SAFARI YA UZIMA (Official video) kwaya ya Mt. Secilia Makuburi DSM na Mt. Mbaga Tuzinde Njombe
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Maisha yetu hapa duniani ni ya muda tu. Sote tupo kwenye safari ya uzima kuelekea mbinguni ambapo ndipo nyumbani kwetu.
Sote twajua pia kuwa Safari zote Zina Nauli... #Safari ya Uzima Ina Nauli Pia. Unaifahamu Nauli yake?? Unayo??. Karibu kutazama Wimbo ulioimbwa na Kwaya Mbili Kuijua Nauli ya Safari ya Uzima.
WIMBO: SAFARI YA UZIMA
WAIMBAJI: MT.SECILIA - MAKUBURI FT. MT. MBAGA TUZINDE - NJOMBE
MTUNZI: A. J. MYONGA
AUDIO & VIDEO: GLS
⚡⚡⚡ Good music
Good job my friends kazi iendelee
Hakika matendo mema Ndiyo Hazina yetu
Waaa,an amazing song.proud of Catholic
Aisee hongera, kazi nzuri sana
Wimbo umenibariki
Amaizing song💯💯
Kama waimbaji wote tungekuwa na muunganiko huu WA kushirikiana katika Kristo hakika katoliki tungekuwa mbali Sana ...nimeipenda Sana hii hakika umefanya Jambo la kumpendeza Mungu na wanadamu wenye uelewa katika tathnia hii ya uimbaji...hongeren Sana Kwa sauti nzur na production nzuri na uchangamfu kwel mmenibariki ,one day nitakuja kuwasalimu mbarikiwe Sana
Karibu sana
Karibu sana
My all time choir ❤❤❤👏👏👏
Huu wimbo ni mzuri hongereni Kwa Hilo, pia si jambo jepesi kwaya mbili kuungana na kutengeneza kitu kizuri kama hiki mnastahili pongezi za dhati kabisa, mwisho nimshukuru mwl myonga, uongozi WA kwaya na wanakwaya Kwa ujumla Kwa kazi kubwa mliyoifanya
Mambo yamepikika effectively na yakaiva heko kwenu👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Comment yangu fupi
Huu uimbaji ni standard za kimataifa kwakweli.
Hongera sana wa Secilia.
Nimemuona Bwana Msomi
Tunashukuru sana.. ubarikiwe mno 🙏
Very good message inatukumbusha kumkumbuka Mungu hongereni sana
Atimaye ime tufikia tusambaze upendo kwa watu wote
MUNGU awabariki kwa kazi yenu njema ya uinjilishaji.
I'm speechless...... Upeeeendo kwa watu wote
Inue macho yenu mkatazame Mbinguni yalipo makao yetu
Myonga and Secilia 🙌🙌🙌
Geogeours as always
May Almighty God bless and keep you safe
Nawapenda mno ❤️🤍
Nas tnakupenda pia♥️♥️
Karibu karibu safari ya uzima ipo live
🔥🔥🔥🔥tunashukuru kutukumbusha...kazi nzr sana
Kind of a big 🔥🔥🔥🔥🔥
Wooow wooow Tena kwaya yangu pendwa mmetisha matendo mema ndo nauli yetu ujumbe💪💪Mungu awabariki
Mmeimba vizuri Sana,
Mwenyezi Mungu azidi kuwaongezea maarifa mzidi kumtumikia yeye, Siku zote naipenda Sana hii Kwaya ya Mt. Cecilia na nitazidi kuipenda
Amina sana.. ubarikiwe mno na tunakupenda zaidi 🥰🙏
One love one love my Mt Cecilia kwaya 🥰🥰🥰
Nyie watu mnanibariki mno 💕💕💕 kazi nzuri sana Mungu awatunze hongereni sana hakika duniani tunapota ujumbe mzuri pia 😘😘😘
Huyo dada mwenye Miwani nampenda mno nabarikiwa naye 👏👏👏
Mungu ni mwema sana wimbo mzuriiiiiiii mnooooooo Colabo imenikumbusha wanangu wa njombe nimemuona tassy nimemuona sr lucy na luzo uhhh dah hongereni sana
Waooo,😇Mungu azidi kuwakweza zaidi wateule,
Mt.Sesilia nawakubali mnoo
🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana
Kazi nzuri ,,ujumbe Mzuri hakika Matendo yetu ndo nauli ya safari yetu💥💥💥
🔥🔥🔥🔥🔥
jamani nimesubiri wimbo huu kwa hamu Sana hatimaye umetoka kazi nzuri mungu awabariki kwa uinjirishaji na mwona na neida Safi sanaaaaaaa
Hakika matendo mema ni hazina yetu, wapendwa tujibidishe kuwa na matendo mema tungali bado hai, kwa maana hiyo ndiyo nauli yetu. Keep it up brethren
Nyimbo bora sana hongereni sana sesilia kwa kudumusha ubora wenu katika kumwimbia Bwana, Mungu azibariki san juhudi zenu
Ujumbe safi sana. Sauti tamu. Quality ya video yummy kifupi mmetisha 🔥🔥🔥🔥
Hakika hata mbinguni hizi sauti zitaeendelea kumsifu Mungu.
Nakosa neno,. Ila kazi nzuri Sana 🙏🙏
Asante sana 🙏🙏❤❤
Tusambaze upendo🔥🔥🔥 kazi nzuri mno
Shukrani sana 🙏 ubarikiwe mno
Wooow😍😍😍 hakika safari ya kufika huko ni ndefu na ya kuchosha, nauli yetu ni matendo yetu mema tu👏👏👏👏👏
Mpo good wapendwaaa!!!
Napenda kwaya hi....Mimi ni muimbaji pia....naimba sauti ya Kwanza na ya Tatu
Kazi nzuri🔥
Hongereni sana 👏👏
Matendo Mema ni nauli 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
WIMBO WANGU BORA TANGU MWAKA UUU UANZE🎶🎶🎶🎶🎶🎶
Hongera kwa Hilo😂😂😂😂
Wimbo mzuri... Hongereni sana
Nauli ya kufika mbinguni ni matendo mema.wooow! Mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ni 🔥🔥🔥sichoki kuiangalia hii video
Hongeren sana Cecilia's family
Wametisha sanaa
Nzuri sanaaaaa
Hongereni kwa Wimbo mzuri. Mungu azidi kuwaimarisha mzidi kuitangaza Injili ya Mungu kwa njia ya Nyimbo.
🔥🔥🔥🔥
Amina sana🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu atutie nguvu
Mmejua kunifurahisha ni fireeeeeeee respect
Kazi Nzuri Sana.
Hongereni kwa Wimbo wenye Ujumbe mzuri.
Dunia Hakika Tunapita
Maudhui ya wimbo tu🙌🙌🙌
🔥🔥🔥🔥🔥bonge la kazi
Waiting.....
Duniani tunapita si nyumbani yapo maisha mengine baada ya maisha haya 🔥🔥🔥🔥🔥
Naisubiri kwa hamu sana
Tunabarikiwa Sana na nyimbo zenu Mwenyezi Mungu awabariki Sana...
Hongereni Sana Waimbaji wa Mtakatifu Sesilia Makuburi....... Nawapenda Sana.....karibuni Kenya Katika Parokia ya Kristu Mfalme Jimbo la Kitale
+254 sambaza upendo
Tuko pamoja kiongozi
@@livinusgrenus2759 Safi Sana Livinus.... Nawapenda Sana
Hii inaitwa mziki mnene,👏🏼👏👏👏👏😘❣️
🔥🔥🔥🔥
Kabisa kabisa 😍😍😍sifa na utukufu ni kwa Mungu 🙏
Wimbo Ni Moto sanaa
Nimeisubiria sana hii kitu 🔥🥰
Hatimayeeee
Wimbo mzuri Sana, hongereni kwenu Wana Secilia
Congratz to all cecilia's family
Collabo makini sana ya mziki mtakatifu
Good job!!God be with you forever!!MY BR.A.J.MYONGA hongera kwa utunzi uliotukuka.
Hongeren sana nawapenda afu nawapenda tena ,safari ya uzima.
🔥🔥🔥🔥🔥
Waiting humbly
Nice song
Amen
Good music keep it burning 🔥
Collabo ya kwanza toka nchi hii ianze
😀😀
Ni Kali Sana hii nyimbo hakika inatuinnirisha vyema
Wow 🥰🥰🥰🥰
🔥🔥🔥🔥🔥🥰
Mt sesilia tunawakaribisha Sana jimboni bukoba
Sauti zimetulia kinanda ndio usiseme kucheza nako kumetulia. Hakika mmetutafakarisha na kutufanya tushibe kiroho na kubutudika pia
Pongenzi kwenu Mt.Sesilia Makuburi na Mt.Mbaga Tuzinde Njombe. Mambo ni 🔥🔥🔥
Inanikumbusha mlipokuwa Njombe kwenye Upendo Concert hasa yule alikuwa amevaa kengele miguuni ( Njuga )👏👏👏
Hahaha kumbe bado unakumbuka
🔥🔥🔥🔥🔥
@@livinusgrenus2759 Sana... ila kwenye hii sijamwona angalau sehemu ndogo tu 🤔🤔
Fantastic song
"Matendo mema azina yetu" nimependa mziki ni mzuri sana kwa kweli 🤩🤩🤩
Hauchoshi kuangalia
Amina kuu
Nmebarikiwa na hii collabo🙏🙏🙏
Woow hongeni mnoo😘, hakika ujumbe ni mzuri sanaa
Asante sanaaaaa Mbarikiwe hongera binam A. J. Myonga
Tuusambaze upendo, tuunukie upendo kwa watu wote
Daaaaaah nazidi kupamisi Makuburi,mmetisha haki vile
Mungu azidi kuwatia nguvu kwani mnainjilisha kwa njia ya uimbaji
Wow hongereni sana niliisubiria hii sana yanikumbusha safari yetu ya njombe
🔥🔥🔥🔥
Najivunia kuwa mkatoliki barikiweni sanasana
ujumbe mzuri sana........ Hongereni sana
Ninyi ni kielelezo cha ustadi na umoja, na ufanisi wenu katika kutoa burudani ni wa kuhamasisha. Asanteni kwa kutuwezesha kugusa mioyo yetu na kuleta furaha na utukufu kupitia sauti zenu. Nawapongeza kwa bidii yenu na nawatakia mafanikio zaidi katika safari yenu ya muziki. Hongereni tena kwa uimbaji mwema!
my favourite choir ❤❤❤ big work🙌👏👏👏👏
Hakika sisi tu wapitaji tujibidishe katika upendo ili tukidaiwa nauli tusihangaike. Bravo Mt Secilia Makuburi
Asanteni Sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi mlio tuletea yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu Amina
Mungu azidi kukubariki kpaji chenu
Inapendeza sana Huduma yenu. Mungu awabariki mkazidi kulitangaza neno lake
Ruxo, Tarsisius &Mass sanga kwa niaba ya wenzenu hongereni kwa kazi bora kabisa mbarikiwe Sana.
Wimbo mzuri sana. Hongereni sana Kwa uinjilishaji
Asante
Hongereni Sana kwa ujumbe mzuri mungu awabariki sana👏👏👏
Hii ngoma kali hongeren kwaya mt Sesilia makuburi kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwainua
Na mie niko tayali kupata SAFARi YA UZIMA