ANZA LEO - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 มี.ค. 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 154

  • @tanzaniatourismboard8395
    @tanzaniatourismboard8395 ปีที่แล้ว

    Mwalimu. Mtumishi. My MENTOR...Naanza Mwaka Huu. Naanza Kaka. Nimekusikia...AHSANTE SANA

  • @mychanneltz4466
    @mychanneltz4466 2 ปีที่แล้ว +7

    Best and best ever utaendelea kuwa best kwangu na ipo siku nitaelezea jamiii ni jinsi gan umenisaidia kwa kunipa maarifa makubwa sana ,,,mungu aendelee kukuweka at the top

  • @schoolofsuccess666
    @schoolofsuccess666 2 ปีที่แล้ว +3

    Nita.... Ooooh, italuakuaj, itatokea nin, kama nita..... Oooh tunaweza tafuta chochote but hatutaweza kuongeza mda, i mean tucpoteze mda coz time z limited resource let's start....my self im already started.

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda pole kaka yangu yaani unatufungua akili mno.
    Ubarikiwe na mungu akulinde 🙏

  • @justinebaada9079
    @justinebaada9079 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana bro hakika unanijengea ujasiri zaidi ktk hiki ninachokifanya

  • @marhaj-products
    @marhaj-products 2 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana
    Mada imenigusa mno
    Ubarikiwe kaka

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 2 ปีที่แล้ว +13

    Asante Sana Bro Joel hapa watu wengi Sana tunafeli kuanza kuchukua hatua Kwa kuhofia kupoteza hata tulichonacho,
    "Kweli mbegu haiwezi Kuota na kuzaa bila kupanda"
    Tunatakiwa kuanza na tulichonacho.
    Thank you my life coach God bless 🙏🙏 you .

  • @lydiadeodatius6864
    @lydiadeodatius6864 2 ปีที่แล้ว +2

    Shalom mtumishi nashukuru sana kwa mafundisho mazuli mimi nina kipawa cha kuimba ninaimba kanisani asa eneo la sifa na kuabudu nimekuwa nikitaman kufanya ibada ya kusifu na kuabudu ila nakosa sapopi nilijalibu kufanya tena kwa garama kidogo nikausisha watu wakati nawausisha walionekana kunitia moyo mwisho awakuonekan walio nisaidia ni wachache natamani niendelee lakini spt aipo mtumishi

    • @user-gh3zf4ow4c
      @user-gh3zf4ow4c หลายเดือนก่อน

      Usiogope ndugu yangu Endelea kufanya mazoez ili ukiwapa ushaur waone nafasi Yako ni ya muhimu

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli Mungu akubariki sana kaka @Joel umekua baraka kwa wengi naamini mwaka huu nitaweka akiba kwa uaminifu

  • @josephmichael9555
    @josephmichael9555 2 ปีที่แล้ว +1

    Najutia kuchelewa kukufuatilia kwakua maneno yako yananijenga sana na nawalisha wengine

  • @wisezamir5124
    @wisezamir5124 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwanzo mgumu kweli,,, sasa nikiulizwa ndoa lini naweza kuwajibu ,,hakuna tena kujipanga umri unasonga kinoma,,

  • @hawamwambapa848
    @hawamwambapa848 2 ปีที่แล้ว +1

    Nmejifunza kitu kizuri sana kaka joel ubarikiwe kwa somo zuri, nafatilia sana masomo yako

  • @deboramenard1855
    @deboramenard1855 2 ปีที่แล้ว +2

    Asant Sana ubarikiwe

  • @LucyPonera
    @LucyPonera 3 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka kwa elimu nzuri hakuna haja ya kusubiri nikuanza tuu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yollamniko5090
    @yollamniko5090 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli vipindi vyako vinanijenga nakunibadilisha kila ninapokusikiliza hakika huwa huniachi tupu,,ntaamin ntafanya kitu jo' mungu anijaalie afya njema tu,,Asante saaaaana

  • @abelntobi382
    @abelntobi382 2 ปีที่แล้ว +3

    Action oriented

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay 2 ปีที่แล้ว +1

    Nina ndugu yangu yuko china anisaidii...utafikiri wanaokaa nje wanaokota pesa..hahaaa! safi sana joel kwa kutua elimu na amsha amsha!

  • @cetybenja3592
    @cetybenja3592 ปีที่แล้ว

    Ume nigusa sana daaa mungu akubalikia ana lakusema japo nime chelewa sana kukujua Ila nime elewa

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 ปีที่แล้ว +3

    My God nisaidie kutumia vizuri mawazo mapya unayonipa (Ayubu 8:7)

  • @mwanaidijuma3849
    @mwanaidijuma3849 ปีที่แล้ว

    Ni kama ulikua unanizungumzia mm Kaka Joel. Kila nikitaka kufanya jambo changamoto inaingia kati. Ila baada ya kukusikiliza nimepata nguvu ya kuanza ninachokifikiriaga kila siku katikati ya hizo hizo changamoto. Asante sana na Mungu akutunze sana Kaka.

  • @vicknnko6076
    @vicknnko6076 2 ปีที่แล้ว +3

    Daah kaka maarifa yako yananisaidia sanaaa Mungu akubarki nilkuwa na laki na nusu nikawa naona ni ndg kuanza biashara ila kwa ushauri wako mzuriii naanza leo Ahsanteee sanaaa

    • @KazimiliTV
      @KazimiliTV 2 ปีที่แล้ว

      Hahahaha, mimi laki 900,000 mpka zimeisha tu.

  • @jackychebet8100
    @jackychebet8100 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka Joel Kwa ushari wako

  • @ajaxjunior430
    @ajaxjunior430 2 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana kushukuru Mtumishi wa Bwana ubarikiwe sana "Tuamue kuanza kuzikabili changamoto, changamoto haziwezi kuisha" nimepata kitu leo.

  • @jivakasglobaltech5037
    @jivakasglobaltech5037 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana kaka Joel, procrastination imekuwa ugonjwa mkubwa kwa watu wengi ila kupitia vipindi vyako vinatuamsha usingizini tulio wengi. Mungu azidi kukupa vitu vya kushare nasi. Barikiwa

  • @sadikisaidi6996
    @sadikisaidi6996 ปีที่แล้ว

    Kaka joeli unanigusa sana nami nina hiyo changamoto ahsante sana

  • @isakaalberto7637
    @isakaalberto7637 2 ปีที่แล้ว

    Nakupenda san me naona sina changamoto ila changamoto mm mwnyw maan ndo najua maisha na kipaji changu au wengine hawanijui

  • @magrary2455
    @magrary2455 2 ปีที่แล้ว

    Me naogopa kuanzisha mahusuano na mchana ninaempenda sababu naogopa sina msingi wa pesa na kazi bado mwanafunzi wa chuo. Lakini nitajitahidi kwasababu akili haiwezi kukomaa nisipopata misukosuko na changamoto. Ahsantee kaka Joel Nanauka.

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 2 ปีที่แล้ว +3

    Wow kaka Joel, hili funzo limeniguza akilini zaidi pakubwa sana, waa waa waa , what,??? Kweli nime zembea sana kwa ukweli., nashukuru kwa funzo hili. Loyce Akuku from Kenya. Asante sana Joel

    • @Ebenmgaya
      @Ebenmgaya 2 ปีที่แล้ว

      pole kak kwakuchelewa

  • @hashimuliloto8017
    @hashimuliloto8017 2 ปีที่แล้ว +3

    Good man, 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @onnex90
    @onnex90 2 ปีที่แล้ว +1

    Namshukru Mungu kwa huduma yako kaka..nilitimiza kumiliki bodaboda kupitia mafundisho yako..Mungu akujalie afya njema ili kila siku nipate kitu kipya kutoka kwako..nawaomba ndungu zangu niafadhali kutumia muda mwingi kisikiliza mafundisho ya maendeleo kuliko kupoteza muda mwingi kuangalia vithu ambavyo havina msada kwa maendeleo..🙏🙏🙏🙏

  • @afyayauzazinaurembomadamgr7659
    @afyayauzazinaurembomadamgr7659 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks for everything broo🤝🤝

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro ubarikiwe sana kwa madin haya

  • @lugendelajimola6136
    @lugendelajimola6136 2 ปีที่แล้ว +6

    Thanks alot broo for ur creativity ,for sure we are learning alot from u .

  • @DjohnSkills
    @DjohnSkills 2 ปีที่แล้ว +3

    Duuh Kweli

  • @ramakatonyongo1389
    @ramakatonyongo1389 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali sasa kaka j

  • @honestermwita366
    @honestermwita366 2 ปีที่แล้ว +2

    Mngu akupe kufikiria Zaid. Hongera kwa mafanikio Kwan umenisaidia

  • @user-ns1sd7fe3m
    @user-ns1sd7fe3m 9 หลายเดือนก่อน

    Naombe like 5 joel

  • @janicejohn62
    @janicejohn62 2 ปีที่แล้ว +2

    Joel mdogo wangu Mungu akutunze. Uendelee kuachia hicho alichokuwekea ndani yako.

  • @juliusmashauri4342
    @juliusmashauri4342 2 ปีที่แล้ว

    Bro hua sijutii bando langu God bless you

  • @Maendeleo1
    @Maendeleo1 2 ปีที่แล้ว +1

    Powa sn kaka

  • @jomsafirikajinaki8820
    @jomsafirikajinaki8820 2 ปีที่แล้ว +4

    Asante kwa conselho yako Sr. Joel

  • @gaudensiasamwel5337
    @gaudensiasamwel5337 2 ปีที่แล้ว +5

    Ni kweli kabisa kaka Joel, asante kwa ujumbe mzuri🤝👍

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa mwalimu ni kweli kabisa inatakiwa tuanze na tulicho nacho hongera kwa SoMo najifinza mengi kupitia kwako mungu akubariki

  • @lovehawa4758
    @lovehawa4758 2 ปีที่แล้ว +1

    Dah nikirud ntaanz kw kwel

  • @aptv1321
    @aptv1321 2 ปีที่แล้ว

    kaka nafurahia sna vipindi vyako vina npa kifra mpya...Hongera

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 2 ปีที่แล้ว +2

    Waa kweli. Ni ukweli

  • @johaneskaihura3354
    @johaneskaihura3354 2 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante kwa darasa zuri,Mungu azidi kukutumia ili tuzidi kukuza maarifa kupitia wew. Well done.

  • @nkugwasimon7648
    @nkugwasimon7648 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana kwa kuendelea kutupatia maarifa mapya kwakwel nimelichukua hilo

  • @joowzeyboyjoowzee4474
    @joowzeyboyjoowzee4474 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsant brother teacher

  • @bestcakes7098
    @bestcakes7098 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka Joel ingawa ujumbe mgumu

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kaka Joel yaan nimepata kitu kikubwa mno God bless you.

  • @majaliwamerikiorikichaname9013
    @majaliwamerikiorikichaname9013 ปีที่แล้ว

    Lakini kwa hii madini yako ubarikiwe sana🙏🙏

  • @elishaignacy2013
    @elishaignacy2013 2 ปีที่แล้ว +2

    yaan kaka joel kila siku nikiangalia video zako ni kama huwa unanisema mm
    Lakin asante sana nimeanza na nimeona mabadiliko🙏

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz 2 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru sana na mimi nimeanzisha account yangu ya you tube mdogo mdogo natembea kwenye maono yangu,,, asante Coach Zidi kuinuliwa uwainue wengi zaidi

  • @jrsureodds9820
    @jrsureodds9820 ปีที่แล้ว

    Asante Sana teacher hapa nimejifunza kitu

  • @dicksongadson238
    @dicksongadson238 2 ปีที่แล้ว +3

    Me ni changamoto ndio zinazo nidhuia kaanza

  • @namsifuwadeya497
    @namsifuwadeya497 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana umenipa nguvu sana

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 2 ปีที่แล้ว

    Makini sana mkuuu

  • @winfridajohn6435
    @winfridajohn6435 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo hili Joel

  • @daudihemedi3362
    @daudihemedi3362 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah.. Asante sana kaka Joel.. Uko vizuri sana unatufunza mengi san vijana kwa hakika.. Mungu akubariki sana

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja362 2 ปีที่แล้ว +1

    wiki ijayo naanza mkuu

  • @roselynerwiza9383
    @roselynerwiza9383 2 ปีที่แล้ว

    Asante kaka sianzi sababu nategemea kupata mtaji Ndio nianze nimeelewa nitarekebisha hapo Ili nianze kwa nilichonacho Kwanza

  • @rollahngimbwa6978
    @rollahngimbwa6978 10 หลายเดือนก่อน

    Shkran sn kk Joel 🙏🙏
    Be blessed

  • @hoseahmbembela8720
    @hoseahmbembela8720 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana asante kaka

  • @mathiaswilliammadimba6483
    @mathiaswilliammadimba6483 2 ปีที่แล้ว

    Kaka joeli nakufuatilia sana na ninaona manufaa yako shida niliokuwa nayo nilikuwa na mtaji mkubwa kiasi kama milion 20 ujenzi na changamoto za kibiashara zimenifilisi nimestrago sana miaka kama 3 sasa ninamtaji kama milion 4 nashindwa kuanza biashara unanisaidiaje nipo mtwara masasi

  • @eliapatrick
    @eliapatrick ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zuri

  • @jonasebuela8975
    @jonasebuela8975 2 ปีที่แล้ว +1

    Naishi USA, Mungu akubariki kwa ujuzi unaho tupatiya.

  • @drjamesjames9337
    @drjamesjames9337 ปีที่แล้ว

    Always you will be my role model 😉

  • @marykavishe3553
    @marykavishe3553 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante kaka leo nimekusikia naenda kuanza umenitia moyo Sana pia kupitia ebook yako money formula nitajifunza mahitaji yasipande yabaki yalivo

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwaushauri,nitajifunza kuaza🙏

  • @bensontemu9356
    @bensontemu9356 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsanteeeeee

  • @newschannel1558
    @newschannel1558 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro Mungu akubariki sana

  • @noahgeorge0174
    @noahgeorge0174 2 ปีที่แล้ว +1

    Am so proud with you

  • @daprince7545
    @daprince7545 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sana bro ur points taken mungu akubariki

  • @godfreydickson4204
    @godfreydickson4204 2 ปีที่แล้ว +1

    My Mentor, God bless you 🙏

  • @nicksonjoph
    @nicksonjoph ปีที่แล้ว

    NI kweli bro apo umetugusa wengu

  • @jomsafirikajinaki8820
    @jomsafirikajinaki8820 2 ปีที่แล้ว +5

    Bons conselhos! Obrigado gostei de conselho

  • @MrHillary.
    @MrHillary. 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante Kaka kwa somo zuri🙏

  • @saimonmagembe1101
    @saimonmagembe1101 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka umenifungua akili

  • @nadyahamis9026
    @nadyahamis9026 2 ปีที่แล้ว

    Shukrani ka Joel

  • @happynessmwaipaja5372
    @happynessmwaipaja5372 2 ปีที่แล้ว

    Yes,me at the top

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 2 ปีที่แล้ว +1

    God bless you nanauka

  • @happinesedward625
    @happinesedward625 2 ปีที่แล้ว

    Asantee sana kaka joel

  • @shemsahemed3577
    @shemsahemed3577 2 ปีที่แล้ว

    Yaani ww kaka maneno yako yananipush sanaa mungu akulinde na kila kitu

  • @danielbetweli3519
    @danielbetweli3519 2 ปีที่แล้ว

    Asante kaka kwa somo lako
    Vijana una2fungua sanaa sanaa
    Mungu akubariki.

  • @kizabakari5276
    @kizabakari5276 2 ปีที่แล้ว +1

    dah!!! unakipaj kikubwa sn joel nataman kuwa mwongeaj mzuri kama wewe. na pia nimependa point yako “huwezi fanikiwa katik jambo amboyo ujahanza kufanya kumbuk mbegu aiwezi kutoa na kuzaa matunda mengi kama hujapanda” na hii inanifanya nianze na kidogo bila kujali kuonekana wachini 🙏🙏.

  • @georgeswaiswai4581
    @georgeswaiswai4581 ปีที่แล้ว

    Kweli hata mm naogopa kuanza kwa kuhofia kuwa hta hiki kidogo naweza kupoteza

  • @veronicalazaro9531
    @veronicalazaro9531 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana kaka kama ulikwepo kwenye akili yangu Kila nikitaka kufungua biashara nasita

  • @ecbtvtanzania6489
    @ecbtvtanzania6489 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks alot my lecturer ,, now iam ready to start

  • @tumainanthonychanya60
    @tumainanthonychanya60 2 ปีที่แล้ว

    Kaka Joel ipo siku nitakuomba uje uishuhudie mbegu unayoiotesha kwangu Mungu akutunze sana

  • @YusuphNgungu-mz1tw
    @YusuphNgungu-mz1tw 11 หลายเดือนก่อน

    Kwasababu sijue kingereza

  • @dorimanahoza463
    @dorimanahoza463 2 ปีที่แล้ว

    Naona pesa niliyonayo ni ndogo haitoshi kukamilisha ninachokitaji ndiomna mimi nashidwa kuanza hadi sasa nawaza naanzaje naanza na kipi......

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 2 ปีที่แล้ว

    Shukrani kaka Kwa Elimu hii,,,barikiwa sanaaaa

  • @getrudejohn4635
    @getrudejohn4635 2 ปีที่แล้ว

    Asante kaka Joel

  • @hamisichenji9892
    @hamisichenji9892 2 ปีที่แล้ว

    Umekuwa mwalimu mzuri kwangu. Asante sana kaka na mungu akutunze zaidi.

  • @lightnesskashi3226
    @lightnesskashi3226 2 ปีที่แล้ว

    Sijamaliza kuangalia but im already blessed

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye1 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kaka Joel

  • @johnmangi9007
    @johnmangi9007 2 ปีที่แล้ว +3

    Kiukweli ndo ukweli huo,,mtegemea ndguyo hufa maskini. Na wangojao nafasi nzuri ili waanze wamebakia siku zote kungoja tu

  • @issabugarama863
    @issabugarama863 2 ปีที่แล้ว

    shida no mazngra ya kufanyia kazi unakuta wazo ulilonalo watu zaidi ya 50 washaanza kufanyia kazi

  • @juliusjozeiy7878
    @juliusjozeiy7878 2 ปีที่แล้ว

    Asante brother Joel angalau nme jua kitu... ila samahan nlkua naomba ushaul,mimi nasoma na mzaz wangu kanipa mtaji nianze biashara na vitu chuon n vigumu atari... Je una ni shaul nianze io biashara na je nta fanikiwa!!?