Kinachoishikilia Amani ya Tanzania paka sasa ni uoga wa wananchi siku wananchi wakichoshwa na haya mambo amani tutaiskia tu kama mataifa mengine wanavyosikia
@@biberpriyer330 hata nikijitokez mimi sitobadilish kitu sababu watu wengi ni waoga na ndio maana wakijitokez watu wachache Tu wenye Moy wa kujitoa hakuna anaetokeza kuwaunga mkono hakuna namna tuendelee kutazama yanayotokea tuone hatma yake
Najaribu tu kufikiri huyu dogo ambaye mimi nilimuona tu kama mvuta bangi au mtu asiye na akili zilizotimia, anakuwaje tishio kiasi cha kutekwa na wasiojulikana? Nawaza tu!!
Alllah atujaalie.mwishomwema hizi ni dalili za kiyama. Haipingiki Tz matukiomengi kutekwa kuuwawa hatunaraha Raiya. Mungu tusamee nautusaidiekimbilioletu ni ww yarabi
HIVI WEWE UNAFIKIRIA ALICHOKIFANYA HUYO KIJANA NI KIZURI? HUYO ALITAKIWA AFUNGWE KIFUNGO CHA MAISHA, HUENDA KATUMWA KUFANYA HIVYO KIUKWELI HUYU KIJANA SIKUPENDEZWA NA ALICHOKIFANYA. NA WALIOMCHANGIA PESA WAMEFANYA MAKOSA MAKUBWA WANGEMUACHA HUKO JELA AJIFUNZE TENA KIFUNGO KIKUBWA
Hao lengo lao ni kutaja nani anamtuma kufanya hivyo km walivyomfanyia Sativa sasa kitendo cha kumuacha salama hapo tuombe Mungu maana Sativa walitaka wamuue ila Mungu hakutaka sasa huyu Tuombe Mungu jaman Serikali inahusika wasipinge bwana
Hivi mama Samia chukulia kuwa ni mwanao Abdul ungefanyaje si wamwachie tuu mtt wa watu mzazi anaumia sana Bora mungemfunga ikajulikana Yuko gerezani siyo vinzuri hivo mungu anawenza kutuadhibu kwajili ya mambo tunayofanya wanadamu yanayomchukinza mungu
hpana jmni Nchi yetu imeshikiliwa na watu ambao wanauwezo wakumuendesha wanavotaka na Mama hanaga usemi. Wakiona Rais anapingwa kama hivi anachukuliwa hatua mwenye hatia. Mama hana mamlaka ya kupinga. Mie nakwambia kabisa. Haya..
Hii mihemko yenu na chuki zenu ndio inawadhuru, sasa wewe kama kweli unajua kuongea na kumtaja raisi unavyotaka, basi mtukane halaf ujirikodi halaf itume hiyo video, Ndio utajua kwa nini bajaji hua hazinaga plate number ya mbele!
@@nurumwita9034 wewe mwenye akili nyingi fanya kama alivyofanya huyo mwenye akili mwenzio unaemtetea, nenda kachome picha ya Mhe Raisi halafu jirikodi tukuone na wewe
@@aproxaprox 🤔🫵🏾Nina mashaka ndio hawa watekaji Na kumbuka Duniani Tunapita Na kumbuka nawe yatakukuta wewe au ndugu Zako hata uwe chawa wa humu ndani mtashikwa tu mnajaribu kuharibu jina la Rais kwa kuleta mchezo wa kuteka watu tutawapata tu🫵🏾✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️.😏
Mama anajua hii inshu ya watu kutekwa tekwa Ila kimya cz wanaotekwa sio viombe na sio watu ambao wana familia zao.... Mnaaumiza familia nyingi sana za watu kwa vyeo venu.... Je wako akitekwa itakuwaje????. acheni kutekana tekana
Yan skuiz had nasismka nikikutana n hizi comment 😂😂nikishituka tu usingzini nawaza palapanda inaweza lia muda wwte😢😢😢sichek kama mazur nacheka ila naogopa
@@peterjr8073 waliomteka huyo dogo nilile kundi lilompinga tundu lisu risasi bado hajakamatwa mpaka reo wanaitwa watu wasiojulikana nahajulikani wanatokea nchi gani
Yaani kwa haya yanayo endelea jamani mtu unaweza kuwaza vitu vingi sana na ivi uchaguzi unakaribya na matukio ndo yanazidi kutokea kila siku 😢Na mama bado yupo kimia na Muda ukifika atasimama kuomba kura kwa haohao wazazi walio tekewa wa toto wao inatiya huruma kwakwelii😢
Watanzani kama mlivo mchangia faini na kuachiwa huru, basi tuungane kumuomba MUNGU juu ya walio mteka awaadhibu mpaka wajulikane Dunian kote na ikibidi watembee wakiyataja majina yote ya walio wateka, naamin MUNGU anaona jinsi gani mioyo inauma kwa kukosa Amani.🙏
Sijui kama hatarudi maana akirudi lazima atoe Siri na aseme mahali alipokwepo na awataje waliyo mteka ...ifike hatua haya mambo yafike kikomo ...tunaipa sifa mbaya inchi yetu kwa matukio kama haya na pia aileti picha nzuri ndani ya taifa letu
Ila serekali inashika Sana roho za watanzania na haachiwi wanampiga risasi wanamuacha kwenye pori aliwe Kama yule mwanaharakati kumbe hawajampiga kichwani mungu huyuuu
Daaah inauma sana kiukwel maana mie sioni kosa hapo kwakweli hiyo pic ya rais ni pic kama zingine tu maana ni binaadam kama wengine kabisaa labda kama kuna jambo jingine nyuma ya pazia😢😢😢 Pole baba naelewa maumivu yako Allah akupe subra kumpoteza mwanao ni kitu kigum ni Bora mtu afe uzike kuliko mtu kupotea miaka na miaka unakaa kusubir tu 😢😢💔
Hizi tabia zimezidi Tanzania,nawaonya watawala acheni kujisahau mamlaka mliyonayo mmepewa na Mungu,hakika siku yaja kwamaovu yenu . Acheni kuuwa watanzania, inauma sana , Mungu hapendezwi na kipimo cha ghadhabu kikijaa mtaelewa hasira ya Mungu inavyofanana . Jifunzeni kwa waliokuwa wababe (mnawafahamu) lakini leo wako wapi walikufa vibaya km wanyama.
Ni huruma, pole kwa wazazi na wote waloguswa. Tujitahidi kuishi vizuri na hizi teknolojia lakini kubwa zaidi tusisahau maadili mema katika maisha yetu ya kila siku. Chanzo cha yote haya ni kumomonyoka kwa maadili ya huyu kijana mwenzangu, dunia ni pana sana ila mimi na wewe ni sehemu ya chembe ndogo sana ya dunia hivo hatuwezi ishinda dunia tuishi kwa stara kwa maadili mema.
Majirani wetu wanateseka... Yaani hamna demokarasia iko wapi picha pia kitu Cha kuteka mtu.. MUNGU awasaidie, Tz na UG.. sisi Kenya wamtukana Rais na hakuna shida
Dah huyo kacho picha tu na kapatikana fastaa na kutekwa juuu😭😭 ila kwetu vilio vinazid kutawala kwa kupotelewa kwa watoto wetu na wahusika hawapatikan bado😭😭😭😭
Kuchoma 2 picha kakamatwa ila wa2 wanauwa kila sk wa2 wanabakwa na ha2oni kinachoendelea cjui tunaenda wap jaman Tanzania mungu tulinde sisi na familia ze2
Huyu anaetoa taarifa ya habari Ayo Tv anajiingiza hatarini kuongea kuhusu Serikali ya Tanzania inavyoteka watu wanaowapinga na kuwaua kisiri na anajitokeza mtandaoni labda angekuwa nchi nyengine kama watanzania waliokimbia kuenda Kenya, UK na nchi za ulaya na hata kule baadhi wanatafutwa na intelijensia ya Tanzania na wanauwawa na labda wanaolindwa na serikali zengine au wanajificha kule au wanakuwa hawaongei chochote mpaka wasahaulike
Mmmh...jmn hata kama wangemfunga tuu hiyo miaka kumi ila kumchukua mateka duh...hii sii sawa yule nikijana mdogo arafu na ujinha tu wa ujana angechapwa mboko kifinyo kidogo wangemuacha hai tu kumpoteza duu! Kujifanya wame msamehe mala kapotea tena ni huzuni .....😢
Hii story iko seriously sana. Picha inaanza hapa, huyu kijana kwanza ni msanii, ana kipaji cha uchoraji. Just imagine alichora picha ya mama then akaichoma, akakamatwa na kufikishwa katika vyombo vya dola, hukumu ikatoka, Akasaidiwa na watu akarudi uraiani, maisha yakaendelea baada ya siku kadhaa kupita akiendelea na maisha yake akatekwa na kupelekwa kusiko julikana.... What's next??? Kama umenote maelezo ya mzee. Yeye hakuwa na shida mtoto wake kuhukumiwa miaka 2 maana angetoka jela akiwa na miaka 28 na angejifunza. Mmmmmh haya mambo mazito. Mungu asaidie huko aliko.😢
Pole sana baba Huwa wanapotea maisha mwachie MUNGU huenda akarudi ila kiujumla basi fanyeni sala ya mwisho kwake mwashie mungu
Kinachoishikilia Amani ya Tanzania paka sasa ni uoga wa wananchi siku wananchi wakichoshwa na haya mambo amani tutaiskia tu kama mataifa mengine wanavyosikia
sio uoga bro tanzania hatuna njaa ikifikia kila mtu ananjaa ndo utaiona GEN 0
Na vile mnavyotudharau warundi kuwa sisi ni wakimbizi, sipati picha mtanzania kuwa mkimbizi
We jitokeze utusaidie sisi waoga 😅😅
@@biberpriyer330 hata nikijitokez mimi sitobadilish kitu sababu watu wengi ni waoga na ndio maana wakijitokez watu wachache Tu wenye Moy wa kujitoa hakuna anaetokeza kuwaunga mkono hakuna namna tuendelee kutazama yanayotokea tuone hatma yake
@@biberpriyer330wapumbavu kama wew ndo wanaturudisha nyuma
Kwa mawazo yangu inaweza kua washammaliza na kumtupilia mbali mungu atusaidie
😢😢😢
😭
Uyo hawezi kuwa hai itakuwa wameshamuua adi leo
Hiii ndi Tanzania
Tulijua nchi itapumua, basi tena!!!!?
Najaribu tu kufikiri huyu dogo ambaye mimi nilimuona tu kama mvuta bangi au mtu asiye na akili zilizotimia, anakuwaje tishio kiasi cha kutekwa na wasiojulikana? Nawaza tu!!
Huko wsnalipa kisasi juu ya picha
Yaani ..🙌
😂😂😂😂😅😅😅
Polee sanaa.. baba anguu😢😢😢😢😢😢😢
Alllah atujaalie.mwishomwema hizi ni dalili za kiyama. Haipingiki Tz matukiomengi kutekwa kuuwawa hatunaraha Raiya. Mungu tusamee nautusaidiekimbilioletu ni ww yarabi
Ameen
Ameen
Mh naogopa kusema chochote,Kwan hata ukisema unaweza kutekwa😂😂😂
Kakusema tu hivyo tayari upo matatani Bora ungenyamaza😂😂
😂😂😂😂😂@@Aminimalewa
@@Aminimalewamtihan
Uoga niujinga watawaliza wote huku mnaagalia paza sauti acha woga 😮
😅😅😅😅
Daah so sad but mzee Yuko strong Sana mpaka kujibu na kutoa maelekezo yaliyonyooka kama hivi
Anaweza kujieleza...Kuna mradi nilikuwa nafanya nao huko kwao walimpenda wakampeleka China miaka iyo.
@@gracekenan4665heeee kumbe yuko vzr jmn eeh!!
Inauma sanaa😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 mungu atalipa kisasi kwa wote walio fanya hivyo
HIVI WEWE UNAFIKIRIA ALICHOKIFANYA HUYO KIJANA NI KIZURI? HUYO ALITAKIWA AFUNGWE KIFUNGO CHA MAISHA, HUENDA KATUMWA KUFANYA HIVYO KIUKWELI HUYU KIJANA SIKUPENDEZWA NA ALICHOKIFANYA. NA WALIOMCHANGIA PESA WAMEFANYA MAKOSA MAKUBWA WANGEMUACHA HUKO JELA AJIFUNZE TENA KIFUNGO KIKUBWA
@@fridamwenda5728 watch out ✈️🙌🙌🙌
WOW 😳 mzee amefanana na Mike Tyson kichizi yani 😱
Kumbe ulikuwa ujui Mike Tyson nimjomba Ake mtoto wa Dada Ake ndugu kabisa anakaa mbeya mbalizi😂
Kweli
@@EmmanuelMajele-ny2hk Hahaha kabisa kabisa
Kabisa miketyson
Namm nilijua mike tyaon jmni duhh😮
tanzania 🇹🇿 sio nchi ya kuishi ila basi tu 🇹🇿💔
Pole sana mzee kqa yote in sha allah mungu aramrudisha salama
Ameen
Pole baba kupotezewa mwanao
Hao lengo lao ni kutaja nani anamtuma kufanya hivyo km walivyomfanyia Sativa sasa kitendo cha kumuacha salama hapo tuombe Mungu maana Sativa walitaka wamuue ila Mungu hakutaka sasa huyu Tuombe Mungu jaman Serikali inahusika wasipinge bwana
nikweli kabsa
Hivi mama Samia chukulia kuwa ni mwanao Abdul ungefanyaje si wamwachie tuu mtt wa watu mzazi anaumia sana Bora mungemfunga ikajulikana Yuko gerezani siyo vinzuri hivo mungu anawenza kutuadhibu kwajili ya mambo tunayofanya wanadamu yanayomchukinza mungu
Eti mama Samia huyu ndiyo dikiteta mkubwa
hpana jmni Nchi yetu imeshikiliwa na watu ambao wanauwezo wakumuendesha wanavotaka na Mama hanaga usemi. Wakiona Rais anapingwa kama hivi anachukuliwa hatua mwenye hatia. Mama hana mamlaka ya kupinga. Mie nakwambia kabisa. Haya..
Matako yako wewe
Pole mzee
Mungu atusaidie
Jamani kumbe alichora yeye duuuu angejua asingechora 😢😢😢
Allah amfanyie wepesi Inshallah
Dah 😢 so sadness
Yupo Mungu anaona picha yote, pole kwa wanaojigeuza miungu watu
Rais Samia hebu ongea na watu wako hao wanaotekwa na ni watoto kama alivyo Abdul wako kua na hurma mama
Kweli kabisa vinasikitisha huyu mama angalie hayo mambo ni hatari .
Hii mihemko yenu na chuki zenu ndio inawadhuru,
sasa wewe kama kweli unajua kuongea na kumtaja raisi unavyotaka, basi mtukane halaf ujirikodi halaf itume hiyo video,
Ndio utajua kwa nini bajaji hua hazinaga plate number ya mbele!
@@aproxaproxhuna akili
@@nurumwita9034 wewe mwenye akili nyingi fanya kama alivyofanya huyo mwenye akili mwenzio unaemtetea, nenda kachome picha ya Mhe Raisi halafu jirikodi tukuone na wewe
@@aproxaprox 🤔🫵🏾Nina mashaka ndio hawa watekaji Na kumbuka Duniani Tunapita Na kumbuka nawe yatakukuta wewe au ndugu Zako hata uwe chawa wa humu ndani mtashikwa tu mnajaribu kuharibu jina la Rais kwa kuleta mchezo wa kuteka watu tutawapata tu🫵🏾✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️.😏
Eti utasikia limtu linasema Tanzania ni nchi ya amani amani ipi hiyo watu wanafanyiwa vimbekwa tu ukiongea unauliwa
Unaongea tu hiv mtu akija kukudhalilisha hapo utamwambia Asante????
@@biberpriyer330Hapana unamteka na kumpoteza kama ilivyo ada au sio
Mbona wewe hujafanyiwa vimbwela? Hakuna mtu anayepotea bila sababu.
We ropoka tu
Mungu awatunze wazazi wetu 😢
Pole sana mzee chekibali kwa yote unayo pitia
Wawache io mchezo pia yeye ni binadamu anastahili kuishi
Uko sahi kaka
Mama anajua hii inshu ya watu kutekwa tekwa Ila kimya cz wanaotekwa sio viombe na sio watu ambao wana familia zao.... Mnaaumiza familia nyingi sana za watu kwa vyeo venu.... Je wako akitekwa itakuwaje????. acheni kutekana tekana
Mama anasema ni drama watu wanajiteka wenyewe
Tupambane na Hali zetu
Subuhanallah. Kwelindiyoanasemahivyo?mama @@SaraJinalangu
@@SaraJinalangu kumbe ?
@@SaraJinalangu hizo ni propaganda za kujificha
We ropoka tu utatatekwa na wewe😂😂😂
Huyu jamaa mchoraji mzuri sana
Hasbunallahu wanemal wakeel
Siku na saa ya kila mtu kupata HAKI yake na UJIRA wake ukaribu , mwenye kudhulumu na azidi , na mwenye kujitakasa ajitakase maana WAKATI umekwisha.
Yan skuiz had nasismka nikikutana n hizi comment 😂😂nikishituka tu usingzini nawaza palapanda inaweza lia muda wwte😢😢😢sichek kama mazur nacheka ila naogopa
Poleni sana wazazi kijana kafa kishujaa hatasahaulika na haki itabakia kuwa haki na waliofanya hivyo hawataishi milele
Kwani watekaji uwa wanatumwa na nani au wanajitumaa😂😂😂😂
navigogo wa kisiasa
@@aishaalbalushaishabalush8291 duuuuh atari sasa kama kakosea si sheria zipo angefungwa tu
Tundu lisu😂 @@aishaalbalushaishabalush8291
@@peterjr8073 waliomteka huyo dogo nilile kundi lilompinga tundu lisu risasi bado hajakamatwa mpaka reo wanaitwa watu wasiojulikana nahajulikani wanatokea nchi gani
unacheka nini sasa 😢😢😢😢????
Yaani kwa haya yanayo endelea jamani mtu unaweza kuwaza vitu vingi sana na ivi uchaguzi unakaribya na matukio ndo yanazidi kutokea kila siku 😢Na mama bado yupo kimia na Muda ukifika atasimama kuomba kura kwa haohao wazazi walio tekewa wa toto wao inatiya huruma kwakwelii😢
Eee mungu mtie nguvu baba huyu
Uyo ni mama samia kamuteka uyo amurudishe
Pole ,tutamwomba Mungu apatikane
Kila kitu kina mwisho hapa duniani tunapita TU mwenye hukum ni mungu TU.
Watanzani kama mlivo mchangia faini na kuachiwa huru, basi tuungane kumuomba MUNGU juu ya walio mteka awaadhibu mpaka wajulikane Dunian kote na ikibidi watembee wakiyataja majina yote ya walio wateka, naamin MUNGU anaona jinsi gani mioyo inauma kwa kukosa Amani.🙏
Mh watu wasio Julikana kila siku mungu atusaidie
Mimi si comment mwanasheria wangu yupo nje ya Tanzania 🇹🇿
Hata angeluwepo huwezi toboa we pita kama mm
Mungu awape uvumilivu baba
Tanzania nchi ya amani
Mungu tusaidie
Kumbe tz siyo kwamba kuna uhuru nikwamba sisi ni waoga
Sijui kama hatarudi maana akirudi lazima atoe Siri na aseme mahali alipokwepo na awataje waliyo mteka ...ifike hatua haya mambo yafike kikomo ...tunaipa sifa mbaya inchi yetu kwa matukio kama haya na pia aileti picha nzuri ndani ya taifa letu
Watanzania ni mizoga acha tutekwe tuuwawe ili tuamkeni
Wanawez kuhakikisha wanammaliza
Maana wengi waliotekwa kupinga seriksli wanaonekana wakirud
Kama yupo hai MuNGU atunze uhai wake
Ila serekali inashika Sana roho za watanzania na haachiwi wanampiga risasi wanamuacha kwenye pori aliwe Kama yule mwanaharakati kumbe hawajampiga kichwani mungu huyuuu
Ni kweli ata mi naona Kurd ningum ila angepewa baba ake ata km kafa auone mwanae man co poa
Wanauza harudi yule mwanaharakati ni mungu tu
Ayo mbona unachelewa kutoa taarifa ? hao wasiojulikana ifike wakati serikali ituweke wazi.
Serikali ndiyo inahusika
So sad 😢😢 pole sana Mzee chaula kwa haya unayoyapitia,mungu azidi kukutia nguvu wakati huu ambapo jeshi la police linafanya kazi yake.
M.mungu atamsaidia ataonekana🎉🎉
Pole sana mzee wangu
Daaah inauma sana kiukwel maana mie sioni kosa hapo kwakweli hiyo pic ya rais ni pic kama zingine tu maana ni binaadam kama wengine kabisaa labda kama kuna jambo jingine nyuma ya pazia😢😢😢
Pole baba naelewa maumivu yako Allah akupe subra kumpoteza mwanao ni kitu kigum ni Bora mtu afe uzike kuliko mtu kupotea miaka na miaka unakaa kusubir tu 😢😢💔
Ngolove akhotange mjomba😢😢
Hizi tabia zimezidi Tanzania,nawaonya watawala acheni kujisahau mamlaka mliyonayo mmepewa na Mungu,hakika siku yaja kwamaovu yenu . Acheni kuuwa watanzania, inauma sana , Mungu hapendezwi na kipimo cha ghadhabu kikijaa mtaelewa hasira ya Mungu inavyofanana . Jifunzeni kwa waliokuwa wababe (mnawafahamu) lakini leo wako wapi walikufa vibaya km wanyama.
Mmh jamani mimi upande wangu siamini kama ametekwa,ila naomba nimwombe popote alipo mungu amlinde na amrudishe sarama akiwa mzima🙏🙏
Subhanallah lahaula walakuwata ila billah
Mungu yupo
Mzee kajibu kuepuka shida Tanzania ya Leo mbona huko Zanzibar hawatekwi
shida yetu watanzania kila mtu anajiangalia mwenyewe kwa hii akili yangu mm na aya yanayo tokea vijana wote tungejitokeza kukemea haya maovu
Nyengine ninjama watu kufanya Yao,,siasa nimchezo mchafu ,muacheni kijana ,napia muacheni Samia kumpa lawama ,Mungu awaadhirishe Hawa watu
So sad Sanaa kama mzazi😭😭
Ni huruma, pole kwa wazazi na wote waloguswa. Tujitahidi kuishi vizuri na hizi teknolojia lakini kubwa zaidi tusisahau maadili mema katika maisha yetu ya kila siku. Chanzo cha yote haya ni kumomonyoka kwa maadili ya huyu kijana mwenzangu, dunia ni pana sana ila mimi na wewe ni sehemu ya chembe ndogo sana ya dunia hivo hatuwezi ishinda dunia tuishi kwa stara kwa maadili mema.
Kumbe picha ni kitu kikubwa sana
Majirani wetu wanateseka... Yaani hamna demokarasia iko wapi picha pia kitu Cha kuteka mtu.. MUNGU awasaidie, Tz na UG.. sisi Kenya wamtukana Rais na hakuna shida
Mama mhurumieni huyu mzee, anaeongea fact
Lakini Pia:
HAKUNA WATU WASIOJULIKANA, LABDA KAMA WAMETOKEA KTK SAYARI NYINGINE!!!
😢😢😢Dah 😢😢pole sana daddy 😢
Dah huyo kacho picha tu na kapatikana fastaa na kutekwa juuu😭😭 ila kwetu vilio vinazid kutawala kwa kupotelewa kwa watoto wetu na wahusika hawapatikan bado😭😭😭😭
Hebu kw wale tusioelewa hii hali tuombe dua ,Mungu alete jibu sahihi niakina nani Hawa, watekaji TANZANIA ???
Mimi na swali aliyeiiba mabilioni ya hela na aliyechoma picha nani wa kutekwa kama ameshinda kesi mnamwandama ya nini
wanalaaana sana watumishi wa serkal baadhi yao wa sasa
Kuchoma 2 picha kakamatwa ila wa2 wanauwa kila sk wa2 wanabakwa na ha2oni kinachoendelea cjui tunaenda wap jaman Tanzania mungu tulinde sisi na familia ze2
Mzeevelimu shida. Hajui sheria za nchi. Tuelimishane tujue sheria.
Dah😢
Pole sana baba
Kwn kuchomwa picha ndio nn sana huyo samia sio mungu alaa hii sio haki kabisa yan bt... mungu yupo tu😢😢
Atamm simpendi mama samia
Yani vitu vingine vinaumiza sana 😭😭😭😭 uyu mzee mungu amtangulie
Ukimuona huyu baba anaongea kama hana maumivu ila anaumia sana huyu mzazi tena sana mungu ajalie hilialipe anavyowexa allaha
POLE SANA MZEE TUENDELEE NA MAOMBI MUNGU ATATOA MAJIBU TATIZO NI LILELILE NA WATEKAJI NI WALEWALE
Hii serekali mungu atawalaani kwakuchukua roho za watanzania
Maisha kama haya nanii ataipenda Ccm
Aiseee Hawa watu kwanini msijipange wa Tanzania wanakuja mnawapiga na kuwachoma moto tu
Extremely sad... Tanzania sijui tunaenda wapi....pure evil
Hili halikwepeki ni serikali ya mama tu amrudishe kijana wa watu tusikwepe
Mzee mengine anayoyaongea hayuko huru anaogopa😢😢
Mtazamo wangu Mimi vyama vya upinzani vinaweza vikawa vimemchukua ili kupata Kiki ijulikane serekari ya Samia itafamika mungu amlinde awe salama
🤐🤐🤐
Huyu anaetoa taarifa ya habari Ayo Tv anajiingiza hatarini kuongea kuhusu Serikali ya Tanzania inavyoteka watu wanaowapinga na kuwaua kisiri na anajitokeza mtandaoni labda angekuwa nchi nyengine kama watanzania waliokimbia kuenda Kenya, UK na nchi za ulaya na hata kule baadhi wanatafutwa na intelijensia ya Tanzania na wanauwawa na labda wanaolindwa na serikali zengine au wanajificha kule au wanakuwa hawaongei chochote mpaka wasahaulike
Siku hizi mtu aki poteya ndo basi kupata ni mthihani Kwakweli lkn mungu atamleta
Hivi kwanini mungu hawauwi halaka watu waovu ??
Mungu yupamoja nae.
mzee ivi usingizi unapata kweli dah
Uyu mzee wawatu jamaaan😭😭😭 kafika mbali 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tanzania inaende wap
Mzee wawatu😭😭😭hiyo nchi jiongeze tuu. Ogopa chatu anayekubembeleza😭😭😭
Daaaaa niatar
Mmmh...jmn hata kama wangemfunga tuu hiyo miaka kumi ila kumchukua mateka duh...hii sii sawa yule nikijana mdogo arafu na ujinha tu wa ujana angechapwa mboko kifinyo kidogo wangemuacha hai tu kumpoteza duu! Kujifanya wame msamehe mala kapotea tena ni huzuni .....😢
Nikiwa mzazi wa like nampa pole mamake na azidi kumuomba Mungu juu ya hili
Hii story iko seriously sana. Picha inaanza hapa, huyu kijana kwanza ni msanii, ana kipaji cha uchoraji. Just imagine alichora picha ya mama then akaichoma, akakamatwa na kufikishwa katika vyombo vya dola, hukumu ikatoka, Akasaidiwa na watu akarudi uraiani, maisha yakaendelea baada ya siku kadhaa kupita akiendelea na maisha yake akatekwa na kupelekwa kusiko julikana.... What's next???
Kama umenote maelezo ya mzee. Yeye hakuwa na shida mtoto wake kuhukumiwa miaka 2 maana angetoka jela akiwa na miaka 28 na angejifunza.
Mmmmmh haya mambo mazito. Mungu asaidie huko aliko.😢
Mwanampumbavu anasumbua wazazi. Ktk maisha hata ukihic unayo haki ni bora kutumia busara yani fikiri kabla ya kutenda.
Kweliii kabisaaaaaaaaa
Daah
Kipindi cha Magu hii kitu ilikuwa hayapo jamani hao watu ni waselikari wanatumwa na serikali 😢😢😢😢
Pole
Huyu kijana kwani kashapatikana au bado?
Hiv hajaonekan tu?
Mama anasema nn kwamba taarifa haijamfikia mbna kimya sasa