Bora Adui Shetani Kama adui Kiumbe Fatma Issa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Old is Gold Taarab Zanzibar

ความคิดเห็น • 186

  • @hassankitwango487
    @hassankitwango487 2 หลายเดือนก่อน +7

    Tunaosikiliza 2024/07/17 Tujuane hapa💪✊💯🔥

  • @MohammedAmour-f7p
    @MohammedAmour-f7p 15 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama anatisha

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 11 หลายเดือนก่อน +4

    Mda wa chuoni ukipita njiani lazma uiskie hiyo kusklza unataka na bakora chuoni zinakungoja sa8

  • @hmsrashd7910
    @hmsrashd7910 ปีที่แล้ว +13

    Enzi za utoto: tukiimba Kama burudani
    Ukubwani: ndio tunaelewa maana

  • @saadamabdulnasrijamal2483
    @saadamabdulnasrijamal2483 ปีที่แล้ว +2

    Yaani hichi kitu kilikua kinapgwa kweny sala. Sport club saa mbili asbh na saa nane mchane kweny taarabu ya sauti ya tanzania zanzbr miaka 99/2000

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 2 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ndio wasanii sio tarabu zeni makwapa njee mikorogo mlokosa haya jifunzeni kwa wenzenu mnaijua tarabu njie nani alokupeni kibali cha kuimba tarabu mmeharibu tarabu yetu nyie kaziyenu kibao kata

  • @muadhally5803
    @muadhally5803 3 ปีที่แล้ว +12

    2021 gonga like 😛

  • @seifmohd3901
    @seifmohd3901 5 หลายเดือนก่อน +4

    Nilipokuw mtoto kiukwel nilizichukia sana hiz nymbo taarab ila akil yngu ilkuw ndog baad ya kusikilza ujumbe wa hz old taarab kwa kwel ndio zimekuw zinaniliwaz Allah awafanyie wepes katk kila hali kwa kwel ujumbe ni mzito sana

  • @hamisially34
    @hamisially34 ปีที่แล้ว +6

    Yani siichoki kuisikilza hii nyimbo jinsi nilivyo zungukwa na Madui viumbe

  • @abuumsuyq7033
    @abuumsuyq7033 5 ปีที่แล้ว +16

    Yaan mashairi matam zanzibar kunawaimbaji wazurisana sautinjema sana pia mapigo yahizo dufu

    • @abassseif143
      @abassseif143 3 ปีที่แล้ว

      Tupo sawa 🤣🤣🤣

  • @Pollanese16
    @Pollanese16 11 หลายเดือนก่อน +6

    I am so tickled. I have fallen in love with this genre. This is my JAM! I grew up in a small town in the US. I had no idea such a beautiful genre exists. This song right here, I know this is a classic bop and I am not even from there but this vibe makes me feel something special.

  • @jonathansima5322
    @jonathansima5322 7 ปีที่แล้ว +17

    Mungu akupe maisha marefu mama inshaallah.........kheri adui shetani kuliko adui kiumbe wallah naielewa hii nyimbo htr

  • @inversedelcruise676
    @inversedelcruise676 3 ปีที่แล้ว +15

    Mwisho Wa mwaka 2020 dec 25 leo, kama upo like

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว +5

    Ni kweli kabisa hawana tofauti hasidi na fisadi ni kheri adui shwetani kuliko adui kiumbe

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni kweli kabisa hawana tofauti hasidi na fisadi ni kheri adui shwetani kuliko adui kiumbe

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว +15

    Hii nyimbo nikiisikia nakumbuka enzi zile za kwenda chuoni inapigwa kwenye kipndi cha burudani na sauti ya Zanzibar ama sivyo

    • @saidhamad7504
      @saidhamad7504 2 ปีที่แล้ว

      100%

    • @saidbahanuzi
      @saidbahanuzi ปีที่แล้ว +1

      100

    • @saidali-hx4bk
      @saidali-hx4bk ปีที่แล้ว +1

      Siku hizi inaitwa ZBC Radio zama hizo ikiitwa sauti ya Tanzania Zanzibar

    • @mulhatomar6953
      @mulhatomar6953 ปีที่แล้ว +1

      Yaan mm na ww mawazo sw enzi izo ukiisikia 2 wimbo huu ujuwe muda wa chuon tyr da 😋 zaman raha kwakwel

    • @rashidsaid1092
      @rashidsaid1092 11 หลายเดือนก่อน +1

      Upo sahihi ukisikia hiyo unajua mda wa chuoni tyr

  • @pandupandu-wv3hi
    @pandupandu-wv3hi ปีที่แล้ว +4

    Heri adui shetani...km adui kiumbe...akhera kwenda....hesabu..maneno grade A...

  • @mwigaali9780
    @mwigaali9780 5 ปีที่แล้ว +14

    Bora adui shetani utamwita nakumpa kitakacho nakwenda zake ila adui kiumbe? Utaimaliza dunia na pembe zake

    • @allyzezefu7949
      @allyzezefu7949 3 ปีที่แล้ว

      Bora adui shetani kiumbe hatari anataka akutangulize

  • @hajikhatibhaji7162
    @hajikhatibhaji7162 7 ปีที่แล้ว +15

    NI MANENO YA UKWELI MATUPU

    • @abassseif143
      @abassseif143 3 ปีที่แล้ว

      Lisemwalo lipo kama halipo ujue laja huyu ndio adui 💆

  • @ivanshayo1640
    @ivanshayo1640 6 ปีที่แล้ว +14

    NI BONGE LA NYIMBO NAIPENDA SANAAAAA

  • @husnahussein6785
    @husnahussein6785 6 ปีที่แล้ว +14

    Warereeeee ! Waaaaaah ! Mashairi Mazuri sana... Na Sauti Maashallah keep it up !!!

  • @Amina-zs5gf
    @Amina-zs5gf ปีที่แล้ว +4

    Haitachuja Wala ikae ichuje
    Gonga like👍
    From 2023 August 20

  • @jumamkwelengala5922
    @jumamkwelengala5922 6 ปีที่แล้ว +19

    Hiyo ni kwaniaba ya watu wenye roho mbaya wenyewe wanajijua

    • @sakinaabdallah7713
      @sakinaabdallah7713 ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli kabisa duniani ni Mapito but akhera ndio kwetu kwa hivyo wataishi n'a hizo adhabu za . Mungu kwa yote waliyatendea wenzao🙏🙏🙏

  • @salumgiriki4779
    @salumgiriki4779 4 ปีที่แล้ว +16

    dah hii nyimbo naipenda mno nakumbuka kipindi hicho mida ya saa nane nikienda madrassa dah welldown mama fatma issa

    • @AmCool_
      @AmCool_ 4 ปีที่แล้ว +1

      Hahaha na ukiisikia tu popote pale unajua mida imefika hahaha mule muleeeeee

    • @sleymohamed3825
      @sleymohamed3825 3 ปีที่แล้ว

      hhahaaa kweli bana

    • @abassseif143
      @abassseif143 3 ปีที่แล้ว +1

      Vyakale ni dhahabu ata na mimi nimeliona ilo

    • @ShaniLogic
      @ShaniLogic 8 หลายเดือนก่อน

      @salumgiriki4779 hivi tulikua tunaishi mtaa mmoja nini maana namimi naikumbuka kwa hivyo hivyo pamoja na ile ya Asia alkindy😂😂😂

    • @OmanOman-bm1lr
      @OmanOman-bm1lr 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa mida hiyo mama kashamaliza kunisuka nshalala naamshwaa haya chuoni sasa😂😂

  • @ahmedkondohero
    @ahmedkondohero 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mm ilikua zikipigw tu najua mida ya kula tayr 🤣 daah tuntok mbali

  • @snashiralmuaqly598
    @snashiralmuaqly598 2 ปีที่แล้ว +7

    Yaani mimi nikiicikia nyimbo hiiii nakumbuka wachawi walivo yatia mafuta ya taaa maisha yangu

    • @saidali-hx4bk
      @saidali-hx4bk ปีที่แล้ว +1

      Mi pia nakumbuka mbali nikiskia wimbo huu

    • @udizungwahimalaya5213
      @udizungwahimalaya5213 ปีที่แล้ว

      😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @ahmadisaid9304
    @ahmadisaid9304 2 ปีที่แล้ว +2

    Ama kweli zanzibar ni zawadi kutoka kwa mola kiufupi tunajua kweli na huyu dada hana mbaya na hana utovu wa adui kama mond

  • @sultanhamad4924
    @sultanhamad4924 3 ปีที่แล้ว +5

    Mwema rafiki hanae

  • @latb2747
    @latb2747 6 ปีที่แล้ว +8

    snt kheri adui shetan km adui kiumbe

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu Mama anastahiki tunzo ya uwimbaji bora kwa upande wa taarab maana hatokei kama yeye kwa upande wa taarab kabisa yaani kwa ninayosema

    • @snashiralmuaqly598
      @snashiralmuaqly598 2 ปีที่แล้ว

      Ni kweli mana hii yimbo ina ujumbe mzuri sana

  • @innemussa1828
    @innemussa1828 6 ปีที่แล้ว +11

    ahsant bint issa,mashaallah!!! mashairi murua!!!! adui kiumbe! daima asikusifu!!! hata kuchoka hachoki!! hata km kitu huna!!!!!

    • @tunnaika
      @tunnaika 6 ปีที่แล้ว +1

      Wallahiiiiiii

    • @hassanmkwama9900
      @hassanmkwama9900 5 ปีที่แล้ว +1

      Alaaaa Mwambie mmakonde

  • @captainabdul4906
    @captainabdul4906 4 ปีที่แล้ว +7

    2020

  • @snashiralmuaqly598
    @snashiralmuaqly598 2 ปีที่แล้ว +5

    hiiiii ngoma hata ikae miaka 100 bac bac bado itakuwa juu

    • @MohdAli-cg6ds
      @MohdAli-cg6ds 4 หลายเดือนก่อน

      Kabisakabisa

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis3884 3 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah raha jaman raha kusikiliza huchoki waishia kurudia irudia tu

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud หลายเดือนก่อน +1

    Kheir adui shetani utamwita kichwani atataja jina nakusema akitakacho na kwenda zake alikotokea ila adui kiumbe!?!? Utajuta kuzaliwa kila ukipata maumivu Yy ndo anazidisha moto

  • @SwaumuJaphary
    @SwaumuJaphary หลายเดือนก่อน +1

    Naangalia Leo taarabu pendwa 15/8/2024❤❤❤

  • @cutezyzaaa1407
    @cutezyzaaa1407 6 ปีที่แล้ว +11

    kweny mnanda me ndo namalizika😍😍😍😍

    • @ivanshayo1640
      @ivanshayo1640 6 ปีที่แล้ว +1

      umeona heeee yan hatar sanaaaa uchoki kusikiliza jaman

    • @abassseif143
      @abassseif143 3 ปีที่แล้ว

      Upo saw

  • @fatmaabdulqadir1772
    @fatmaabdulqadir1772 6 ปีที่แล้ว +13

    nampenda Fatma issa anajua kuimba

    • @mohamedsuleiman7215
      @mohamedsuleiman7215 3 ปีที่แล้ว +1

      hujanishinda mimi...yani huyu mama wallah kama ningelikuwepo enzi zake ningemuoa habibt wangu kipenda roho.

    • @Mumewangu
      @Mumewangu ปีที่แล้ว

      @@mohamedsuleiman7215 mie kama namjuwa anapoishi ivyo ivyo kazeeka namuowa tu

  • @Dekingalba
    @Dekingalba หลายเดือนก่อน +1

    Yako mengi ya lazima ya thawabu jichumie mja kesho yakusaidie

  • @AllyNjimbo
    @AllyNjimbo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ww fatma issa hauna mpinzani kwa kuomba na sauti nyororo yenye kuvutia hii nyimbo inanikumbusha mbali sn jins maadui walivokatisha ndito zangu walidiriki mpk kunilisha chura usingizini dah nilipata jabu sn kujitibu mpk kupona nilikaa kitandani si chini ya miezi 2 nakunywa maji tu na uji nikila kitu kinatoka inauma sn aduikiumbe hatari sn

  • @SurprisedBurrito-pw4wt
    @SurprisedBurrito-pw4wt 9 หลายเดือนก่อน +1

    Enzi zimepita binadamu nikiumbe hatali

  • @AllyNjimbo
    @AllyNjimbo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilikuwa ikifika saa 8 naelekea chuoni nikisikia huu wimbo ninasimama mpk umalize nikfika fimbo zinaniaubiri kwa kuchelewa bby fatma iss ninkukubali

  • @cutezyzaaa1407
    @cutezyzaaa1407 6 ปีที่แล้ว +9

    hehehhe

  • @Drlove164
    @Drlove164 7 ปีที่แล้ว +15

    Nilipokuaa mdogo kdgo nikisikiaa nyiinbo zaake niliwahi kumwambia baba akaniposeee huuyuu nilimpeendaa sanaa mashair yaake na maneno mazuur sanaa , Mungu akupe kipaaj had pepon,

  • @abdulrahmanhassan9374
    @abdulrahmanhassan9374 2 ปีที่แล้ว +5

    Hi nyimbo nakupenda toka niko mdogo

  • @ameirsalmini6253
    @ameirsalmini6253 3 ปีที่แล้ว +5

    Ilove Zanzibar from kp

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mama kabarikiwa nasauti walai yani watamani umsikize

  • @misterferuzi3873
    @misterferuzi3873 3 ปีที่แล้ว +5

    Adui kumbe 2021 tujuane

  • @thuaibaally6921
    @thuaibaally6921 4 ปีที่แล้ว +5

    ah yani hii nyimbo bibi ang anaipenda ananimalizia mb zang kila sku jamani lkn nzuriiiii mpaka bibi anaipenda mashaalah

    • @snashiralmuaqly598
      @snashiralmuaqly598 2 ปีที่แล้ว

      haaaaahaaaaaaaaa hichi kitu co mchevo voooo thuwaiba

  • @mouhamadbakri8655
    @mouhamadbakri8655 7 ปีที่แล้ว +11

    mungu akubariki mamangu

  • @aishaali1467
    @aishaali1467 4 ปีที่แล้ว +6

    🥰🥰

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 ปีที่แล้ว +6

    Adui kiumbe!! 👌👌👊👊

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 4 ปีที่แล้ว +5

    Hakikaaaaa.jamaniii.yakale dhahabu sn

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 ปีที่แล้ว +3

    Tena dada heri adui shetani kuliko adui kiumbe but malipo ni duniani akhera huenda hisabu saddaqta mwahhhhh🙏🙏🙏🙏

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 4 ปีที่แล้ว +6

    Legend

  • @saidbahanuzi
    @saidbahanuzi ปีที่แล้ว +2

    02/02/2023 like

  • @saidali-hx4bk
    @saidali-hx4bk ปีที่แล้ว +1

    Mate chini nnatema....tunusuru ya jalia nahisi Tabia mbaya..

  • @AliMsellem-pe3ms
    @AliMsellem-pe3ms หลายเดือนก่อน +1

    Nazikubalia sana kwakweli zamani walikuwa wanaimba kweli

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 ปีที่แล้ว +1

    Japo mwenyewe chako kakubariki wabudyyyyy watakiendea mbio hadi lao litimie huyo ndie aduiiiiiiii kiumbeeeeee

  • @HalimaAhmed-l4n
    @HalimaAhmed-l4n 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha kuna watu wanaumia sana nikiweka hii nyimbo yaani

  • @AhmedYussuf-nb4du
    @AhmedYussuf-nb4du 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanini na si wazanzibar tukaeka play graund song kama India nazani tuta uzamichezo yetu

  • @rahmayusuph7934
    @rahmayusuph7934 4 ปีที่แล้ว +4

    Wanafki wapoo inawachoma

  • @cutezyzaa1499
    @cutezyzaa1499 5 ปีที่แล้ว +6

    😊😊😊

  • @munguamuekemahalianapostah3338
    @munguamuekemahalianapostah3338 4 ปีที่แล้ว +3

    Malipo ni duniani akhera kwenda hisabu viumbe

  • @omarymohamedi8811
    @omarymohamedi8811 6 ปีที่แล้ว +6

    hili goma balaa

  • @abassseif143
    @abassseif143 3 ปีที่แล้ว +2

    Lisemwalo lipo kama halipo ujue lajaaa!! 👹huyo ndio hasidi

  • @zainabumakame6743
    @zainabumakame6743 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu aninusuru na adui kiumbe

  • @asharashid459
    @asharashid459 10 หลายเดือนก่อน +2

    2023 comment zenu😂

  • @adammaswe7078
    @adammaswe7078 4 ปีที่แล้ว +6

    Kuna mtu kanikwaza,ngoja niukonge moyo wangu kwa huu wimbo,Fatma mwaaaa

  • @BalalayusufAli
    @BalalayusufAli 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vya zamani kweli havirudi

  • @SaleheMwaita
    @SaleheMwaita 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atuepushe na adui kiumbe

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 ปีที่แล้ว +2

    maneno kuntu

  • @wizmontana1615
    @wizmontana1615 2 ปีที่แล้ว +3

    Fantastic 2022 adui kiumbe

  • @ahmadjkhadira873
    @ahmadjkhadira873 2 ปีที่แล้ว +2

    July's 2022

  • @rahmaseif793
    @rahmaseif793 3 ปีที่แล้ว +4

    Waaaaaooooooo

  • @BinAlly-k6q
    @BinAlly-k6q 12 วันที่ผ่านมา

    Ndani ya Nairobi naisikiliza Doh I miss hom pemba Hapo ushashiba wali kwa mchuzi wa daga wa bizari Nikiwa na Mlezi wangu Bi zainab ndani ya Amani kwamabata nyerere Tumetoka mbali Sana Alhamdulillah namshukur Allah leo 18/09/2024 Nairobi kenya

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Vya kale ni dhahabu....

  • @MunaGun-tg7of
    @MunaGun-tg7of หลายเดือนก่อน +1

    Bora adui shetwani

  • @kingrichason3367
    @kingrichason3367 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunatoka mbali sana 🤣

  • @SaidiAbdallah-nd2wm
    @SaidiAbdallah-nd2wm 19 วันที่ผ่านมา +1

    Vya kale ni dhahabu....

  • @AllyNjimbo
    @AllyNjimbo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda sn fatma issa

  • @NaomiShauri-le8jx
    @NaomiShauri-le8jx 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah mama uko vzr

  • @thuaibaally6921
    @thuaibaally6921 4 ปีที่แล้ว +6

    ah yani hii nyimbo bibi ang anaipenda ananimalizia mb zang kila sku jamani lkn nzuriiiii mpaka bibi anaipenda mashaalah

    • @abassseif143
      @abassseif143 3 ปีที่แล้ว

      Ladha haipo katika chakula tu ata kwenye nyimbo pia ladha ipo

    • @snashiralmuaqly598
      @snashiralmuaqly598 2 ปีที่แล้ว

      Usiseme suu yaaani Ni atari

  • @allybinsanga963
    @allybinsanga963 3 ปีที่แล้ว +2

    31/01/2021 like

  • @JumaMasharubu
    @JumaMasharubu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndio kiboko

  • @AhmedYussuf-nb4du
    @AhmedYussuf-nb4du 5 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah amakweli dafatuma issa una sauti nzuri mwenyezi akulinde na husuda

  • @hanankhalifa8309
    @hanankhalifa8309 2 ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥🔥🔥2022 yan hajakosea maneno yake kbsaa

  • @muhammadomar1787
    @muhammadomar1787 4 ปีที่แล้ว +3

    Hata kuchoka hachoki adui kiumbe huyo

  • @nawalidha931
    @nawalidha931 3 ปีที่แล้ว +3

    Waa

  • @samirasaid-v7i
    @samirasaid-v7i 11 หลายเดือนก่อน +1

    Salaam alekum kweli yako shetan na kiyumbe wote siwazuri kheri pakaa na mbuzi niwazuri umenifurahisha sana Allah akujazi wape kweli

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 2 หลายเดือนก่อน

    Haki ya mungu hi ni taarabu asili ya ukweli. Mpangilio OOOOh unanimaliza hadi kwa damu na nafsi yangu. 🇰🇪 nikali imependeza sana

  • @juwairiamikidad8236
    @juwairiamikidad8236 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Mashallah sauti nzuri maneno mazuri saana

  • @rehimatanzania4337
    @rehimatanzania4337 4 ปีที่แล้ว +2

    Bora adui shetani kama kiumbe malipo duni ahera kuisabu fatuma Issa maaneno kabisa maaneno yako

  • @MafundaSharifu
    @MafundaSharifu 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atuepushie na adui kiumbe

  • @saidali-hx4bk
    @saidali-hx4bk ปีที่แล้ว +3

    Mashallah I like the lyrics...

  • @zaidymambo1013
    @zaidymambo1013 7 ปีที่แล้ว +5

    mngu akupec

    • @abdirashidmohamud231
      @abdirashidmohamud231 7 ปีที่แล้ว

      I loved she is the singer I don't speak Swahili but I liked

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 2 ปีที่แล้ว +2

    Hata mimi naamini ni bonge la nyimbo na nimeipenda

  • @salumsafkim3962
    @salumsafkim3962 ปีที่แล้ว +1

    Mdaa wa chuo ndio inapigwa nyimbo hii had raha jmn dah

  • @hamzaahmed69
    @hamzaahmed69 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana wallah nyimbo nzuri saana

  • @omarzain7289
    @omarzain7289 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaan cjawah kupenda nyibo ila hii kibokoo