ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

SAKATA LA VURUGU ZA WAMASAI JESHI LA POLISI LATOA TAAMKO KUHUSU UKWELI WAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 114

  • @RahimahTn
    @RahimahTn 6 หลายเดือนก่อน +15

    Wamasai mpo tujuane pleas gonga like❤

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 6 หลายเดือนก่อน +8

    Jamaa wanatembeza rungu balaa😂

  • @randomtube3002
    @randomtube3002 6 หลายเดือนก่อน +2

    Tumshukuru Mungu hawakutumia sime zao duuh yangekuwa makubwa hawajamaa hawatakagi kufokewa mimi shuleni kuna jamaa alikuwa hataki kudeki darasa akiuulizwa anasema ni kazi ya wanawake sasa tupo boys tu class monitor akamkazia hiyo siku jamaa saa ngapi ajapandisha mori anajitupa chini hadi akaitwa mmasai mwenzake aje amtulize ety anadai waende porin wakazichape atakaerudi ndo mshindi

  • @kidzox324
    @kidzox324 6 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂 shikamoo masai

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 6 หลายเดือนก่อน +3

    Warudisheni kwao bara wakawinde wanyama pori wasituletee fujo Zanzibar

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 6 หลายเดือนก่อน

      Kabisa yaani wabongo wameiharibu zanzibar yetu

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani hii zanzibar imefanywa kama jaa mtu akiwa na elfu thelathini anaingiya ,umeona nchi Gani ?

    • @ramseyhusseinkhamis8258
      @ramseyhusseinkhamis8258 6 หลายเดือนก่อน

      We uko kila sehemu bona watu hawakusemi sheikhhh tunaodoka katika hii dunia hatutokwenda na nchi sheikh Aamal Allah atuongoze inshaAllah

  • @user-zt2zx3un5g
    @user-zt2zx3un5g 6 หลายเดือนก่อน +4

    na mpaka mtasema wamasaai ni wanajeshi hiyo ni tesit tu

  • @teteniwery758
    @teteniwery758 6 หลายเดือนก่อน +4

    Hii ndio serekali tunayoitaka inayoangalia ukweli na haki za watu wake

  • @sokoinendari5399
    @sokoinendari5399 6 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani watu wanapigana sababu ni hawa security wana matatiso sana chanzo ni security wamasai hawana chida mbona wamasai wanalinda ila husikii wakipigana na mtu

  • @iwenikigodi5419
    @iwenikigodi5419 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kiukweli hapo wamasai mliwaonea kama Wana makosa mnge wambia tuu wangeelewa au wafike police

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 6 หลายเดือนก่อน

    Good Job Masai

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wamasai wako sawa, Kwan mmezoea kuonea watu

  • @user-tn9io1vt7h
    @user-tn9io1vt7h 6 หลายเดือนก่อน

    Asante serikali yetu ya haki

  • @alihaji215
    @alihaji215 6 หลายเดือนก่อน +11

    Wewe tetea tu jamaa zako ingekuwa wazanzibari ungekuwa ushawakata nyayo na vidole

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kudadeki comment yako imeshiba maelezo nakupa 💯

    • @user-or2wp7ss6j
      @user-or2wp7ss6j 6 หลายเดือนก่อน

      Kweli nduguzake hata mashekha ndio walewale

    • @user-or2wp7ss6j
      @user-or2wp7ss6j 6 หลายเดือนก่อน

      Mimi nilipigwa kufika hosptali
      Mwisho niliambiwa haina ushahidi

    • @salehkhamis-ob8ln
      @salehkhamis-ob8ln 6 หลายเดือนก่อน

      Kumbe jamaa zake

    • @NdongaKichwa-hz7jf
      @NdongaKichwa-hz7jf 6 หลายเดือนก่อน

      @@user-or2wp7ss6j hapa ushahidi hakuna ila kwa Mungu ushahidi upo na utalipwa kaka hii duniya tunapita tu

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mnazingua sana polisi kwani mwaka Jana ni lini
    SI juzi tu hapa mnafeliiiii sana

  • @HashmanMakungu
    @HashmanMakungu 6 หลายเดือนก่อน +3

    Duuuu mm sina cha kusema

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo polisi ni Mtanganyika ila Mkuu wa Wilaya ni Mzanzibari amesema ukweli mtupu

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 6 หลายเดือนก่อน

      Warudi kwao hao wamasai na huyu polisi wao jinga lenzao

  • @BensonMpomo
    @BensonMpomo 6 หลายเดือนก่อน +1

    shidayenu maaskari mnapenda kunyenyekewa kama nyie ni mungu

  • @neemashabuke5106
    @neemashabuke5106 6 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @salcle9702
    @salcle9702 6 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa wanapigwa rungu siyo mchezo kama muvi vilee😂😂

    • @user-or2wp7ss6j
      @user-or2wp7ss6j 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio faida ya mungano hiyo

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba5841 6 หลายเดือนก่อน +1

    Muliwahonea wamasai ni jadi la kimasai

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo wa pembeni namjua ni mtu smart sana au ashabadilika ?

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 6 หลายเดือนก่อน +3

    Polis wazee vijana wako mitaani kazi hakuna achieni ngazi

  • @user-fk8if5im1w
    @user-fk8if5im1w 6 หลายเดือนก่อน +1

    Ushashiba

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 6 หลายเดือนก่อน +3

    Kama wengefanya waxanzibari hayo sahivi wengetafutwa nyumba kwa nyumba nakupigwa risasi ah!!wacha tu tutafika japo mmoja mmoja.

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba5841 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wwe afande munafanya Zanzibar siyo tz make wamasi.ndioo jadi yahooi

  • @omarsultan4502
    @omarsultan4502 6 หลายเดือนก่อน +2

    Askari wazee

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 6 หลายเดือนก่อน +3

    ww sio mzanzibar

    • @alexmchome4661
      @alexmchome4661 6 หลายเดือนก่อน

      Mtanzania kwan kuna tatizo

    • @mulijanja4483
      @mulijanja4483 6 หลายเดือนก่อน

      zanzibar ni watu kwani

  • @lizybabymgaywa8035
    @lizybabymgaywa8035 6 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani wassail ni wakorofi sana

  • @barakasayuni
    @barakasayuni 6 หลายเดือนก่อน +1

    Sielew nin shida hapo najikuta nacheka😅

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani hakuna askari wa kizanzibari mbona kumefurikwa na wabara tunataka passport zirejeshwe kwa usalaama wa wazanzibari na mali zao hao maaskari ukenda kushtaki wakikuona mzanzibari hawatusikilisi ukenda mahakamani ndokabisa wamekuja kuchuma tu zanzibar hao na kutuharibia nchi

  • @user-or2wp7ss6j
    @user-or2wp7ss6j 6 หลายเดือนก่อน

    Kwendaa

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 6 หลายเดือนก่อน

    Malizeni yaishe kwa usalama wa nchi yetu kwani Tanzania na Zanzibar Ni nchi ya amani wamasai hawana tatizo shida walinzi wamezoea kuwapiga wananchi hovyo Sasa ifike wakati tuwe tunafuata Sheria sio kuwapiga watu hovyo

  • @lizybabymgaywa8035
    @lizybabymgaywa8035 6 หลายเดือนก่อน

    Kama hawa security wangekuwa na silaa ingekuwaje, Masai wote silaa waache nyumbani.

  • @feisalomar-hr3hq
    @feisalomar-hr3hq 6 หลายเดือนก่อน +4

    Kama lazima wamasai muwatetee sisi wengine tunayo asili ya kiarabu mbona hatutembei na mapanga tunakamatwa na tukiacha asili ya uarabu sisi waislamu ni sunna kutembea na silaha mbaona mutatiita magaidi hapo suluhishu syo tukio limetokea lini ni mueke marufuku Kwa wamasai kutembea na mapanga na hizo silaha zao kwasababu hata wasiokuwa wamasai wanaweza kutumia mavaz hayo nakufanya uhalifu kma utamaduni bas wakakae arusha

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 6 หลายเดือนก่อน

      Silaha mabomu sasa? Acha masikhara

    • @feisalomar-hr3hq
      @feisalomar-hr3hq 6 หลายเดือนก่อน

      @@madetetv6576 hhhhhh Kwani silaha ni pomu tu ata jiwe likitumika pia hua ni silaha

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 6 หลายเดือนก่อน

      @@feisalomar-hr3hq sasa itamadun wa waarabu ni kutembea na mabomu huo utamaduni hatuitaki

    • @feisalomar-hr3hq
      @feisalomar-hr3hq 6 หลายเดือนก่อน

      @@madetetv6576 waaraabu tandu ww na babu yako baba Ako na uko wenu mzima hamjazaliwa muarabu lazima awe na upanga kiunoni ulizia vitu vya kueleweka ww kama Masai wanakufurahisha kutembea na mapanga sibir sku uyakanyage ww ndo utajua kama wale ni wakorofi

    • @user-ql9or5lx5q
      @user-ql9or5lx5q 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni msengi kama wasrnge wengine kanyonywe huko uliko sawa

  • @murattywamuratty9778
    @murattywamuratty9778 6 หลายเดือนก่อน

    Ndo iyoo tarifaa muitoe apo nyooote mukusanyike kishindoo hee ilimradi tuu Wengine tuwaone nao ilitosha apoo mkuu akae sehem atoe tarifa ingependeza lakon apo tunaona kama mkoo utayarii vilee😂😂😂 musije mukatupiga tu kwa ivyo mulivyoo kaaa

  • @jacobwarieba5841
    @jacobwarieba5841 6 หลายเดือนก่อน

    Kwani huko manyara akuna wazanIbara watafute wakili awatete hiyo kesi ningekuwa karibu ningewapa utetezi

  • @xingho3990
    @xingho3990 6 หลายเดือนก่อน

    Palestina na Israiel

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia3724 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu karao ni fala tu tunatambua makarao huwa na ufala Mob but this round walipatana na league yao

  • @fatmamuhammed9713
    @fatmamuhammed9713 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona ilivyokua hyajatokezea hyajatangazw lkn. Yametokezea wajibu kusambazwa kwakua sio la uongo

  • @Alburtukal
    @Alburtukal 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wamasai warudi porini wakawinde swala,

    • @akimu-gl7zp
      @akimu-gl7zp 6 หลายเดือนก่อน +1

      Acha zipigwe tu. Mbona nakopolin wanafukuzwa?

  • @user-or2wp7ss6j
    @user-or2wp7ss6j 6 หลายเดือนก่อน

    Hizo tv zilikueko wapi

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 6 หลายเดือนก่อน

    Ety kosaa kisheria sema mmepigwa rungu na wamasai

  • @khalidibrahim4579
    @khalidibrahim4579 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ingelikuwa haya wamefanya wa zanzibari
    Lakkini wamasai muna watetea
    Ali mwaka jana
    Nyie Polisi mumechukuwq hatua gani
    Kuwashulikia 😊hawa
    Hamuwezi
    Kwa sababu ni jamaa zenu .
    Muna watetea

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 6 หลายเดือนก่อน

      Sheria ipo juu sio Polisi ni sawa na mwevuli wa jua na mvua tu!

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 6 หลายเดือนก่อน

    Kwanza nyie police chunguzeni nani alimwanza mwenzake ndipo mlaumu wamasai hao walinzi wenu walistahili kipigo kwasababu inaonekana wazi walikuwa wanatumia nguvu ambapo hapakustahili ilikuwa ni kuwaelimisha basi

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu police vp walinzi nasasilaa za jadi cha msingi ni kuweka ukweri tuu

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhany 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wamasai washenzi sana 😂😂😂😂😂😂

  • @saidyussuf2291
    @saidyussuf2291 6 หลายเดือนก่อน

    Kama ni mwaka jana basi iyo ni tabia yao , warudi kwao uko , wakafanye izo fujooo , sisi si watu wa fujo

  • @AbdillahSOthman
    @AbdillahSOthman 6 หลายเดือนก่อน

    Wahamishwe peleka umasaini wakafuge ng'ombe

  • @user-xs1cc1hg3y
    @user-xs1cc1hg3y 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @francisgituti2494
    @francisgituti2494 6 หลายเดือนก่อน

    Masai na makampuni ya ulinzi wapi na wapi na hapo ni ufukweni

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 6 หลายเดือนก่อน +4

    Wame kuwa wengi warejeshwe kwao

    • @ramseyhusseinkhamis8258
      @ramseyhusseinkhamis8258 6 หลายเดือนก่อน

      Wewe kwenu wapi
      Wemwenyewe mjaruo rudi kwenu basi

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 6 หลายเดือนก่อน

      Warudi kwao watuachie znz yetu mahasidi nyie

  • @samsonkichele3530
    @samsonkichele3530 6 หลายเดือนก่อน

    Mnajitafuna mnambiwa dunia ni kijiji hamjaelewa?.

  • @khamisali9907
    @khamisali9907 6 หลายเดือนก่อน +3

    Acha kuwatetea wabara wenzako wewe

    • @Shuu.A
      @Shuu.A 6 หลายเดือนก่อน

      Ndio warudi kwao hatuwatako shenzi hao

  • @ayoubrashid8392
    @ayoubrashid8392 6 หลายเดือนก่อน

    Mh Rais muite huyu kiongozi umshughulikie anateteaje wahalifu?

  • @HashmanMakungu
    @HashmanMakungu 6 หลายเดือนก่อน

    Lakini hii video ni ya zamani sana

    • @maikomatayo2794
      @maikomatayo2794 6 หลายเดือนก่อน

      Hapana video siyo ya samani

    • @HashmanMakungu
      @HashmanMakungu 6 หลายเดือนก่อน

      Hiii video ni ya zamani kwa sababu mm naishi kwenye mtaaa huuu uliotokea hili tukio ndio maana ni kakwambia hivo

  • @user-mo5zl9sm9t
    @user-mo5zl9sm9t 6 หลายเดือนก่อน

    Nachukia wanapakaza uzushi serekali sheria za v hbr ziko wp kwnn hivi ss inakera sn

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa mzee unacho taka kuongelea hapo ni nini? Hawa jamaa wana tembea na silaha hicho ndiocho uongelee habari ya video ya zamani cc haituhusu na ndio kwanza tunaoyona

    • @mulijanja4483
      @mulijanja4483 6 หลายเดือนก่อน

      mbona polic wanatembea na silaa

  • @fedhalashidi1336
    @fedhalashidi1336 6 หลายเดือนก่อน

    nyie niwango kwani mbonawao wamewapigamasai

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 6 หลายเดือนก่อน

    .

  • @mathewkoshal
    @mathewkoshal 6 หลายเดือนก่อน +1

    I see you pple blaming Maasais ,and you know well maasai can't fight if not provoked.

  • @HAKHASH312
    @HAKHASH312 6 หลายเดือนก่อน

    Hii yot n sababu Moja tu Zanzibar hakuna utaratibu wakuingia kama zamani yaani mtu akishamiliki elf30 tu bas anakuja Zanzibar ni ujinga kabsa sheria ni ziwekwe tu kama zamani bila Zan ID au vielelezo vya kutosha huwezi Kuingia Zanzibar bas haya mambo yasngekuwa yanatokea Zanzibar inahrbika kwa Sababu ya uingiaji wa watu wengi wasiokuwa wazanzibar

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 6 หลายเดือนก่อน +1

      Vipi kuhusu wazanzibar wanaokuja bara na wao waje KWA ID????

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 6 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe kilaza kweli ndugu yangu Yani unamanisha watu wa nje na zanzibar wasiingie hapo ama? Kumbuka zanzibar ni sehemu ya Tz so labda uwazuie wakenya ila sio bongo jifunze kutatua tatizo kwa hikma sio hivo unavofikiri

    • @HAKHASH312
      @HAKHASH312 6 หลายเดือนก่อน

      @@madetetv6576 kwan hapo haikutumika hekma ama kwan wamasai wapo Tanzania tu Kenya Hamna na nlchomaansha mm as long as sio mzawa wa Zanzibar bas uktaka Kuingia Zanzibar lzma uingis kwa hati maalum

    • @HAKHASH312
      @HAKHASH312 6 หลายเดือนก่อน

      @@abdullahmanalex2306 ndio kwan s znatolewa kwa utaaratibu maalumu ama watu wanapewaga tu

    • @HAKHASH312
      @HAKHASH312 6 หลายเดือนก่อน

      @@madetetv6576 hata hao Wanaweza kuzuiliwa kw nn wasizuilwe wakat watakuwa hawana sfa za Kuingia Zanzibar elewa acha wenge

  • @user-lp6vc6sx2s
    @user-lp6vc6sx2s 6 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 6 หลายเดือนก่อน +1

    Inavoelekea ni kwamba hatuwa zinazochukuliwa hazitoshi na ndio maana yakatokea tena hapo darajani.Vipindi vya uchaguzi wananchi wanapigwa na kuuliwa mchana kweupe,lakini hawa jamaa wa kimasai naona hawashughulikiwi ipasavyo

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 6 หลายเดือนก่อน

    Mafatani wakubwa wengi tu Tzd kwakweli. Cjui wataja sema nn cku ya hesabu zao

  • @user-sl2hk8wp1p
    @user-sl2hk8wp1p 6 หลายเดือนก่อน

    Sasa mwaka jana si jana tu kwani ni miaka mingapi sasa wewe na mkuu wa mkoa msaraka pinja nani anajua zaidi

  • @user-uy9ex4jl9w
    @user-uy9ex4jl9w 6 หลายเดือนก่อน

    Hata iwe vp masai wanazingua kwnn kilasiku wao tu sheria ifate mkondo.

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 6 หลายเดือนก่อน

    Nyie mmewachokoza wamasai Maana hawanaga shida na mtu

    • @abrahmanhamad3253
      @abrahmanhamad3253 6 หลายเดือนก่อน

      Sio tumewachoka hi Nchi sio ya kwao hi ni nchi ya wazanzibar

    • @ramseyhusseinkhamis8258
      @ramseyhusseinkhamis8258 6 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mwenye kuishi milele sheikhhhh walikuepo kabla yako wakaondoka hwakwenda na nchi wailiacha ukaja wewe na wewe iposiku inshaAllah utaondoka so jitazame na utakari sana Allah akuonze inshaAllah ​@@abrahmanhamad3253