Best and best ever utaendelea kuwa best kwangu na ipo siku nitaelezea jamiii ni jinsi gan umenisaidia kwa kunipa maarifa makubwa sana ,,,mungu aendelee kukuweka at the top
Nita.... Ooooh, italuakuaj, itatokea nin, kama nita..... Oooh tunaweza tafuta chochote but hatutaweza kuongeza mda, i mean tucpoteze mda coz time z limited resource let's start....my self im already started.
Asante Sana Bro Joel hapa watu wengi Sana tunafeli kuanza kuchukua hatua Kwa kuhofia kupoteza hata tulichonacho, "Kweli mbegu haiwezi Kuota na kuzaa bila kupanda" Tunatakiwa kuanza na tulichonacho. Thank you my life coach God bless 🙏🙏 you .
Shalom mtumishi nashukuru sana kwa mafundisho mazuli mimi nina kipawa cha kuimba ninaimba kanisani asa eneo la sifa na kuabudu nimekuwa nikitaman kufanya ibada ya kusifu na kuabudu ila nakosa sapopi nilijalibu kufanya tena kwa garama kidogo nikausisha watu wakati nawausisha walionekana kunitia moyo mwisho awakuonekan walio nisaidia ni wachache natamani niendelee lakini spt aipo mtumishi
Kwakweli vipindi vyako vinanijenga nakunibadilisha kila ninapokusikiliza hakika huwa huniachi tupu,,ntaamin ntafanya kitu jo' mungu anijaalie afya njema tu,,Asante saaaaana
Ni kama ulikua unanizungumzia mm Kaka Joel. Kila nikitaka kufanya jambo changamoto inaingia kati. Ila baada ya kukusikiliza nimepata nguvu ya kuanza ninachokifikiriaga kila siku katikati ya hizo hizo changamoto. Asante sana na Mungu akutunze sana Kaka.
Daah kaka maarifa yako yananisaidia sanaaa Mungu akubarki nilkuwa na laki na nusu nikawa naona ni ndg kuanza biashara ila kwa ushauri wako mzuriii naanza leo Ahsanteee sanaaa
Asante sana kaka Joel, procrastination imekuwa ugonjwa mkubwa kwa watu wengi ila kupitia vipindi vyako vinatuamsha usingizini tulio wengi. Mungu azidi kukupa vitu vya kushare nasi. Barikiwa
Me naogopa kuanzisha mahusuano na mchana ninaempenda sababu naogopa sina msingi wa pesa na kazi bado mwanafunzi wa chuo. Lakini nitajitahidi kwasababu akili haiwezi kukomaa nisipopata misukosuko na changamoto. Ahsantee kaka Joel Nanauka.
Wow kaka Joel, hili funzo limeniguza akilini zaidi pakubwa sana, waa waa waa , what,??? Kweli nime zembea sana kwa ukweli., nashukuru kwa funzo hili. Loyce Akuku from Kenya. Asante sana Joel
Namshukru Mungu kwa huduma yako kaka..nilitimiza kumiliki bodaboda kupitia mafundisho yako..Mungu akujalie afya njema ili kila siku nipate kitu kipya kutoka kwako..nawaomba ndungu zangu niafadhali kutumia muda mwingi kisikiliza mafundisho ya maendeleo kuliko kupoteza muda mwingi kuangalia vithu ambavyo havina msada kwa maendeleo..🙏🙏🙏🙏
Nashukuru sana na mimi nimeanzisha account yangu ya you tube mdogo mdogo natembea kwenye maono yangu,,, asante Coach Zidi kuinuliwa uwainue wengi zaidi
Kaka joeli nakufuatilia sana na ninaona manufaa yako shida niliokuwa nayo nilikuwa na mtaji mkubwa kiasi kama milion 20 ujenzi na changamoto za kibiashara zimenifilisi nimestrago sana miaka kama 3 sasa ninamtaji kama milion 4 nashindwa kuanza biashara unanisaidiaje nipo mtwara masasi
dah!!! unakipaj kikubwa sn joel nataman kuwa mwongeaj mzuri kama wewe. na pia nimependa point yako “huwezi fanikiwa katik jambo amboyo ujahanza kufanya kumbuk mbegu aiwezi kutoa na kuzaa matunda mengi kama hujapanda” na hii inanifanya nianze na kidogo bila kujali kuonekana wachini 🙏🙏.
Asante brother Joel angalau nme jua kitu... ila samahan nlkua naomba ushaul,mimi nasoma na mzaz wangu kanipa mtaji nianze biashara na vitu chuon n vigumu atari... Je una ni shaul nianze io biashara na je nta fanikiwa!!?
Mwalimu. Mtumishi. My MENTOR...Naanza Mwaka Huu. Naanza Kaka. Nimekusikia...AHSANTE SANA
Best and best ever utaendelea kuwa best kwangu na ipo siku nitaelezea jamiii ni jinsi gan umenisaidia kwa kunipa maarifa makubwa sana ,,,mungu aendelee kukuweka at the top
Nita.... Ooooh, italuakuaj, itatokea nin, kama nita..... Oooh tunaweza tafuta chochote but hatutaweza kuongeza mda, i mean tucpoteze mda coz time z limited resource let's start....my self im already started.
Nakupenda pole kaka yangu yaani unatufungua akili mno.
Ubarikiwe na mungu akulinde 🙏
Asante sana bro hakika unanijengea ujasiri zaidi ktk hiki ninachokifanya
Ahsante sana
Mada imenigusa mno
Ubarikiwe kaka
Asante Sana Bro Joel hapa watu wengi Sana tunafeli kuanza kuchukua hatua Kwa kuhofia kupoteza hata tulichonacho,
"Kweli mbegu haiwezi Kuota na kuzaa bila kupanda"
Tunatakiwa kuanza na tulichonacho.
Thank you my life coach God bless 🙏🙏 you .
Asante sana
Kwakweli unatuoa kwenye giza nene
Shalom mtumishi nashukuru sana kwa mafundisho mazuli mimi nina kipawa cha kuimba ninaimba kanisani asa eneo la sifa na kuabudu nimekuwa nikitaman kufanya ibada ya kusifu na kuabudu ila nakosa sapopi nilijalibu kufanya tena kwa garama kidogo nikausisha watu wakati nawausisha walionekana kunitia moyo mwisho awakuonekan walio nisaidia ni wachache natamani niendelee lakini spt aipo mtumishi
Usiogope ndugu yangu Endelea kufanya mazoez ili ukiwapa ushaur waone nafasi Yako ni ya muhimu
Kiukweli Mungu akubariki sana kaka @Joel umekua baraka kwa wengi naamini mwaka huu nitaweka akiba kwa uaminifu
Najutia kuchelewa kukufuatilia kwakua maneno yako yananijenga sana na nawalisha wengine
Mwanzo mgumu kweli,,, sasa nikiulizwa ndoa lini naweza kuwajibu ,,hakuna tena kujipanga umri unasonga kinoma,,
Nmejifunza kitu kizuri sana kaka joel ubarikiwe kwa somo zuri, nafatilia sana masomo yako
Asant Sana ubarikiwe
Asante kaka kwa elimu nzuri hakuna haja ya kusubiri nikuanza tuu🙏🙏🙏🙏🙏
Kwakweli vipindi vyako vinanijenga nakunibadilisha kila ninapokusikiliza hakika huwa huniachi tupu,,ntaamin ntafanya kitu jo' mungu anijaalie afya njema tu,,Asante saaaaana
Action oriented
Nina ndugu yangu yuko china anisaidii...utafikiri wanaokaa nje wanaokota pesa..hahaaa! safi sana joel kwa kutua elimu na amsha amsha!
Ume nigusa sana daaa mungu akubalikia ana lakusema japo nime chelewa sana kukujua Ila nime elewa
My God nisaidie kutumia vizuri mawazo mapya unayonipa (Ayubu 8:7)
Ni kama ulikua unanizungumzia mm Kaka Joel. Kila nikitaka kufanya jambo changamoto inaingia kati. Ila baada ya kukusikiliza nimepata nguvu ya kuanza ninachokifikiriaga kila siku katikati ya hizo hizo changamoto. Asante sana na Mungu akutunze sana Kaka.
Daah kaka maarifa yako yananisaidia sanaaa Mungu akubarki nilkuwa na laki na nusu nikawa naona ni ndg kuanza biashara ila kwa ushauri wako mzuriii naanza leo Ahsanteee sanaaa
Hahahaha, mimi laki 900,000 mpka zimeisha tu.
Asante sana kaka Joel Kwa ushari wako
Asante sana kushukuru Mtumishi wa Bwana ubarikiwe sana "Tuamue kuanza kuzikabili changamoto, changamoto haziwezi kuisha" nimepata kitu leo.
Asante sana kaka Joel, procrastination imekuwa ugonjwa mkubwa kwa watu wengi ila kupitia vipindi vyako vinatuamsha usingizini tulio wengi. Mungu azidi kukupa vitu vya kushare nasi. Barikiwa
Kaka joeli unanigusa sana nami nina hiyo changamoto ahsante sana
Nakupenda san me naona sina changamoto ila changamoto mm mwnyw maan ndo najua maisha na kipaji changu au wengine hawanijui
Me naogopa kuanzisha mahusuano na mchana ninaempenda sababu naogopa sina msingi wa pesa na kazi bado mwanafunzi wa chuo. Lakini nitajitahidi kwasababu akili haiwezi kukomaa nisipopata misukosuko na changamoto. Ahsantee kaka Joel Nanauka.
Wow kaka Joel, hili funzo limeniguza akilini zaidi pakubwa sana, waa waa waa , what,??? Kweli nime zembea sana kwa ukweli., nashukuru kwa funzo hili. Loyce Akuku from Kenya. Asante sana Joel
pole kak kwakuchelewa
Good man, 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Namshukru Mungu kwa huduma yako kaka..nilitimiza kumiliki bodaboda kupitia mafundisho yako..Mungu akujalie afya njema ili kila siku nipate kitu kipya kutoka kwako..nawaomba ndungu zangu niafadhali kutumia muda mwingi kisikiliza mafundisho ya maendeleo kuliko kupoteza muda mwingi kuangalia vithu ambavyo havina msada kwa maendeleo..🙏🙏🙏🙏
Thanks for everything broo🤝🤝
Bro ubarikiwe sana kwa madin haya
Thanks alot broo for ur creativity ,for sure we are learning alot from u .
Duuh Kweli
Nakukubali sasa kaka j
Mngu akupe kufikiria Zaid. Hongera kwa mafanikio Kwan umenisaidia
Naombe like 5 joel
Joel mdogo wangu Mungu akutunze. Uendelee kuachia hicho alichokuwekea ndani yako.
Bro hua sijutii bando langu God bless you
Powa sn kaka
Asante kwa conselho yako Sr. Joel
Ni kweli kabisa kaka Joel, asante kwa ujumbe mzuri🤝👍
Nimekuelewa mwalimu ni kweli kabisa inatakiwa tuanze na tulicho nacho hongera kwa SoMo najifinza mengi kupitia kwako mungu akubariki
Dah nikirud ntaanz kw kwel
kaka nafurahia sna vipindi vyako vina npa kifra mpya...Hongera
Waa kweli. Ni ukweli
Ahsante kwa darasa zuri,Mungu azidi kukutumia ili tuzidi kukuza maarifa kupitia wew. Well done.
Shukran sana kwa kuendelea kutupatia maarifa mapya kwakwel nimelichukua hilo
Ahsant brother teacher
Asante sana kaka Joel ingawa ujumbe mgumu
Asante sana kaka Joel yaan nimepata kitu kikubwa mno God bless you.
Lakini kwa hii madini yako ubarikiwe sana🙏🙏
yaan kaka joel kila siku nikiangalia video zako ni kama huwa unanisema mm
Lakin asante sana nimeanza na nimeona mabadiliko🙏
Nashukuru sana na mimi nimeanzisha account yangu ya you tube mdogo mdogo natembea kwenye maono yangu,,, asante Coach Zidi kuinuliwa uwainue wengi zaidi
Asante Sana teacher hapa nimejifunza kitu
Me ni changamoto ndio zinazo nidhuia kaanza
Kila mtu anachangamto
@@neemakabika2114 ok
Anza changamoto haziishi
Asante sana umenipa nguvu sana
Makini sana mkuuu
Asante kwa somo hili Joel
Mashaallah.. Asante sana kaka Joel.. Uko vizuri sana unatufunza mengi san vijana kwa hakika.. Mungu akubariki sana
wiki ijayo naanza mkuu
Asante kaka sianzi sababu nategemea kupata mtaji Ndio nianze nimeelewa nitarekebisha hapo Ili nianze kwa nilichonacho Kwanza
Shkran sn kk Joel 🙏🙏
Be blessed
Nimekuelewa sana asante kaka
Kaka joeli nakufuatilia sana na ninaona manufaa yako shida niliokuwa nayo nilikuwa na mtaji mkubwa kiasi kama milion 20 ujenzi na changamoto za kibiashara zimenifilisi nimestrago sana miaka kama 3 sasa ninamtaji kama milion 4 nashindwa kuanza biashara unanisaidiaje nipo mtwara masasi
Asante kwa somo zuri
Naishi USA, Mungu akubariki kwa ujuzi unaho tupatiya.
Always you will be my role model 😉
Asante kaka leo nimekusikia naenda kuanza umenitia moyo Sana pia kupitia ebook yako money formula nitajifunza mahitaji yasipande yabaki yalivo
Asante kwaushauri,nitajifunza kuaza🙏
Ahsanteeeeee
Bro Mungu akubariki sana
Am so proud with you
Shukran sana bro ur points taken mungu akubariki
My Mentor, God bless you 🙏
NI kweli bro apo umetugusa wengu
Bons conselhos! Obrigado gostei de conselho
Ahsante Kaka kwa somo zuri🙏
Asante sana kaka umenifungua akili
Shukrani ka Joel
Yes,me at the top
God bless you nanauka
Asantee sana kaka joel
Yaani ww kaka maneno yako yananipush sanaa mungu akulinde na kila kitu
Asante kaka kwa somo lako
Vijana una2fungua sanaa sanaa
Mungu akubariki.
dah!!! unakipaj kikubwa sn joel nataman kuwa mwongeaj mzuri kama wewe. na pia nimependa point yako “huwezi fanikiwa katik jambo amboyo ujahanza kufanya kumbuk mbegu aiwezi kutoa na kuzaa matunda mengi kama hujapanda” na hii inanifanya nianze na kidogo bila kujali kuonekana wachini 🙏🙏.
Kweli hata mm naogopa kuanza kwa kuhofia kuwa hta hiki kidogo naweza kupoteza
Barikiwa sana kaka kama ulikwepo kwenye akili yangu Kila nikitaka kufungua biashara nasita
Thanks alot my lecturer ,, now iam ready to start
Kaka Joel ipo siku nitakuomba uje uishuhudie mbegu unayoiotesha kwangu Mungu akutunze sana
Kwasababu sijue kingereza
Naona pesa niliyonayo ni ndogo haitoshi kukamilisha ninachokitaji ndiomna mimi nashidwa kuanza hadi sasa nawaza naanzaje naanza na kipi......
Shukrani kaka Kwa Elimu hii,,,barikiwa sanaaaa
Asante kaka Joel
Umekuwa mwalimu mzuri kwangu. Asante sana kaka na mungu akutunze zaidi.
Sijamaliza kuangalia but im already blessed
Ahsante kaka Joel
Kiukweli ndo ukweli huo,,mtegemea ndguyo hufa maskini. Na wangojao nafasi nzuri ili waanze wamebakia siku zote kungoja tu
shida no mazngra ya kufanyia kazi unakuta wazo ulilonalo watu zaidi ya 50 washaanza kufanyia kazi
Asante brother Joel angalau nme jua kitu... ila samahan nlkua naomba ushaul,mimi nasoma na mzaz wangu kanipa mtaji nianze biashara na vitu chuon n vigumu atari... Je una ni shaul nianze io biashara na je nta fanikiwa!!?