Dini yao hivyo huchukua kwa kila mtu anaejiita shekhe
Kuna swali nauliza kwa wale wanaofaham naomba wanijibu, mm hua napenda sana kuota ndoto nalala na mwanamume je huenda ikawa ndio huyo subiani au ni ndoto tu, na alafu kama nimeota ivyo nafanyiwa tendo la ndoa yan mapenz je inatakiwa nioge janaba pia au laah.
Nafisa Mohamad dada yangu,sio kila ndoto ni una subiani laaahasha, ni ndoto to ila kuwa na mazoea ya kulala na udhu,yaani unatawadha kabla ya kulala na ukiota umefanyiwa tendo la ndoa lazima uoge janaba kwa maana umefajichafua.
As'salaam upo utaratibu wa kulala kisheria na kabla hujalala kuna dua maalum na kabla kuna udhu pia ...ukizingatia huwezi kuchezewa na sheitwani usingizini.in short majambo mengi yanautaratibu wake!!!
HAKUNA JINI ANAWEZA KUTJAMAA NA BINADAMU WALA BIN’ADAMU KUT’JAMAA NA JINI SAHAU KWA HILO,NIMCHEZO TU WASHETANI AUFANYAO KWA BIN’ADAM,KWA UFUPI NI HIVYO.
Zuwena Sabra :JINI KAUMBWA NA MOTO BIN’ADAM NA UDONGO KUNA MAMBO YANGINE UNAWEZA KUSHIRIKIANA NA JINI LAKINI SIYO KATIKA TENDO LA NDOA 1,KUNA BAADHI YA WANAWAKE HUSEMA ANA MME JINI AU MWANAUME HUSEMA ANA MKE WA KIJINI,SIYO KWELI,KWANZA NANI KAWAFUNGISHA NDOA,PILI KWANINI IWE SIRI IWAPO KUNA MAJINI PIA WAISLAMU .3,MAUMBILE YAO TOFAUTI NA BIN’ADAMU NA HAKUNA KATIKA MANABII AU MITUME ALIYE OWA JINI.WAPI ULIONA WATOTO WA KIJINI WALIO ZA NA BIN’ADAMU,(JINI WA KIKE AU WA KIUME ANAWEZA KUPATA HISIA IKIWA ATAINGIA KATIKA MWILI WA BIN’ADAMU IKIWA HUKU TANGULIZA JINA LA ALLAH NA NDIO MCHEZO WAO WANAO UFANYA,NA PIA TUSINGIWEZA KUSALI MAANA MAKAFIR WA KIJINI WANGEKUWA WANATUTENGUA UDHUU .IKIWA BI ZUWENA SABRA HUJA FAHAMU NIKO TAYARI KUKUJIBU HOJA ZAKO ZOTE UTAZO ZITOA BILA KUCHOKA NA WALA USISITE KUNIULIZA.
Zuwena Sabra:PIA WASHIRIKINA HUTUMIA MBINU ZA KUWADANGANYA WATU WASIOKUA NA ELIMU YA MAJINI KUPATA RIZIKI ZAO,NA WALA USIFIKIRI SHAIKH YOYOTE WA KIDINI ANAWEZA KUA NA ELIMU YA MAJINI,NA UKIMSIKIA SHAIKH YOYOTE ANAKUULIZA JINA LA BABA AU MAMA YAKO BASI HAFAI AU UKIENDA TIBIWA KWA MGANGA AU SHEIKH ALAFU ANAMUULIZA HUYO JINI JINA LAKE NANI BASI ACHANA NAE HUWA MUONGO AU UKISIKIA SHAIKH YOYOTE AU MAALIM YOYOTE ANAJITAPA KWAMBA ATASOMA ALBADIR,BASI HUYO MSHIRIKINA MNAFIQ.HAKUNA MPAKA SASA KUTOKEA JINI KUMUOA AU KUOLEWA NA BIN'ADAM NAWALA HAITATOKEA KWANI ALLAH KATOKA MFANO WAKE WA KIMAISHA KWA MITUME NA MANABII KWA HIYO HAKUNA NI MCHEZO TU WA SHAITANI.
@@ibrahimbalhawasel5458 wako hao nimeshuhudia na tukamsomea na hilo dudu baya likaondoka sass kama ni jini no shetani anaejuwa zaidi no Allah maana tulimsomea mara mbili ya tatu subhanallah nilikuwa siiamini lakini baada ya kuyashuhudia subhanallah khatari na wala hatukumpeleka kwa mganga ni Rukiya na majina ya MMungu kwa siku tatu ya tatu aaa niliyoyaona haa kuna mtu akisema kama hivyo wewe alipopata mwanawe alipiga goti na MMungu asituoneshe
Kusema hakuna jini anaweza kujimai na binadamu kwa sababu binadamu kaumbwa kwa udongo na jini kaumbwa kwa moto si hoja ya kukinaisha. Hayo ni mambo yapo kwa wenye kuendekeza vitu hivyo. Cha kuzingatia ni kwamba lazima tutambue atakayeendekeza mambo hayo ameingia makosani, ama yule aliyesibiwa na kutenzwa nguvu huyo ni mgonjwa anahitaji kufanyiwa ruqya ya kisheria ili Allah amuepushe na vitimbi vya viumbe hao. Allah anasema ktk suratil jinn: وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا Na hali ilivyo ni kwamba kuna wanaume miongoni mwa watu wanajikinga kwa wanaume miongoni mwa majini na wakawazidishia taklifu. Miongoni mwa taklifu ni hizo jini kukuhitaji na kukutumia kwa uzinzi. Au wewe kumuhitaji jini na kumtumia kwa uzinzi. Baadhi ya banii Israil kabla ya kushushiwa Taurati walikuwa na utaratibu wa kuzini na majini wazi wazi, mwanaume alikuwa anachukua kondoo jike anaenda naye porini anaweka manuizo yake ya kutaka kuzini na jini wa kike kisha anamchinja kondoo na jini anatokea wanafanya zinaa, na mwanamke alikuwa anachukua kondoo dume naye hivyohivyo. Taurati iliposhuka ikawakataza mambo hayo. Kwenye majini kuna wanaume na wanawake kama ilivyo kwa wanadamu, kwa hiyo mambo yote ya kimatamanio yawezekana kuwepo baina yao. Hasa majini kuwatamani binadamu ndio zaidi kwa kuwa wanawaona hali ya kuwa binadamu hawawaoni. Halafu jini kajaliwa uwezo wa kujidhihirisha kwa wanadamu kwa umbo la kibinadamu ila Allah kawanyima uwezo wa kujimithilisha na sura za mitume tu kwa hekima yake. Na majini wanaokusudiwa hapo wanajihusisha na kuwafanyia vitimbi wanadamu ni majini waovu. وأنا منا الصالحون ومنا القاسطون Kwa hali ilivyo ni kwamba miongoni mwetu kuna wema na miongoni mwetu kuna waovu. Hiyo ni nukuu ya Allah kupitia kitabu chake majini wakijieleza. Pia majini wamegawanyika makundi mbalimbali ya kiitikadi kama ilivyonukuliwa tena kwenye kitabu kitukufu: وأنا منا المسلمون ومنا دون ذلك كنا طرائق قددا Kwa jinsi hali ilivyo ni kwamba miongoni mwetu kuna waislamu na miongoni mwetu ni kinyume cha hivyo, tupo mapote mbalimbali. Kwa hiyo ni mambo yapo wala hakuna sababu ya kupinga.
Sheikh A.alaykum Swali langu nihili. Mke wangu ameshika ujauzito lakini tangia aliponambia ana ujauzito bas amekua hataki ata kualala nami karbu ahataki ata kumgusa leo ni cku ya 5 ata khabari namimi hana je nihaki hii kwake kufanya?
Vijana wamezidi usinzi uzinifu ,vijana hawaswali ,,,vijana wamezidi kuingia kwenye uhuni hususan wakislam kuna mambo muhimu sana yakuongelea ilikuwaelekeza viajana na umma wote hizi mada za skuizi zimekua nikama mashindano kwamaustadh.
Assalaam Alaykum Aya za Qur'an za ruqya ni hizo amabazo nimeandika hapo juu kwa jibi la Mserajlive. hio dua ya Imama Nawawi na mimi pia naingoja. siijui
Assalaam aleykum. Jambo la kwanza la kujikinga na Shaytaan ni kufuata maamrisho ya Allh na kuachana na makatazo yake. kwa hio kama unahusika na madhambi jaribu uache. hasa shirki, zina na miziki ya midundo. pia hakikisha kuwa wala halali, wafanya kazi ya halali na nyumba yako haina masanamu na mapicha ya viumbe walio hai (wanyama na wanadamu) kwenye kuta. malaika hawaingii nyumba yeneye vitu hivyo. kisha ondoa majibwa kwenye nyumba ikiwa una majibwa (dog pets) surah na ayat za ruqya ni hizi Surah huwa ni AlFatiha. Suratul Baqarah 1-5 Suratul baqarah 255 (ayatul Kursi) Suratul Baqarah ayat 256 & 257 Suratul Baqarah Ayat 285 & 286 hizi aya 10 za suratul Baqarah wafaa uzisome asubuhi baada ya fardh ya alfajr na kila baada ya fardh ya maghrib. ni kinga dhidi ya shaytaan. Suratul 59 Al Hashr aya 22 23 na 24 surat Kaafirun 109 suratul Ikhlaas, Suratul Falaq na suratuN Naas (112 113 na 114) ni zizuri usome hizi aya kila baada ya swala ya fardh. hasa baada ya swala ya alfajr na swala ya maghrib wakati wa kulala usome ayatul kursi (2:255) na (2:285 & 286) [[[wakati wa kulala pia ufuate sunna ya Mtume (s.a.w) unaweka mikono kama vile ukisoma dua, soma suratul Ikhlaas, Falaq na Naas mara 3 puliza kwa mikono kisha futa mwili wako mzima kama vile wapaka mafuta. rudia hizi mara 3.]]] kwa hio utakuwa umesoma ikhlaas mara 3, falaq mara 3 na Naas mara 3 sunna nyengine ya mtume (s.a.w) inayosaidia sama kujikinga na shaytaan ni Ulale na wudhu ulale kwa ubavu wa kulia na usome ayatul kursi ukijilaza. kisha kila baada ya siku 3 usome suratul baqarah yote kwa nyumba yako. Shaytaan haingii nyumba ambayo imesomewa suratul baqarah kwa muda wa masaa 72. jambi lingine ni utangulize mambo yako kwa kutaja jina la Allah Bismillah. ukiingia nyumbani kwako sema bismillah na utoe salamu (asalaam aleykum) ukianza kula sema bismillah ukiingia chooni sema dua ya kuingia chooni Allahumma inni audhu bika minal Khubthi wal Khaba'ith (ya Allah mimi najilinda kwako kutokana na mashetwani wanaoishi chooni wa kike na wa kiume) na kama umeoa ukifanya kitendo cha ndo useme dua - “Bismillahi, Allahumma jannibnaa ash-shaitaan, wa jannib ash-shaitaan maa razaqtanna” “In the name of Allah, O Allah, keeps us away from the devil, and keep the devil away from that which You may grant us (ie. offspring).” samahani hio maana yake naijua kwa kiswahili lakini nafikiri ni Bismillah Ya Allah tuepushane na Shaytaan na kizazi utakacho turuzuku uwaepushane na shaytaan. hilo alilo sema la Uradi wa Imama Nawawi na mimi pia nalitaka maana silijui na sijawahi kuliskia. kwa hio tutafaidika sote
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Izudin Alwy Din sheikh samahani mm nina shida na ww naomba namba zako ili nikuelezee vizur
Izudin Alwy Din uradu wa jini mahaba
Dawa zamoyoo
Tuitaji elimuzenu ilitufanye ibads
Assalam alaikum Sheikh naomba kujua mwanamke akiolea na mume hakuwahi kufanya nae tendo la ndoa akafariki jee yafaa mwanamke huyo kurithi kwa mume huyo na kukaa eda.
Napnda xna mawadha yko Allah akujalie kila la kheri
Mashaallah Shkh Allah akupe umri wa afya
Toba Allah atulinde na hali hiyo,allahumma amiin,Allah akulipe sheikh
Shukraan Sana sheikh wangu tunamuomba huo uradi nasi utusaidie sheikh.tutaupataje hutaupataje sheikh Allah akuhifadhi sheikh jazaka Allahu khaira
mungu akupe wepesi uzidi kufikisha ujumbe wa Allah
Sio kweli kabisa kabisa jini hafanyi mapenzi NA Binaadamu abadan
Kwa elimu yako finyu
Maa shaa Allaah swahihi mola akubariki sheikh izzudin
Aaamin
Wallah xure
Allah akulipe kila lakhery kwa dawa hii yakututib nyoyo zetu
Maa Shaallh mungu akuezeshe uzid kutufundisha
Assalaam Aleykum Sheikh. Tafadhal tufafanulie huo uradi wa Imam Nawawi nasi tufaidike. Allah atakulipa jazaa yako na wewe Allah atakufungulia njia kwa mahita yako. tafadhal
Ni kweli watapeli wamekuwa wengi, bora mtu ajisomee ruqya mwenyewe usiende ukaongezea shida ukidhani ndo watibu. Wapata faida ya kusoma Qur'an na pia ya kujitibu. NA kwa vile wasoma mara nyingi pia wahifadhi Qur'an humohumo. faida juu ya faida.
Kwa wale ambao hawajui aya zipi za ruqya...
--------------------------------------------------------------------
Jambo la kwanza la kujikinga na Shaytaan ni
- kufuata maamrisho ya Allah na kuachana na makatazo yake. kwa hio kama unahusika na madhambi jaribu uache. hasa shirki, zina na miziki ya midundo.
- Muhimu sana Swala za faradhi ziswali kwa wakati wake. na usome Qur'an kwa wingi.
- hakikisha kuwa wala halali, wafanya kazi ya halali na nyumba yako haina masanamu na mapicha ya viumbe walio hai (wanyama na wanadamu) kwenye kuta. malaika hawaingii nyumba yeneye vitu hivyo.
kisha ondoa majibwa kwenye nyumba ikiwa una majibwa (dog pets)
- pia zaidi na hizi ayat, tafuta kitabu kinachouzwa madukani (Hisnul Muslim) kina dua tele humo ndani za asubuhi, maghrib, wakato wa kulala na kadhalika. zinafaa sana
surah na ayat za ruqya ni hizi (kuzisoma ni vizuri kuliko kusikiliza tu)
-----------------------------------------------
Surah AlFatiha.
Suratul Baqarah 1-5
Suratul baqarah 255 (ayatul Kursi)
Suratul Baqarah ayat 256 & 257
Suratul Baqarah Ayat 285 & 286
hizi aya 10 za suratul Baqarah wafaa uzisome asubuhi baada ya fardh ya alfajr na kila baada ya fardh ya maghrib. ni kinga dhidi ya shaytaan.
Suratul 59 Al Hashr aya 22 23 na 24
surat Kaafirun 109
suratul Ikhlaas, Suratul Falaq na suratuN Naas (112 113 na 114)
ni zizuri usome hizi aya kila baada ya swala ya fardh. hasa baada ya swala ya alfajr na swala ya maghrib
wakati wa kulala usome ayatul kursi (2:255) na (2:285 & 286)
[[[wakati wa kulala pia ufuate sunna ya Mtume (s.a.w) unaweka mikono kama vile ukisoma dua, soma suratul Ikhlaas, Falaq na Naas mara 3 puliza kwa mikono kisha futa mwili wako mzima kama vile wapaka mafuta.
rudia hizi mara 3.]]]
kwa hio utakuwa umesoma ikhlaas mara 3, falaq mara 3 na Naas mara 3
sunna nyengine ya mtume (s.a.w) inayosaidia sama kujikinga na shaytaan ni
Ulale na wudhu
ulale kwa ubavu wa kulia
na usome ayatul kursi ukijilaza.
kisha kila baada ya siku 3 usome suratul baqarah yote kwa nyumba yako. Shaytaan haingii nyumba ambayo imesomewa suratul baqarah kwa muda wa masaa 72.
jambi lingine ni utangulize mambo yako kwa kutaja jina la Allah Bismillah.
ukiingia nyumbani kwako sema bismillah na utoe salamu (asalaam aleykum)
ukianza kula sema bismillah
ukiingia chooni sema dua ya kuingia chooni Allahumma inni audhu bika minal Khubthi wal Khaba'ith (ya Allah mimi najilinda kwako kutokana na mashetwani wanaoishi chooni wa kike na wa kiume)
na kama umeoa ukifanya kitendo cha ndo useme dua - “Bismillahi, Allahumma jannibnaa ash-shaitaan, wa jannib ash-shaitaan maa razaqtanna”
“In the name of Allah, O Allah, keeps us away from the devil, and keep the devil away from that which You may grant us (ie. offspring).”
samahani hio maana yake naijua kwa kiswahili lakini nafikiri ni Bismillah Ya Allah tuepushane na Shaytaan na kizazi utakacho turuzuku uwaepushane na shaytaan.
huo uradi tuupate tafadhal. watu wengi wana haya matatizo
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Man sha Allah
Allah akujaliye kila la kheiri
Akuzidishiye ilmu
Ni uradi ngani sheikh na mm nimzungue mke wangu
Mashallah napenda elmu yako yanisaidia sana mie
MashaAllah
Sheghe naomba kuuliz mm nimeolew natun miaka 6 lkn sin furh na ndoa yang mwanaum ananipenda lkn mm simpend na sin hisia nae kbis nilikuw naish nae bs lkn hisia nae sina kba nasitak kumuumiz sabab mda mwingin ananihitj mm simhtaj kabs huwa natoa sababu yoyt tu ila asingus naomb unisaidia nitafanyaj
Ikiwa mume kamuingilia mkewe kinyume cha maumbile je huyu make atakuwa kachika au haja achika
Ameachika
😂😂😂😂 Allah anijaliye adi Mwisho wauza nikimpa hakiyake
Haya mawaidha yamenigusa Sana ninahilo tatizo
Allah akujaalie wepesi
Sheikh wangu Tunaomba huo Uradi au hiyo Dua tujifanyie.
Jazaka llahu lkhair 🍇
Naomba kupata huwo mradi coz matatizo yao pia mm ninayo naomba usadizi sheikh
Tumsifu YESU KRISTO je mnautambua umuhimu Wa YESU KRISTO masihi akuna awezaekutoa pepo wachafu osipokuwa kwajina lake injili ilionukuliwa marko 16:14.....utaona Kwa nini tunakemea mapepo waganga wakienyeji washirikina kwajina LA MASIHI YESU sio venginevo nikujijazia mzigo Wa mashetani muaminini YESU enyi mafarisayo mnaovaa kanzu ndefu mkizunguka mijini kujionyesha mnamcha MUNGU kumbe YESU MASIHI hamumtaki
hatuwezi kumsifu mwanaume mwenzetu
hahahah
Tcgm Tanzania atasifiwa kama tunavyowasifu mitume wengine tyu...
lkn abadan hawez kuwa mtoto w mungu....
laa ilaaha illa llah muhammadun rrasuulullah.
Suleyman zahor hee mbavu zangu jamaniiiii
bashite mwingine huyu
Kweli kabisa napitia haya matatizo tena naeza kataa na kulia juu
Shehh yafaa kumbonyeza mke ikiwa anamimba
Namsaidia shehe kujibu kubonyeza muhimu mke mwenye mimba
Bonyeza sana
BONYEZA
Tunaomba hiyo Dua
Alafu mume mwenye mchepuko sana mpaka wanamfata nyumbani utaichinaye dje
Mbona ikiwa hutba ya mambo ya ndoa, like na comment zinakuwa nyingi ?
😂😂😂
Na wote ni wanawake tu. Kubonyeza
Shek naomba huo uradi utusomee
Aslamu alikum sheikh izudin kuna wanadoa wameowana juzi wana mwezi na siku kumi shida nikwamba mume asema mke haswali vile invotakekana mume asema hana makini na swala huyo msichana sikwakua haswali kabisa nivile tu hana makini na swala sasa mume amemkasirikia hakuna imani tena kwenye nyumba wala kufanya tendo la ndoa mume hataki ana hasira na mke wake naomba majibu yako shekhe
Twambie sheikh tuelekeze,Allah akbar
Ni sunnah mume kuowa mke zaidi miaka kama vile alivyo fanya Mtume Mohammed s.a.w sijuwi kwa nini wanaume wa kislamu hawafuati sunnah hii allahu akbar!!
Wanafata sunna ya kuongeza wake2
Naam
Maustadh sahii imekua too much waiteni ama wahamasisheni vijana kuswali jambo muhimu,kuacha zina ndio mambo mnafaa kila siku muongelee nyinyi wengiweni mmekua makungwi mnaongelea mambo ya uke na mume sjui tendo landoa haya muhimu mumeyasahau kueni makini
tafuta mawaidha ya sheikh anazungumzia mada zote.
somo la tawheed by ist izudin alwy ahmed th-cam.com/video/zC3nHizFdIY/w-d-xo.html
Ni changamoto cnaa
Jazakullahul kheir
mtihani
MASHALLAH ALEIK
MashaAllah
Yaweza kutoka inshaAllah mungu atuepushie
A.alayum shekhe nitajie huo uradi ili niusome
Sheh mdog wng ana ttz ilo nakuomb msaada from zanzibar
Assalam allaykum sheikhy izudin..naomba tuelekeze huo huradi maana tupo wengi haswa wenye matatizo km hayo ya subiani
Masha Allah
Kali hii
Zama hizi Hao wanawake wanaobonyezwa ni wengi mno kila umuonae akwambia hataki mume akaolewa na ukimuangalia Ana sifa zote
Allah Atustiri
Ali Dingongo kweli hta mm ctaki kuolewa na bdo mdg
😂😂😂😂😂😂
Lightness Kweka 😃😃😃
Je mume kama yeye anataka kuja kufuata kama mbuzi. Yaani anakuja apande amalize tu na juu ya hayo mlevi na Hana Muda wote Hana upendo.
Je hapo????
Nifurahishwa mawaitha yako mashaarwa
MM nnatatz ninaependa simpat ilamwanaume nisiompend ndioanaangaika sananamm nam natakakuifata namfiyangu naisinntainjoimapenz rakinisinabahat ndionateseka
Mashaallah
Shukran shekh
thanks for beautiful darasa
Ayubu zulu yani hilo. limekua tatizo tusaidie sheh
Jaman huyu sheh anaitwa nani nisaidien jinalake
Izudin ...
U
Subhuhana allah
Allah atulinde
Shekh hicho kisomo ni kipi
hatujapata kukusikia ukizumzia tawheed akhy... au mimi ndo cjaipata iyo mada
MashaAllah
Shehe tutajie iyo rukya
Urad... Niko na hiyo shida.......
Sheikh uradi wa Imam Nawawi tunauomba mie ninayo hayo matatizo
Bonyeza maandishi ya blue hayo
Yako wapi
Alhamdulilah, MaashAllah, InshAllah heri,
MashaAllah
Na ampeleke hosp kabla hajaanza kushiriki majini,sisemi majini hakuna au hawafanyi lakini pia nimeona wanawake wanapata matatizo ya homonzi na yanahitajia kuonana na mtaalamu wa kihosp mengi tu hassa mama anapotoka kuzaa au akiwa ananyonyesha na asipojiangalia huyu mwanamke utakuwa ni ulemavu wa kudumu
tafadhali bonyeza linki HIIth-cam.com/video/uceGUuJGnvc/w-d-xo.html
umiy1971
Help me
what kind of help you need ?
umiy19
Nataka kulithibiti asemalo shekh nini tiba yake
Tia rukya kila siku mara mbili siku za mwanzo utaona kama haifanyi lolote lakini hakika ni dawa pekee iliyonisaidia mie na wengine wengi niwajuao, ziko nyingi kwenye you tube . mimi ilinichukua wiki saba kupona lakini kuna watu walipata nafuu mapema zaidi au kuchelewa zaidi yangu
Assalam aleikum basi tutumie huo uradi
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
kama mume ndo hatak je
Jazakallah kheir,
Nawezapata huo uradi wa annawawi??
Mimi nikiwa nahamu namumewangu namuota mwanaume mwengine nahuwasimtamani Tena mumewangu.
Una jini mahba wee
Subiani huyo, tafuta sheikh mzuri akufanyie rukia
As naomba huo uradi plz me pia nina hio shida plzzzz
Niamsikiliza kwa umakini huyu mwalimu na kwa ungalifu sana asije akawa Mshia maana waislam wengi hawajui Dini yao hivyo huchukua kwa kila mtu anaejiita shekhe
Thanks
The Sons tv huyu so shia
Upo sahihi uyu ni haohao
wewe ndo shia namba moja
Kuna swali nauliza kwa wale wanaofaham naomba wanijibu, mm hua napenda sana kuota ndoto nalala na mwanamume je huenda ikawa ndio huyo subiani au ni ndoto tu, na alafu kama nimeota ivyo nafanyiwa tendo la ndoa yan mapenz je inatakiwa nioge janaba pia au laah.
Nafisa Mohamad dada yangu,sio kila ndoto ni una subiani laaahasha, ni ndoto to ila kuwa na mazoea ya kulala na udhu,yaani unatawadha kabla ya kulala na ukiota umefanyiwa tendo la ndoa lazima uoge janaba kwa maana umefajichafua.
Yaseeng Nkumua ok shukraan kwa kunifahamisha mungu akujaze imani inshallah
Nafisa Mohamad ameen
Group ya Sheikh Izuddin Uliza ujibiwe ya whatsap +254 701 662152
As'salaam upo utaratibu wa kulala kisheria na kabla hujalala kuna dua maalum na kabla kuna udhu pia ...ukizingatia huwezi kuchezewa na sheitwani usingizini.in short majambo mengi yanautaratibu wake!!!
Asallam alaykum shekhe twaomba utufahamishe hizo dua
Sheikh Izudin Alwy salaam aleykum,Mimi nimeoa mke wa pili tatizo hili limenitokea mke wa kwanza sina hamu nae nifanyeje?
nitafute nikuelekeze dawa
mh
mawaitha ya mashallah
mashallah 2patie BC uo uradi
HAKUNA JINI ANAWEZA KUTJAMAA NA BINADAMU WALA BIN’ADAMU KUT’JAMAA NA JINI SAHAU KWA HILO,NIMCHEZO TU WASHETANI AUFANYAO KWA BIN’ADAM,KWA UFUPI NI HIVYO.
ABU IBRA nifunze zaidi, kwanini unakataa jambo ambalo linaonekana kwa matukio ya kila leo?
Kwanini jini hawezi?
Zuwena Sabra :JINI KAUMBWA NA MOTO BIN’ADAM NA UDONGO KUNA MAMBO YANGINE UNAWEZA KUSHIRIKIANA NA JINI LAKINI SIYO KATIKA TENDO LA NDOA 1,KUNA BAADHI YA WANAWAKE HUSEMA ANA MME JINI AU MWANAUME HUSEMA ANA MKE WA KIJINI,SIYO KWELI,KWANZA NANI KAWAFUNGISHA NDOA,PILI KWANINI IWE SIRI IWAPO KUNA MAJINI PIA WAISLAMU .3,MAUMBILE YAO TOFAUTI NA BIN’ADAMU NA HAKUNA KATIKA MANABII AU MITUME ALIYE OWA JINI.WAPI ULIONA WATOTO WA KIJINI WALIO ZA NA BIN’ADAMU,(JINI WA KIKE AU WA KIUME ANAWEZA KUPATA HISIA IKIWA ATAINGIA KATIKA MWILI WA BIN’ADAMU IKIWA HUKU TANGULIZA JINA LA ALLAH NA NDIO MCHEZO WAO WANAO UFANYA,NA PIA TUSINGIWEZA KUSALI MAANA MAKAFIR WA KIJINI WANGEKUWA WANATUTENGUA UDHUU .IKIWA BI ZUWENA SABRA HUJA FAHAMU NIKO TAYARI KUKUJIBU HOJA ZAKO ZOTE UTAZO ZITOA BILA KUCHOKA NA WALA USISITE KUNIULIZA.
Zuwena Sabra:PIA WASHIRIKINA HUTUMIA MBINU ZA KUWADANGANYA WATU WASIOKUA NA ELIMU YA MAJINI KUPATA RIZIKI ZAO,NA WALA USIFIKIRI SHAIKH YOYOTE WA KIDINI ANAWEZA KUA NA ELIMU YA MAJINI,NA UKIMSIKIA SHAIKH YOYOTE ANAKUULIZA JINA LA BABA AU MAMA YAKO BASI HAFAI AU UKIENDA TIBIWA KWA MGANGA AU SHEIKH ALAFU ANAMUULIZA HUYO JINI JINA LAKE NANI BASI ACHANA NAE HUWA MUONGO AU UKISIKIA SHAIKH YOYOTE AU MAALIM YOYOTE ANAJITAPA KWAMBA ATASOMA ALBADIR,BASI HUYO MSHIRIKINA MNAFIQ.HAKUNA MPAKA SASA KUTOKEA JINI KUMUOA AU KUOLEWA NA BIN'ADAM NAWALA HAITATOKEA KWANI ALLAH KATOKA MFANO WAKE WA KIMAISHA KWA MITUME NA MANABII KWA HIYO HAKUNA NI MCHEZO TU WA SHAITANI.
@@ibrahimbalhawasel5458 wako hao nimeshuhudia na tukamsomea na hilo dudu baya likaondoka sass kama ni jini no shetani anaejuwa zaidi no Allah maana tulimsomea mara mbili ya tatu subhanallah nilikuwa siiamini lakini baada ya kuyashuhudia subhanallah khatari na wala hatukumpeleka kwa mganga ni Rukiya na majina ya MMungu kwa siku tatu ya tatu aaa niliyoyaona haa kuna mtu akisema kama hivyo wewe alipopata mwanawe alipiga goti na MMungu asituoneshe
Kusema hakuna jini anaweza kujimai na binadamu kwa sababu binadamu kaumbwa kwa udongo na jini kaumbwa kwa moto si hoja ya kukinaisha. Hayo ni mambo yapo kwa wenye kuendekeza vitu hivyo. Cha kuzingatia ni kwamba lazima tutambue atakayeendekeza mambo hayo ameingia makosani, ama yule aliyesibiwa na kutenzwa nguvu huyo ni mgonjwa anahitaji kufanyiwa ruqya ya kisheria ili Allah amuepushe na vitimbi vya viumbe hao. Allah anasema ktk suratil jinn:
وأنه كان رجال من الإنس يعوذون برجال من الجن فزادوهم رهقا
Na hali ilivyo ni kwamba kuna wanaume miongoni mwa watu wanajikinga kwa wanaume miongoni mwa majini na wakawazidishia taklifu.
Miongoni mwa taklifu ni hizo jini kukuhitaji na kukutumia kwa uzinzi. Au wewe kumuhitaji jini na kumtumia kwa uzinzi. Baadhi ya banii Israil kabla ya kushushiwa Taurati walikuwa na utaratibu wa kuzini na majini wazi wazi, mwanaume alikuwa anachukua kondoo jike anaenda naye porini anaweka manuizo yake ya kutaka kuzini na jini wa kike kisha anamchinja kondoo na jini anatokea wanafanya zinaa, na mwanamke alikuwa anachukua kondoo dume naye hivyohivyo. Taurati iliposhuka ikawakataza mambo hayo.
Kwenye majini kuna wanaume na wanawake kama ilivyo kwa wanadamu, kwa hiyo mambo yote ya kimatamanio yawezekana kuwepo baina yao. Hasa majini kuwatamani binadamu ndio zaidi kwa kuwa wanawaona hali ya kuwa binadamu hawawaoni. Halafu jini kajaliwa uwezo wa kujidhihirisha kwa wanadamu kwa umbo la kibinadamu ila Allah kawanyima uwezo wa kujimithilisha na sura za mitume tu kwa hekima yake. Na majini wanaokusudiwa hapo wanajihusisha na kuwafanyia vitimbi wanadamu ni majini waovu.
وأنا منا الصالحون ومنا القاسطون
Kwa hali ilivyo ni kwamba miongoni mwetu kuna wema na miongoni mwetu kuna waovu.
Hiyo ni nukuu ya Allah kupitia kitabu chake majini wakijieleza.
Pia majini wamegawanyika makundi mbalimbali ya kiitikadi kama ilivyonukuliwa tena kwenye kitabu kitukufu:
وأنا منا المسلمون ومنا دون ذلك كنا طرائق قددا
Kwa jinsi hali ilivyo ni kwamba miongoni mwetu kuna waislamu na miongoni mwetu ni kinyume cha hivyo, tupo mapote mbalimbali.
Kwa hiyo ni mambo yapo wala hakuna sababu ya kupinga.
Tusaidie hayo matatizo tunayo katika familia yetu
Hata mimi nnamtoto mmoja tu ila sitamani kabsa mume wala kushiriki tendo
kwanini
We kwani ni jike
Asalam alykum uradi upi shekh someone please help
Dada,,,nini
kisomo cha rukia
Kukataa tendo la ndoa kwakua mume amekuudhi hamuna maelewano nini hukmu yake sheikh kama sababu si subiani
Utaenda motoni 😁
Naomba man saidie jinala huyu dheh
Izudin alwy ahmed
Masha Allah Allah akzdshie uzd kutufunza
Shee 😆😆😆😆😆😆😆 balaa
Hy
Mimi ni shila
Mbona nafungua hii haikubal
Ilim hauna ww
Tusaidie wewe sisi umati Mohammed kama huyu shekh hajui akiongeacho!
Ww mwny elmu tusomeshe
Mashaalla
Asalaam aleikhum bc mm namtaka huyo sheikh anisomee pia
Aa naomba mume kuwa bahili
Insha Allaah
Mashaaallah
Naomba namba yako sheikh
Hapo penye mtu wa mwilini ni kweli
Sheikh A.alaykum
Swali langu nihili. Mke wangu ameshika ujauzito lakini tangia aliponambia ana ujauzito bas amekua hataki ata kualala nami karbu ahataki ata kumgusa leo ni cku ya 5 ata khabari namimi hana je nihaki hii kwake kufanya?
Ongeza Mahaba zaidi ya Yale ya mwanzo, uweze mlainisha moyo wake
Hehee mambo ya mahaba hayo
Muana acha ukorofi wee
ni kawaida ongeza mahaba. kila ujauzito una tabia zake.
masha Allah ya shee
ni kweli
darasa zur sn
Mimnamaswali
Assalam aleykum....Mimi niko naye...nifanye nini..plz nisaidie..tena hunijia sura za family yangu
ndo umeshauriwa usome huo uradi. utafute kwenye TH-cam
darasa nzuri sana 😂
Vijana wamezidi usinzi uzinifu ,vijana hawaswali ,,,vijana wamezidi kuingia kwenye uhuni hususan wakislam kuna mambo muhimu sana yakuongelea ilikuwaelekeza viajana na umma wote hizi mada za skuizi zimekua nikama mashindano kwamaustadh.
tafuta mawaidha ya sheikh anaizungumzia mada zote.
du umettisha
Sheikh Uradi wa Imam Nawawi nitaupata kwenye kitabu gani?
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Asalam aleykum,ningeomba hizo dua ambazo mtu yuajisomea,ili kufukuza
Assalaam Alaykum
Aya za Qur'an za ruqya ni hizo amabazo nimeandika hapo juu kwa jibi la Mserajlive.
hio dua ya Imama Nawawi na mimi pia naingoja. siijui
Waaleykum salaam,twaomba atusaidie na hizo dua
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Shukran
Jamani hayo matatizo ndio niko nayo mm, mwenye ushauri tafadhali +255 676 747 784 naomba ushauri wenu.
Download huo uradiii
Huo uradi sheikh waeza unaniambia nisome?
Ased Tembo Tembo
Salam nlkwa naomba email yako
Izudinalwy@gmail.com
jameni Nina shida hii nifanye aje nipe kitambu cha kusoma bibilia Mimi ni mchristo
priscilla kasoha kwanza uslim!!!
mengine yatafatia baadae
Asante lakini ni sura gani asome manake unasema qura'n
Assalaam aleykum.
Jambo la kwanza la kujikinga na Shaytaan ni kufuata maamrisho ya Allh na kuachana na makatazo yake. kwa hio kama unahusika na madhambi jaribu uache. hasa shirki, zina na miziki ya midundo.
pia hakikisha kuwa wala halali, wafanya kazi ya halali na nyumba yako haina masanamu na mapicha ya viumbe walio hai (wanyama na wanadamu) kwenye kuta. malaika hawaingii nyumba yeneye vitu hivyo.
kisha ondoa majibwa kwenye nyumba ikiwa una majibwa (dog pets)
surah na ayat za ruqya ni hizi
Surah huwa ni AlFatiha.
Suratul Baqarah 1-5
Suratul baqarah 255 (ayatul Kursi)
Suratul Baqarah ayat 256 & 257
Suratul Baqarah Ayat 285 & 286
hizi aya 10 za suratul Baqarah wafaa uzisome asubuhi baada ya fardh ya alfajr na kila baada ya fardh ya maghrib. ni kinga dhidi ya shaytaan.
Suratul 59 Al Hashr aya 22 23 na 24
surat Kaafirun 109
suratul Ikhlaas, Suratul Falaq na suratuN Naas (112 113 na 114)
ni zizuri usome hizi aya kila baada ya swala ya fardh. hasa baada ya swala ya alfajr na swala ya maghrib
wakati wa kulala usome ayatul kursi (2:255) na (2:285 & 286)
[[[wakati wa kulala pia ufuate sunna ya Mtume (s.a.w) unaweka mikono kama vile ukisoma dua, soma suratul Ikhlaas, Falaq na Naas mara 3 puliza kwa mikono kisha futa mwili wako mzima kama vile wapaka mafuta.
rudia hizi mara 3.]]]
kwa hio utakuwa umesoma ikhlaas mara 3, falaq mara 3 na Naas mara 3
sunna nyengine ya mtume (s.a.w) inayosaidia sama kujikinga na shaytaan ni
Ulale na wudhu
ulale kwa ubavu wa kulia
na usome ayatul kursi ukijilaza.
kisha kila baada ya siku 3 usome suratul baqarah yote kwa nyumba yako. Shaytaan haingii nyumba ambayo imesomewa suratul baqarah kwa muda wa masaa 72.
jambi lingine ni utangulize mambo yako kwa kutaja jina la Allah Bismillah.
ukiingia nyumbani kwako sema bismillah na utoe salamu (asalaam aleykum)
ukianza kula sema bismillah
ukiingia chooni sema dua ya kuingia chooni Allahumma inni audhu bika minal Khubthi wal Khaba'ith (ya Allah mimi najilinda kwako kutokana na mashetwani wanaoishi chooni wa kike na wa kiume)
na kama umeoa ukifanya kitendo cha ndo useme dua - “Bismillahi, Allahumma jannibnaa ash-shaitaan, wa jannib ash-shaitaan maa razaqtanna”
“In the name of Allah, O Allah, keeps us away from the devil, and keep the devil away from that which You may grant us (ie. offspring).”
samahani hio maana yake naijua kwa kiswahili lakini nafikiri ni Bismillah Ya Allah tuepushane na Shaytaan na kizazi utakacho turuzuku uwaepushane na shaytaan.
hilo alilo sema la Uradi wa Imama Nawawi na mimi pia nalitaka maana silijui na sijawahi kuliskia. kwa hio tutafaidika sote
Ahsante shehe
Unaweza kuDownload Uradi Huu Kupitia;
Maandishi :
drive.google.com/uc?export=download&id=14Hlqh7xHnwOX1MtpDNkkqP3iozTbwqI-
Sauti :
drive.google.com/uc?export=download&id=1JomKI0Kvwna4ocyM89SZuhULl65fnwie
Aya zote za ruqia
Jamani hilo tatizo nnalo
Amnaga point nyingne nyie ni wale tuu badiliken mumupokee Yesu
Hatuwezi kuja kumuabudu binadamu
Hausomagi maandiko ww unaweza ukanipa aya ijayosema Yesu ni binadam?
Mathayo l:23 Tazama, bikira atachukua mimba,
Naye atazaa mwana;
Nao watamwita jina lake Imanueli;
Yaani, Mungu pamoja nasi.
Hapo umeelewa nn?
Muwage mnasoma maandiko msiwe mnapelekwa pelekwa tu kama vipofu
@@anselmoonolius8362 malaika alitumwa na nani???