KUJIAMINI NI SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA | Ezden Jumanne
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2022
- Kujiamini au self-confidence ni moja katika siri kubwa sana za mafanikio katika maisha. Hii inaanzia kwako wewe mwenyewe na hata kujiamini mbele za watu wengine. Karibu tujifunze umuhimu wa kujiamini katika maisha kwa kutumia mifano halisi katika ya watu wanaojiamini na wale wasiojiamini.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
Moja kwa moja bonyeza Link hii:
BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
1) Kwenye group utapata masomo ambayo hayapo kwenye youtube.
2) Kuwa wa kwanza kuona video zetu saa moja kabla ya kupanda kwenye youtube.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Web: www.swahilivoiceovers.com
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @youtubepesa255
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
tinyurl.com/matangazo
.
KUPATA MATANGAZO:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
SIMU: (+255) 759 191 076
EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
.
.
#kujiamini #siri #mafanikio
Kaka jamn naomba tofauti ya mtu jasiri na mtu mwenye kujiamini!
Asantee sana kwa wasia wako
Amina Amina Amina kiongozi niliteswa sana na hao watu wa namna hiyo maendeleo yako ndio shida kwao na si wewe
Kaka ezden ombi, tunahitaji kitabu kampuni ni dhahabu, kichapishwe . Baalawi from z'bar.
Asante Kwa kufundisha vizur
hongera sana bro!!! kaz nzur mungu akujaalie kujua zaid il nas utufundshe zaid....ila nna ombi moja...naomba ya koz km hii ila iwe ya sis wajaliamali wadogo ambao tunapenda kuwekeza kwenye hisa....
Hello naomba fafanua vizur tafadhali
Shukraniii
Brother mara nyingi tunaishi maisha tuliochaguliwa sio tunayochagua
A.a dat's true kaka wapo wengi Sana hawo
Shukran mwalimu kwa somo zuri
Maashaallah kaka keep it up tunafaidika sana na Madini unayotupa
Good job brother keep it that all the time we're really enjoy with good motivation thank brother
since day one nakufatilia kaka
Hii saf sana
Asant Sana kaka kwa somo hili mi nimekusikiliza vizuri Sana nimejikuta nipo kwenye kundi la kujiamini.
be blessed bro
Kweli bro mungu akuzidishie ufike mbali asante sana kwa mafunzo.
Duh kweli nilikua nahis najiamini kumbe nikweli broo hii yote imekuja kutokana na kupigia changamoto nyingi na kuamini hakuna changamoto isio kia na mwisho kusonga mbele.
Ahhh ahsante sana 🙏 sana.kk
appreciate it bro
Joweriaaaaa... I see you my sister. Thank you!
Asante sana brother kwa ushauri wako napenda sana kusikiliza mawazo yako naomba uendelee na moyo huo
Thanks mwalimu najivua sana kua na rafiki kama wewe mwalimu, kaka, Asante sana kaka
Pamoja sana ndugu yangu
Kaka nimelipenda somo
Together as one
Thanks for this Mr Azden
Nice bro, safi sana
Brother asante mungu akulinde
nakubali ezden
Good message 👏 bro
Sure brother 🙏
Uko vizuri kaka mungu akubariki
Uhakika asaa thanks a lot Brother
Hongera sana kaka
Kweli kabisa kaka Mungu akupe nguvu ufanye makubwa zaidi
True bro!
Kweli kaka
Thanks for this
Karibu sana
❤
A 💯💯
Fact%100 br..
Kweli
mashallah kila siku najifunza kitu bora kaka.from zanzibar
Kweli kabisa Kaka...I trust myself so much Alhamdulilah 🤲 I will clap for my friends until there comes my turn ☺️☺️
Maas sha Allah jambo zuri sana... hongera! Utafika mbali zaidi
@@successpathnetwork Amin
Kweli kabisa kaka
Maashaa-Allah! Tabaarakallaah!
Allah akuzidishie Elimu na akuruzuku Fahamu.
Amiin my brother... dua njema iwe kwetu sote
Nimeanza kukufuatilia Leo hii
🎉🎉🎉🎉
👍
Asent
👌🌷
Nmejifunza sana kaka, lkn nnashida sana na wewe ni muhimu mno nahitaji ushauri sana
najiamine
🥰🥰
Ume eleweka sana kka,,,
Ma maan Abjadi, shukrani sana kaka
Iyo ya kutokubali makosa na kuyasukumia wengine makosa imezidi sana kwa mabibi wa maboss eg. Waarabu 😂😂😂
Umeniamasisha sana kaka na najifunza mengi kutoka kwako.....alafu macho yako yamevimba leo
Daaah.... Kweli nilirekodi asubuhi
Bonge la elimu
Mafunzo mazuri kabisaaa ,true kabisaa .
Shukrani
Nimejifunza vema sana Somo Lako Kaka 🙄
Hamasa ya leo imeishia wapi au mimi ndio sifatiri channel yetu vizuri 😄😄
Asante kwa kuuliza. Niliifungulia channel yake yenyewe. Search tu HAMASA YA LEO utaiona
Ila nahisi uvivu uniniandama na nibaazi ya vpngele
Kweli kabisa mtu asiejiamini kimshirikisha kwenye jambo lako la mafanikio anakukatisha tamaa nakupinga jambo hilo alafu wanawivu mno
Kabsa
asalam akeykum kaka hyo coz inafaa uwe na elim kuanzio levo gan namansh hat ikiw umeishia form four haina shda..!
Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh ukhty. Inamfaa hata kama mtu hajasoma kabisa, kwani ni ujuzi wa kivitendo namna gani unaweza boredha uwezo ulionao wa kuzungumza, haina uhusiano na shule kiukweli... Njoo WhatsApp andika neno KOZI : 0759191076
Kaka upo sahihi nmejua nipo kundi gani
Saafi sana. Muda wa kuchukua hatua sasa na kufanya kitu sahihi
Asante sana brother kwa ushauri wako napenda sana kusikiliza mawazo yako naomba uendelee na moyo huo
Thanks mwalimu najivua sana kua na rafiki kama wewe mwalimu, kaka, Asante sana kaka