Jamni naumwa sana niliumia kiuno nipo kitandn wiki ya pili nimekata ata tamaa ya kurud shule lakin nilipsikia huu wimbo nikapata nguvu mpya kabisa na ujasiri mbarikiwe na bwana jmn
Really also love you as you are a legend in the makuburi family.Great fan from Christ the King parish in kangemi ( Kenya) remember to visit us whenever you come to Kenya
Bonge la nyimboo😄😍😍 mbarikiwe saaana pamoja na hii studio video mmeitendea haki👏🙌. Lakini bado najiuliza🤔🤔 hivi zile dislike ni kwamba wimbo mbaya, video mbaya au mtu bac tu maana wimbo huo umetulia lkn bado nakuta dislike😂😂😂
Hakika kila mwenye pumzi na amsifu Mungu -Zaburi 150:6.. Hongereni sana wanakwanya wote, walimu wote bila kuwasahau IRIS kwa production nzuri hakika Mungu awabariki sana. Mwl. Muyonga big up sana.
Wimbo huu Umenibariki sana!!, Napata Amani sana kila niusikilizapo, Barikiweni sana Watunzi na Waimbaji wote. Mungu ni Mwema! Kweli Hatokuacha ukimtumainia🙏
Wandugu asanteni kwa nyimbo nzuri sana na tumebarikiqa sana, Ila ndugu zangu twendeni na wakati pia angalieni namna ya kuweka nyimbo zetu kwenye platforms za kimataifa mfano iTunes, Tidal or Spotify vyote vyawezekana na ndio njia nyingine ya kuongeza kipato.. natarajia kuwaona huko soon 🙏🙏
Waooooo!! Wimbo mtamu sana, umetulia, waimbaji wameutendea haki. Binafsi unanibariki sana huu wimbo. Hongereni sana wanakwaya na waalimu wenu wote. Thawabu yenu ni kubwa mbinguni
Wow! Asnte sana bro Barnaba kwa ku share nami , hakika nmebarikiea sana, wimbo mzur, ujumbe maridhawa, mmechangamka Sifa na utukufu kwa Mungu wetu Mbarikiwe watumishi
Nafarijika saana popote hata nikiwa kazini, njiani na popote nikiwa nasikiliza hii Nyimbo na mm pia ni mwimbaji Kwaya ya Mt, Bakita Kigango cha Kamuli jimbo Katoliki Kayangu. Barikiwa saaan.
Tembea nami, mapito yangu, uwe nami lopote niendako, nakutegemea, nikiwa nawe nipo salama, niende kwa nani bwana ....wale tunabariwa na huu wimbo wakati huu September 2024 thumb up
Jamni naumwa sana niliumia kiuno nipo kitandn wiki ya pili nimekata ata tamaa ya kurud shule lakin nilipsikia huu wimbo nikapata nguvu mpya kabisa na ujasiri mbarikiwe na bwana jmn
Pole sana Mkristu . Mungu na akuponye 🙌🙏🙏
Pole sana Na Mungu awe nawe katika Mapito yako.
Keep faith and trust in the Lord. You will be healed 🙏🙏
Mungu akuponye hakuna kinachoshindikana kwake
Omba kwa Imani. Mungu yupo. Hashindwi jambo na hamtupi mtu
Barikiwa kwa uinjilishaji kupitia wimbo
Saaaf sana
Kaz nzuri brodah Gerald🔥🔥🔥
Nimefarijiga aki 🤗
Hongereni kwa kazi nzuri. Yaan kila wakati unatamani kuusikiliza
God Bless you all
Pongezi, am blessed and encouraged to walk the life of life with faith in christ. God bless.
I feel blessed too.
God Bless You abundantly
Aseeeee huu wimbo unaeza enda ombea mkopo mkomboz Benki ni mtamu saaaaaana guys congrats
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Kweli kabisa 💯
😂😂😂😂😂😂😂
Hakika nawajivunia M/Heri Anwarite
Kazi nzuri upeo, hongera iRis , pongezi mwl Muyonga..
Mungu atukuzwe
Kak napenda fani yako san en napend san jinc ulivo kwa Neema yamungu akuzidishie kipaji
Zakaria naomba namba yako ya mpesa nifanye jambo
Really also love you as you are a legend in the makuburi family.Great fan from Christ the King parish in kangemi ( Kenya) remember to visit us whenever you come to Kenya
nimeiskiliza tangu saa 4 asubuhi had wakati huu na naitaendelea kuiskiliza tu. Inanibariki sana Hongereni sana kwa kazi nzuri
😂😂😂😂😂
@@anataliangalowoka3906 to
@anataliangalowoka3906 to
P@@anataliangalowoka3906
@@anataliangalowoka3906hiyo Haina mpizani,mnajiamini .mmetia fola .
Mungu awatunze
I was waiting for this ongeeren San Iris Pro Studio mtabaki kuwa juuuu kichupa kikali ndg zng Zab 150 :6
Hongera kwa mtunzi,waimbaji ila kwa hii Video My Brother Gerald umeua sana kwa Script moja Kali na shots zilizoenda shule
Bonge la nyimboo😄😍😍 mbarikiwe saaana pamoja na hii studio video mmeitendea haki👏🙌. Lakini bado najiuliza🤔🤔 hivi zile dislike ni kwamba wimbo mbaya, video mbaya au mtu bac tu maana wimbo huo umetulia lkn bado nakuta dislike😂😂😂
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hongera kwenu wana Anuarite kwakazi nzuri Mungu awaongoze muendelee kumtumikia kwanjia ya kuimba katika roho na kwel nawapenda nani nawakimbuka sana
Mungu awalinde na awatangulie kwenye utume wenu
Hakika kila mwenye pumzi na amsifu Mungu -Zaburi 150:6..
Hongereni sana wanakwanya wote, walimu wote bila kuwasahau IRIS kwa production nzuri hakika Mungu awabariki sana.
Mwl. Muyonga big up sana.
Wimbo huu Umenibariki sana!!, Napata Amani sana kila niusikilizapo, Barikiweni sana Watunzi na Waimbaji wote. Mungu ni Mwema! Kweli Hatokuacha ukimtumainia🙏
Sichoki kuutazama kila nikiwa na mb zangu za jero
Mungu Akuzidishie
Motooo sana Hii
Kazi nzuri
Hakika Mungu atukuzwe.Hizo sauti zimepangiliwa sawasawa,video ipo safi,utunzi mzuri sana.Hongereni nyote.
Muziki Mtakatifu 🔥🎤
Hongereni Sana kwa wimbo mzuri umenibark kwa kweli mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri
Kali kuliko kali
A J Myonga 👏, kwaya ya mwenye heri anuarite 🔥kazi nzury mbalikiwe🙏
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Wimbo konki
Yatoshaaaaaaa,,, nguvu ya mazungumzo duuuuuh
Hongeraaaaa sanaaaaaa ,,anuarite wimboo mzuri sanaaaaaaa
Nice bottle
Napenda sana huu wimbo nikiusikiliza naona kama shida zote za hapa duniani zimeisha Mungu awabariki sana
Kubwa sana hii! Kongole nyingi kwenu MwenyeHeri Anuarite Kwaya😍😍😍😍
Hongera kwako mdogo wangu,naona viwango vyako vya juu hapa.
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
HONGERA SANA NAWE KWA KIBAO KITAMU KAMA KAWAIDA YAKO HUJAWAHI KUACHA KUWATAFAKARISHA WATU KWA NYIMBO ZAKO.
Iris production Hongereni wakuu kazi tamu 🙌🙌l💥💥
Kongole Anuarite choir
Hongeren saana kwaya yangu ya zaman kwa kaz nzur sana hiyo
Kazi nzuri mno,hongereni kwa utume. Mungu awabariki washiriki wote🙏
Tumshukuru Mungu.
Mbarikkwee sana
Mwenye heri Anuarite choir! Hongera kwa kazi nzuri iliyokwenda shulee!!! Mungu azidi kuonekana zaidi!
Hakika nikiwa na wewe nipo salama . MWENYEZI MUNGU awabariki .Sana.
Studio naomba namba zenu
0658001112 karibu Sana
Wandugu asanteni kwa nyimbo nzuri sana na tumebarikiqa sana, Ila ndugu zangu twendeni na wakati pia angalieni namna ya kuweka nyimbo zetu kwenye platforms za kimataifa mfano iTunes, Tidal or Spotify vyote vyawezekana na ndio njia nyingine ya kuongeza kipato.. natarajia kuwaona huko soon 🙏🙏
Hakika Tunafanya namna
Litakuwa jambo jema sana na la Baraka sana. Pia itasaidia Kwaya zetu na wahusika wote kupata vipato kupitia muziki huu wa Mungu
Mungu ni mwema sana, naomba nikumbushie tuu
Waooooo!! Wimbo mtamu sana, umetulia, waimbaji wameutendea haki. Binafsi unanibariki sana huu wimbo. Hongereni sana wanakwaya na waalimu wenu wote. Thawabu yenu ni kubwa mbinguni
waooo
Hii kwa ya Mwenye Heri Anuarite huwa napata faraj sana na furaha co kwa sauti hzo jaman duuuu .Mungu awatunze
Amen, Mungu ni mwema
Safi sana wimbo mzuri sana
Hakika kasongi kametulia
Hakika Mungu nimwema cz viewers wanavyopanda kwa masaa 22. 1.6KVIWERS
Nipo bank hapa naomba mkopo kupitia udhamin wa nyimbo hii
Hahahahha tunaamini utapata
Hahaha! The song is really more Worthy
Wimbo mtamu unakufanya usahau kama kuna changamoto ktk Maisha!! Mbarikiwe mnooo wana Anuarite pia pongezi kwa mtunzi Mr Myonga
Jamani mtunzi ninani
Hongereni sana Mwenge Heri Anwarite, kazi nzuri sana. Atukuzwe Mungu
Wow! Asnte sana bro Barnaba kwa ku share nami , hakika nmebarikiea sana, wimbo mzur, ujumbe maridhawa, mmechangamka
Sifa na utukufu kwa Mungu wetu
Mbarikiwe watumishi
Nafarijika saana popote hata nikiwa kazini, njiani na popote nikiwa nasikiliza hii Nyimbo na mm pia ni mwimbaji Kwaya ya Mt, Bakita Kigango cha Kamuli jimbo Katoliki Kayangu. Barikiwa saaan.
Endelea kubarikiwa Mtumishi AMEN
Asanteni sana
Good
Hakika Mungu ametutendea makuu!!Hongera saana Mwenye heri Anuarite Kwaya kwa kazi nzuuuri sana!!
Nikiwa nawe niko Salama
Nimependa ubunifu.hongereni mno
Kazi nzuriii iris pro
Mbarikiwe hivi ndivyo mlivyokuwa mnatakiwa fanya.kwa kipindi kilefu mmekuwa mkishoot but kazi hazionekani
MMEIMBA vzr
Audio studio gani
Video studio gani
OGANIST nanii
Audio Holy Trinity Studios
Video Studio iRis Pro
Organist:AJ Myonga na Fridolinus Mushobozi
Hongereni sana kwaya ya Mwenye Heri Anuarite-Makuburi kwa wimbo mzuri! Asanteni kwa kuinjilisha vema
Hakika wema na fadhili za Bwana zitanifuata.
haki napenda kujua hii kwaya iko wapi ,mungu awabariki sana
Safi sana.Mungu awabariki
Kazi nzuri sanaaa
Hongera kwa mrunzi na wanakwaya wa Mwenyeheri Anuarite kwa kututafakarisha vyemaaa
👏👏👏👏👏💕
The song is very comforting I feel so good and peaceful. I repeat it every day.
Tukiwq na Mungu hakuna anae weza tuzingua kazi nzur sana
Love the voices ,strong ,Bwana tembea nami
Woooow....So amazing!! Kitu konki sana hii. Nimewaelewa Anuarite, nimewaelewa Studio iRis Pro. Big up sana
Tunashukuru sana
Tunashukuru sana
Kazi nzuriii studio Iris
Waooooh...hakika mbarikiwe mnooooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Wooh hongereni kwaya ya Mt Anuarite wimbo mzuri
Superb
Kazi nzuri sana hii🔥🔥🔥
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Hakika Mungu ni mwema sanaaa
Karibuni mtuunge mkono
Nice melodies good product
Hongereni sana
Mungu azidi kuwatumia kufikisha injili yake kwa watu. Mbarikiwe sana nyote (mtunzi, producers, organists, and all who made this work to be seen)
Hakika Tembea nami popote niendapo!
Nimebarikiwa mno hongereni sanaaa🙏
Safiii
TUPIENI WIMBO MWINGINE TUONEE
Usijali mkuu tutaweka tu
Nawakubali sana Anuarite kazi nzuri comrade Myonga
Hongereni sana
Kazi nzuri
Kazi nzuriii iris pro
Aisee! Wimbo umejaa upako. MUNGU azidi kuwapa mafunuo muendee kutuinjilisha Kwa nyimbo nzuri kama hii. MUNGU awabariki sana
Asante, karibu
Asanten sana Tena sana kwani Mimi nimebalikiwa sana kupitia nyimbo hii
Jmaniiiiiiii kwa utamu huu mpaka na sahau kama kuna kufa hongereni sana jamaniii naludia mara kurudia lakin haikoi
Hongereni sana Mungu azidi kuwainua kwa viwango vya juu
Nyimbo inanifariji Sana ninapoisikiliza
Safi sana. Wimbo mzuri, waimbaji mmeutendea haki.
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Asante sana Sana Mungu Akubariki
@@sundayssmile2128 very very nice song god bless you
Tembea nami, mapito yangu, uwe nami lopote niendako, nakutegemea, nikiwa nawe nipo salama, niende kwa nani bwana ....wale tunabariwa na huu wimbo wakati huu September 2024 thumb up
Waoooooo.... amazing bonge la wimbo hongereeni sana Nimewamc sanaaaaaaaa
Mpendwa karibu kutazama Muziki huu Mtakatifu pia bila kusahau kusubscribe th-cam.com/video/UWbuppK_p78/w-d-xo.html
Mungu abariki sana.
Kweli mungu naomba tembea nami
Hongera sana sana
Tembea nami katika mapito yangu
Big up, Big up! A. J. MYONGA, Composer na Organist usiyevuma Ila Umooo!! Well done Mhadzave!
Hahahaha!! Dada Suzanna!!! Mungu ni mwema!!
Hongereni sana nyimbo nzuri sana inanibariki mnoo nitajiunga nanyi siku moja tuimbe sote.
hongeraaa kwenuu.. Mungu awabariki
Nawapenda.mnoooo
Nabarikiwa sana na wimbo huu
Asante kwa kuinua roho za watu kwa kuimba. Listening the song 2024. Thanks indeed to our Almighty time to time.
Nmefarijika sana
Mungu azidi kuwapa nguvu ya kumtumikia yye na kuinjilisha neno lake
Tunashukuru sana
Iris 👏👏👏
I love everything in this video. Well done. Audio arrangement standard. Congratulations sound engineers.
Ahsante sana. Nashukuru kwa ufafanuzi mzuri. Ubarikiwe sana.
Hakika tumwimbie Bwana katika roho na kweli!!
Endeleen kutunza waalimu msiwe Kama wengine
Big up san mbarikiwe
Duh.... safi sana, nyimbo nzuri sana.
Good work
Kazi nzuri Sana hii barikiwa Sana kaka Myonga A. J
amen amen amen
i feel blessed with this song🤗
My favourite. I have to listen daily😊