Allah na akuzidishie Rehema na Neema kupitia mafundisho yako ambayo nimekuwa nayasikiliza nimejifunza Uislamu ndio Dini ya Haki na Kweli nashukuru Allah kwa kukutumia wewe nikayajua hayo Asante
shekhe nakushukuru sana Allah akupe kila lenye kheri na wewe, akupe maisha marefu akulinde kila mabalaa ya ulimwengu akupe pepo y juu say amiiiin kila anaemckiliza shekhe wngu huyu
Mwanamke hutowa mani.. lakini haitungi mimba , hushushwa na mwanamke kuonyesha kafika kileleni tendo limefika mwisho , Mwanaume hutoa mani zenye mbegu , mtoto kufanana na upande wa mama au baba ni uumbaji wa mwnyezi mungu Allah s.wt , ukisoma kati QURAN surat at kawir .. aladhi qalaqaka fasawaka fa adalak fii surat mashaallah raka bak , mwenyezi mungu anasema amekuumba wewe mwanadamu kisha akakuweka sawa ktk sura anayoipenda.. " Sasa hapa inaonesha wazi kuwa sura ya mtub au maumbile ni ALLAH S.W.T ATAPO TAKA UFANANE NANANI.. MWANAMKE HANA JEURI YA KUMPA SURA MTOTO AU LOLOTE..LILE... SHEIKH DHULKALNAIN
shukran Akhy Izzu Dyn ufaswaha wako ndio unaotufanya tufahamu vyema.Na hivyo ndivyo inavyotakiwa mas'ala ya Dyn yaongelewa waziwazi ili msikizaji km mafuhumi yake ni ndogo apate pia kuelewa vzr.Shukran
not sure if you guys gives a damn but if you are bored like me during the covid times then you can watch pretty much all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my gf these days =)
Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan
Sheikh nani vile yni unavo toa mawaidha nikama wapiga story nawenzio bado ujajua kutoa darsa..tna uku una laptop. Au ndo new generation..astaghafirullah..
nyie ndo mnapotosha dini nyie hamna helim kasome kwanza cha kwanza janaba ni janaba hatakama umeota pili mwanamke hatoki manii kasome quraani vizuri atoke janaba kwani anazalisha we mwehu kweli mwanamke anatoa kitu kinacho itwa miyukasi sio manii
Abtwalibu Chepa 😂😂😂na nn maana ya miyukasi?? Kwan manii hayako mfumo wa mucous?? We unaebisha ndio unapaswa ulete ushahid wa kwann unapinga sio unapinga bila kuleta ushahid kama hatoki manii
mwasit omtima @ namda sijaingia umu ngoja nikujibu miuykasi ni uteute au majimaji yanayo sababisha kulainisha uke unapo unapo tanuka asiweze kuumia pia huwa unatoka anapo zaa na manii ni mbegu namaanisha ikuta yai likiwa tayari kupokea izo mbegu basi utakuwa mjamzito tofauti kati ya manii ndio iyo uteute wakulainisha uke na mbengu nivitu viwili tofauti
@@chepason7212 ungekua poa kwenye dini , ungekua na ilmu kwenye dini ,usingemjibu sheikh namna hii na kumwita mwehu, hii ni dhahiri kuwa hauna lolote bali kiburi na kujitia wajua ilhali haujui
Abdulrasul Issa kama mungu amekujalia kipaji cha kuzungumza nivizuri ukitumie vema kwani hio ni neema ktk nema, bora, ltumie vizur kila mwenyekunufaika na tamko lako mungu,hukufutia dhambi ulioitenda kwa kudhamiria na ulio itenda bila kukusudia kwani mungu,ndie anaetujua zaid kuliko kitukingine tkk dunia hii kwani kauli njema pia ni sadaka,mungu, aniongoze mm naww Tue wenyekutoa sadaka?
Sibora aseme waziwazi watu waelewe kwani kuna mtoto anyonyae hapa kwahio hawajui romance nn..sikila mtu naakili yke anaeangalia..maovu yafanywa tele hamuyaoni mwajuwa kukosoa tu
Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan
Allah na akuzidishie Rehema na Neema kupitia mafundisho yako ambayo nimekuwa nayasikiliza nimejifunza Uislamu ndio Dini ya Haki na Kweli nashukuru Allah kwa kukutumia wewe nikayajua hayo Asante
MashaAllah ❤
shekhe nakushukuru sana Allah akupe kila lenye kheri na wewe, akupe maisha marefu akulinde kila mabalaa ya ulimwengu akupe pepo y juu
say amiiiin kila anaemckiliza shekhe wngu huyu
Amiin
Shekh ahsante mashallah nimecheka Sana iyo Kuna ikhlaf ya Wana zuoni😀😀😀😀😀
Masha Allah sheikh lugha yako yaeleweka uzuri tuu ...Allah akuzidishie uzidi kutuelimisha
Ummukulthum Daffi aamiin
Mwanamke hutowa mani.. lakini haitungi mimba , hushushwa na mwanamke kuonyesha kafika kileleni tendo limefika mwisho ,
Mwanaume hutoa mani zenye mbegu , mtoto kufanana na upande wa mama au baba ni uumbaji wa mwnyezi mungu Allah s.wt , ukisoma kati QURAN surat at kawir .. aladhi qalaqaka fasawaka fa adalak fii surat mashaallah raka bak , mwenyezi mungu anasema amekuumba wewe mwanadamu kisha akakuweka sawa ktk sura anayoipenda.. "
Sasa hapa inaonesha wazi kuwa sura ya mtub au maumbile ni ALLAH S.W.T ATAPO TAKA UFANANE NANANI..
MWANAMKE HANA JEURI YA KUMPA SURA MTOTO AU LOLOTE..LILE...
SHEIKH DHULKALNAIN
Mashaallah sheik Allah akuzidishie kheri
Asalam alekum shekh wetu naomba tafadhali utueleze dhanna ni nini tafadhali
Shukurani san shekhe ❤❤
A .alyk kwani manii ya mwanmkee hutoka vip?
Allah akubariki
Shehe Allah akulipe Kwa elimu hizi ktk mtandao
nime shkuru sn Alhamdulilah ustadh
Mashaaalah VP Huyo ambaye bikra Hatoki damu inakuwaje
Wlh mungu yuwajua vipi dada
Na kama ni bikra hatoki damu jee aoleka?
Salama aleykum..mimi naomba kufahamu kwamba kutia nywele rangi nyeusi haramu je ndevu hukumu yake vp??
Amashallahu l akuzaidishie shekhe
Kuna swali nyingi nataka niulize sasa sijui niulize nani
MashaAllah darsa zako zaeleweka na si boring unatuchekesha sana
Maashallah anajitahid sana
Kwa kweli wallah
shukran Akhy Izzu Dyn ufaswaha wako ndio unaotufanya tufahamu vyema.Na hivyo ndivyo inavyotakiwa mas'ala ya Dyn yaongelewa waziwazi ili msikizaji km mafuhumi yake ni ndogo apate pia kuelewa vzr.Shukran
Jazkaallah kher
Watu kimbele mbele kwali lazima ukosoe Shehe
Abdulrasul Issa ndugu yangu dini haifichi kitu shekhe Izudin yupo sahihi kabisa.
not sure if you guys gives a damn but if you are bored like me during the covid times then you can watch pretty much all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my gf these days =)
@Gavin Skylar yea, been using InstaFlixxer for since november myself :)
Rashid suleman anapatikana mombasa mskit shibu mwembetayar
mashaallah mwanamke akitokwa na manii raha bwana adi wewe mwsnaume mwenyewe unainjoy
Samiah Abubakar 😀😀😀😀😀😀😀😀😀raha thele
نجمه العلي tena kwa kina kileleni😁
distinctively Pukka hpo chachaaaa
😅😅😅😅
Samiah Abubakar mashalla
Je,yawezekana,kufunga,wakati,wahedi,ya,
MASHALLAH ALEIK.SHEIKH
Asnt ustadhi
Shukran
جزاك اللهُ خیرا
nakukubali sheikh Izudin Alwy Din
😂😂😂😂je ukifikiria utokwe na manii pia uwoge
Ndio lazma uogee
@@IzudinAlwyDin sheikh naomba number yako pls
@@switbebyshaheen630 +254772611120
uoge kama umefikir tu ,kama unanyo oga janaba ?au kuoga kawaida tu yatosha.
Kila anaeangalia bc ni wajibu wake kuyajua na hakerwi na kinachozungumza. dini haifich kitu
Omar Awadh naam
haaaahaaa ndo maana napenda watu wa Kenya jmn
Mada hii inasisimua akili,Sheikh tupe ilmu SUNDUKI.waambie watie hand bireki😁
Kabisaa
JAZAKALLAHU KHAIR
Abrar Abgao Aamiin
Nice
Mana,natoka,damu,lakini,yahedi,imeisha,inatoka,yakawaida,yani,inatokatu,bila,mpango
Ustadhy this is to much😂😂😂😂
Bintiali Mwahezi pole nduguyangu kama nimekuudhi bt ni meulizwa jee mm nimakosa kujibu aw wataka nijibu vibu vipi ? Nisaidie maoni pls ?
Hamna nimeridhia hilo jawabu naona umejibukiufasaa ndio mana nimefurahi bigup....
Bintiali Mwahezi Sawa na nikikosea pia nirakibishe pls mm mwanadamu .
Je ukatizama video kisha ukatokwa na manii je utatatiwa kuonga
a'ghlyk naomba namba yk shekh
Shekh mm swali lngu ikiwa mtu katoka kwenye uzazi na tyri ameshaoga arubaini bdo anatoka uchafu ambao unatka kufanana kma manii huyu yye ataoga vipi
Shukraniii shekhe
Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan
Haqiirilfaqiirilmukhtaaj minrabbiy hii
Mi nlikua cjui km mwanamke hutokwa na manii pia
j A mwanamke hatoi manii shekhe amekariri uyo atoke manii anamzalisha nani nawewe umekubali kuburuzwa nahuyu ustadhi hana elim akasome vizuti tafsiri ya vizuri
Sheikh nani vile yni unavo toa mawaidha nikama wapiga story nawenzio bado ujajua kutoa darsa..tna uku una laptop. Au ndo new generation..astaghafirullah..
Zainabu Musa hayo sio mawaidha hilo nidarsah .ndio maana watu wanauliza maswali.kwenye mawaidha hapaulizwi maswali
Zainabu musa kama kitu hujui nyamaza
abdulrasul Issa
umetumwa ww kumkashif shekhe
waacha ya muhimu wapiga vita shekhe
Shekh hakika wanaumewengi hawajui kama mwanamke hutokwana manii
Asia kheir hamtoki na manii bana embu kasome vuzuri bana kama huna elim tuukize utoke na manii unamzakisha nani
Abtwalibu Chepa , aa kwani hujui basi wanawake tunajua
Km mwanamke haja tokwa na maniii je au asioge????
ilham precious Mkishaingiliana tu lazima kuoga janaba
shkurani sheik ata mimi hii ilikuwa yanisumbua
Shukran ya sheikh
Hahahaha kutokwa na manii kama kamasi
Ali Dingongo 😂😂😂
Umeskiaa eeee hhhhhh 😁😁😂😂
mashaanllah tabaraka nllah
Alhamdulilha, mwenyez mungu akupe afya njema uzidi kutu helimisha,0718213803 namba yang hyo naomba niunganishe na group la wasp sheikh wang
Apigwe mbati
Shukran
Shukran sheikh
sheikh nataka kujua wewe ni mwenyeji wa wapi
Izudin Alwy Din ww amu ustadh😁😁😁😁😁😁
Izudin Alwy Din ww ni wa amu😁😁😁😁
Imran Shomary Salehe mombasa
Shukran saan
Mashallah best shekh
Huyu shehe anapatikana
Wapi kenya tanzania ?
rashid suleiman Anapatikana Mombasa
rashid suleiman kenya sehemu ya lamu
rashid suleiman keny
.kenya mombasa msikiti shibu lakini kwao ni lamu
Dini haifichi kitu mbona kafahamisha vizuri tuu
Shekh naomba niunge ktk group yako namba zangu 0620 198301
shukran
MashaAllah
afu ee Shekhe unanikera maneno yako machafu
Nimengi machafu na ya wanawake tu
Naomba uniunganishe na group la kiislam shekh 0754967816
Shukrn
🤣🤣🤣
shukran jazzakillah khairab
jazzakallah khairan
asante
ماشاءالله تبارك الله عليكwajua sana dini lkn jifunze kuongea vizuri kilamtu asikiliza
Diya Osman ajifumzenini? Dini haifichikitu yupo sahihi
Diya Osman jaman kila MTU na lugha yake, mueleweni shekh
dia osmani,hii mada yenye asingezungumza hivi isingeeleweka.amezungumza hivi kwakuwa mada yenyewe iko hivyo.
Uyo ni mlamu mueleweni
saf
Manii ni nini
Rosemary Benjamin
Squirting.i think.
nyie ndo mnapotosha dini nyie hamna helim kasome kwanza cha kwanza janaba ni janaba hatakama umeota pili mwanamke hatoki manii kasome quraani vizuri atoke janaba kwani anazalisha we mwehu kweli mwanamke anatoa kitu kinacho itwa miyukasi sio manii
Abtwalibu Chepa 😂😂😂na nn maana ya miyukasi?? Kwan manii hayako mfumo wa mucous?? We unaebisha ndio unapaswa ulete ushahid wa kwann unapinga sio unapinga bila kuleta ushahid kama hatoki manii
abutwalibu chepa unachuki binafsi hivi kweli hata adabu huna unamwita mwehu mtu alojitahidi kufikisha kwa uwezo wake wote.
mwasit omtima @ namda sijaingia umu ngoja nikujibu miuykasi ni uteute au majimaji yanayo sababisha kulainisha uke unapo unapo tanuka asiweze kuumia pia huwa unatoka anapo zaa na manii ni mbegu namaanisha ikuta yai likiwa tayari kupokea izo mbegu basi utakuwa mjamzito tofauti kati ya manii ndio iyo uteute wakulainisha uke na mbengu nivitu viwili tofauti
ramdhani suleymani mi huwa sipendi kuona mtu anapotosha watu kwa kupitia dini pia hata mimi niko poa kwenye dini
@@chepason7212 ungekua poa kwenye dini , ungekua na ilmu kwenye dini ,usingemjibu sheikh namna hii na kumwita mwehu, hii ni dhahiri kuwa hauna lolote bali kiburi na kujitia wajua ilhali haujui
Niunganishe na group la kiislam Shehe. 0783198298
ASANTE SHEKH
Hahaa
mashaaAllah
unaijua dini lakini hujuikuongea kwa hiyo kajifunze kuzungumza vizuri na Watu wanaangalia Watu wengi jaribu kujisikiliza ulioyasema
Abdulrasul Issa
Abdulrasul Issa in shallah nitajitahidi shukran kwa maoni yako mola akubarikie
Abdulrasul Issa kama mungu amekujalia kipaji cha kuzungumza nivizuri ukitumie vema kwani hio ni neema ktk nema, bora, ltumie vizur kila mwenyekunufaika na tamko lako mungu,hukufutia dhambi ulioitenda kwa kudhamiria na ulio itenda bila kukusudia kwani mungu,ndie anaetujua zaid kuliko kitukingine tkk dunia hii kwani kauli njema pia ni sadaka,mungu, aniongoze mm naww Tue wenyekutoa sadaka?
Abdulrasul Issa ww ndo humwelewi sheikh lakini Yuko sahihi mbona
Sibora aseme waziwazi watu waelewe kwani kuna mtoto anyonyae hapa kwahio hawajui romance nn..sikila mtu naakili yke anaeangalia..maovu yafanywa tele hamuyaoni mwajuwa kukosoa tu
Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan
Shukran
Shukran
Shukran