JE MWANAMKE HUTOKWA NA MANII

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น •

  • @viviankamunde8367
    @viviankamunde8367 3 ปีที่แล้ว +9

    Allah na akuzidishie Rehema na Neema kupitia mafundisho yako ambayo nimekuwa nayasikiliza nimejifunza Uislamu ndio Dini ya Haki na Kweli nashukuru Allah kwa kukutumia wewe nikayajua hayo Asante

  • @salehmuhammed729
    @salehmuhammed729 5 ปีที่แล้ว +11

    shekhe nakushukuru sana Allah akupe kila lenye kheri na wewe, akupe maisha marefu akulinde kila mabalaa ya ulimwengu akupe pepo y juu
    say amiiiin kila anaemckiliza shekhe wngu huyu

  • @samirahassani8606
    @samirahassani8606 ปีที่แล้ว +1

    Shekh ahsante mashallah nimecheka Sana iyo Kuna ikhlaf ya Wana zuoni😀😀😀😀😀

  • @ummukulthumdaffi7185
    @ummukulthumdaffi7185 6 ปีที่แล้ว +16

    Masha Allah sheikh lugha yako yaeleweka uzuri tuu ...Allah akuzidishie uzidi kutuelimisha

    • @najmaomar6262
      @najmaomar6262 6 ปีที่แล้ว +1

      Ummukulthum Daffi aamiin

  • @kisimatikisimati9946
    @kisimatikisimati9946 6 ปีที่แล้ว +12

    Mwanamke hutowa mani.. lakini haitungi mimba , hushushwa na mwanamke kuonyesha kafika kileleni tendo limefika mwisho ,
    Mwanaume hutoa mani zenye mbegu , mtoto kufanana na upande wa mama au baba ni uumbaji wa mwnyezi mungu Allah s.wt , ukisoma kati QURAN surat at kawir .. aladhi qalaqaka fasawaka fa adalak fii surat mashaallah raka bak , mwenyezi mungu anasema amekuumba wewe mwanadamu kisha akakuweka sawa ktk sura anayoipenda.. "
    Sasa hapa inaonesha wazi kuwa sura ya mtub au maumbile ni ALLAH S.W.T ATAPO TAKA UFANANE NANANI..
    MWANAMKE HANA JEURI YA KUMPA SURA MTOTO AU LOLOTE..LILE...
    SHEIKH DHULKALNAIN

  • @alihaj3252
    @alihaj3252 6 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah sheik Allah akuzidishie kheri

  • @RahmaSingh
    @RahmaSingh 4 หลายเดือนก่อน

    Asalam alekum shekh wetu naomba tafadhali utueleze dhanna ni nini tafadhali

  • @مريمااتاا
    @مريمااتاا ปีที่แล้ว

    Shukurani san shekhe ❤❤

  • @SahiyaSuleiman
    @SahiyaSuleiman 5 หลายเดือนก่อน

    A .alyk kwani manii ya mwanmkee hutoka vip?

  • @abdirahmanbonaya3805
    @abdirahmanbonaya3805 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah akubariki

  • @abuuzuberi9887
    @abuuzuberi9887 3 ปีที่แล้ว

    Shehe Allah akulipe Kwa elimu hizi ktk mtandao

  • @biashaali379
    @biashaali379 5 ปีที่แล้ว

    nime shkuru sn Alhamdulilah ustadh

  • @swalhathabdulrahman7129
    @swalhathabdulrahman7129 5 ปีที่แล้ว +1

    Mashaaalah VP Huyo ambaye bikra Hatoki damu inakuwaje

  • @sabrimohd753
    @sabrimohd753 3 ปีที่แล้ว

    Salama aleykum..mimi naomba kufahamu kwamba kutia nywele rangi nyeusi haramu je ndevu hukumu yake vp??

  • @doctorfaki277
    @doctorfaki277 6 ปีที่แล้ว +1

    Amashallahu l akuzaidishie shekhe

  • @ibrahimshide3367
    @ibrahimshide3367 8 หลายเดือนก่อน

    Kuna swali nyingi nataka niulize sasa sijui niulize nani

  • @leilahassan6731
    @leilahassan6731 6 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah darsa zako zaeleweka na si boring unatuchekesha sana

  • @abdallahmuhammad4729
    @abdallahmuhammad4729 6 ปีที่แล้ว +2

    shukran Akhy Izzu Dyn ufaswaha wako ndio unaotufanya tufahamu vyema.Na hivyo ndivyo inavyotakiwa mas'ala ya Dyn yaongelewa waziwazi ili msikizaji km mafuhumi yake ni ndogo apate pia kuelewa vzr.Shukran

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 6 ปีที่แล้ว +6

    Watu kimbele mbele kwali lazima ukosoe Shehe

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 7 ปีที่แล้ว +8

    Abdulrasul Issa ndugu yangu dini haifichi kitu shekhe Izudin yupo sahihi kabisa.

    • @gavinskylar751
      @gavinskylar751 3 ปีที่แล้ว

      not sure if you guys gives a damn but if you are bored like me during the covid times then you can watch pretty much all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my gf these days =)

    • @maximobriggs8499
      @maximobriggs8499 3 ปีที่แล้ว

      @Gavin Skylar yea, been using InstaFlixxer for since november myself :)

  • @ramambongo4069
    @ramambongo4069 6 ปีที่แล้ว +4

    Rashid suleman anapatikana mombasa mskit shibu mwembetayar

  • @samiahabubakar1863
    @samiahabubakar1863 7 ปีที่แล้ว +3

    mashaallah mwanamke akitokwa na manii raha bwana adi wewe mwsnaume mwenyewe unainjoy

  • @RehemaMohammed-kr1cu
    @RehemaMohammed-kr1cu 6 หลายเดือนก่อน

    Je,yawezekana,kufunga,wakati,wahedi,ya,

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 5 ปีที่แล้ว +1

    MASHALLAH ALEIK.SHEIKH

  • @saidshaaban5741
    @saidshaaban5741 6 ปีที่แล้ว

    Asnt ustadhi

  • @muriphehamza547
    @muriphehamza547 5 ปีที่แล้ว +2

    جزاك اللهُ‎ خیرا

  • @adamanthony8025
    @adamanthony8025 6 ปีที่แล้ว

    nakukubali sheikh Izudin Alwy Din

  • @fauziamwakunena549
    @fauziamwakunena549 6 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂je ukifikiria utokwe na manii pia uwoge

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  6 ปีที่แล้ว

      Ndio lazma uogee

    • @switbebyshaheen630
      @switbebyshaheen630 6 ปีที่แล้ว

      @@IzudinAlwyDin sheikh naomba number yako pls

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  6 ปีที่แล้ว

      @@switbebyshaheen630 +254772611120

    • @cookinglist1004
      @cookinglist1004 4 ปีที่แล้ว

      uoge kama umefikir tu ,kama unanyo oga janaba ?au kuoga kawaida tu yatosha.

  • @omarawadh1389
    @omarawadh1389 6 ปีที่แล้ว +6

    Kila anaeangalia bc ni wajibu wake kuyajua na hakerwi na kinachozungumza. dini haifich kitu

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 6 ปีที่แล้ว +1

    haaaahaaa ndo maana napenda watu wa Kenya jmn

  • @lacroquetalacroqueta6813
    @lacroquetalacroqueta6813 7 ปีที่แล้ว +3

    Mada hii inasisimua akili,Sheikh tupe ilmu SUNDUKI.waambie watie hand bireki😁

  • @abrarabgao
    @abrarabgao 6 ปีที่แล้ว +4

    JAZAKALLAHU KHAIR

  • @amuunyussuof5240
    @amuunyussuof5240 7 ปีที่แล้ว +2

    Nice

  • @RehemaMohammed-kr1cu
    @RehemaMohammed-kr1cu 6 หลายเดือนก่อน

    Mana,natoka,damu,lakini,yahedi,imeisha,inatoka,yakawaida,yani,inatokatu,bila,mpango

  • @bintialimwahezi5123
    @bintialimwahezi5123 7 ปีที่แล้ว +3

    Ustadhy this is to much😂😂😂😂

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  7 ปีที่แล้ว +2

      Bintiali Mwahezi pole nduguyangu kama nimekuudhi bt ni meulizwa jee mm nimakosa kujibu aw wataka nijibu vibu vipi ? Nisaidie maoni pls ?

    • @bintialimwahezi5123
      @bintialimwahezi5123 7 ปีที่แล้ว

      Hamna nimeridhia hilo jawabu naona umejibukiufasaa ndio mana nimefurahi bigup....

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  7 ปีที่แล้ว +2

      Bintiali Mwahezi Sawa na nikikosea pia nirakibishe pls mm mwanadamu .

  • @AminaJuma-o2o
    @AminaJuma-o2o 4 หลายเดือนก่อน

    Je ukatizama video kisha ukatokwa na manii je utatatiwa kuonga

  • @lailat8686
    @lailat8686 6 ปีที่แล้ว

    a'ghlyk naomba namba yk shekh

  • @hashimjuma1217
    @hashimjuma1217 4 ปีที่แล้ว

    Shekh mm swali lngu ikiwa mtu katoka kwenye uzazi na tyri ameshaoga arubaini bdo anatoka uchafu ambao unatka kufanana kma manii huyu yye ataoga vipi

  • @mzeemwamguno9367
    @mzeemwamguno9367 5 ปีที่แล้ว

    Shukraniii shekhe

  • @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191
    @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191 6 ปีที่แล้ว

    Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan

  • @jA-ox7vz
    @jA-ox7vz 7 ปีที่แล้ว +2

    Mi nlikua cjui km mwanamke hutokwa na manii pia

    • @chepason7212
      @chepason7212 6 ปีที่แล้ว

      j A mwanamke hatoi manii shekhe amekariri uyo atoke manii anamzalisha nani nawewe umekubali kuburuzwa nahuyu ustadhi hana elim akasome vizuti tafsiri ya vizuri

  • @zeddynatty9338
    @zeddynatty9338 6 ปีที่แล้ว +1

    Sheikh nani vile yni unavo toa mawaidha nikama wapiga story nawenzio bado ujajua kutoa darsa..tna uku una laptop. Au ndo new generation..astaghafirullah..

    • @lutuismail7763
      @lutuismail7763 6 ปีที่แล้ว

      Zainabu Musa hayo sio mawaidha hilo nidarsah .ndio maana watu wanauliza maswali.kwenye mawaidha hapaulizwi maswali

    • @switbebyshaheen630
      @switbebyshaheen630 6 ปีที่แล้ว +1

      Zainabu musa kama kitu hujui nyamaza

  • @swabirsalim122
    @swabirsalim122 6 ปีที่แล้ว

    abdulrasul Issa
    umetumwa ww kumkashif shekhe
    waacha ya muhimu wapiga vita shekhe

  • @asiakheir6406
    @asiakheir6406 6 ปีที่แล้ว

    Shekh hakika wanaumewengi hawajui kama mwanamke hutokwana manii

    • @chepason7212
      @chepason7212 6 ปีที่แล้ว

      Asia kheir hamtoki na manii bana embu kasome vuzuri bana kama huna elim tuukize utoke na manii unamzakisha nani

    • @asiakheir6406
      @asiakheir6406 6 ปีที่แล้ว

      Abtwalibu Chepa , aa kwani hujui basi wanawake tunajua

  • @ilhamprecious8816
    @ilhamprecious8816 7 ปีที่แล้ว +3

    Km mwanamke haja tokwa na maniii je au asioge????

    • @iddysudy5910
      @iddysudy5910 6 ปีที่แล้ว +1

      ilham precious Mkishaingiliana tu lazima kuoga janaba

  • @mishisaidi8696
    @mishisaidi8696 6 ปีที่แล้ว

    shkurani sheik ata mimi hii ilikuwa yanisumbua

  • @shabanabdillahi4575
    @shabanabdillahi4575 7 ปีที่แล้ว

    Shukran ya sheikh

  • @alidingongo443
    @alidingongo443 7 ปีที่แล้ว +6

    Hahahaha kutokwa na manii kama kamasi

  • @rukiarukia9749
    @rukiarukia9749 7 ปีที่แล้ว +1

    mashaanllah tabaraka nllah

  • @zaituninassor415
    @zaituninassor415 5 ปีที่แล้ว

    Alhamdulilha, mwenyez mungu akupe afya njema uzidi kutu helimisha,0718213803 namba yang hyo naomba niunganishe na group la wasp sheikh wang

  • @sahlomar6397
    @sahlomar6397 4 ปีที่แล้ว

    Apigwe mbati

  • @imanikilihindi3184
    @imanikilihindi3184 7 ปีที่แล้ว +2

    Shukran

  • @khamismusa7626
    @khamismusa7626 7 ปีที่แล้ว

    Shukran sheikh

  • @imranshomarysalehe9492
    @imranshomarysalehe9492 7 ปีที่แล้ว +2

    sheikh nataka kujua wewe ni mwenyeji wa wapi

    • @zamilmohammed6037
      @zamilmohammed6037 6 ปีที่แล้ว

      Izudin Alwy Din ww amu ustadh😁😁😁😁😁😁

    • @zamilmohammed6037
      @zamilmohammed6037 6 ปีที่แล้ว

      Izudin Alwy Din ww ni wa amu😁😁😁😁

    • @estherchamhene212
      @estherchamhene212 6 ปีที่แล้ว

      Imran Shomary Salehe mombasa

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 4 ปีที่แล้ว

    Shukran saan

  • @yasobush
    @yasobush 6 ปีที่แล้ว

    Mashallah best shekh

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 7 ปีที่แล้ว +2

    Huyu shehe anapatikana
    Wapi kenya tanzania ?

    • @y6y6hg77
      @y6y6hg77 7 ปีที่แล้ว

      rashid suleiman Anapatikana Mombasa

    • @salwasalwa9617
      @salwasalwa9617 6 ปีที่แล้ว

      rashid suleiman kenya sehemu ya lamu

    • @ruwaidatabdallah2769
      @ruwaidatabdallah2769 6 ปีที่แล้ว

      rashid suleiman keny

    • @salwasalwa9617
      @salwasalwa9617 6 ปีที่แล้ว

      .kenya mombasa msikiti shibu lakini kwao ni lamu

  • @mozasuleiman2753
    @mozasuleiman2753 6 ปีที่แล้ว +3

    Dini haifichi kitu mbona kafahamisha vizuri tuu

  • @mwashumunassor318
    @mwashumunassor318 4 ปีที่แล้ว

    Shekh naomba niunge ktk group yako namba zangu 0620 198301

  • @salummohamed3860
    @salummohamed3860 4 ปีที่แล้ว

    shukran

  • @omartehseen2128
    @omartehseen2128 6 ปีที่แล้ว

    MashaAllah

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 ปีที่แล้ว

    afu ee Shekhe unanikera maneno yako machafu

  • @ibrahimmnyeto5885
    @ibrahimmnyeto5885 5 ปีที่แล้ว

    Naomba uniunganishe na group la kiislam shekh 0754967816

  • @pinkymahsen7944
    @pinkymahsen7944 7 ปีที่แล้ว +1

    Shukrn

  • @likeothers2498
    @likeothers2498 4 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣

  • @somoeabdallah6484
    @somoeabdallah6484 7 ปีที่แล้ว

    shukran jazzakillah khairab

  • @imranshomarysalehe9492
    @imranshomarysalehe9492 7 ปีที่แล้ว

    asante

  • @diyaosman8992
    @diyaosman8992 7 ปีที่แล้ว +1

    ماشاءالله تبارك الله عليكwajua sana dini lkn jifunze kuongea vizuri kilamtu asikiliza

    • @asiakheir6406
      @asiakheir6406 6 ปีที่แล้ว

      Diya Osman ajifumzenini? Dini haifichikitu yupo sahihi

    • @salamashabani4100
      @salamashabani4100 6 ปีที่แล้ว +1

      Diya Osman jaman kila MTU na lugha yake, mueleweni shekh

    • @ramadhansuleyman7618
      @ramadhansuleyman7618 6 ปีที่แล้ว

      dia osmani,hii mada yenye asingezungumza hivi isingeeleweka.amezungumza hivi kwakuwa mada yenyewe iko hivyo.

    • @likeothers2498
      @likeothers2498 4 ปีที่แล้ว

      Uyo ni mlamu mueleweni

  • @hamdukhamis5153
    @hamdukhamis5153 6 ปีที่แล้ว

    saf

  • @rosemarybenjamin4333
    @rosemarybenjamin4333 7 ปีที่แล้ว

    Manii ni nini

    • @NB-ed5qv
      @NB-ed5qv 7 ปีที่แล้ว

      Rosemary Benjamin
      Squirting.i think.

  • @chepason7212
    @chepason7212 6 ปีที่แล้ว +1

    nyie ndo mnapotosha dini nyie hamna helim kasome kwanza cha kwanza janaba ni janaba hatakama umeota pili mwanamke hatoki manii kasome quraani vizuri atoke janaba kwani anazalisha we mwehu kweli mwanamke anatoa kitu kinacho itwa miyukasi sio manii

    • @mwasitiomtima1896
      @mwasitiomtima1896 6 ปีที่แล้ว +1

      Abtwalibu Chepa 😂😂😂na nn maana ya miyukasi?? Kwan manii hayako mfumo wa mucous?? We unaebisha ndio unapaswa ulete ushahid wa kwann unapinga sio unapinga bila kuleta ushahid kama hatoki manii

    • @ramadhansuleyman7618
      @ramadhansuleyman7618 6 ปีที่แล้ว +1

      abutwalibu chepa unachuki binafsi hivi kweli hata adabu huna unamwita mwehu mtu alojitahidi kufikisha kwa uwezo wake wote.

    • @chepason7212
      @chepason7212 6 ปีที่แล้ว

      mwasit omtima @ namda sijaingia umu ngoja nikujibu miuykasi ni uteute au majimaji yanayo sababisha kulainisha uke unapo unapo tanuka asiweze kuumia pia huwa unatoka anapo zaa na manii ni mbegu namaanisha ikuta yai likiwa tayari kupokea izo mbegu basi utakuwa mjamzito tofauti kati ya manii ndio iyo uteute wakulainisha uke na mbengu nivitu viwili tofauti

    • @chepason7212
      @chepason7212 6 ปีที่แล้ว

      ramdhani suleymani mi huwa sipendi kuona mtu anapotosha watu kwa kupitia dini pia hata mimi niko poa kwenye dini

    • @muriphehamza547
      @muriphehamza547 5 ปีที่แล้ว +1

      @@chepason7212 ungekua poa kwenye dini , ungekua na ilmu kwenye dini ,usingemjibu sheikh namna hii na kumwita mwehu, hii ni dhahiri kuwa hauna lolote bali kiburi na kujitia wajua ilhali haujui

  • @greysonflams2237
    @greysonflams2237 5 ปีที่แล้ว

    Niunganishe na group la kiislam Shehe. 0783198298

  • @salummsangule7513
    @salummsangule7513 7 ปีที่แล้ว

    ASANTE SHEKH

  • @ruwaidatabdallah2769
    @ruwaidatabdallah2769 6 ปีที่แล้ว

    Hahaa

  • @nusurakajubu8785
    @nusurakajubu8785 6 ปีที่แล้ว

    mashaaAllah

  • @abdulrasulissa930
    @abdulrasulissa930 7 ปีที่แล้ว +4

    unaijua dini lakini hujuikuongea kwa hiyo kajifunze kuzungumza vizuri na Watu wanaangalia Watu wengi jaribu kujisikiliza ulioyasema

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 7 ปีที่แล้ว

      Abdulrasul Issa

    • @IzudinAlwyDin
      @IzudinAlwyDin  7 ปีที่แล้ว +7

      Abdulrasul Issa in shallah nitajitahidi shukran kwa maoni yako mola akubarikie

    • @khalfanfaraji3802
      @khalfanfaraji3802 7 ปีที่แล้ว

      Abdulrasul Issa kama mungu amekujalia kipaji cha kuzungumza nivizuri ukitumie vema kwani hio ni neema ktk nema, bora, ltumie vizur kila mwenyekunufaika na tamko lako mungu,hukufutia dhambi ulioitenda kwa kudhamiria na ulio itenda bila kukusudia kwani mungu,ndie anaetujua zaid kuliko kitukingine tkk dunia hii kwani kauli njema pia ni sadaka,mungu, aniongoze mm naww Tue wenyekutoa sadaka?

    • @maryammeme2615
      @maryammeme2615 7 ปีที่แล้ว +8

      Abdulrasul Issa ww ndo humwelewi sheikh lakini Yuko sahihi mbona

    • @rahmaomarali4123
      @rahmaomarali4123 7 ปีที่แล้ว +6

      Sibora aseme waziwazi watu waelewe kwani kuna mtoto anyonyae hapa kwahio hawajui romance nn..sikila mtu naakili yke anaeangalia..maovu yafanywa tele hamuyaoni mwajuwa kukosoa tu

  • @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191
    @haqiirilfaqiirilmukhtaajmi1191 6 ปีที่แล้ว +2

    Samahani sheikh allah akulipe kwanza kwakuieneza elimu .... Hapanina swali juu yakuyabaini manii maana husemekana maji yasampuli hii hufukia hadi NNE ... Afwan

  • @fredfuchaka645
    @fredfuchaka645 7 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @abuuruqayyah3200
    @abuuruqayyah3200 5 ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @abuuruqayyah3200
    @abuuruqayyah3200 5 ปีที่แล้ว

    Shukran