KUJIAMINI NI SIRI YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA | Ezden Jumanne

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2022
  • Kujiamini au self-confidence ni moja katika siri kubwa sana za mafanikio katika maisha. Hii inaanzia kwako wewe mwenyewe na hata kujiamini mbele za watu wengine. Karibu tujifunze umuhimu wa kujiamini katika maisha kwa kutumia mifano halisi katika ya watu wanaojiamini na wale wasiojiamini.
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA VITABU TELEGRAM (BURE):
    Moja kwa moja bonyeza Link hii:
    BONYEZA👉🏽 t.me/spnbookclub
    1) Kwenye group utapata masomo ambayo hayapo kwenye youtube.
    2) Kuwa wa kwanza kuona video zetu saa moja kabla ya kupanda kwenye youtube.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    Web: www.swahilivoiceovers.com
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    / @youtubepesa255
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    tinyurl.com/matangazo
    .
    KUPATA MATANGAZO:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    SIMU: (+255) 759 191 076
    EMAIL: voiceoverswahili@gmail.com
    .
    .
    #kujiamini #siri #mafanikio

ความคิดเห็น • 81

  • @sabinangashagi8330
    @sabinangashagi8330 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kaka jamn naomba tofauti ya mtu jasiri na mtu mwenye kujiamini!

  • @MabrukaJuma-hl6ud
    @MabrukaJuma-hl6ud 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asantee sana kwa wasia wako

  • @michaelkayoka1615
    @michaelkayoka1615 ปีที่แล้ว +1

    Amina Amina Amina kiongozi niliteswa sana na hao watu wa namna hiyo maendeleo yako ndio shida kwao na si wewe

  • @baalawibaalawi5702
    @baalawibaalawi5702 ปีที่แล้ว +1

    Kaka ezden ombi, tunahitaji kitabu kampuni ni dhahabu, kichapishwe . Baalawi from z'bar.

  • @annamwanguku4692
    @annamwanguku4692 ปีที่แล้ว +1

    Asante Kwa kufundisha vizur

  • @honestdaps
    @honestdaps 2 ปีที่แล้ว +2

    hongera sana bro!!! kaz nzur mungu akujaalie kujua zaid il nas utufundshe zaid....ila nna ombi moja...naomba ya koz km hii ila iwe ya sis wajaliamali wadogo ambao tunapenda kuwekeza kwenye hisa....

  • @bensontemu9356
    @bensontemu9356 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukraniii

  • @abilityemmanuel3000
    @abilityemmanuel3000 2 ปีที่แล้ว +3

    Brother mara nyingi tunaishi maisha tuliochaguliwa sio tunayochagua

  • @zainazaina8711
    @zainazaina8711 ปีที่แล้ว +1

    A.a dat's true kaka wapo wengi Sana hawo

  • @suleiman5127
    @suleiman5127 ปีที่แล้ว

    Shukran mwalimu kwa somo zuri

  • @Mcbel331
    @Mcbel331 6 หลายเดือนก่อน

    Maashaallah kaka keep it up tunafaidika sana na Madini unayotupa

  • @vansilva6385
    @vansilva6385 2 ปีที่แล้ว +3

    Good job brother keep it that all the time we're really enjoy with good motivation thank brother

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 2 ปีที่แล้ว +1

    since day one nakufatilia kaka

  • @abdullymkongo6718
    @abdullymkongo6718 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii saf sana

  • @maryandrew5204
    @maryandrew5204 2 ปีที่แล้ว +1

    Asant Sana kaka kwa somo hili mi nimekusikiliza vizuri Sana nimejikuta nipo kwenye kundi la kujiamini.

  • @witnekidoti6160
    @witnekidoti6160 ปีที่แล้ว

    be blessed bro

  • @rejoicekamonya8995
    @rejoicekamonya8995 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli bro mungu akuzidishie ufike mbali asante sana kwa mafunzo.

  • @theddenis2730
    @theddenis2730 ปีที่แล้ว

    Duh kweli nilikua nahis najiamini kumbe nikweli broo hii yote imekuja kutokana na kupigia changamoto nyingi na kuamini hakuna changamoto isio kia na mwisho kusonga mbele.

  • @kifarulodgeguesthouseshang5458
    @kifarulodgeguesthouseshang5458 ปีที่แล้ว

    Ahhh ahsante sana 🙏 sana.kk

  • @Joweriacaketools
    @Joweriacaketools 2 ปีที่แล้ว +2

    appreciate it bro

  • @johnmashimbi8662
    @johnmashimbi8662 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother kwa ushauri wako napenda sana kusikiliza mawazo yako naomba uendelee na moyo huo

  • @counselingandmotivationcenter
    @counselingandmotivationcenter 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks mwalimu najivua sana kua na rafiki kama wewe mwalimu, kaka, Asante sana kaka

  • @omaryissa-sw3nu
    @omaryissa-sw3nu ปีที่แล้ว

    Together as one

  • @imamunassor6303
    @imamunassor6303 ปีที่แล้ว

    Thanks for this Mr Azden

  • @abdallaathumani2064
    @abdallaathumani2064 2 ปีที่แล้ว

    Nice bro, safi sana

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 ปีที่แล้ว

    Brother asante mungu akulinde

  • @kovasule9651
    @kovasule9651 2 ปีที่แล้ว +1

    nakubali ezden

  • @amankinyamagoha2861
    @amankinyamagoha2861 2 ปีที่แล้ว +1

    Good message 👏 bro

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 2 ปีที่แล้ว

    Sure brother 🙏

  • @jameskaizilege1692
    @jameskaizilege1692 2 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri kaka mungu akubariki

  • @imamunassor6303
    @imamunassor6303 ปีที่แล้ว

    Uhakika asaa thanks a lot Brother

  • @user-ip5cv6yt6w
    @user-ip5cv6yt6w 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kaka

  • @selemansaid5642
    @selemansaid5642 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa kaka Mungu akupe nguvu ufanye makubwa zaidi

  • @augustinomwamasinga639
    @augustinomwamasinga639 2 ปีที่แล้ว

    True bro!

  • @amrylmusic9464
    @amrylmusic9464 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kaka

  • @neemakaniki
    @neemakaniki 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for this

  • @BarakaMangeti
    @BarakaMangeti หลายเดือนก่อน

  • @bitewilbard3481
    @bitewilbard3481 ปีที่แล้ว

    A 💯💯

  • @thuweniussi7375
    @thuweniussi7375 2 ปีที่แล้ว

    Fact%100 br..

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 2 ปีที่แล้ว

    mashallah kila siku najifunza kitu bora kaka.from zanzibar

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa Kaka...I trust myself so much Alhamdulilah 🤲 I will clap for my friends until there comes my turn ☺️☺️

  • @saimonmagembe1101
    @saimonmagembe1101 2 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa kaka

  • @AllyHashir
    @AllyHashir 2 ปีที่แล้ว

    Maashaa-Allah! Tabaarakallaah!
    Allah akuzidishie Elimu na akuruzuku Fahamu.

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv ปีที่แล้ว

    Nimeanza kukufuatilia Leo hii

  • @Giliad-atsua1y
    @Giliad-atsua1y 5 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉🎉

  • @AAA-ny7lj
    @AAA-ny7lj 2 ปีที่แล้ว

    👍

  • @ramadhanhamis3650
    @ramadhanhamis3650 ปีที่แล้ว

    Asent

  • @AAA-ny7lj
    @AAA-ny7lj 2 ปีที่แล้ว

    👌🌷

  • @aminaalid9745
    @aminaalid9745 2 ปีที่แล้ว

    Nmejifunza sana kaka, lkn nnashida sana na wewe ni muhimu mno nahitaji ushauri sana

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 2 ปีที่แล้ว

    najiamine

  • @dicksonenos662
    @dicksonenos662 ปีที่แล้ว

    🥰🥰

  • @abjadikatongo1898
    @abjadikatongo1898 2 ปีที่แล้ว +1

    Ume eleweka sana kka,,,

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 8 หลายเดือนก่อน

    Iyo ya kutokubali makosa na kuyasukumia wengine makosa imezidi sana kwa mabibi wa maboss eg. Waarabu 😂😂😂

  • @timamahendo4172
    @timamahendo4172 2 ปีที่แล้ว

    Umeniamasisha sana kaka na najifunza mengi kutoka kwako.....alafu macho yako yamevimba leo

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 5 หลายเดือนก่อน

    Bonge la elimu

  • @vangiftshine
    @vangiftshine ปีที่แล้ว

    Mafunzo mazuri kabisaaa ,true kabisaa .

  • @raymondbonniface7879
    @raymondbonniface7879 2 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza vema sana Somo Lako Kaka 🙄

  • @luqmanndagula245
    @luqmanndagula245 2 ปีที่แล้ว +1

    Hamasa ya leo imeishia wapi au mimi ndio sifatiri channel yetu vizuri 😄😄

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 ปีที่แล้ว +1

      Asante kwa kuuliza. Niliifungulia channel yake yenyewe. Search tu HAMASA YA LEO utaiona

  • @theddenis2730
    @theddenis2730 ปีที่แล้ว

    Ila nahisi uvivu uniniandama na nibaazi ya vpngele

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 2 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa mtu asiejiamini kimshirikisha kwenye jambo lako la mafanikio anakukatisha tamaa nakupinga jambo hilo alafu wanawivu mno

  • @KhadijahMohammed-bi9ef
    @KhadijahMohammed-bi9ef 2 หลายเดือนก่อน

    asalam akeykum kaka hyo coz inafaa uwe na elim kuanzio levo gan namansh hat ikiw umeishia form four haina shda..!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 หลายเดือนก่อน +1

      Waalaikum salaam warahmatullah wabarakatuh ukhty. Inamfaa hata kama mtu hajasoma kabisa, kwani ni ujuzi wa kivitendo namna gani unaweza boredha uwezo ulionao wa kuzungumza, haina uhusiano na shule kiukweli... Njoo WhatsApp andika neno KOZI : 0759191076

  • @abdullyjumamosi9572
    @abdullyjumamosi9572 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka upo sahihi nmejua nipo kundi gani

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 ปีที่แล้ว

      Saafi sana. Muda wa kuchukua hatua sasa na kufanya kitu sahihi

  • @johnmashimbi8662
    @johnmashimbi8662 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother kwa ushauri wako napenda sana kusikiliza mawazo yako naomba uendelee na moyo huo

  • @counselingandmotivationcenter
    @counselingandmotivationcenter 2 ปีที่แล้ว +2

    Thanks mwalimu najivua sana kua na rafiki kama wewe mwalimu, kaka, Asante sana kaka