Tatizo nchi yetu kila siku Kodi inaongezeka lkn maendeleo hakuna haioni njia mbadala wakuwainua wananchi kiuchumi kila siku nikurimbikiza Kodi kila siku Kodi bila kujua biashara ningumu Sana wananchi wanapata tabu Sana kwenye biashara zao lkn wao mara Kodi mara tozo yaani
Samia shoudl came back to the drawing board. Mambo hayako vizuri kwa wananchi wake. inabidi aache vote anavofanya ili awawajibishe viongozi wake..maana anachongoza sio kitu chochote bali ni watu. na ndo hao waliomuweka mama
Haya ni madhara yatokanayo na bunge kupitisha sheria kiutashi na siyo kitaalamu, wabunge wengi elimu ni ndogo, kutunga sheria za kodi inahitaji taaluma ya kiuchumi, lkn wabunge wengi ni walewale wa ndiyo ndiyo ndiyo hawafikiri kwamba hiyo ndiyo yao inakuja kusababisha madhara kama haya kwaiyo ingawa tra wanastahiki kulaumiwa lkn wabunge ndio wanapaswa kulaumiwa zaidi kwa sababu wabunge wanapitisha sheria bila kuwa na elimu ya uchumi tra wanafuata hizo sheria kwenye majukumu yao, ccm inajaza watu ndani ya bunge kisiasa, na hawazingatii elimu sasa haya ndiyo matunda mabovu yaliyopandwa na ccm
Si kweli kwamba CCM inampa kichwa Tundu Lisu,kwani malalamiko ni mengi shida nyingi,wenye mamlaka wanajifanya viziwi kama waziri mkuu anatoa maagizo hayatekrlrzwi bado watu wanakalia viti. na kulindana.Wanamuumiza mama.
vikao vikao vikao toka mwaka jana matatizo yote yanafahamika miaka nenda miaka rudi..kinachotakiwa hapo ni mgomo tu ndio silaha pekee ya kulazimisha madai yenu kufanyiwa kazi kazi..vikao ni mtego wa kuwapotezea muda..
Watu wamechoka mitaji imepotea watu wananyang'anywa pesa watu wanabambikizwa kodi kiujumla tanzania haijawa salama kibiashara tuombe mama aingilie kati maisha ni magumu mno
We Tz people are jobless but very very tajiri , TRA FOR AS OF Efd receipt , fine 15 millions , Parking not paid or late paid Fine 3 lakhs , and many others as if every Tz have money plant and has free Money hanging , just going and harvesting ,
Hivi waziri Mkuu ni mdogo kuliko waziri wa fedha?mbona kila alicho kisema wakati ule hakuna kilichofuatwa Wala kutekelezeka?au ni uleule mtindo wa wana siasa? Furaha usoni chuki moyoni?
Hili swala limemshinda waziri mkuu je waziri wa fedha na wa biashara wataliweza ? Kwanza mwenyekiti wa wafanyabishara ni mwanaccm hivyo atatengua huo mgomo
VIKAO VIKAO VIKAO HADI LINI KUJADILI NINI?? MATATIZO YANAFAHAMIKA MIAKA NENDA RUDI..VIKAO NDIO MTEGO WA SERIKALI KUWAPOTEZEA MUDA SILAHA PEKEE NI MGOMO NA USIMALIZIKE BILA MATATIZO KUMALIZWA KWANZA..BILA HIVYO MUMEKWISHA
NA HII KUFUNGA AKAUNTI NDO TATIZO LINGINE KUBWA KULIKO MAANA MTU UNA KARMA KAKO BENKI UNATAKA KWENDA LABDA KUTOA HELA KULIPA ADA, MATIBABU N. K MARA KESHIA ANAKWAAMBIA AKAUTI YAKO IMEFUNGWA NA TRA DA! JAMANI INAUMIZA SANA YAANI NI ZAIDI YA UBABE, SASA MTU ANA KABALANSI KAKE KA KUJIKIMU ALAFU WEE UNAKACHUKUA BILA HATA TAARIFA YEYE ANASEMA NGOJA NIKIMBILIE BENKI NIKACHUKUE KAHELA NIMLIPIE MTOTO AENDE SHULE AU NIMLIPIE MGONJWA AU NIKANUNUE CHAKULA MARA UNAAMBIE TRA WAMESHAZICHUKUWA NA UKIENDA KWAO NDO HIVYO TENA MAJIBU YAO YANAKUWA YAVITISHO ZAIDI, MHESHIMIWA MAMA NAOMBA ANGALIA HILI TUNANYANYASIKA SANA WABABE NDO WAMEKUWA WENGI ZAIDI KWA SASA
Yaani kiukweli biashara huku mtaani ningumu sana nchi yetu ilibidi itoe msaada kwa wanachi wake sio kurundikiza makodi na matozo kila siku mfano mtu analipia leseni ya biashara mtu huyohuyo analipia TRA mtu huyohuyo anapoenda kufunga mzigo wake unalipiwa kodi huyohyo tena analipia sevislev huyohuyo tena analipia kodi ya nyumba na matozo kibao sasa nchi yetu itainukaje kiuchumi
Kodi zenywe hatuon hata zinapoishia wanakula na familia zao kwenye umeme wanakata mpk elfu mbili kila mwezi huku kwenye miamala ndio makato hayaeleweki achen punguzen kodi mtatuuwa unakaa sehem ya biashara hakuna mauzo kumbe kuna watu hawalipi kodi hawana hata lesen ndo wanauza uko mtaan
Wakati izo vikosi kazi, usumbufu unarejea taratibu kiongozi alikuwa haoni hadi wafanya biashara wana anza harakati za kuweka mgomo? Sio kwamba angechukua hatua mapema wasingefika hapa walipofika, naomba elimu.
Tatizo nchi yetu kila siku Kodi inaongezeka lkn maendeleo hakuna haioni njia mbadala wakuwainua wananchi kiuchumi kila siku nikurimbikiza Kodi kila siku Kodi bila kujua biashara ningumu Sana wananchi wanapata tabu Sana kwenye biashara zao lkn wao mara Kodi mara tozo yaani
👍
Huwezi kuacha kuongeza kodi kama hutumii vizuri raslimali.
Samia shoudl came back to the drawing board. Mambo hayako vizuri kwa wananchi wake. inabidi aache vote anavofanya ili awawajibishe viongozi wake..maana anachongoza sio kitu chochote bali ni watu. na ndo hao waliomuweka mama
Haya ni madhara yatokanayo na bunge kupitisha sheria kiutashi na siyo kitaalamu, wabunge wengi elimu ni ndogo, kutunga sheria za kodi inahitaji taaluma ya kiuchumi, lkn wabunge wengi ni walewale wa ndiyo ndiyo ndiyo hawafikiri kwamba hiyo ndiyo yao inakuja kusababisha madhara kama haya kwaiyo ingawa tra wanastahiki kulaumiwa lkn wabunge ndio wanapaswa kulaumiwa zaidi kwa sababu wabunge wanapitisha sheria bila kuwa na elimu ya uchumi tra wanafuata hizo sheria kwenye majukumu yao, ccm inajaza watu ndani ya bunge kisiasa, na hawazingatii elimu sasa haya ndiyo matunda mabovu yaliyopandwa na ccm
Wacha kazi iyendelee c mlisema mama safiii hapo badoo sanaaa kilamtu alekwaulefuwa kambayake
..mwenyezi mungu atujaalie mambo yawe mazur inshallah
Wazee Tunahitaji Chama kipya Cha siasa ambacho kitaweza kutawala Hata 2040 hamna namna hivi vyama vitatufikisha mahali sio CCM Wala CHADEMA
Si kweli kwamba CCM inampa kichwa Tundu Lisu,kwani malalamiko ni mengi shida nyingi,wenye mamlaka wanajifanya viziwi kama waziri mkuu anatoa maagizo hayatekrlrzwi bado watu wanakalia viti. na kulindana.Wanamuumiza mama.
Kila kitu mama mama ninyi hamna mama zenu
vikao vikao vikao toka mwaka jana matatizo yote yanafahamika miaka nenda miaka rudi..kinachotakiwa hapo ni mgomo tu ndio silaha pekee ya kulazimisha madai yenu kufanyiwa kazi kazi..vikao ni mtego wa kuwapotezea muda..
Ahhhhhhh
Fix hizo hao tra ni wapigaji nani asiye asiye juwa nchi hii imeoza viongozi wote sasa awaminiki atuna imani nao
Hamna jambo.Kenya hoyeee.
Watu wamechoka mitaji imepotea watu wananyang'anywa pesa watu wanabambikizwa kodi kiujumla tanzania haijawa salama kibiashara tuombe mama aingilie kati maisha ni magumu mno
CCM wameamua kumpa kchwa Tundu lisu aonekane nabii wa kwel cku zle kafanya mkutano kariakoo kawambia mnaamin kwel Samia atatekereza hayo makubariano kama sio kujipanga jins yakuwanyamazisha Kwa nguvu nyngne
We Tz people are jobless but very very tajiri , TRA FOR AS OF Efd receipt , fine 15 millions , Parking not paid or late paid Fine 3 lakhs , and many others as if every Tz have money plant and has free Money hanging , just going and harvesting ,
Tra nikuwatembezea mapanga selikali ndio wataelewa hamuna majibu swala ni sela ya biashara siyo vikao wanini hao
bongo sio nchi ya kuishi
Katafute nchi ya kuishi
Hamna Medea wanafki kama hii ya Millard
Hivi waziri Mkuu ni mdogo kuliko waziri wa fedha?mbona kila alicho kisema wakati ule hakuna kilichofuatwa Wala kutekelezeka?au ni uleule mtindo wa wana siasa? Furaha usoni chuki moyoni?
Tunaomba na mikosni maana hali si nzuri
Mama anatanga tanga
Hana uchungu na nchi koz yeye ni mzanzibar
Nikumbusheni awamu ya magufuli kama biashara zilifungwa kariakoo
Tatizo hilo kwani huwezi kusema bila kuutaja uzanzibari wa mama
Nimzanzibar hata ukatae...yeye mwenyewe Kuna hotuba zake hua anasema kwamba yeye nimzanzibar
Kwahivyo sio tusi jamani
Haya mambo ni mengi sana hata Latra kodi zao nyingi na za hovyo .
Kama vipiniwe kama kenya
Kumbe mgomo ulitarajiwa kwa mujibu wa kiongozi?
Waangalie mfumo wa Mzee bb awamu yatano mfumo wa kku Sanya Kodi wasi tumie mabavu kwenye kku Sanya Kodi wata umiza watu weng
Tatizo ya hii nchiyetu kilakukicha niafadhaliya jana uongozi ukishakiwa wa hovyo ndy hivo tunatakiwa tujipange mwakani
Hili swala limemshinda waziri mkuu je waziri wa fedha na wa biashara wataliweza ? Kwanza mwenyekiti wa wafanyabishara ni mwanaccm hivyo atatengua huo mgomo
Yooo likes km zote wa kwanza
Nimekaa pale
Tanzania nchi yetuu dah
Wanasiasa na viongozi wa nchi nyingi za Africa ni wabinafsi sana...
ila kweli
VIKAO VIKAO VIKAO HADI LINI KUJADILI NINI?? MATATIZO YANAFAHAMIKA MIAKA NENDA RUDI..VIKAO NDIO MTEGO WA SERIKALI KUWAPOTEZEA MUDA SILAHA PEKEE NI MGOMO NA USIMALIZIKE BILA MATATIZO KUMALIZWA KWANZA..BILA HIVYO MUMEKWISHA
Ni wakati sasa wa mabadiliko
Hali ningumu sana unafungua lkn hauuzi
Failure secnd time nchembaaa ajiuzulu tu
Daaaah huu mtihani huwezi pata ufumbuzi TRA inafata sheria zimepitishwa bungeni hapo ni mpaka wazifute hizo sheria acheni siasa kwahili
Nikweli kabisa hapo nisawa, na kujaza maji ktk pipa lillilo toboka, haliwezi kujaa mpaka ulizibe,
Waziri wa fedha kwakweli 😢
Fungeni maduka....
NA HII KUFUNGA AKAUNTI NDO TATIZO LINGINE KUBWA KULIKO MAANA MTU UNA KARMA KAKO BENKI UNATAKA KWENDA LABDA KUTOA HELA KULIPA ADA, MATIBABU N. K MARA KESHIA ANAKWAAMBIA AKAUTI YAKO IMEFUNGWA NA TRA DA! JAMANI INAUMIZA SANA YAANI NI ZAIDI YA UBABE, SASA MTU ANA KABALANSI KAKE KA KUJIKIMU ALAFU WEE UNAKACHUKUA BILA HATA TAARIFA YEYE ANASEMA NGOJA NIKIMBILIE BENKI NIKACHUKUE KAHELA NIMLIPIE MTOTO AENDE SHULE AU NIMLIPIE MGONJWA AU NIKANUNUE CHAKULA MARA UNAAMBIE TRA WAMESHAZICHUKUWA NA UKIENDA KWAO NDO HIVYO TENA MAJIBU YAO YANAKUWA YAVITISHO ZAIDI, MHESHIMIWA MAMA NAOMBA ANGALIA HILI TUNANYANYASIKA SANA WABABE NDO WAMEKUWA WENGI ZAIDI KWA SASA
Ndiyo maana nimefunga akaunti zote. Hawa watu wataka turudi nyuma.
Yaani kiukweli biashara huku mtaani ningumu sana nchi yetu ilibidi itoe msaada kwa wanachi wake sio kurundikiza makodi na matozo kila siku mfano mtu analipia leseni ya biashara mtu huyohuyo analipia TRA mtu huyohuyo anapoenda kufunga mzigo wake unalipiwa kodi huyohyo tena analipia sevislev huyohuyo tena analipia kodi ya nyumba na matozo kibao sasa nchi yetu itainukaje kiuchumi
Kodi zenywe hatuon hata zinapoishia wanakula na familia zao kwenye umeme wanakata mpk elfu mbili kila mwezi huku kwenye miamala ndio makato hayaeleweki achen punguzen kodi mtatuuwa unakaa sehem ya biashara hakuna mauzo kumbe kuna watu hawalipi kodi hawana hata lesen ndo wanauza uko mtaan
Ameshindwa waziri mkuu je ataweza waziri wa fedha?
Wanadanganywa....
Rest in peace john pombe
Maagizo ya Waziri mkuu hayana Nguvu kumbe
Gomeni mpate haki zenu lasivyo Mtataperiwa na CCM Kila Siku huyo anae ongea ni Mjumbe wa CCM sijui Mulitumia Kigezo Gani Kumchagua
Ccm imefika mwosho
Wakati izo vikosi kazi, usumbufu unarejea taratibu kiongozi alikuwa haoni hadi wafanya biashara wana anza harakati za kuweka mgomo? Sio kwamba angechukua hatua mapema wasingefika hapa walipofika, naomba elimu.
Nchi haijari ngo'mbe iwakamuao maziwa
Gomeni haya ma ccm hayawezi kutatua changamoto za wananchi waliisha kalili kuwa watanzania hawawezi migomo watambue kuwa zama zimebadilika
Ili nalo ni fisadi la CCM
😂😂😂😂😂