Mm nimuombee tu shekhe kishk anyamaze kimya majibu yapo sahihi juu ya huyu sharif maan mpk mkojan AAA shekh nyamaza jukumu lako limekwish kwa Allah sasa muachie Allah anatosh Kaz kwao wao km ni sharif au ni sharifa watajua wenyew huko
Ukiona Unashangiliwa na Watu wa Namna Hii na Wanawake sauti Kali zinawatoka hivi... Rudi Kwa Mola wako.. Mkojani ni Muislam POA POA.. Mazinge ni Muislam POA POA Haishangazi kuongea ujinga kama huu... Allah Tuongoze, Tuzindue Waislam... Hizi ni Zama za mwisho Wallah😢 Ipo Siku atakuja kujiita Mtume, na wote Hawa Waislam POA POA, Watakiri.. Kimbia, ukiona upumbavu kama huu...😢 Waislam POA POA wanapokusanyana Huwa hakuna Cha mana utakachokipata, zaidi ya vijembe
Hukmu n ya allah hata huyo kishki hakutumiya hekma katka kurekebisha kwake alitakiwa amuite sheikh shariff waekane sawa co mambo yakuchafuwana haipendezi waislamu tena mashekhe aibu.
Tatizo watu waislamu jina dini hawakuisoma na hawajui kisha wanajikuta wajuaji ila bana skuizi ukiona kitu hakifai ongea hukuskizwa wacha watu wazame kwenye ujinga wao yani fanyeni mnavyo jiskia yani pindueni pindueni mnavyo taka
Wew mkojan wapi na wapi na mambo ya dini hapo tu inatosha km huyo SI sharif kwa mwenye akili mpk mkojan AAAmmezid huo ni utapeli semeni km mnatibu watu kwa kutumia ushirika kwa majini
Nendeni muhimbili na mahospitalini mkawatibu binadamu wenzenu, kama kweli huyo sharifu ana makarama msisahau kwenda hospitalini. Mungu atakuongezea makarama yako.
Mkojani ni msanii na Yale anayefanya ktka usanii wake mara nyingi Huwa ziko kinyume na shariah za dini...na sharifu ni msanii wanaigiza tu...maskini mkojani Hana la kusema ktka dini
Jitu jahili badala lizungumzie mambo ya kisanii linajichanganya ktk masuala ya dini halina ma'arifa yoyote sub-hanallah. Sasa mijitu km hii inazungumza kitu gani!!
Na shekhe wa kweli anaemuogop Allah hasemi km atamfanyia muislam mwenzake ubay mtume Muhammad rasulullahu hakuwa hivo Wal hakutufundisha hivo
Kwani shekhe amekataza dua au huo ujinga wenu yani watu hovyo wamepewa kipa umbele
Kijana sharfu from Kenya kijana ako sawa
Mm nimuombee tu shekhe kishk anyamaze kimya majibu yapo sahihi juu ya huyu sharif maan mpk mkojan AAA shekh nyamaza jukumu lako limekwish kwa Allah sasa muachie Allah anatosh Kaz kwao wao km ni sharif au ni sharifa watajua wenyew huko
Dah wallah hawa watu kwisha khabar ...huwezi muweka sheikh kishki na huyu kijana
kishiki Yuko sahihi nyinyi ndio washenzi hasa mazinge hatukutegemea kama Nayeye anaweza kua chawa
Hamna kitu hapo ushirikina tu upako utoko huo wanafiki njaa kubwa.
Ukiona Unashangiliwa na Watu wa Namna Hii na Wanawake sauti Kali zinawatoka hivi...
Rudi Kwa Mola wako..
Mkojani ni Muislam POA POA.. Mazinge ni Muislam POA POA
Haishangazi kuongea ujinga kama huu...
Allah Tuongoze, Tuzindue Waislam...
Hizi ni Zama za mwisho Wallah😢
Ipo Siku atakuja kujiita Mtume, na wote Hawa Waislam POA POA, Watakiri..
Kimbia, ukiona upumbavu kama huu...😢
Waislam POA POA wanapokusanyana Huwa hakuna Cha mana utakachokipata, zaidi ya vijembe
Muna ushawishi mkubwa katika jamii, kutuhatibia vizazi vyetu kwa kisingizio cha kioo cha jamii. Allah awaongoe
Kuna wagonjwa mahospitalini nendeni huko wapelekeeni hayo maji ili watoke mahospitalini.allah awaongoze insha'Allah.
Mkojani acha njaa.Huyu dogo ni tapeli tu
Na Dua ya mzaha na istihizai kwa ALLAH
Wew mkojan Kaz ni kuect michezo tu bc sio mambo ya dini uko mbali na dini ya Allah subuhanallah mtihani kwa kweli
Kwan kishk kakataza duaa.kuombewa
Daaah kweli huyu sharifu ni mshenziiiii
SubhaAllah, mbona hampendi ukweli, wote mekasirishwa na Kishki kusema ukweli
Duh sharifu kapata machawa wa kitanga
Mazinge mihadhara hailiipi umehamia kwenye dua za kitapeli na kupiga hela
Hukmu n ya allah hata huyo kishki hakutumiya hekma katka kurekebisha kwake alitakiwa amuite sheikh shariff waekane sawa co mambo yakuchafuwana haipendezi waislamu tena mashekhe aibu.
🎉 Sasa kwanini ilikua unamsema mwanposa wewe ni mjanja Na mtandao wenu wa kuwatapeli wanyonge muogopeni mungu
Tatizo watu waislamu jina dini hawakuisoma na hawajui kisha wanajikuta wajuaji ila bana skuizi ukiona kitu hakifai ongea hukuskizwa wacha watu wazame kwenye ujinga wao yani fanyeni mnavyo jiskia yani pindueni pindueni mnavyo taka
Wanaume tuna wajibu kuwaelimisha wake zetu na family zetu tutakuja ulizwa siku yakiyama ina maana wake zetu ndio wagonjwa Tu?
Huyu mazinge kamuona dr sule analiga ela na yy ktafuta njia ya kupiga ela
We mkojani huna ulijualo kaigize ndo unojuwa acha kupotodha watu
Dua siotatizo ,tatizo uyo muhun alizidisha ukafiri alikua anakufurisha watu
Weye mkojani mwenyewe mshirikina huyo njama simshirikana mwezio ndomana unamsapoti tuwacheni wachatu munakushanyawatu munatafuta wakutowa vikowa ili mupate umaarufu na kazizenu zipate kwenda vizuri kwaroho zawatu lakini Allah anawaonà
Mkojani acha njaa mambo hayo waachie wenyewe
Haya ndio yale aliyoyasema Sheikh Kishki…njaa imetoka tumboni imehamia kichwani.
Wew mkojan wapi na wapi na mambo ya dini hapo tu inatosha km huyo SI sharif kwa mwenye akili mpk mkojan AAAmmezid huo ni utapeli semeni km mnatibu watu kwa kutumia ushirika kwa majini
Kwani usilam nidini ya kishiki au huyo kishki asijifanye yeye kila kitu yeye tu akae pembeni dini siyake bari ni yamungu aache roho ya kichawi
Weww unajua nn kasome
Nendeni muhimbili na mahospitalini mkawatibu binadamu wenzenu, kama kweli huyo sharifu ana makarama msisahau kwenda hospitalini. Mungu atakuongezea makarama yako.
Kama kwenye Dua na maji yenu Yana poneshe nendeni mahospitalin Kuna wangojwa Wana miez kadhaa bila kupona kawafanyien wapoe
Nendeni mahospital watu wanaumwa kapigeni maji yenu kashikeni vichwa wattu wapone halafu ndo wengne tuwaamini …..acheni hzo biashara bana
Mpaka makomedian wameingilia nahapo ndipo mjue huyo ni msanii kama wasanii wengine
Dah yaani Dunia yaleo ukiwa na pesa tu hata ujiite nani utapata wafuasi
Mkojani ni msanii na Yale anayefanya ktka usanii wake mara nyingi Huwa ziko kinyume na shariah za dini...na sharifu ni msanii wanaigiza tu...maskini mkojani Hana la kusema ktka dini
Kuzungumza mambo bila elmu bora ukae kimya mkojani ukiulizwa masuala ya kisheria utaomba msaada mzee.
Mzaha ktk dini
Dini imevamiwa😮😮😮
Mtihani dini imeinqiliwa
Tuombe mwisho mwema njaa izi zinatupeleka pabaya mbaka tunakufulu
Duu dini imeingiliwa
Sasa uigizaji na uislam wapi na wapi?unganeni na bidaa wenzenu wa maulidi,sisi atuwahitaji
Mwanaume una mwanya maana yake hujawa rijali
Jitu jahili badala lizungumzie mambo ya kisanii linajichanganya ktk masuala ya dini halina ma'arifa yoyote sub-hanallah.
Sasa mijitu km hii inazungumza kitu gani!!
acha kuchekesha misifanye masihala na dini
Njaa zinawsumbua
Wapiga ela hawa 😂😂😂
Mpaka analeta na komedi hapohapo
Hivi hawa wanaosapoti wanalipwa ama
MJINI MTU AITWE KISHA ARUDI BURE
Njaa hio na nyie munashangiria mutaingia mutaingia hamna akili siku ya kiyama kila mtu atabeba mzigo wake nyie fuateni tu
Chawaa wengi
Wewe nikafiri