MWANAMKE TAIFA HAI (Official Video) -Kwaya ya Mt. Secilia Makuburi DSM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ค. 2022
- Nguvu ya mwanamke katika kanisa na Taifa lolote duniani haina mashaka, kwa kutambua nguvu na nafasi ya mwanamke, tunakuletea wimbo wenye kuzungumzia nafasi ya mwanamke katika jamii. #MwanamkeTaifaHai #JeshiKubwa #women
Wimbo: Mwanamke Taifa Hai
Waimbaji: Mt. Secilia-Makuburi
Mtunzi: A.J.Myonga
Studio: GLS Pro.
SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT AND SHARE - เพลง
Woyooooo woyoooo mnataka nipandishiwe bei ya umeme sio kwa sauti nlioweka wimbo mzuri mno nawapenda Sana
😂😂😂
asante sana twakupenda pia
Mwanamke Ni Chanzo Cha Malezi Bora katika Jamii na Familia.......Agaaaaaa Nyie watu
kweli kabisa
Nyimbo hizi ni kubwa sana, zinashindwa kufikia kanisa la dunia kwa sababu ya lugha.
Nyimbo kama hizi za kimkakati na hamasa watunzi wangekuwa wanaandaa maneno katika lugha kuu duniani kama ,KIINGEREZA, KIFARANSA KIJERUMANI NA HATA KIARABU,
Mwanakwaya anaimba Lugha yoyote akifundushwa kwa ustadi
Asante sana kwa maoni na ushauri huu. Tunaufanyia kazi 🙏🙏🙏
Hakika mwanamke ni jeshi kubwa🥰💪
Jeshi kubwa hongereni sana kwa wimbo mzuri uimbaji mzuri na utunzi mzuri pia
Hakika.
Mwanamke ni kitovu Cha uvumilivu 100% Asanteni kwaya ya Mt.Secilia kwa ujumbe mzuri
Bomba ya ngoma mmetisha kichizi my family 🔥🔥💪💪✊✊
Nawapenda jaman mje tena njombe🥺🥺🥺🥺🥺
Wimbo mzuri sana na waimbaji wameutendea haki Asanteni sana akina mama wa Mt Cecilia
asante sana
Mpo vizuri sana, hongera sana..
Nzuri mpaka baasii kongore kwenu kwa utume mzuri
Sifa na utukufu ni kwake yeye aliyetukuka aketie juu sanna
asante
Ahsante sana Kwaya ya Mt. Secilia Makuburi Kwa uinjilishaji.
👏👏 Mwanamke Taifa Hai kwelikweli hongera sana kwa mwalimu wetu A.J. Myonga Mungu awe pamoja nawe katika yote.
Nawapenda nyote katika Kristo.
🙏🙏🙏
shukrani pia
Much love from Kenya
Thanks a lot we're looking forward to come in Kenya 🇰🇪
We love you a lot #Kenya
Please help us to share with others
❤❤❤
Hongereni Sana kwaya ya Mt. Secilia kwa kutoa Elimu kubwa Sana kuhusu mwanamke.
Pia pongezi nyingi kwa Mtunzi Mungu amzidishie baraka tele katika maisha yake.
amina
Mwanamke Ni mwalimu,jeshi kubwa.
Mwanamke Ni Taifa hai.
Kongole kwa waimbaji
Mtunzi , organist Bila kuwasahau GLS🔥🔥🔥🔥🔥KMSM🔥🔥
naam
Nguvu ya mwanamke.. Asante sana Asante sana... Mt. Secilia🍷
Hongereni sana mt cesilia makuburi ...mwanamke ni jeshi kubwaa ...hongera sana kwa mwalimu j mnyonga umejua kupangilia nota hatari Mungu akutunze ..
Sauti ziko ziko vizuri atari
asante
Hongereni sana hakika mnatuburudisha asanteni sana
Nawaelewa sanaa yaani mbarikiwe 🙏🙏🙏🙏
amina
Hongereni sana👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 Mungu awabariki kwa wimbo mtamu! Hakika Mwanamke ni jeshi kubwa 💪
Asante sana. MWANAMKE NI TAIFA HAI
Hongereni mno mpo vyediii
Mwanamke ni Taifa hai, ni jeshi kubwaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌
Kazi kubwaa,,
Maana harisi ya mwanamke IPO humu. 🔥🔥
Kijodi nimemwonaaa 🥰🥰🥰🙌
Hongera akina mama..kwa sauti tamu
asante
🙏🙏🙏🙏mwanamke ni Taifa hai
Hongereni sana…..Mungu awabariki nyote🙏🏼
amina
It's Awesome work
Asante #women's Mt. Secilia kwaya ,,,Asante #Myonga kazii nzuuuurii mnoo heshima kwa mama zetu wooote 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💚💚💚
asante
Hongereni Sana Waimbaji wa Mtakatifu Sesilia Makuburi nawapenda Sana.... soprano na Alto wanasikika vizuri Sana..... Karibuni Kenya...muinjilishe huku
Naomba niwe wakala wenu huku Kenya
asante sana ndugu yetu
Hongeren kwa Kaz nzuri
🔥🔥🔥
Good 👍✍️
Great work
thanks
Kazi nzuri Sana kwakweli. Hongereni Sana TSJ members. Mt. Secilia.
asante sana
Kazi nzuri, hongera sana,
Mwanamke ni jeshi kubwa na Taifa hai
asante
Hongera sana kwa kazi nzuri
asante
Jamaniiii 🥰🥰
Ujumbe mzuri, mpangilio wa wimbo,ubora na usikivu wa sauti mzuri, ubora wa video,kinanda 🙌,nyuso nzuri kabisa za furaha 🥰.. Aisee Mungu mwenyewe Ajitwalie sifa na utukufu 🙏
Shukrani
Hakika ni Jeshi kubwa...
Amina
Amina sana
Mwanamke ni jeshi kubwa🙏
kabisa
Hongera kwa mtunzi pamoja na waimbaji pamoja na walioshiliki,kufanikisha kazi hii dhuri.
asante
Kazi nzurii Hongereni sana 😍😍😍😍🤗🤗🤗
asante
Great song wamama zetu
Wanawake tunawezaaaa
kabisa
Kazi nzuri sana... hakika ni JWTZ kubwa
asante mnoo
hii nyimbo ni kubwaaa sana Safi sana Nembo yetu #Myonga
Mungu ni mwema asante
🥰🥰🥰 mwanamke
Kaz nzri sana jmni, mungu awabari sana sana. Mwl myonga ongera mungu kakupendelea sana kutunga nyimbo tamu tamu na kupga pia
amina
Safi sana kwaya wimbo mzuri amakweli tz mulibalikiwa na mungu kwa kuimba
asante
Kazi Safi.
asante
Najivunia kuwa mwanamke
Wimbo ni mzuri sana,, mbarikiwe sana na mtunzi pia hongera zake.
ameen
Hongereni sana, barikiweni zaidi.
amen
Hongera Sana wimbo mzuri sana hongera wawata mungu awabariki kwa utume wetu mungu awabariki na familia zenu❤❤
Nyimbo sahii Kwa wakati sahii hongera Kwa myoga na Mt. Cecilia Kwa ujumla
asante
Mtunzi peponi mojakwamoja inakusubili
For sure mmeupiga mwingi hongereni sana wawata
asante
Mwanamke ni chanzo cha aman
naam
Nimeupenda wimbo na actions za video safi sana..Good job👏👏👏
🙏🙏🙏🙏💯❤️
Hiyi Nyimbo inafurahisha sana,Mwanamke anaweza kila kitu
Hongereni sana kwa utume wenu wimbo mzuri na unatufundisha mnooo
Wimbo mzuri....Wanawake ni taifa
Kazi safi kabisaa... Heko
asante
Kama wewe ni "Jeshi kubwa" kunywa kinywaji cha chaguo lako kujipongeza kwa miaka 50 ya jubilei ya wawata...😊
ndio ndio
Karibuni tunywe wote kujipongeza 50
👌👏👏👏👏👏👏👏❣️
❤❤❤
Wimbo mzuri sana, Hongera wanakwaya wote
asante sana
Mt sesilia makuburi hakika nyimb nzenu nzur san ,composer asante kwa utunz wako
asante mnoo
Kazi nzuri sanaaaaaa,Mbarikiwe mpaka mshangae
Hongereni sana na asanteni kwa wimbo mzuri wenye fundisho kubwa❤
TUMSHUKURU MUNGU
Nice sms. Just only that; video.....................
Show an advice a good shooter.
thanks
Safi sanaaaaaa dears
asante
👏👏🙌🙌🙌pongezi TZ
Kaz nzuri,, mafundi,,, Mungu awabariki....
Dada lucia na kaka Myonga nawasalimu
amina
Asante sana mdogo wangu kipenzi
Naupenda saaana.naskizia nikiwa KENYA.
Hongereni sana Akina mama kwa moyo wenu kwa kujali familia kweli ni Jeshi.
kubwa.
This is amazing . You are such a great choir. You don't disappoint.
Nangojea Sana jina la Bwana
On the way to come stay tuned
thanks
Asant Mungu kwa kuniumba mwanamke tutunze daima
Mt Secilia mambo ni moto
shukrani
Hongera sana wawata
Hongereni kwa utume mwema
Hongereni kuwakumbusha umuhimu wa mama
asante
Hongereni sana wapendwa
asante sana
Good work, nice praises song
thanks
Hongera sana...
Naweza pata nakala ya uu wimbo tafadhari
Mi ni jeshi kubwa
Cheze Wawata wewe
Hongereni sana kwa utume meseji sent
wawa ni jeshi kubwa
Good byiza cyane mutagatifu kizito
Amina sanaaa🙏🙏🙏🙏
A very nice song. Enjoying it from Kenya.
Good sounds.
Nice song naipenda
English Verses over needed
❤❤
It's such a very good song that really educates. Wimbo mzuri sana uko na funzo nzuri ya kijinsia
Nyc1
Wow that's beautiful
thanks a lot
It is a beautiful song.
It is a lovely song.
It is a truthful song.
The instruments are very well played.
The choir members love what they are doing and really enjoy it.
Thank you very much for this production.
thanks
Hongereni dada zangu kwa kazi njema.kila wakati uwa naskia wimbo huu,uwa inanisisimua tu sana.
Good job
thanks
Beautiful womans❤🎉😮