HII NDIO HOSPITAL ANAYOITAKA 'RAIS DKT MWINYI' IJENGWE PEMBA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ม.ค. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Mie kikawaida ni mpizani wa CCM. Ila kwa mambo anayofanya Mh. Mwinyi nampa hongera. Huyu mzee hatanii akisema anafanya jambo basi anafanya kweli. Yaani mambo aliyofanya ndani ya miaka mitatu ni zaidi ya hao marais waliokaa miaka kumi. Naamini ikimalizika miaka 5 ya utawala wake tutanona mabadiliko makubwa katika visiwa vyetu khasa katika sekta ya miundo mbinu. Hongera Muheshimiwa. Lakini bado CCM sina imani nayo ila nina imani na Dk. Mwinyi
Wewe ni mimi kabisa
❤ hongera unaupigwa mwingi wenginwaliopita hawakuwahi kua na mawazo kama yako
Hongera sana
Hongera sana Rais maendeleo tunayaona Allah akusimamiye ktk kazi zako amin
Huduma zipo?
Jamani Hospital ya mkoa Unguja ni sawa na Hospital ya rufaa Pemba mbona hapa hakuna usawa
Omer,usihadike na jina la hospital ngojea ulinganishe vifaa na watoa huduma ndio hapo utajua usawa
Usawa upo mbona unguja kuna watu wengi mchanganyiko kutoka Bara, Na Pemba na waunguja wenyewe sasa Pemba hakuna watuu kuzidi huku mie mwenyeji wa Tanga pemba na unguja naijua uzur tuu iloo mbona liko sw Pemba kwa ukwel kimyaa watu hawapo wengi
@@murattywamuratty9778ilikuwa zamani asaivi kumejaa wabaraaa
@@murattywamuratty9778 walinganisha Dar es salaam na Muheza?Wapi !
Unataka usawa gani sasa wewe
❤❤❤❤❤
Safi sana