NI KWA NEEMA(Official Video)- Kwaya ya Mt.Secilia Makuburi DSM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2020
- #godsgraceissufficient #christianity
Karibu kutizama wimbo wetu mzuri unaojulikana kwa jina la "Ni kwa Neema". Ni wimbo unaorudisha utukufu kwa Mungu Baba kwa huruma na rehema zake ambazo ni mpya kila siku.
Ili usipitwe na video zetu nyingine nzuri tumia muda huu subscribe kwa kubonyeza kitufe chekundu hapo juu au unaweza kutumia link ya hapa chini.#Mt.SeciliaMakaburi#Nikwaneema - เพลง
Amazing lyrics, wenye utunzi wa hali ya juu. Wimbo unaobariki nafsi yangu kila uchao. Hakika kwa kweli nipo nilivyo maana amenifinyanga akaniumba nilivyo ndio maana nimetumwa. Shukrani la dhati kwa mtunzi, wanakwaya na wote waliofanikisha kazi mufti.
Cayus oginga Watching from manga girls high school kenya 🎉
Nice song ndio mana siachi kwaya
Waooo mungu awabariki xana munaimba vzr xana tunawapenda
Kweli in neema ya Mungu awabariki sana, muweze kuinjilisha neno lake.
Mwenyezi mungu awabariki hakika huu wimbo unanitakasa nawaombea muendelee kutangaza neno la mungu, NI KWA NEEMA,
Hongereni sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mahususi Mungu awabariki unaifariji sana
Umenichoma sana wimbo huu una ujumbe mzurii. It's so very good song . Hakika n kwa neema ya Mungu 🙏🙏
Nyimbo nzurii sana hongerenii
Nice song , mungu azidi kuwape Neema na kuwabariki siku zote 🔥🙏
Nabarikiwa mnoo na wimbo huuu ongereni sana wana sesilia kwaya yangu
waooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo......rahel
❤❤mungu hazidi kuwaimalisha na kumwimbia katika roho na kweli
Mwenyezi Mungu awabariki sana kwa utunzi na uwimbaji huu bomba ,kwa kweli NI KWA NEEMA.
Congratulations for a job well done
Kazi nzuri sana
Myonga ni namba nyingine hatari duniani🤝🤝🤝🤝🤝🤝kazi nzuri sana
The year is 2020 February and March, my mother is slowly wasting away with cancer of the liver and then I discover this song. This song gave me peace until she died on 30th March that year, and still gives me that every day. Thank you ❤
WE GLORIFY GOD WHO MADE THIS HAPPEN. MAY SHE R.I.P
Mbarikiwe na bwana mnaimba vizur
Asante sana
Nikwaneema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo mbarikiwe watumishi wa Mungu
Asante sana. Nawe ubarikiwe kwa kutusikiliza
Fire
Jamani wimbo Mzuri sana❤️💥💥👋👋👋👋
Karibuni tena Pugu
Tutakaribia ahsante sana
C'est bon 👏👏👏👏
Kweli kabisa huu wimbo ni mtamu sana. Hongera sana kwaya ya Mt. Secilia Makuburi.
Amina Wimbo umenbariki sanaaa hongereni wanakwaya
Mungu awabariki wanakwaya wa Mt, Sesilia Makuburi, mmenibariki kila mara
kweli ni kwa neema ya Mungu...Amina
Amina
Ni kwa neema 2 ya mungu nimekuwa hvi nilivooo
Ni Kwel ni kwa neema tu
Nawakubali sana hasa mlipokuja kuinjirisha jimbo kuu la Songea mliimba wimbo huu niliupenda sana hongereni Kwa utume
Barikiwa sana
Hongeren sana wana secilia mungu awao gezee vifua mzidi kubarikiwa zaid nazadi. Manweza sana kuwa kwaya bora
Hongereni kwa wimbo mzuri
Mbarikiwe wapendwa, mmeinjilisha vema
That's the real catholic melody. Wimbo unabariki, umetulia na pia unatia hamasa ya kuendelea kuusikiliza zaidi. Hongereni Mt.Secilia.
Amina sana, ni kwa neema ya Mungu
Hongera sana kwaya kwa uinjilishaji mzur na pia nampongeza mohele kwa hatua hii Mungu awatangulie kwa kila hatua. Amina
Hakika yote ni kwa neema
Pongezi nyingi kwa wanakwaya wote
Mungu azidi kuwapigania
Katika nyimbo zangu 10 bora huu upo top 5....
Nice work, God is good.
Amina
Watching from manga girls high school kenya
Nimetumwa leo. Mungu awabariki.
Asante na karibu
Ni kwa neema ya mungu tu hongereni sana kwa wimbo mzuri
Great Sesilia choir nawakubali sana .... endelea kumimina vitu... tuwekeeni na ile classical ya Mvano Simon
Hongera na barikiw sana
Magnifique 🌹🌹🌹🌹🌹❤️
Wimbo tamu sana Mashallah.
kinanda Moto sana. #shukran sana
Nimenalikiwa SNA na wimbo huu
Ni kweli
Hongereni sana...
Hongereni sana, nawasubiri bunju
Sweet song got it's addiction
Kweli ni kwa neema ya Mungu niko hivi nilivyo. Barikiweni tele
Imba daima tunawaombea mzidi kuinjilisha
Hongereni sana wanakwaya wa kwaya ya mt Sesilia kutoka makuburi kwa wimbo wenu mzuri hakika nimeburudika vya kutosha Mungu awabariki mpaka mshangae. Wenu from Kigoma.
Exquisite song,God continue to bless you guys abundantly.. listening from🇰🇪
Safi sana mt cecilia , Myonga upo vzr sna
Nzury ....tunasubir na daima na milele kama sio baraka za bwana
Nzuri sana Tamu mno mt.sesilia utuombee
Iko vzur saan
Honger xaan wapedw god blesses.
Baraka za Bwana wetu YESU KRISTO NA UPENDO WA MUNGU BABA viwe nanyi katika utume huu wa uimbaji
Asante sana barikiwa
AMEN NI KWA NEEMA YA MUNGU TU TUNAVYOHIZI
Amina sana. Bless you
Wimbo mzuri kabisa ni kwa neema ya Mungu tunaishi, asante sana kwa mtunzi na wanakwaya Mola awabariki siku zote.
Tumshukuru Mungu
Barikiwa
Wimbo tamu sana linaguza hisia ya yeyote yule,hongera waimbaji.
This far is God thanks my dear brother s and sisters be blessed great messege
Hongereni sana tumwimbie bwana
Katika roho na kweli
Brother organist Shikamoo, bless up.!!
Yes Nikwaneema2 mbarikiwe wapendwa Sauti zenu zpate mbali Mbele za Bwana wetu🙏🙏🙏
SIFA NA UTUKUFU TUNAMRUDISHIA MUNGU
Hongereni Sana wapendwa kwa kazi nzur sana. Mnagusa mioyo kwakwel. Nilikuwa naisubiria hii kaz kwa hamu sana
Mungu wangu umenitoa mbali, ni kwa neema yako nimekuwa jinsi nilivyo, hongera waimbaji
Asante barikiwa. Subscribe kwa ajili ya kupata nyimbo mpya mara zitokapo
Asante Mungu kwa kunitoa mbali na mpaka sasa Niko nilivyo hivi ni kwa neema
Mungu hawatie nguvu
Honereni sana wanamtakatifu secilia makuburi na mwalimu Ayub myonga
Barikiwa
I am very much more blessed with this song GOD BLESS YOU SENIOR TEACHER MYONGA
Hongerani sana
Wimbo mzuri sana
Barikiwa
Hongereni sana wana wa Mungu wa wimbo mzuri sana, mmeutendea haki. Nawapenda sana
Asante. Tunakupenda pia
Mungu awatangulie mfike mbali
Mumependeza
The climax is dope🥰🎶...nimetumwa leo kuhubiri injili,nimetumwa leo....eiiiish🥰🥰
Eiiish the climax is 🔥🔥
Ni kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo🙏🏾🙏🏾🙏🏾 proudly religious
Amin
Nawaelewa sana ndugu zangu,wimbo mzuri mno.humsogeza MUNGU karibu .amazing
Tumshukuru Mungu
Perfect song! it's indeed by God's grace. Blessings.
Mungu awabariki nipo kigoma
Akubariki pia kwa kututazama
Nimetumwa leo kuziganga jeraha, kuhuisha zilizo jeruhiwa....Nimetumwa leo kuwachunga kondoo walopotea niwarudishe zizini.... all the way from +254 being blessed with this song
Thanks for watching, God bless you!!
@@tricy2722 ßaQ was w
Hongereni sana wimbo una ujumbe mzuri.
Que Dieu vous bénisse abondamment, qu'il vous accorde une longue vie
Inapendeza
❤❤❤
nice song inanibariki sana
Thanks
Hakika ni kwa neema ya Mungu nimekuwa hivi nilivyo, waimbaji wetu mbarikiwe sana.
Amina sana. Ubarikiwe sana kwa kutuhamisha. Ni kwa Neema tu
Can't count times I've watched this song and still not getting enough of it. GREAT SONG!!!!!
Kazi njema jina la Mungu lipate sifa
mbarikiwe
@@michaelmatinya7179 asante sana Michael tuzidi kuombeana mkuu.kuna kazi ipo jokoni sooooon itakuwa on air
Wimbo mtamu kwa kwel,mbarikiwe
This song show how beautiful of traditional Catholic church with holy music! congratulation st . Cecilia choir
also they show some words from first letter of apostle Paul to Corinthian 🙏
Kweli ni kwa neema
Nikwaneema Ya Mungu nimekuwa Ivi nilivyo 🙏 you guys you make me cry 😭👌👌 Be blessed Watoto wa Mungu 🙏
Bless you
Amina, Tumshukuru Mungu
Wimbo mtamu
Mungu azidi kuinua kipaji chenu
amen ,neema za mungu zii juu yetu sote
Asante Janeth
Safi kabisa Mt. Sesilia, Sijawahi kujutia tangu nilipowafahamu ninyi watumishi.
Big up sana Fundi Myonga, kiukweli una vipaji vingi cyo kwa vibrator hiyo uliyowa-coach, kwenye upande wa organ ndo kabisa usiseme. Mungu akubariki sana Mwalimu nakukubali.
Bless you
Hongereni sana wimbo mtamu wa miito
Iko powa
Hongera sana mdogo angu Ayoub kwa utunzi mzuri. Credits to Holy Trinity also for a wonderful production.
Wimbo huu naupenda sanaa mbarikiwe nyote mlio