Natulia kwa Bwana, hakika pastor wangu uzidi kubarikiwa,wewe ndo uliniongoza sala ya Toba Mito ya baraka kwa mara ya kwanza naingia mahali pale.Mungu azidi Kukuinua zaidi na zaidi
Mtumishi barikiwa Sana nakuomba tukumbukeni na sisi ambao hatujatoboa mwishowe tumeamua kwenda machimbon kuzika kipaji Kama mungu amekuinua nikumbuke na Mimi Kaka nimuimbaji na mwanamziki lakini sjafanikiwa nikumbuke
@@ozanee1739 hhhhhhhhh, we Yessu hebu sikia Kaswida ni sawa na bongo flavors na gospel haina mnasaba wowote na uislamu hakuna andiko ktk Qur'an linalozungumzia kaswida kama ni ibada, tulia ww usifatilie imani za watu juu soma sana Yessu ww
@@ozanee1739 umemjibu swadakta Sana boy,Yani kama kuna KAZI tutaenda kufanya mbinguni no kuimba kuimba kuimba×1000000000 Hamna kusoma bibili Kwa mshua au eti sijui quaran..Kwa taarifa ya kama hwa kina Hassan na wengine kuma huimbi Hamna nafasi yako Kwa mshua juu unaenda kufanya😳
Ooooh how I waited this song itoke... Ilikua 2019 moshi Chuo mwaka wa Tatu. Niliiskia hii nyimbo katika youth festival. Hii nyimbo ilinibariki sana . Ilinivusha kipind Nimeachwa na my gal . Sikutegemea kama ningesahau ila nikamwambia yesu moyo wangu utulie kwako na ukatulia kwa bwana. Now I am happy and greatful.
Hatakama sio muuni wa dini hii ila ww na mwaitege aisee hua nyimbo zenu nazilubali kwa makuzi ndo njia bora sana inamfanya mtu apende kitu vile nyimbo imeaza nimejikuta nairudia tenaa good sana masanja mfalume
hiii nyimbo Ni nzuri Sana pia Masanja anaonyesha kua na KIPAJI kikubwa Cha aina yake . Humo ndani aniacha na furaha, anacheza VIZURI mno. This is really ministry
Nakuona mzee wa kiulizo jinsi unavyoikaribisha pasaka kwa song la Aina yake.. Kwa kweli Hongera sana kwa wimbo Mzuri, video nzuri, content nzuri... Yani wewe ni zaidi ya mwimbaji.. Yani unaleta Raha mpaka umepitiliza..
Unajua brother Ema,wewe huna tofauti na akina mzee Abiudi,Mwasumbwi,Munishi ila tuu wewe unajaribu kutufikia wengi. Be blessed kaka kikubwa anzisha program ya kushirikisha wengi namna ya kufikia mafanikio uliyo nayo.
Someni maandiko vizuri. Huyo Yesu ni Mwanadamu, Nabii, mtumishi wa Mungu. Hajawahi kujiita Mungu wala kusema aabudiwe. Marco 12:28,32) Matayo 4:10) Yohana 17:3) Ufunuo 1:1) huu ndio ukweli wa Yesu.
Fardeen Nasser kweli yesu anakula analala amezaliwa anasifa zote za mwanadamu ila yeye ni mtume tu Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hakuna yeyote mfano wake.☝️
HUIMA HIGH SCHOOL. Tunatamani sana kufanya wimbo wa pamoja na wewe...kwa ajiri ya kumtukuza mungu kwa pamoja.tunaamini mungu ataruhusu hili.Amen @chairman huima kaliua high school
Bwana Yesu asifiwe Mch....Mimi Nina ushauri mdogo sana kwako,..nimefatilia sana kazi zako,huwa ni unatumia garama kwenye video, na ili unalitendea haki,lkn kuna kitu unakosea Brother, sijuh Oudio zako unafanya kwenye studio zipi aisee,mfano katika huu wimbo back vocals ziko safi na wewe umeimba vizuri lkn kiukweli beat imepwaya sana kaka,na hivi uko Dar kabisa kwenye kitovu cha kila kitu,..naomba kaka lifanyie kazi hili,kama mwanamziki nimeona nikushauri,huu wimbo umenibairiki lkn upande Wa mziki muandaaji hajakutendea haki kabisa....Asante
@@hassanmsellem5302 Allah siyo Mungu tunayemuamini sisi wakirsto kwaiyo acha kutumezesha sumu Allah hapendi wakrsto na wayahudu Mungu gan asopenda watu Waislam amkeni someni Koran inamambo ya ajabu mnooo
Wake up your mind what ph***ken song it is if not black magic one Shame on you all wasted your time...instead of finding the truth that's the way to helll...If you don't know determin to know forget about all these shit is just make money
What good deed have got into this song which can't even jinger my brain....where are from? MAGU..so it must be good for foolish as like you are..Jocking God..He is not foolish God would get you as well your ph***cken Masanja
Emmanuel masanja Mungu Akubariki kwa huduma yako nzuri unayoifanya kwa kuhubiri Neno la Mungu kwa kuimba. kazi nzuri wimbo mzuri be BLESSED WITH JESUS CHRIST. AMEN
ASANTENI SANA KWA KUANGALIA VIDEO USISAHAU KU SUBSCRIBE KAMA BADO MWANAWANE🙏🏾
Good
Hapo ndipo Moyo wanguu.... UNATULIA TULIA
Mwanawane
Masanja nakupenda Sana damu yangu
Lakini kwa nini akuniita jameni na mimi nije kuemba kweli ninge kuja kutoka hapa America my favorite song💃💃💃💃
Natulia kwa Bwana, hakika pastor wangu uzidi kubarikiwa,wewe ndo uliniongoza sala ya Toba Mito ya baraka kwa mara ya kwanza naingia mahali pale.Mungu azidi Kukuinua zaidi na zaidi
Mtumishi barikiwa Sana nakuomba tukumbukeni na sisi ambao hatujatoboa mwishowe tumeamua kwenda machimbon kuzika kipaji Kama mungu amekuinua nikumbuke na Mimi Kaka nimuimbaji na mwanamziki lakini sjafanikiwa nikumbuke
Nimekufatilia tangu ukiwa mchekeshaji kipindi Cha chaner5 Kaka mungu amekuinua nikumbuke walau namimi someone yako
Ninavyo mkubali huyu baba lazim niwe wa kwanza kuitazama maana am no 1 fan of my pastor mkandamizaji
Moyo wangu tulia kwa YESU!!! Ila hivyo viatu sasa
Nakupenda sana kaka angu nitakusapot kwa kucheza ubarikiwe sana kaka
Dah wee bro mbona nabarikiwa sana huu wimbo yani vile naimbaga naona Uwepo wa Mungu
Daaah tulichezaa show hu wimbooo big up
Mjungaji anayekwenda na wakati GOD be with you all the time,We ni mfono kwa vijana wengi.Tanzania tupo proud na ww💪💪💪💪
Izi ndio nyimbo zakuomba Like sasa nipeni like katika bwana 🙏🙏
Nyimbo yoyote ni kazi ya shetani tu, ktk Uislamu manyimbo yote hayafai Mungu anaabudiwa kwakuswali, kusoma Qur'an na ibada zingine sio kucheza sebene
Hassan Msellem kaswida ni nini acha ujinga wewe
@@ozanee1739 hhhhhhhhh, we Yessu hebu sikia Kaswida ni sawa na bongo flavors na gospel haina mnasaba wowote na uislamu hakuna andiko ktk Qur'an linalozungumzia kaswida kama ni ibada, tulia ww usifatilie imani za watu juu soma sana Yessu ww
Hassan Msellem daudi akacheza na kuimba mbele za bwana kwa nguvu zake zote ama mpaka nikuambie mstarii
@@ozanee1739 umemjibu swadakta Sana boy,Yani kama kuna KAZI tutaenda kufanya mbinguni no kuimba kuimba kuimba×1000000000
Hamna kusoma bibili Kwa mshua au eti sijui quaran..Kwa taarifa ya kama hwa kina Hassan na wengine kuma huimbi Hamna nafasi yako Kwa mshua juu unaenda kufanya😳
Kawimbo kazuri Sana mwanawane Mungu akupe maono mapya
barikiwa kwa nyimbo nzuri.Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri.
Yesu ndio tulizo la moyob
Like👍👍👍👍 kama unakubali
Allah ndio tulizo la moyo sio Yessu atabaki kuwa Nabii tu kama manabii wengine
@@hassanmsellem5302 we ndugu nna wasiwasi na wewe, ni afadhali usicomment kuliko kuandika vitu tofaut.
@@hassanmsellem5302 haipendezi hiyo
Hassan Msellem ...... KO UNAPENDA DUNIA NZIMA TUWE DINI YAKO.... PAMBANA HUENDA UKAWEZA 🤣🤣🤣🤣
@@hassanmsellem5302 allah tena anahusikaje apa
Hiyo nyimbo huko mwishoni imenifurahisha sana
Kweli video nzuri imetoka vizur na ujumbe ni mzuri mno. Nadhani umebariki kila mmoja aliyetazama na mwenye mapenzi mema na Bwana YESU
Masanja kipaji chake ni kama chakula, ukimkataa Leo utamkubali Kesho. Mungu akuweke Bishop
BuraAAAZAAAAAAAAAAA YAANI WEWE UKO TALENTEDI SAAANA KILA UTOACHO KINABARIKI YAANI VERY CREATIVE IDEAS SI MUCHEEEZOOOOO
Alex Joseck Asante sana kaka mkubwaaaa
@@Feelfreechurch kaka upo vizuri japo mm co muimbaji Ila natamn San kutumia kwa uyu yesu lkn cjui nn tatizo nashidwa
/??@@Feelfreechurch
@@Feelfreechurch
/
/
Balaaaaaa jipya mjini 🔥🔥🔥🔥 songi langu Forever
FUNGA vizuri kanga hii ninyimbo ya injili...NAULIVO NYOA NA MAVAZI HAYO SIO NYIMBO YA INJILI
Waooo masanja upo juu kama rokert
Ooooh how I waited this song itoke... Ilikua 2019 moshi Chuo mwaka wa Tatu. Niliiskia hii nyimbo katika youth festival. Hii nyimbo ilinibariki sana . Ilinivusha kipind Nimeachwa na my gal . Sikutegemea kama ningesahau ila nikamwambia yesu moyo wangu utulie kwako na ukatulia kwa bwana. Now I am happy and greatful.
Kubaalbert Mwaya Umeonaeee
Kubaalbert Mwaya yesu ndo kila kitu
This is my song aisee
Wimbo ninao ila wakumlingia Yesu😂
#Jesus to the world
Hahaahahahahahahahahahaah Ubarikiwe Sana Brother Nimecheka Sana Leo Afadhali Mwanya umwimbie Yesu
MUNGU akubariki Sana massanja kweli tulia🤩🤩🤩
Kama kawaida na skuna zako Masanja....
Kichupa cha mwakaaaa
Bonyeza uone 💥👇
th-cam.com/video/sy3A__Ywd4M/w-d-xo.html
Barikiwa sana wimbo nzuri sana😘❤
Kweli utumishi uko ndani yako mhacha vangu.
Hatakama sio muuni wa dini hii ila ww na mwaitege aisee hua nyimbo zenu nazilubali kwa makuzi ndo njia bora sana inamfanya mtu apende kitu vile nyimbo imeaza nimejikuta nairudia tenaa good sana masanja mfalume
Kama umemkubali mzee matayo weka like hapa👉👉
Wimbo umenibariki sana hakika napaswa kutulia kwa yesu
umetisha mtumish ama kweli we ni fundi mwanawane
Mtumishi wa Mungu
Bwana Yesu Asifiwe Mimi Ni Shabiki Yako Mkubwa Na Wimbo Huu Naupenda Sana.
Naomba Kuufanyia Cover.
hiii nyimbo Ni nzuri Sana pia Masanja anaonyesha kua na KIPAJI kikubwa Cha aina yake . Humo ndani aniacha na furaha, anacheza VIZURI mno. This is really ministry
Nakuona mzee wa kiulizo jinsi unavyoikaribisha pasaka kwa song la Aina yake.. Kwa kweli Hongera sana kwa wimbo Mzuri, video nzuri, content nzuri... Yani wewe ni zaidi ya mwimbaji.. Yani unaleta Raha mpaka umepitiliza..
Bonyeza uone 💥👇
th-cam.com/video/sy3A__Ywd4M/w-d-xo.html
Kaka hongera kwa huduma barikiwa sana songa mbele
iko poa sanaa lazima tutulie hasa nahii corona tunatulia kwa Yesu
Nyimbo nzuriii sanaaa yaan very creative 🔥
HUYU NDO EMMANUEL aka MASANJA MUNGU AKUINUE MTUMISHI MUHA NAKUOMBEA KWA MUNGU🙏🏽🙏🏽🙏🏽💪🏾💪🏾💪🏾
Nice work Pastor
We we nani mtowe mtoti.nani weww mzee matayo
Mungu akubariki sana
Utuletee niseme nini bwana
Pastor uko very creative and talented🙌🙌vile tunapata injili na huku tunaburudika kwa kucheka😀weee moyo wangu tulia kwa Yesu.
nyimbo nzuri sana KWELI MOYO TULIA KWA YESU
Jaman nisiwachoshe na mm msinichoshe nyimbo imeisha
Kucheza atari
Mubarikiwe
Nakubali sana brother weng uwa wanajua utan kumbe sisi tupo serious ktk jina la yesu na hatuamiami tumetulia kwa yesu kristo wa Nazareth amen
Unajua brother Ema,wewe huna tofauti na akina mzee Abiudi,Mwasumbwi,Munishi ila tuu wewe unajaribu kutufikia wengi.
Be blessed kaka kikubwa anzisha program ya kushirikisha wengi namna ya kufikia mafanikio uliyo nayo.
Hongera Emmanuel, acha watu wasifu wapenzi na watawala wa dunia inayopita. Sisi tumsifu MFALME WA WA WAFALME YESU.
Someni maandiko vizuri. Huyo Yesu ni Mwanadamu, Nabii, mtumishi wa Mungu. Hajawahi kujiita Mungu wala kusema aabudiwe. Marco 12:28,32) Matayo 4:10) Yohana 17:3) Ufunuo 1:1) huu ndio ukweli wa Yesu.
Fardeen Nasser
kweli yesu
anakula
analala
amezaliwa
anasifa zote za mwanadamu ila yeye ni mtume tu Mungu ni mmoja tu hakuzaa wala hakuzaliwa na wala hakuna yeyote mfano wake.☝️
Bonyeza uone 💥👇
th-cam.com/video/sy3A__Ywd4M/w-d-xo.html
@@fardeennasser2963 Bonyeza uone 💥👇
th-cam.com/video/sy3A__Ywd4M/w-d-xo.html
bora ulivyoondoka mana wangekudhurumu mil.50 yako
HUIMA HIGH SCHOOL. Tunatamani sana kufanya wimbo wa pamoja na wewe...kwa ajiri ya kumtukuza mungu kwa pamoja.tunaamini mungu ataruhusu hili.Amen
@chairman huima kaliua high school
Moyo wangu unatuliya kwa Yesu tuuuuu.
Waislam tunao skiliza hii ngoma tu like hapa
Unazingua
Unaboa
Wanaokupinga kuisikiliza hawajui dini achana nao wee sikiliza zako wewe ❤❤❤
Im here
Poa
Mungu ambatmriki kama unamkubali gonga like hapo
Asante sana kwa wimbo mzuri.karibu Mtwara
hongera wimbo mzur together ubarkiwe sana tunashelekea pasaka kwa burudan goodddddddd
Uzuri wa hii nyimbo tunacheza popote hata kwa viti virefu haujabagua🙌🙌🙌🙌🙌
Bwana Yesu asifiwe Mch....Mimi Nina ushauri mdogo sana kwako,..nimefatilia sana kazi zako,huwa ni unatumia garama kwenye video, na ili unalitendea haki,lkn kuna kitu unakosea Brother, sijuh Oudio zako unafanya kwenye studio zipi aisee,mfano katika huu wimbo back vocals ziko safi na wewe umeimba vizuri lkn kiukweli beat imepwaya sana kaka,na hivi uko Dar kabisa kwenye kitovu cha kila kitu,..naomba kaka lifanyie kazi hili,kama mwanamziki nimeona nikushauri,huu wimbo umenibairiki lkn upande Wa mziki muandaaji hajakutendea haki kabisa....Asante
yap sahh kabisa
Yanga choir?
Wooooow I was waiting for this song longtime💃💃💃💃
Njema kazi na injili yenye kupenya ndani mioyo so kazi nzuri sana
Wao hii ndio ngoma Sasa gonga more like hap
😃😃😄😄😄WAKINA SIKUJUA MTAKUJA KUARIBU LINE.. JAMANI LIKE ZANGU BASI
Yani nilitamani ingeendelea tu mpaka dakika 30 lakini umeikatiriza this song is amazing for real
kua makini katika maamuzi ya kumjua mungu ni nsni usisubr mpaka uondoke katika mgongo wa ardhi
BC BBC BBC
Y
Via Very
Hongera mwanawane,siku moja naomba nidance kwenye video yako moja tu ndipo moyo wangu utatulia tulia,nguo nitavaa zangu mwanawane
Huu Wimbo nimeupenda! Aisee bora hata Sasa hiv Gospel yupo Mtu wa kuibeba Songa Mbele Yesu ndo Tegemeo letu! God Bless you Masanja!
KIMBILIO LANGU, LAKO , WEWE ,YULE JAMAA NA MARAFIKI ZAKO NI KWA YESU NANI ANABISHA
Kimbilo langu, lako na yule ni Allah s.w Yessu ni Nabii tu kama Nabii wengine
AJHEEM CLASSICAL TV safi sana nyimbo zuri vibwagizo ndiyo usiseme
@@hassanmsellem5302 allah kimbio lako wewe usitulazimishe wengne tumkimbilie tusiyemjua
Hassan Msellem Yesu niMungu allah ndovinn mbonana unahangaika huwezi zuia jinala Yesu nimoto unataka tuaminidin yawapenda ugomvi navita namajin hutupati
@@hassanmsellem5302 Allah siyo Mungu tunayemuamini sisi wakirsto kwaiyo acha kutumezesha sumu
Allah hapendi wakrsto na wayahudu
Mungu gan asopenda watu
Waislam amkeni someni Koran inamambo ya ajabu mnooo
Amen be blessed nyc song,can i have more likes fans
Wake up your mind what ph***ken song it is if not black magic one
Shame on you all wasted your time...instead of finding the truth that's the way to helll...If you don't know determin to know forget about all these shit is just make money
ubarikiwe masanja wapange hao vizuri wadibuke wunofu
Duuh majaji wamekuwa waimbaji wa injili kweli masanja ni fagio la chuma kudadeq
Jamani kama umependa mtumishi alivyo pita kwenye biti ipasavyo nipe rike
Mtimishi wa nn xx
Mtumishi au msanii anatafuta fan base tu, dini ya kweli ni uislamu tu
@@hassanmsellem5302 haswaaaaa na hamna kama uislam na haitotokea
@@treyguydangote4034 mtasubir Sana Iman yako ndo itakayokuponya
@@sabrinarobert8971 we unaimani gani hiyo ya kuabudu picha
This song is fire kwakweli 🔥
Moyo wangu tulia kwa Yesuu
Nyimbo ya nzuriii hiii ina baraaa na nusu
Nakukubali sana kaka kweli ckuiz nikutulia kwa yesu tyuu amna wa kupnga iyo kaka
Uwiiiii mbavu zangu mimi jamani 😂😂😂😂
kama unamkubali Emmanuel Mgaya gonga like hapo chini
Amen barikiwa sana by James Donald Nyantanero in Rockcity Mwanza
Ahsante wajina wangu, kanyimbo kanabariki mno, shukran kwa mungu.
Can't get enough of this song jmn... Masanja live for his Glory
Happy Ngungur Thank u Happy
What good deed have got into this song which can't even jinger my brain....where are from? MAGU..so it must be good for foolish as like you are..Jocking God..He is not foolish God would get you as well your ph***cken Masanja
Nainjoi sana kuzi tama nyimbo zamasanja
@@Feelfreechurch Habari. Huu wimbo nakumbuka upo original yake. Hukiachana na hii video. Je naweza kuupata?
🤣🤣uyu mzee Matayo anavyocheza buana 🤣
Yeees nmependa huu wimbo kuliko ulizowah kutoa sifa na utukufu zimrudie aliye juu Bwana Yesu
Hongera mno Mtumishi wa Mungu
Kama unacheki hii vide na inakufurahisha 😀😀
What a nice song!
Hongera sana kea kipawa ulicho pewa na mungu kitumi sawasawa
Amazing mwanawane nimeipenda
The king himself
powerful.
kwel kabisa ndgu zangu tutulie kwa yesu 🙏🙏 amina
Timu Masanja twende kazi ssa.. Nyimbo imetulia sana nã burudani juu
nice song
Amen!
nyimbo zur kiatu sasa masanja jaman😅
Iko njema sana hii na hii Paska ya leo hakika Masanja kazi nzuri, Barikiwa sana
Amen merci beaucoup
Comment ya 700 imetoma Kwangu
Moyo wangu tulia kwayesu haha baba hongera Sanaa kwakazi nzuri
Bro ngoma kali sana mungu akubariki zaidi
Asa we unaedislike unamaan gan???😭😭
leo umetisha
Amina.....Kwa Yesu rahaa saana asa ukitulia kwake Kuna furaha tele
Emmanuel masanja Mungu Akubariki
kwa huduma yako nzuri unayoifanya kwa kuhubiri Neno la Mungu kwa kuimba. kazi nzuri wimbo mzuri be BLESSED WITH JESUS CHRIST. AMEN
I need support from you broo
Baraka tele na amani moyon kwakupitia hii nyimbo
I will never get tired of listening 🎶 of this song really blessing me 🙌🙌🙏🙏🙏 much love pastor all yhe way from Australia 🇦🇺 ❤❤❤
Kweli wakusifiwa ni Yesu pekee wakuinuliwa ni jina Yesu pekee ardhi na mbingu inapuse hakuna kingine