KWA HUZUNI: KIKWETE Asimulia - "NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ธ.ค. 2021
- KWA HUZUNI: KIKWETE Asimulia - "NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mzee mungu akupe maisha marefu sana, NAOMBA IKUMBUKE BARABARA YA MANDERA, MIONO HADI SADAN ,,NAJUA UWEZO UNAO
Nakupenda sana kikwete baba
Kaone kana sura nzuri yenye kuvutia na tabasamu safii Ila roho yake aiendani na muonekano wake Kinachotakiwa mzee utubu kwa Mungu wako kwa yote mabaya uliotufanyia Watanzania ili ukiondoka uende salama
Nawaona wazee tu! Tena hamkuvaa barakoa. Aidha mnaeleza stori tu. Nini hatma yetu????
Ila sio siri nakupendaga sana mzee kikwete mtani wangu
Kwendaaaa.
Nitafurahia kama utaongelea Katiba Mpya.
We Samson Hilo swali kamuukize Mungu wako
MZEE MUWE MNATUPA NA SISI HIZO CHANGAMOTO NA MAMBO MLOPITA TIJUE HISTORIA YA NCHI YETU NYIE NDIO MMEBAKI WAKUTUSIMULIA KWA UPENDO
I remember he
Eti anaongea kwa huzuni, labda ww unayemrecord ndio unamsikiliza kwa huzuni. Mzee kaongea kawaida tuu fresh baridi
Wenzenu kina Mbowe mmeweka segerea mnatafuna keki ya nchi
Nitafurahi sana kama utaongelea bandari ya bagamoyo Vinginevyo wasiwasi wetu uko palepale.. Media ulizeni mambo ya maana.Bandari ya bagamoyo NI maisha Yetu
Mmmm mmezeeka hadi mnatisha
Upendo upi ?
Upendo up sasa huku wananchi mnatunyanya
Wote mtaondoka ndio dunia ilivyo hamuwezi kuishi milele.
Upo baba letu
Halina maana huyu ndio hasida wa tanzania
Hawa ndio wanaoifanya tanzania isisonge mbele watanzania tumekwama wapi hawa wachache tu Wanatutabisha tumo milioni 60
HAWANA MPANGO WOWOTE ULE HAWA WANATULUDISHA NYUMA WALIPOTOKA WAO
Kila kiongozi akisha staafu anakua na usatarabu. Sijui inatokana na nani
Mzee, kwa nn ni viongozi Marais wastaafu wa kkristo tu ndio wanakufa
Broo hilo swali sio la kumuuliza mtu,Kufa ni amri ya mungu so usiingilie mipango ya mungu
Ngoja nikae kimya kwa mdomoni lakini moyoni nazungumza.
Muulize mungu analo jibu
@@slowclimbertothetop4572 Yaaaap
Siku zao za maisha zimekwisha
Kwanza: kwa nini ulimuondoa JPM!?
Pili: Kwa nini unaisumbua nchi?
Tatu: Kwa nini unaendelea kuiongoza nchi wakati ushastaafu.?
Nne: Kwa nini unalazimisha Bandari ya Bgamoyo ijengwe!?
Tano: Kwa nini wananchi wanakutaja kam ni jasusi wa Taifa l Tanzania.!?
We kakojoe kwanza ndio ulale usije kuchafua mashuka
Kuna viongozi wengine ni vichwa maji wanapaswa wabatizwe kwa moto. Hawana huruma na wananchi wala nchi