UNAAMBIWA JUMBA LA MULOKOZI LUKU YAKE KWA MWEZI HAIZIDI LAKI 5, WAFANYAKAZI WANNE WANALIHUDUMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 99

  • @AllanNestory
    @AllanNestory 4 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu brother nimemkubali sana ameni inspire kinoma “ Hii ndio maana halisi ya Mungu ni Baba yetu ametuweka duniani ili tuishi sio tupite”

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 4 หลายเดือนก่อน +17

    Mwenyezi MUNGU nipe uzima na maarifa niondoleee umasikin wa roho na mwili nisiwaze eti sote tutakufa vyote tutaviacha😂😂😂

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน

      Mshenzi kweri wewe 😂😂😂😂

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 taviacha lakini kutafuta ni ibada, Sasa usitafute alafu Mungu anakuzadia miaka Zaid ya 120

  • @emanuelherman7029
    @emanuelherman7029 4 หลายเดือนก่อน +9

    Ayo tv tumalizie stori ya mulokozi bado haichoshi kusikiliza

  • @benedictmallya620
    @benedictmallya620 4 หลายเดือนก่อน +4

    Haya maisha bhna 😂, nimekuwa na idea ambayo nimekomaa kutafuta fund kuanzia 2019... Nimehangaika haswaaa..Then guess what mtaji kabisa wa hiyo idea ndo kwanza ni bei ya kochi hapo etii imagin,, Yaani hapa kuna mtu anakalia mradi wangu hivi hivi....Yaani ile project ninayoitamani watu wanakaa hapo wa'watch movie... 😢😢 sema sawa.

    • @MomaDedu
      @MomaDedu 4 หลายเดือนก่อน +1

      Endelea kupambania ongeza nia kuna wakati utafika utahadithia utafanya zaidi ya ulichokua nacho

    • @alexandertimberson8599
      @alexandertimberson8599 3 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂 pole

    • @benedictmallya620
      @benedictmallya620 3 หลายเดือนก่อน

      Asante.. Ni suala la muda tu hakika

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana bosi nyumba ya kifahari sana vipi nyumba hii imejengwa babati mtaa gani??

  • @Mahene-w1l
    @Mahene-w1l 4 หลายเดือนก่อน +5

    😁 Expensive Life Kama namuona..!!!

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 4 หลายเดือนก่อน +3

    Siku moja nitapata nafasi ya kukutana na mlokozi na ninaamini akinipatia nusu saa ya mazungumzo naweza kuvuna jambo la mda wote lakin hata mimi nitamwambia kitu nacho naamini anaweza kukifanyia kazi na kikamzidishia mihela.

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna boss anakupa kazi tu ya kabati la m3 tu mnapigizana kelele utadhani hajawahi kuishika hiyo hela

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 4 หลายเดือนก่อน +7

    Umeme ni take home ya TGS C 😂 watumishi wa umma mpooo???

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 4 หลายเดือนก่อน +1

      Sad part of being poor😅😅😅

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 4 หลายเดือนก่อน +3

    Lak tano mbona kawaida sana aseeee tembea mzee baba uone vitu wabongo bhanaaaaaaa Kuna watu wanatumia umeme mzee njoo Zanzibari nyumba za kawaida tu angalia umeme unavokwenda haaaaaaaa

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 4 หลายเดือนก่อน +12

    Akague vizuri lazima kuna sehemu ina shoti. Mimi nina jumba kumbwa kuliko hilo na luku kwa mwezi ni 180,000/- mwambie akague hitilafu.

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 4 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wana hela duniani hapa daaah

  • @KhalfaniFarisy-hv1nn
    @KhalfaniFarisy-hv1nn 4 หลายเดือนก่อน +3

    NDUGU HONGERA SANA! MUNGU AKUZIDISHIE KIPATO UENDELEE NA MOYO HUO HUO WAKUSAIDIA NDUGU ZAKO NA JAMII

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu Kwanza
    Maana Haya Yote tutaacha .. ila hongera Kwa Mafanikio hayo Bro

  • @Moteswa
    @Moteswa 4 หลายเดือนก่อน +2

    Insurance bil 3?? Okay

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 4 หลายเดือนก่อน +2

    Muhaya mmmmh

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaaa ni jiniazi

  • @shafiisound4115
    @shafiisound4115 4 หลายเดือนก่อน

    Amiini yalabi kwa sote

  • @davidmsele9908
    @davidmsele9908 4 หลายเดือนก่อน +1

    Naona ya mwijaku B1.3 ndio bima ya mulokozi na vichenshi Vya kununua kiwanja kkoo 😅😅

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 4 หลายเดือนก่อน +3

    KUMEANZA KUCHANGAMKA

  • @nwntz
    @nwntz 4 หลายเดือนก่อน

    Nice life

  • @zamdanamwenje9415
    @zamdanamwenje9415 4 หลายเดือนก่อน

    Tufanye iwe historical site

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 4 หลายเดือนก่อน

    Mlokozi ni bright sn

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 4 หลายเดือนก่อน +3

    Sebule imejaa pombe ukijiskia kulewa nikuji sevia

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน

      Ndio ujue shetani Yuko kazini mana hamna hata neno la kumshukuru mwenyezi mungu

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 4 หลายเดือนก่อน

      @@kamarhelo pesa imekaa pabaya

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 4 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 3 หลายเดือนก่อน

    Loo siwezi kusaidia mtu kama huyu, Sidhani kama hii pesa ni halali. Mwizi tu, huyu. Mwizi mkubwa au Freemason.

  • @fehthysigalla-ep9tu
    @fehthysigalla-ep9tu 4 หลายเดือนก่อน

    ayo tuumalizie hii story ya uyu jamaa

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 4 หลายเดือนก่อน +2

    Anauza sumu ya vijana simuungiii mkono afuu Tajili nimmoja East Africa....HAMIS KIGUNDA ,tuuuu hawa wengine sifa mitandaoniiii

    • @emmalyanga3726
      @emmalyanga3726 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli abadili biashara
      Biashara ya ulabu siiungi mkono

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 4 หลายเดือนก่อน

      We uza chakula na uache kelele

    • @BarakaJumanne-v4m
      @BarakaJumanne-v4m 4 หลายเดือนก่อน

      Hamisi uyo ni wa Uganda hata hmfikii MO

    • @BarakaJumanne-v4m
      @BarakaJumanne-v4m 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani wanao tumia vilevi huwa wanalazimishwa wanywe ?

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 4 หลายเดือนก่อน

      @@BarakaJumanne-v4m yule ndooo kusema

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 หลายเดือนก่อน

    Mulokozi Ndo nani ..?

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 หลายเดือนก่อน +2

      Si yule baba yako wa kambo ushamsahau?

    • @AishaHaji-jn7sg
      @AishaHaji-jn7sg 4 หลายเดือนก่อน

      @@fahadfaraj6474 unamambo ya kike sana …kama huna jibu unakausha nimeuliza kwa uzuri ili nijue unaanza kuleta habari za kimama….

    • @fatumazuberi9842
      @fatumazuberi9842 4 หลายเดือนก่อน

      Mnamajibu jamani😂😂😂😂​@@fahadfaraj6474

    • @kadiakirua7621
      @kadiakirua7621 4 หลายเดือนก่อน +1

      Kama humjui mulokozi mpk leo utachelewa kupata pesa mama

  • @PatrickMwamba289
    @PatrickMwamba289 4 หลายเดือนก่อน

    Watanzania ni Aibu kunyamaanza wakati Harmonize anaharibu kazi za Wasanii wa WCB youtube ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 หลายเดือนก่อน

      We nawe umekunywa pombe Gani ? Sisi inatuhusu nini hiyo ?

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wala sioni cha ajabu kwenye hio nyumba mana naona kama mabanda ya kuku

    • @hamisimahenge5807
      @hamisimahenge5807 4 หลายเดือนก่อน

      Hahahaha😂😂😂😅😊😊

    • @yanja69
      @yanja69 4 หลายเดือนก่อน

      Hebu posti Mabanda Yako ya kuku tuyaone kama yanafaninia hata kwenye ndotooo😂😂😂😂😂

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน

      We nae mshamba tu kwaio unaona hio ni nyumba inayo eleweka si angejenga gorofa kabisa

    • @yanja69
      @yanja69 4 หลายเดือนก่อน

      @@kamarhelo Tuonyeshe ya kwakooo 😁😁😁

    • @uchebetz7284
      @uchebetz7284 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ukipunguza wivu utafanikiwa

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bongo bado washamba sana

    • @charlesmtesigwa2923
      @charlesmtesigwa2923 4 หลายเดือนก่อน

      Kwanini mjanja

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 4 หลายเดือนก่อน

      Na wew umo au wew sio mbongo

  • @BabyCleaver
    @BabyCleaver 4 หลายเดือนก่อน

    hee kumbe hafikii mimi umume ninaotumia 8760000 kwa mwezi tuu

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 19 วันที่ผ่านมา

    Seble imejaa pombe ukute boss mwenyewe hatumii wenzangu na mimi sasa 😅😅😅😅

  • @christinalawrence7493
    @christinalawrence7493 4 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba kazi ya usafi kwenye compuni Yako hata usafi tu au kazi ya chef

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hii nyumba haichoshi kuangalia

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 หลายเดือนก่อน +17

    Umeme ni mshahara wa mwalimu

  • @luciadanny8590
    @luciadanny8590 4 หลายเดือนก่อน +3

    God when 🙏🙏

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 4 หลายเดือนก่อน +1

    Millard Ayo acha tamaa, umeshamtaman Mulokozi wetu maana kila siku ni mulokozi mulokozi, Mulokozi wa nyoko?

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd 4 หลายเดือนก่อน

      Tuliza matako wewe

  • @suleimanamani6413
    @suleimanamani6413 4 หลายเดือนก่อน

    Millard part 5 ya hii interview huku weka tunaomba utuwekee

  • @oscarclaine5878
    @oscarclaine5878 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaaa ni jiniazi

  • @davidmsele9908
    @davidmsele9908 4 หลายเดือนก่อน

    Kmmk tutafute ela😂😂

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Wajina Mr Mulokozi.... Sema ujifunze Piano ili ukija kustaafu uwe na piano Yako uongeze umri mrefu wa kuishi.
    Umenifurahisha hapo Dak ya 6 kasoro eti Gharama ya nyumba/ Smart house 🏠 siwezi kuitaja nisiwe kama kina Mwijaku vurugu tupu hahahaha. Haya maisha raha sana.
    Dak ya 8 Mulokozi anakwambia 1B ni furniture tu na House Insurance ni 3 Billion hapo hatujazungumzia mjengo wenyewe😂😂😂.
    Mimi naomba Milioni 5 tu nitimize ndoto yangu ya kuwa na Studio production (Audio) ❤❤❤
    Thanks Millard Ayo Kwa Episode hii 🎉🎉🎉🎉

  • @jaydenayubu1068
    @jaydenayubu1068 4 หลายเดือนก่อน

    Kwani hakuna habari zingine mnachosha bhana

  • @mh9251
    @mh9251 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa laki tano ndio nini. Mimi nyumba ya kawaida tu natumia luku karibu 350 kwa mwezi mjini. Nikiweka starehe hivi ntatumia milioni moja. Huyo labda mgumu ndio maana anatumia ya laki tano kwa kuokoa mara anazima pump ya pool n.k.