BI FATMA ISSA ATOA MKASA ULIOTAKA KUMUUA/MAADUI WANAPIGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- Usikose kutazama kipindi cha MWAMBAO MIX kila siku ya Ijumaa kwenye channel 413 ZAMARADI TV kwenye kisimbuzi cha AZAM PEKEE.
Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi - บันเทิง
Mashaallah Bi fatma nyibo zako nzur mungu akuhifadhi hakuna asokasor kabisaa ❤❤❤❤
Mashallah nyimbo nzuli Sana nyimbo za Zaman wallah nzuli.snaa aise Sio nyimbo za sasa malad tufike tu nakupenda Sana majina wangu bi Fatima
Nakupenda bure Bi. Fatma . Ukiimba huya unanimaliza kabisa nafsi yangu yote kwa hiyo sauti yako nzuri ajabu nikiwa kenya na marekani.Lazima nitakuona siku moja.
Maasha allah mungu akupe ari uzima na afia njema
Nyimbo za zaman nzur sana zilikuwa na maana hajimbii tu hata
Mambo mengine yanafichwa ffichwa lakin sasahivi mtu anaimba matusiwazi wasi
Hongera kwa Sanaa nzuri
Mashallah Mashallah Mashallah nyimbo hii nzur bi Fatma saut haikongi
Mashallaah nzuri sana❤❤
Hongera bibie ninakikubali sana
Nyimbo pambe hatar ADUI KIUMBE NIMEDOWD TAYAL
Mashallah mashallah
Nyimbo zangu pendwa miaka 12 iliyopita