Mwalimu wetu Dacha Nimaono kwamba Mwenyezi-Mungu amekutumia nyakati izi za mwisho ibilisi atawaleta wengi wakujaribu lakini sio wewe unajaribiwa ni Mwenyezi-Mungu na lasima uwe mshindi kama Yesu christo alijukiwa na ndio ametukomboa hivyo ndivyo ulivyo AMINA
Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama, sisi Wakristo hushidana tu tukitumia neno lillilo hai, tena lililo na nguvu kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho na ni jepesi kutambua mawazo na makusudi ya moyo, Waebrania 4:12, Waefeso 6:12. Ndacha hana haja ya ushindani bali kugawanya kweli na uongo. Nyeri Cetral changeni tufanikishe huu mjadala.
Jamani kwanza naomba nielewe huyu shafi ni mwislamu ama mchristo?yani kila anacho jitetea nacho,anatoa katika bibilia yan hata Qur'an akuna aya jamani?huyu ni mchristo international
Yule shafii nikibaka Kama vibaka wengine tu ,sema basii tu amevaa kanzu ya ushehe 😅 we mtu kama anayapinga majini kuwa sio waislamu, Kama anavikataa vitabu vyote vya kiislamu ,hata Hadithi sahihi vyote anavikataaa ,Sasa huyo ni muislamu au kibakaaa tu😅
Ndacha una misimamo ya Kiyahudi pia, kama unasema waislam wako sawa na wayahudi, basi hata wewe uko sawa na Waislam tu. Halafu unasema Wakristo tukusikilize wakati wewe si mkristo ni muyahudi? Uwe mkristo kwanza ndiyo tuungane na wewe, ama uache kurumbana na walimu wa kikristo ndiyo tuungane na wewe kuwahubiria Waislamu kama unavyohamasisha madhehebu yote tuungane.
Juliaskalama ntakujibu Mwalimu anatumia Biblia ama anatumia akili zake? Anaonya watu juu ya dhambi au anawaunga mkono wafanye? Sisi tunapenda tuambiwe Uongo kuliko Ukweli laiti ungemjua anafichua uongo......
Shida yako wewe mwalimu ambayo nakulaum nayo ni kwamba unapenda kushindana hata na walimu wenzako wa kikristo kwasababu unapenda wawe ni wasabato kama wewe ukikosa kujua kwamba Mungu haabudiwi kupitia siku bali kwa jina la Yesu. Ungeungana tu na wenzako mngefundisha vizuri zaidi badala ya kutetea siku na kushindan tu na wakristo wenzako, ungeacha hayo ingekua vizuri kweli
Shafii anakataa tu Quran bila hadithi haiwezi kusimama.huu ni ukweli usiopingika. Afu Hizo vitabu vya Pastor mkorofi na Yehova matatani Waislam wanatoa wapi? Hata kwenye makitaba zote hapa Tanzania hakuna hivyo vitabu.
Mwalimu wetu Dacha Nimaono kwamba Mwenyezi-Mungu amekutumia nyakati izi za mwisho ibilisi atawaleta wengi wakujaribu lakini sio wewe unajaribiwa ni Mwenyezi-Mungu na lasima uwe mshindi kama Yesu christo alijukiwa na ndio ametukomboa hivyo ndivyo ulivyo AMINA
From DR Congo 🇨🇩 Barikiwa Sana mtumishi Mwalimu NDACHA, Mungu akulinde.
Ndacha ni mualimo wa kweli ❤❤
Ndacha Ubarikiwe saaana. Unatufundisha saaana juu ya Dini ya Kikristo. Ubarikiwe saaana. Hakika mwanzoni tulikosa saana elimu juu ya hizi dini.
WE ndacha achakupindua pindua maneno ya mungu.si jaona mdahalo hata mmoja umejenga hoja kikamilifu kwa ujanja wako si rahisi kuwapata WAISLAMU
Huo mdahalo nakungojea san namuomba Allah atufanyie wepes inshallah ila msifwnye mjadala kwenye ukumbi weken njee
Amina Barikiwa Mwalimu ndacha. Fundisha watu waokolewe
Hakika mwalimu Ndacha Mungu ako na wewe peana ujumbe wa wakati ili watu waingoke
Bwana akubariki mtu wa Mungu na atufanyie wepesi katika hili.
Amen twakuombea sana mungu akulinde
Wise words man of God, mungu akulinde
Ndacha ni moto,mungu ni moto ulao
Barikiwa Mr dacha MUNGU akulinde
Et shafii kubatizwa😂😂
hauwez kupingana na Quran ukawa salama kiakili abadan.
Amen amen
Ubarikiwe mjoli...
Acha uongo kutoka uislamu nikutojua maandiko huezi toka kwa dini ya Mungu uende mahali hakuna dini
Tuko pamoja mwalimu
Pr inanitisha izo misalaba apo juu
We noma
Ata hajui anachoongea huyu mtu wayauudi ndio wanauuwa wapalestina
Nani aliyembatiza Mwalimu Ndacha na akamwekelea mikono awe kiongozi wa kanisa lake?
Ndacha umevunja hoja kwa maandiko za mwalimu mazinge hakuna mwalimu anae kuwez unakweli yamungu
nenda kaninyooshee shafi 😂❤
Kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama, sisi Wakristo hushidana tu tukitumia neno lillilo hai, tena lililo na nguvu kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho na ni jepesi kutambua mawazo na makusudi ya moyo, Waebrania 4:12, Waefeso 6:12. Ndacha hana haja ya ushindani bali kugawanya kweli na uongo. Nyeri Cetral changeni tufanikishe huu mjadala.
Ndacha, tunangoja hiyo siku
Shafi ajibu kwenye pastor mkorofi tutakapo kipata swali lipo ajibu
Maada iwe utume wa uongo wa Mhamadi
Ndacha, Simba Ulanga, na mzee simba ulanga woote ni Nguruwe 🐖🐖🐖
Kwenye mada kati ya mwalimu ndacha shafii, naomba kati ya mada iwe , je majini ni wa dini ngani?
Kweli mtu asijisifu mtu asifiwe
Jamani kwanza naomba nielewe huyu shafi ni mwislamu ama mchristo?yani kila anacho jitetea nacho,anatoa katika bibilia yan hata Qur'an akuna aya jamani?huyu ni mchristo international
Wewe mwenyewe ndacha unajitosheleza poke yako?Sema kama unajitosheleza tujue ustadh shafi ni dhaifu
Hivi mbona waislamu wakianza kusali lazima wataje mashetani?
Yule shafii nikibaka Kama vibaka wengine tu ,sema basii tu amevaa kanzu ya ushehe 😅 we mtu kama anayapinga majini kuwa sio waislamu, Kama anavikataa vitabu vyote vya kiislamu ,hata Hadithi sahihi vyote anavikataaa ,Sasa huyo ni muislamu au kibakaaa tu😅
Ndacha una misimamo ya Kiyahudi pia, kama unasema waislam wako sawa na wayahudi, basi hata wewe uko sawa na Waislam tu. Halafu unasema Wakristo tukusikilize wakati wewe si mkristo ni muyahudi? Uwe mkristo kwanza ndiyo tuungane na wewe, ama uache kurumbana na walimu wa kikristo ndiyo tuungane na wewe kuwahubiria Waislamu kama unavyohamasisha madhehebu yote tuungane.
Hujalazimisha uungane nae. Kwa akilizaketu.ndacha anasoma maandikotu. Hunasababu yakutoa maneno. Wewe Soma biblia itakuelekeza wapi unapaswa kuwa.biblia. Inamwongozo ote. Ndacha Yuko sahihi. Niuamuzi wako kukaa jumapili. Au. Ibada takatifu ya biblia yaan. SABATO
SomaJhn8:52-59 kaone tatizo walio kuwa nayo wayahudi swa na wislaam
Ndacha we ni hatali
Ndacha wewe kazi yako ni kujisifu tu huna chochote kbisaaaaaaa bure
Ajisifu kwa lipi ..njoo Hadharani tukusikie wacha vipembeni
Leta andiko muyahudi ni mwislamu huna elimu shee
kwani mlikorofiana na msomaji wako paulo tena akarudi uisilamu
Nani alikuambia?
@@stephen-S7n kuna video Fulani ametolewa akitamka shahadu na Bibi yake ule wa kotoka Kisii
Amna ila kuna mda kama miaka mitano aliludi uislamu alivyoona apafai akaludi tena ukristo kwenye uzima wa milele
@@MaddycobraMwitawanatumia ile video ya zamani zaidii ya miaka 6 iliyopitaa
Juliaskalama ntakujibu Mwalimu anatumia Biblia ama anatumia akili zake? Anaonya watu juu ya dhambi au anawaunga mkono wafanye? Sisi tunapenda tuambiwe Uongo kuliko Ukweli laiti ungemjua anafichua uongo......
Shida yako wewe mwalimu ambayo nakulaum nayo ni kwamba unapenda kushindana hata na walimu wenzako wa kikristo kwasababu unapenda wawe ni wasabato kama wewe ukikosa kujua kwamba Mungu haabudiwi kupitia siku bali kwa jina la Yesu. Ungeungana tu na wenzako mngefundisha vizuri zaidi badala ya kutetea siku na kushindan tu na wakristo wenzako, ungeacha hayo ingekua vizuri kweli
Dini Moja ubatizo mmoja na siku ya sabato ndio siku pekee ya kumwabudu Mungu ni hiyo ni Kwa ajili yetu sisi wanadamu na Niya milele
Unaabudu siku gani ndugu
😂
Sio kushidana ukielewaaa hakuna kushidana
Kila mtu akisali siku yake basi hyo itakuw BABELI sasa,,nd maan inatakiwa ijulikane ipi ni sahihii ili tufate iliyo sahihi
Shafii anakataa tu Quran bila hadithi haiwezi kusimama.huu ni ukweli usiopingika.
Afu Hizo vitabu vya Pastor mkorofi na Yehova matatani Waislam wanatoa wapi? Hata kwenye makitaba zote hapa Tanzania hakuna hivyo vitabu.
Sule amekushinda wee vip
Wewe si mkiristo ni msabato
Hujui chochote
Tatizo ndacha ata ukioneshwa andiko lakweli hutaki kukubali shafii humuwezi
Usimsifu wacha wakutane sisi tutajua wenyewe
Shafi hana kitu hajui kweli hawezi NDACHA