Naaam mwalim mm sina elimu saaana lakini nina uwezo wa kuongeza mawazo na ushauli kwa watu na namshukulu mungu nimekupata mwalim wa kunifungua ubongo zaidi kuongeza ujuzi zaidi!! Na naongezea apo kama una mpango wa kufika at top bas nakushaulu usigeuke kuangali nyuma utasimama nyuma kuna wengi wanalia utawaonea uluma nawewe kubaki pale ulipofikia sogea ufanikiwe ludi umpe msaada!! Asante mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
Nimejikuta mm Ni wakwanza kabisa leo.... Alhamdullilah....Kaka Joel nyumban waninibeza na kunizalau wananitania leo ujamsikiliza uyo Kaka yako wakinikuta nakisikiliza wanamwambia mtoto Wang mdog mama jako ndo yupo biz kumsikiliza mjomba wako.kifup wananizarau mno lkn mm nawaambia mutashuudi kwa macho yenu inshaallah....Kaka yangu mungu akubalik
Naaam mwalim ni mtu anaelezea kuusu ayo akikudhalau uyo ongeza bidii zaid na maarifa kama somo la leo kushinda waza kama mtu mshindi ipo siku utafanikisha jambo lako nguvu moja tukutane at top🎉
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao kuliko ninavyojiona mimi....
Asante sana kaka nazid kujifunza kila siku na nazid kuboresha biashara na maisha yangu ya kazi kupitia wewe Mungu akubariki sana sana kaka yangu🙏🏼🙏🏼🙏see me at the top💪💪
Ahsante I'm still growing everyday, MUNGU wa Mbinguni akakuangazie nuru za uso wake na kukufadhili✋🏻
Asanteee Mwalimu Arthur Joel
Naaam mwalim mm sina elimu saaana lakini nina uwezo wa kuongeza mawazo na ushauli kwa watu na namshukulu mungu nimekupata mwalim wa kunifungua ubongo zaidi kuongeza ujuzi zaidi!! Na naongezea apo kama una mpango wa kufika at top bas nakushaulu usigeuke kuangali nyuma utasimama nyuma kuna wengi wanalia utawaonea uluma nawewe kubaki pale ulipofikia sogea ufanikiwe ludi umpe msaada!! Asante mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
Nimejikuta mm Ni wakwanza kabisa leo.... Alhamdullilah....Kaka Joel nyumban waninibeza na kunizalau wananitania leo ujamsikiliza uyo Kaka yako wakinikuta nakisikiliza wanamwambia mtoto Wang mdog mama jako ndo yupo biz kumsikiliza mjomba wako.kifup wananizarau mno lkn mm nawaambia mutashuudi kwa macho yenu inshaallah....Kaka yangu mungu akubalik
Naaam mwalim ni mtu anaelezea kuusu ayo akikudhalau uyo ongeza bidii zaid na maarifa kama somo la leo kushinda waza kama mtu mshindi ipo siku utafanikisha jambo lako nguvu moja tukutane at top🎉
Hongera kwa kuendelea kujifunza, watayaona matokeo, endelea kujifunza
Asante saana kaka Joel Nanauka Mungu akubariki sana Hakika mafundisho yako yamenivusha mnoo
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao kuliko ninavyojiona mimi....
Naam Najifunza kila siku jambo jipya kwako mungu Hazidi kukutumiya. Kwa faida ya watu wake shalom
the task of the winners is to see how they can win
Shukhurani sana umenifunza sana
Mungu azidi kukutumia na kukutunza Mwana wa Mungu
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
Asante sana kaka nazid kujifunza kila siku na nazid kuboresha biashara na maisha yangu ya kazi kupitia wewe Mungu akubariki sana sana kaka yangu🙏🏼🙏🏼🙏see me at the top💪💪
Ndasha unaongea point na ushabiki
Thanks Kaka sitachoka kukushukuru🙏🏽Naendelea kujifunza✍️kuna mahali nilikwama lakini Leo nainuka tena💪
Thanks GOD bless you
Nashukuru bro najifunza vitu vingi Sana mwenyezi MUNGU akulinde
Congratulations Mr Joel, God bless you, good work, receive my gift 🎁👋
Joel ndugu yanguvhii kazi yako iko na capital
Thank you 🙏
i get u 💡
Asante kwa somo nzuru mungu akubarika kaka Joel.
Asante sana najifunza vitu vingi sana kutoka kwako ♥️
Shukran sana 🙏🙏
Ahsante sana brother, nimejifunza
Shukran kk Joel nanauka 🙏🤝
Nimejifunza kitu asant
Mwalimu ubarikiwe sanaa
Asante Sana Joel Nana uka
Ubarikiwe kaka
Asante broo💪
Kazi nzuri
Asantee nimejifunza🙏
Unaupiga mwingi brother
Asante
👌👌💯👍
Hakika
🙏🙏
❤❤❤❤
Nami na jifunza kitu kiongoz ila naomba endelea kutujenga nakama ingewezekana naomba hata namba ya mawasiliano mwalimu
sauti
Ansate kaka nimepata kitu
Kila hatua dua
See u at the top