Haya maisha bhna 😂, nimekuwa na idea ambayo nimekomaa kutafuta fund kuanzia 2019... Nimehangaika haswaaa..Then guess what mtaji kabisa wa hiyo idea ndo kwanza ni bei ya kochi hapo etii imagin,, Yaani hapa kuna mtu anakalia mradi wangu hivi hivi....Yaani ile project ninayoitamani watu wanakaa hapo wa'watch movie... 😢😢 sema sawa.
Siku moja nitapata nafasi ya kukutana na mlokozi na ninaamini akinipatia nusu saa ya mazungumzo naweza kuvuna jambo la mda wote lakin hata mimi nitamwambia kitu nacho naamini anaweza kukifanyia kazi na kikamzidishia mihela.
Lak tano mbona kawaida sana aseeee tembea mzee baba uone vitu wabongo bhanaaaaaaa Kuna watu wanatumia umeme mzee njoo Zanzibari nyumba za kawaida tu angalia umeme unavokwenda haaaaaaaa
Asante Wajina Mr Mulokozi.... Sema ujifunze Piano ili ukija kustaafu uwe na piano Yako uongeze umri mrefu wa kuishi. Umenifurahisha hapo Dak ya 6 kasoro eti Gharama ya nyumba/ Smart house 🏠 siwezi kuitaja nisiwe kama kina Mwijaku vurugu tupu hahahaha. Haya maisha raha sana. Dak ya 8 Mulokozi anakwambia 1B ni furniture tu na House Insurance ni 3 Billion hapo hatujazungumzia mjengo wenyewe😂😂😂. Mimi naomba Milioni 5 tu nitimize ndoto yangu ya kuwa na Studio production (Audio) ❤❤❤ Thanks Millard Ayo Kwa Episode hii 🎉🎉🎉🎉
Sasa laki tano ndio nini. Mimi nyumba ya kawaida tu natumia luku karibu 350 kwa mwezi mjini. Nikiweka starehe hivi ntatumia milioni moja. Huyo labda mgumu ndio maana anatumia ya laki tano kwa kuokoa mara anazima pump ya pool n.k.
Huyu brother nimemkubali sana ameni inspire kinoma “ Hii ndio maana halisi ya Mungu ni Baba yetu ametuweka duniani ili tuishi sio tupite”
Mwenyezi MUNGU nipe uzima na maarifa niondoleee umasikin wa roho na mwili nisiwaze eti sote tutakufa vyote tutaviacha😂😂😂
Mshenzi kweri wewe 😂😂😂😂
😂😂😂 taviacha lakini kutafuta ni ibada, Sasa usitafute alafu Mungu anakuzadia miaka Zaid ya 120
Ayo tv tumalizie stori ya mulokozi bado haichoshi kusikiliza
Haya maisha bhna 😂, nimekuwa na idea ambayo nimekomaa kutafuta fund kuanzia 2019... Nimehangaika haswaaa..Then guess what mtaji kabisa wa hiyo idea ndo kwanza ni bei ya kochi hapo etii imagin,, Yaani hapa kuna mtu anakalia mradi wangu hivi hivi....Yaani ile project ninayoitamani watu wanakaa hapo wa'watch movie... 😢😢 sema sawa.
Endelea kupambania ongeza nia kuna wakati utafika utahadithia utafanya zaidi ya ulichokua nacho
😂😂😂😂 pole
Asante.. Ni suala la muda tu hakika
Hongera sana bosi nyumba ya kifahari sana vipi nyumba hii imejengwa babati mtaa gani??
😁 Expensive Life Kama namuona..!!!
Siku moja nitapata nafasi ya kukutana na mlokozi na ninaamini akinipatia nusu saa ya mazungumzo naweza kuvuna jambo la mda wote lakin hata mimi nitamwambia kitu nacho naamini anaweza kukifanyia kazi na kikamzidishia mihela.
Kuna boss anakupa kazi tu ya kabati la m3 tu mnapigizana kelele utadhani hajawahi kuishika hiyo hela
Umeme ni take home ya TGS C 😂 watumishi wa umma mpooo???
Sad part of being poor😅😅😅
Lak tano mbona kawaida sana aseeee tembea mzee baba uone vitu wabongo bhanaaaaaaa Kuna watu wanatumia umeme mzee njoo Zanzibari nyumba za kawaida tu angalia umeme unavokwenda haaaaaaaa
Labda hotel
Akague vizuri lazima kuna sehemu ina shoti. Mimi nina jumba kumbwa kuliko hilo na luku kwa mwezi ni 180,000/- mwambie akague hitilafu.
We unajumba au banda la njiwa
@@fahadfaraj6474😂😂😂😅
Shida sio ukubwa shida ni matumizi
Sawa
nyooo uwe wewe
Watu wana hela duniani hapa daaah
NDUGU HONGERA SANA! MUNGU AKUZIDISHIE KIPATO UENDELEE NA MOYO HUO HUO WAKUSAIDIA NDUGU ZAKO NA JAMII
Mungu Kwanza
Maana Haya Yote tutaacha .. ila hongera Kwa Mafanikio hayo Bro
Insurance bil 3?? Okay
Muhaya mmmmh
Huyu jamaaa ni jiniazi
Amiini yalabi kwa sote
Naona ya mwijaku B1.3 ndio bima ya mulokozi na vichenshi Vya kununua kiwanja kkoo 😅😅
KUMEANZA KUCHANGAMKA
Nice life
Tufanye iwe historical site
Mlokozi ni bright sn
Sebule imejaa pombe ukijiskia kulewa nikuji sevia
Ndio ujue shetani Yuko kazini mana hamna hata neno la kumshukuru mwenyezi mungu
@@kamarhelo pesa imekaa pabaya
❤❤❤
Loo siwezi kusaidia mtu kama huyu, Sidhani kama hii pesa ni halali. Mwizi tu, huyu. Mwizi mkubwa au Freemason.
ayo tuumalizie hii story ya uyu jamaa
Anauza sumu ya vijana simuungiii mkono afuu Tajili nimmoja East Africa....HAMIS KIGUNDA ,tuuuu hawa wengine sifa mitandaoniiii
Kweli abadili biashara
Biashara ya ulabu siiungi mkono
We uza chakula na uache kelele
Hamisi uyo ni wa Uganda hata hmfikii MO
Kwani wanao tumia vilevi huwa wanalazimishwa wanywe ?
@@BarakaJumanne-v4m yule ndooo kusema
Mulokozi Ndo nani ..?
Si yule baba yako wa kambo ushamsahau?
@@fahadfaraj6474 unamambo ya kike sana …kama huna jibu unakausha nimeuliza kwa uzuri ili nijue unaanza kuleta habari za kimama….
Mnamajibu jamani😂😂😂😂@@fahadfaraj6474
Kama humjui mulokozi mpk leo utachelewa kupata pesa mama
Watanzania ni Aibu kunyamaanza wakati Harmonize anaharibu kazi za Wasanii wa WCB youtube ⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
We nawe umekunywa pombe Gani ? Sisi inatuhusu nini hiyo ?
Wala sioni cha ajabu kwenye hio nyumba mana naona kama mabanda ya kuku
Hahahaha😂😂😂😅😊😊
Hebu posti Mabanda Yako ya kuku tuyaone kama yanafaninia hata kwenye ndotooo😂😂😂😂😂
We nae mshamba tu kwaio unaona hio ni nyumba inayo eleweka si angejenga gorofa kabisa
@@kamarhelo Tuonyeshe ya kwakooo 😁😁😁
Ukipunguza wivu utafanikiwa
Bongo bado washamba sana
Kwanini mjanja
Na wew umo au wew sio mbongo
hee kumbe hafikii mimi umume ninaotumia 8760000 kwa mwezi tuu
Seble imejaa pombe ukute boss mwenyewe hatumii wenzangu na mimi sasa 😅😅😅😅
Naomba kazi ya usafi kwenye compuni Yako hata usafi tu au kazi ya chef
Hii nyumba haichoshi kuangalia
Umeme ni mshahara wa mwalimu
Jamaa ana balaa huyo.😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hahahah da hatar sana
😂😂😂😂😂😂 we noma
God when 🙏🙏
Millard Ayo acha tamaa, umeshamtaman Mulokozi wetu maana kila siku ni mulokozi mulokozi, Mulokozi wa nyoko?
Tuliza matako wewe
Millard part 5 ya hii interview huku weka tunaomba utuwekee
Huyu jamaaa ni jiniazi
Kmmk tutafute ela😂😂
Asante Wajina Mr Mulokozi.... Sema ujifunze Piano ili ukija kustaafu uwe na piano Yako uongeze umri mrefu wa kuishi.
Umenifurahisha hapo Dak ya 6 kasoro eti Gharama ya nyumba/ Smart house 🏠 siwezi kuitaja nisiwe kama kina Mwijaku vurugu tupu hahahaha. Haya maisha raha sana.
Dak ya 8 Mulokozi anakwambia 1B ni furniture tu na House Insurance ni 3 Billion hapo hatujazungumzia mjengo wenyewe😂😂😂.
Mimi naomba Milioni 5 tu nitimize ndoto yangu ya kuwa na Studio production (Audio) ❤❤❤
Thanks Millard Ayo Kwa Episode hii 🎉🎉🎉🎉
Kwani hakuna habari zingine mnachosha bhana
Haahahaha masikini tuna shida sana
Njaa zinakusumbua
Sasa laki tano ndio nini. Mimi nyumba ya kawaida tu natumia luku karibu 350 kwa mwezi mjini. Nikiweka starehe hivi ntatumia milioni moja. Huyo labda mgumu ndio maana anatumia ya laki tano kwa kuokoa mara anazima pump ya pool n.k.