EXCLUSIVE: TALE NA DIAMOND WALIVYOENDA KWA P DIDDY "ALITUSUBIRISHA NJE KWANZA, SNOOP ALITAKA TUVUTE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 พ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 255

  • @massawemrlowprice3949
    @massawemrlowprice3949 3 หลายเดือนก่อน +30

    Waliokuja kuangalia baada ya dd kukimbizwa nipe like

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 ปีที่แล้ว +25

    RESPECT SANA...#TALE....Allah azidi kukulinda kiafya na kimaisha... #WE LOVE YOU BRO...👌💪

  • @RAAJMELODY
    @RAAJMELODY ปีที่แล้ว +37

    Napendaga sana interview za Babu tale l wish one day l will meet him

  • @hollanddutch-day
    @hollanddutch-day ปีที่แล้ว +22

    Respect Legend Journalist Millard upo na Muheshimiwa

  • @GloriaAlexanda-ld5zt
    @GloriaAlexanda-ld5zt ปีที่แล้ว +30

    Daah! Mzee wangu tale wewe ni hatare talking style yako nimeipenda 💪

    • @naimasbuguza2395
      @naimasbuguza2395 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ungependa awe mpenzi wako au baba yako??😂

    • @BuntuAlkebulan-yh6qu
      @BuntuAlkebulan-yh6qu 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@naimasbuguza2395😂😂😂😂😂😂

  • @glorytarimo8321
    @glorytarimo8321 ปีที่แล้ว +35

    Hongera Millday Ayo kazi yako nzuri sana uchangui ubagui safi sana wengi wajifunze kutoka kwako ni mtu wa kipekee sana 🥰

  • @PepiteSquare-cp9wd
    @PepiteSquare-cp9wd ปีที่แล้ว +24

    Love you babu tale nakukubali sana papa

  • @princesofari1472
    @princesofari1472 ปีที่แล้ว +12

    Tale can be a good motivational person. His voice is soothing and calming, good work babu tale. 👏👏👏

  • @Jodrey1
    @Jodrey1 ปีที่แล้ว +20

    Kuanza leo namuheshim #Tale we ni story teller 🎉❤

  • @elastotulyanje5456
    @elastotulyanje5456 ปีที่แล้ว +20

    MWENDELEZO BASI WA HII interview,,,, nimeipenda❤

  • @bakarisaady181
    @bakarisaady181 ปีที่แล้ว +14

    Tale mbona kama mtu safi ukikuelewa✔

  • @GeraldSwai-ty1hr
    @GeraldSwai-ty1hr 3 หลายเดือนก่อน +24

    Wangapi mmkuja Baada ya P Diddy kudwakwa😂

    • @user-mi4tb2lm2n
      @user-mi4tb2lm2n 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @TrilllionTheGhost
      @TrilllionTheGhost 3 หลายเดือนก่อน

      Tuko pamoja kiongozi

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 2 หลายเดือนก่อน +1

      Waliliwa😂😂😂

    • @Rich_-tx4si
      @Rich_-tx4si 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @ChejoBuchejo-mm8bb
      @ChejoBuchejo-mm8bb 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mzee dommo kaliwa Diddy Hana mchezo😂 aliwe usher ,Justin ,omarion n.k domo hanusuliki....hii misanii yetu hiii imepiga micollabo ila imeliwa kwanza😂😂😂

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +17

    Ila namkubali sana Tale, interview ya kizazi sana hii, part 2 please 😅

  • @saidabdulkadirmjahid8255
    @saidabdulkadirmjahid8255 ปีที่แล้ว +21

    That Babu Tale's Ring is 🔥

  • @kimah9855
    @kimah9855 ปีที่แล้ว +32

    Tearm Zuuh tumefuraha❤❤❤

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 ปีที่แล้ว +19

    Interview kali sana kwann imeisha mapema😮😂

  • @emmyfamily3487
    @emmyfamily3487 ปีที่แล้ว +10

    Tunaweza ponda yoyote ila co huyu mtu mungu ampe hekma ilokua kubwa ,mungu amlinde na baya ktk ulimwengu huu

  • @remmywillyz8472
    @remmywillyz8472 ปีที่แล้ว +11

    😂😂 sema tale anajus kupigish story nimekubal bro hufich umefunguk san 🔥❤one love

  • @martineuzebio535
    @martineuzebio535 ปีที่แล้ว +19

    I like this interview

  • @heronimomsefya3190
    @heronimomsefya3190 ปีที่แล้ว +31

    Be Blessed Brother Tale &Comrade Millard

  • @hoodlamar9284
    @hoodlamar9284 ปีที่แล้ว +36

    Bonge la interview🔥🔥🔥🔥🔥

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 2 หลายเดือนก่อน +1

    TALE UMETISHA SAANA Aiseee good Vaibuuu 📺💯🔥💥

  • @aishaomar1845
    @aishaomar1845 ปีที่แล้ว +11

    WE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💯💯💯💯Break record of 🌍🌍🌍🌍

  • @richcompanyfilmtv823
    @richcompanyfilmtv823 ปีที่แล้ว +8

    Babu tale story Teller 😁😁😁🔥🙌🙌🙌🙌🙌

  • @marthamushi9390
    @marthamushi9390 ปีที่แล้ว +26

    Dah! Nimependa sana hii interview iko🔥 Then kumbe na wao wakikutana na wasanii wakubwa huko wanakuwa so saprise😂😂😂😂😂

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 ปีที่แล้ว +1

      Ndio

    • @videodon3280
      @videodon3280 11 หลายเดือนก่อน

      😂That shit normal mehn. Mimi nimependa venye Tale anaelezea Diddy alikuwa anamuongelesha Diamond "Yo Lion whatsapp"🤣

    • @officialdogobdance672
      @officialdogobdance672 3 หลายเดือนก่อน

      Tamu sana

  • @lazarobomani1466
    @lazarobomani1466 ปีที่แล้ว +23

    Big up tale for exclusive interview

  • @rancitv
    @rancitv ปีที่แล้ว +17

    Umekuwa mkweli bab tale, tumejifunza

  • @kilsonghalck9124
    @kilsonghalck9124 ปีที่แล้ว +3

    Daa!, ni hatari, nawaomba mka m'contact "Decky real" ni msanii ambaye hana kuja na project kali hijapokuwa upande wa promotion haja kaha sawa ki hivo, haki pata promotion hata kuwa hit ndani ya bongo, ali kuwa haki fanyiya kazi kigoma ila ame panda DSM kwaku tafuta kuji push, shukrani kwa hatakaye mfollow maana huyu jamaa hanaga show mbovu mwene sauti yaku vutiya anaye juwa kuteka hisia za mashabiki🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤❤

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 ปีที่แล้ว +10

    Safi sana,majibu mazuri

  • @DavisTibbz
    @DavisTibbz 8 หลายเดือนก่อน +2

    The guy is a good story teller

  • @yutafilms6916
    @yutafilms6916 ปีที่แล้ว +8

    Love the show

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 ปีที่แล้ว +12

    Napenda interview za tale I see😂😂

  • @abdirahmanali7347
    @abdirahmanali7347 ปีที่แล้ว +8

    Will you have extend the interviews ....

  • @cachec7930
    @cachec7930 ปีที่แล้ว +7

    Good interview✋

  • @sakinamixpambe2602
    @sakinamixpambe2602 ปีที่แล้ว +16

    Babu tale umenichekesha hapo kwa P -DD wekweli comedian 😆 😄

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 ปีที่แล้ว +1

      Yan🤣🤣🖐

  • @mustafanguyahambi4346
    @mustafanguyahambi4346 9 หลายเดือนก่อน +1

    Big Respect Mhe. Talee

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 ปีที่แล้ว +14

    watu wanaohitaji kuoana hufanya kwa vitendo sio maneno kwa sababu mkiridhiana mnafika kwa wazazi kisha taratibu zinafuatwa. Ila drama ni nyingi kila siku kusema hili mara lile. Kuvuta tention za watu.

    • @kantai737
      @kantai737 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli, hatutaki kila siku kumdhalilisha zuchu, anayekupenda anakuheshimisha,kama si hivo wafanye mambo yao ndani kwa ndani,sisi tunataka kumuona msanii wetu anaheshimika.

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY ปีที่แล้ว +4

    Babu tale wew ni mtu poa sanaaa

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies ปีที่แล้ว +1

    Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie

  • @bellogregory7175
    @bellogregory7175 ปีที่แล้ว +7

    Talking style ❤😊

  • @feronandsulubu6711
    @feronandsulubu6711 ปีที่แล้ว +12

    Yani Diddy nimsenge kiasi iko adi anauliza ka Africa ni jangwa tu

    • @made5167
      @made5167 ปีที่แล้ว +4

      Brother Pdd n mtu wa masihara sana atakuwa alsema hvyo to clear the air

    • @machasofficialsite6221
      @machasofficialsite6221 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂😂 watu wenye pesa mwanangu nomaaa

  • @barhepaul4754
    @barhepaul4754 ปีที่แล้ว +30

    Mzee ni story teller hatati sana apo udambuudambu wakutosha mzee 😂😂

    • @3malis
      @3malis ปีที่แล้ว

      Unavutiwa yani 😅😅😅

  • @marwawilliam3648
    @marwawilliam3648 ปีที่แล้ว +2

    Exclusively 💥

  • @nyamushalaparfait4154
    @nyamushalaparfait4154 ปีที่แล้ว +1

    This is very fun interview 😅

  • @bigdaddy_faustinjumong4427
    @bigdaddy_faustinjumong4427 ปีที่แล้ว +6

    Bbutale ulikuwa ulichelewa saaana kuingie kwenye siasa #portique

  • @patrickvove
    @patrickvove ปีที่แล้ว +11

    Story Teller 👍👍❤️❤️🫡🤝

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 ปีที่แล้ว +3

    Natamani kama mahojiano yaendelee hv 😁😁😁

  • @Mrfocus.5g
    @Mrfocus.5g ปีที่แล้ว +1

    Nakubali kweli

  • @tolekabizneztv
    @tolekabizneztv ปีที่แล้ว +2

    Millard ukinisupport na mic moja ya podcast naeza kujidai sana🙏🙏🙏

  • @chakalaboti9709
    @chakalaboti9709 ปีที่แล้ว +3

    Napend Tale anavyoishii Simpo mnooo..

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 2 หลายเดือนก่อน +1

    WALILIWA WATE NA DY DD😂😂😂😂😂

  • @mrnelly667
    @mrnelly667 ปีที่แล้ว +1

    I like it 2023

  • @dianabanga2625
    @dianabanga2625 ปีที่แล้ว +3

    👏🏿👏🏿👏🏿♥️

  • @AmelbergaKempanju-uf1zh
    @AmelbergaKempanju-uf1zh ปีที่แล้ว +1

    Iyo album tunasubiri itoke

  • @jacksoncastor4423
    @jacksoncastor4423 ปีที่แล้ว +8

    Tale anaongea kama hataki Safi sana

  • @aishaomar1845
    @aishaomar1845 ปีที่แล้ว +8

    And you guys are hanging on 🦁💯💯 WHAT a Shame 😢😢😢😢

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 ปีที่แล้ว +2

    Kwa p.didy apo amenichekesha🤣🤣

  • @mbungulanga6729
    @mbungulanga6729 ปีที่แล้ว +2

    Aende wapi mtoto wa watu heheh Hana option inamana

  • @naslee1010
    @naslee1010 ปีที่แล้ว +14

    Ongea yako sijaipenda bro una lainika sana

    • @mubuyafrancis3979
      @mubuyafrancis3979 ปีที่แล้ว +4

      Kwani siku gani ulishawi kumuona aongei Ivo kaka yangu?Toka kitambo kaka.Babutale ndojinsi alivyo toka kitambo Kama unafatilia Mziki kaka yangu

    • @thagreatmaizah9964
      @thagreatmaizah9964 ปีที่แล้ว

      Mwanangu nikajua pekeangu mwenyw namchora kitambo ...kunavitu havipo sawa amini

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 ปีที่แล้ว +2

      Ndivyo alivyo alivyo umbwa umewahi msikia marehemu bonge anavyoongea huwezi badirisha nature hutaki interview zake sepa

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 ปีที่แล้ว +3

      @@thagreatmaizah9964 wangu mambo ya ushoga yamewaharibu Sana Kila kitu mnafikiria ushoga Tale ndo uongeaji wake huo Miaka na Miaka labda kama hufatilii mziki

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 ปีที่แล้ว

      @@thagreatmaizah9964 🤣🖐

  • @Masta313
    @Masta313 ปีที่แล้ว +1

    Daaah

  • @EstherYouze
    @EstherYouze ปีที่แล้ว +3

    Talee😂 awe msimulizi wa story jmn

  • @mwanaishiaomar5695
    @mwanaishiaomar5695 ปีที่แล้ว +1

  • @barakasandey1980
    @barakasandey1980 ปีที่แล้ว +8

    Nimekaa naisubiria hii nacheki dakika tuu

  • @hoodlamar9284
    @hoodlamar9284 ปีที่แล้ว +2

    PARTY TWO-

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msanii mlikua hamumjui fiscally but mlikuwa mnamsikia kama sisi

  • @kingwuoseda392
    @kingwuoseda392 ปีที่แล้ว

    ❤yoo

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 ปีที่แล้ว +4

    Eti nyumba kama garage 🤣🤣🤣🤣,kuzungushwa bonge la jumba

    • @machasofficialsite6221
      @machasofficialsite6221 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂 hakuamin macho yake

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 ปีที่แล้ว +1

      @@machasofficialsite6221 wamezoea ramani ya nyumba zetu za Africa,ndomaana aliona kama garage mwanzoni,alipozungushwa na akaona nyumba yenyewe🤣🤣🤣

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 ปีที่แล้ว

      Na pia kasema aise mwamba ana maisha 😂😂😂😂 huyo ndio B TALE bwanaa

  • @sheyla9004
    @sheyla9004 ปีที่แล้ว +1

    Napenda tale anavoongea
    Kama ningeweza ningemsikiliza siku nzima

  • @loveneskaaya1652
    @loveneskaaya1652 ปีที่แล้ว +5

    Mbna BEYONCE kwenye renaissance tour kuna nchi katumia uwanja unaochukua watu 80k nakauza tiket zote?

  • @esperancenathali
    @esperancenathali ปีที่แล้ว +3

    Nisiwe mchoyo babu tale km ndugu yangu vile maana kafanana na mzee wangu hadi kuongea sorry guys for saying that cause I been watching his interviews so many years daah ila mimi mkongo tuuu

  • @chany9950
    @chany9950 ปีที่แล้ว +4

    👍🏽👍🏽👍🏽

  • @pedeize4987
    @pedeize4987 ปีที่แล้ว +3

    Ndugu zangu tupambane kilakitu kinawezekana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +1

    ☑️😘

  • @Saleh-mg8fr
    @Saleh-mg8fr ปีที่แล้ว +8

    Babutare mupole

  • @peterbuju5216
    @peterbuju5216 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @victorkamate4570
    @victorkamate4570 ปีที่แล้ว

    Mbona hii story inataka kufanana na ya zumaridi bro!!!!

  • @hakimayubabdul8117
    @hakimayubabdul8117 ปีที่แล้ว +3

    Alfu vice President wa marekani eti kazijua nyimbo za bongo fleva?😜😜😜 Duffy alikuwa hamjui Platnum?

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 ปีที่แล้ว +7

    Watu wakimuona diamond hawaelewi ni msanii mkubwa sana na anauzika nje. Ile kitu ameona hapa watu wanamuona ni kanjanja

  • @user-xt7bp5xg7j
    @user-xt7bp5xg7j 11 หลายเดือนก่อน

    Daaaah namkubali diamond anajuw kujiuuza kimziki nakubali simba

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 ปีที่แล้ว +1

    Hii nayo ni story dah kweli umaarufu sio ujuzi

  • @Mina.15
    @Mina.15 ปีที่แล้ว +13

    I hope they knows PDD ni SHOGA

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +3

      Hio hata mwenyewe nimeipata juzi juzi tena inasemekana wasani wake wengi lilikua linawafunuwa.

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 ปีที่แล้ว +4

      Aliyekwambia ni shoga ni nani? Yaani ushamba wa wabongo ni mwingi sana

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 ปีที่แล้ว +1

      @@amanimapenzi571
      Ndio siye ni washamba haina tabu ila fanya utafiti utagunduwa hizo funyunyu zipo. Google haitotuacha salama

    • @afrocushitic
      @afrocushitic ปีที่แล้ว +1

      Shoga anawatoto zaidi ya watano

    • @Swahili14
      @Swahili14 ปีที่แล้ว

      @@sonnyr1899 shoga kiaje naliwa au anakula? 💀😭
      Nmeskia izo rumors pia
      He's secretly in love with Will Smith
      I'm not judging him tho
      But if he's forcing by raping victims I'm concerned

  • @Renatusrenatus
    @Renatusrenatus 3 หลายเดือนก่อน +1

    Umethibitisha kuwa unamshauli aachane na hao watoto. Tafsiriyake nn? Roho mbaya?

  • @francknjosh7081
    @francknjosh7081 ปีที่แล้ว +6

    Hope p Diddy hakuwafanyia ile kitu😂

    • @makejaffar8119
      @makejaffar8119 9 หลายเดือนก่อน

      Aliwafanya

    • @alimashabani
      @alimashabani 3 หลายเดือนก่อน +1

      hahahahah

    • @nuru.simkoko
      @nuru.simkoko 3 หลายเดือนก่อน

      Lazima walifanyiwa tu 😂😂

    • @Bambagatz
      @Bambagatz 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @baloz8974
      @baloz8974 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa Mr. Love tena lazima hilo

  • @japhetjohntv5579
    @japhetjohntv5579 ปีที่แล้ว +2

    Wcb bhn wako vizuri check views

  • @yascoast6679
    @yascoast6679 ปีที่แล้ว

    apunguze kambaaa😀

  • @kingdeniscrocodile
    @kingdeniscrocodile 2 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha I was waoo 😂😂

  • @martineuzebio535
    @martineuzebio535 ปีที่แล้ว +10

    Wsb wanamapungufu ila n wanyama sana😂

  • @mohdloushmoney9994
    @mohdloushmoney9994 ปีที่แล้ว +2

    Sio mwenzetu tena guys tushamkosa

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal8062 12 วันที่ผ่านมา

    Justin Bibber aliingia kwenye hiyo party ya Didy na baada ya hapo akaharibu mustakabar wake wa maisha na miongoni mwa maishiri ya nyimbo zake anasema " nimepoteza utu wangu baada ya kuingia kwenye party ya Didy" kwa hyo kama ndugu zetu nao walibahatika kuingia kwa huyo mwamba, basi tuuache muda uuongee

  • @ryanfrancis5790
    @ryanfrancis5790 2 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @user-nk2fd9ys4q
    @user-nk2fd9ys4q 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 uwongo sema Diamond alipewa gari baada ya maajabu

    • @augustfive5279
      @augustfive5279 3 หลายเดือนก่อน

      Eti maajabi😮😂😂😂😂

  • @dmykingonlinetv4880
    @dmykingonlinetv4880 11 หลายเดือนก่อน

    Kazi mzuri Sana kaka

  • @juniorborbo
    @juniorborbo 9 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli kutojaza show kwa Zuchu America sijambo la ajabu. Kumbuka Bob Marley alipoanza safari yake ya mwazo mwazo kuingia United Kingdom, alifanya show Southhamption wakaingia kwenye show watu chini ya 150. Bob Marley alikufa moyo sana na kusema pengine mimi sistahili kuwapi hapa UK kama muimbaji. Baada ya team kumliwaza Bob Marley na kumtia moyo asife moyo baadae Bob Marley akawa World Star.

  • @wamburaamanimatutu7575
    @wamburaamanimatutu7575 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahaha wat a story, ila ubaya ni fupi sana 😂😂😂

  • @juliusmethod6380
    @juliusmethod6380 ปีที่แล้ว +4

    ssa labda hamjakutana na matajiri wengi wao huwa wanaongea bila kutumia nguvu alaf simle yani hatutemeani mate usoni, hata wwe ukija kushika pesa utabadirka muonekano mpaka kuongea kwako, mwendo nk..

  • @fauziaabdul8732
    @fauziaabdul8732 ปีที่แล้ว +1

    Tale huchoki msikiliza.

  • @athanaswilliam6940
    @athanaswilliam6940 ปีที่แล้ว +6

    Huyu muheshimiwa anaongeaje ..??? Mmh!!!

    • @Lassana755
      @Lassana755 ปีที่แล้ว +1

      Kama punga

    • @m___ck799
      @m___ck799 ปีที่แล้ว

      ​@Getonmyfeet he comes across gay to me.

    • @Swahili14
      @Swahili14 ปีที่แล้ว

      @@m___ck799 judge your life first
      Mpk saut mna judge 🙌💀
      Unaeza ongea km mbavu afu ukaliwa

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 9 หลายเดือนก่อน

    Nilicho gundua kukatazwa kwa bangi kunawatu muhimu hawaji kuongeza pato la taifa viongozi fanyieni kazi hilo big up mbunge wa morogoro vijijini

  • @sylviembirize
    @sylviembirize ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥