THE CLASSIC MASANJA PART 2 EP 2 :KUFELI HADI KUANZA UPYA/KUBEBA TOFALI/ZE COMEDY KWA MARA YA KWANZA/
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2024
- Mastory ya Masanja ni mengi na hayaishi ,jambo zuri ni kua yanafunza sana ,sehemu ya pili ya maongezi yetu na Masanja katika kipindi hiki cha pili kinachohusu maisha yake kinaendelea kutupa namna alivyoweza kupenya mpaka kupata mafanikio ya kufanya kazi na kampuni kubwa ya IPP kupitia EATV kwa mara ya kwanza
Masanja atoe kitabu historia yake iko very motivated.
masanaja he is good story teller hatari
Huyu Sasa ndo anakupa maana halisu ya the classic, anakuelezea vitu vya ndaaaani
Hii ndio the CLASSIC💯🔥🔥
this interview ipigwe hata masaa sita🙌🙌
Hii ingepewa tangazo
Yaani sisahau mfanyakazi wetu alivyokua hakosi the comedy anahakikisha hakwepi intro ya masanja kwa bekitatu
daaah masanja nimekubali,daah haya maisha
Daaaah huyu jamaa interview yake imekuwa bora sana yaan najikuta natamani iendelee tu
Yaaan jamaa ni best kwenye simulizi ya maisha yake ina inspire sanaaa aisee
the best life interview ever
Hii part 2 inabidi iwe na episode 10000000000000000
Masanja story yake inatufundisha kutokukata tamaa na kuamini kile unachokifanya
Tunamsubiri pt 3
hakuna kukata tamaa
tusikate tamaa
Jamaaa anajua sana arud tn
Dah! Huyu jamaa inabidi arudi tenaaa... Story teller mzuri sana
No Retreat, No Surrender
Kuvi combo yenu na Masanja irudiwe 🎉
Ebana tunamtaka tena na tena Mr masanja
Watu wanatoka mbali ukishafanikiwa unaambiwa freemason
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi
Jamaa hachoshi kwa mbwembwe zake
Tunamuomba arudi
Masanja yuko na story za maisha freshi mno
Jamani masanja atafutwe aendelee. najifunza vingi sana
Broo Jabi kwa niaba y wana #theclassic Msanja arudi tena studio 🙏
afu akinunua ndinga zake akazionesha wanasema anashow off
Nimemaliza episode 1, hii 2 nadhani ikiisha haitatosha, kuna haja ya part 3
Hahah sawa sawa atakuja tena
Sijawahi kukosa interview ya masanja,,,,na ukitaka kuelewa historia yake tafuta interview yake na William tuva uanze hapo afu uje kuendelea na hizi episode
Iko wapi tupia link apa?
Tuwekee link mkuu 🔗🔗🔗🖇️🖇️
Weka link kaka
@@kelvinmkuye6927 th-cam.com/video/_KtPupdGAMs/w-d-xo.html
th-cam.com/video/_KtPupdGAMs/w-d-xo.html
Kwa inspiration hiii! Nakuja dar! Ntaanzia popote hakuna kukata tamaa wala kukatishwa tamaaa
Oa naaomba naomba masanja arudi ana ujube mzuri sana sana sana nimejifunza kitu kikubwa mno kumbe sitakata tamaaa nashukuru sana sana hivi ndo vitu vya kuangalia sasa
Masanja anafunza anavunja mbavu pia. Nataka kujua alikutana vipi na mpoki pamoja na joti na kundi kwaujumla la the comedy
Kukata tamaa ni dhambi Ndugu zangu tuendelee kupambana
Kaka Jabir, aiseee Masanja aje tena
km hujadharauliwa huwezi toboa piah Dhahabu hupitia kwa moto
Masanja safi sana
Masanja mleteni tena jamani,, aje na wa wakuvanga...
Au aje wa kuvanga nae jamani tumsikie
Huyu jamaa hachokeshi kabisaa😂 huyo Isaya alienda wapi
Isaya ndo wakuvanga
Isaya mwakilasa
waiting for part3.. Best interview of this year so far
STORRYTELLER....WHAT A TALE
Ayseee next week mje naye tena
Extra😂😂dah maisha aya mpk najihisi bado cjaptia magumu kabsa
Very best interview ever
Jamaaa. Arudiii. Tena.
Hii Kali sana
Kweli "kukata tamma ni dhambi"
Daaah very interesting
Masanja kudos🎉🎉🎉🎉
Part3...best interview
Big up Bro Jabir Salehe and Best interview 🎉🎉🎉🎉🎉
Inspiration👍
bonge la kipindii kak
Masanja ni nomaaaa
Part 3 please
Very Interested
Maana halisi ya kutokukata tamaa
Mpka natamani kipindi kisiishe, AMAZING
Nimejifunza sana lakini kubwa kufikia malengo au kupata hera sio kazi ndogo kunataka kujipa sana moyo wewe mwenyewe binafsi...
Kwa vikundi na kazi nzuri zote alizofanys na alizopita huyu jamaa lakini kila muda nilikuwa nashtuka kusikia sina nauli,sina simu,natembea kwa mguu but kila nkifanya show watu wanafurahiii😢
Kumbe kuna watu mtaani tunawaona wako busy sana lakini in real life hawapati hera na hawana kabisa hera😮
ELIMU sio jambo la kulipotezea,mhimu kuwa nayo❤
Zamani simu zilikuwa aghali ndugu
masanja atatuvunja mbavu .jabiri
Masanja hongera uje tena
Dah story zake zinafunzo ndani yake
Bado hatujamalizana na masanja...
Alikutanaaje na akina mpoki na joti na mzeee wa chura na wakaaanza the comedy
Mbwewe nimeelewa kizenji safi
Hahah safi 😄👍🏾
Aje tena huyu bwana aiseee
Jamani iendelee
THE CLASSIC 🔥🔥🔥🔥📌😀😀
Arudi haraka sana 😅😅
Inabidi irudiwe tena after kwa mara ya tatu aje mjengoni
Jamani anakuja lini amalizie
This guy ver talented
Yaani masanja unatufundisha kweli
Qudos kuvii
🙌🏾One love
@@KuviFactskaka tunamuomba tena huyu meambaaa
Huyu ndio masanja
Very interested and inspiration
USHUUDA MKUBWA SANAA
Soggy Doggy keshakuja hapo mjengoni? Anastahili kuhojiwa
Aje tena
Maana ya classic sasa ndo hii
Ila Tatu😂😂
Plz masanja arudii tenaaq 😅😅
next week arudi
Hatujamalizana nae huyu masanja arudi Tena na tena
Isaya mwakilasa" tumemiliki siiiiimu"😂😂😂😂
⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐⭐
Mleten tena aendeleze
Hakikishenii anakuja aje tena
Tatu😂😂
Masanja Arudi bhana 😁😁😁😁
Masanja umesahau episode 1 ulipanda rav4 ya a/c 10:27 ila sio mbaya story ina funzo
Tunasubiri nyingine
masanja unatumaliziq bando😅
Duuuuh hio sio ya kukosa aseeeh Masanja anajua kusimulia aseeh
Ep 3 lini? Mbona inachukua muda, afu JAMAA yupo hapohapo mjengoni....
Kila kitu kina dhama zake tumia fursa hii ya uzuri wako kupenya
😂😂😂😂
😁😁😁😁
😂😂
😅😅
Mimi nimejifunza mno jamani naona kama kutakuwa na CD za kushuhuda wake huu tuuziwe
Kuvi facts unyama mwingi sanaa big up,...ila hamjamtendea haki mi namwita king of bongo flava, haiwezekani had leo hamjamleta sir Nature hapo
Arudi tena kwakweli anafurahisha na anafundisha