Jiandae na maisha ya milele ya akhera kwa ibada na kusikiliza muongozo wa masheikhe mbalimbali hapa Miraj khan online ⚫️ WASILIANA NASI MIRAJ KHAN ( WHATSAPP +255 713 730 907), ( +255 766 445 024) ⚫️ Email: buikhan21@gmail.com
@@rafaelbern2630 Na Ukitaka Kujua NDACHA MUONGO Chukua QUR'ANI Na BIBILIA Kaanazo Akitoa Andiko Msikilize Anavyo Sema Halafu FUNGUA KITABU Zaidi QUR'ANI Angalia Andiko na Alivyosema Ni Sawa??? Ndio Utamjua Anadanganya
John 20:17, Jesus said to her, “Do not cling to Me, for I have not yet ascended to My Father; but go to My brethren and say to them, ‘I am ascending to My Father and your Father, and to My God and your God.’ ”.
Kwa hiyo yesu sio mungu kwa sababu mungu kishasema huyu ni mwanangu hapo wenzetu mwajichanganya mwabadilika badilika kimada hivi tukibadilisha mada mutasema yesu mungu na hapa mwasema mwana
@humud soud hamna hata verse moja ambayo explicit yesu anasema yeye mungu, na kama mwana wa mungu kuna wana WA mungu zaidi ya kumi katika Bible, mwana WA mungu ni term iliyotumika Kwa heshima lakini watu wameichukilia tofauti,Exod 4:22, lakini kuna explicit verse nyingi amabazo from yesu ambazo anasema kuhusu mungu, All knowing, all living, independent, all powerful, no beginning and no end. kuna vitu vingi ambavyo haviingi akilini kama 3 in 1, ni topic amabayo mkristo anashindwa Ku explain. Ndio maana wakiristo wengi wana kuwa revert, Ambao wanasoma na kuelewa vizuri bibilia.
Huyu mtu anaitwa Ndacha huwa Kigeugeu sana leo Yesu ni mwana wa Mungu Kesho Yesu ndiye Mungu mkuu sasa akisema anakubali Yesu ni mwana wamungu lakini siye Mwana wa Pekee si anapingana na ile aya ya Yohana 3:16 kuwa Yesu ni mwana wa Mungu wa Pekee
Wa kirristo mulio toa maoni katika ukumbi hi munakubali ya kwamba mungu alikua na mimba akazaa mtoto wa kiume nani alie mjaza mungu mimba hi nikufru kubwa astaghfiru llah soma isaya 66/6 mpaka 7 jee hiki nikitabu Chamungu kweli wacheni ushabiki tafuteni haki
Wenzetu kujifunza jinsi kutengeneza madawa na kumaliza njaa na kwenda kwenye sayari zingine, sisi ubishi kuhusu vitabu hata hatujuwi viliandikwa na akina nani na vilivyotumiwa kuwaweka mababu zetu watumwa. Amkeni Waafrika. Tusipo achana na hivyo vitabu, hatutaendelea
Kiujumla nimewaelewa waalimu wote wapo vizuri wanatajua maandiko vizuri sana, lakini kuna muda wanatupotosha kwenye maandiko wanasoma maandiko nusu nusu na kupoteza maana ya maandiko
Mimi nilichojifunza hapo ni kwamba, wakristo wanauelewa mpana juu ya maandiko. Lakini waalimu wa waislamu wanatumia ulaghai yaani wanakata maandiko, na lengo lao ni kupotosha, na wanajua.
Hakika mko sawa walimu wetu.Lakini kumbukeni njia za allah zii kama njia za wanadamu.yote yawezekana kwake,aliumba Dunia na viote vilivyomo,yeye nmweza wa yote.
Apo Ndacha kunapahali amesoma kuwa mnamfanya shetani na kizazi chake sasa akasema mwalim wa kiisilamu atakapo panda ataje jina la bibi ya shetani mm cjaskia wakitaja
Mtazunguka lakini ukweli ni kwamba yesu ni mwana wa Mungu hata nyie hilo mnalijua na ndio maana siku ya mwisho yeye ndiye atakuja duniani na wote tutamuona uwe muislam au mkiristo na sio mtu mwingine
Unavchekesho kwel,Mohammad Hawez kujiita Yye Nabii,Yye Tayar Allah Amesha Mtaja N Mtume Wa Mwisho Ktk Mitume Yake,Na Tofautisha kat ya Nabii Na Mtume,hta Yesu Pia Ukubal Ni Mtume Katumwa Kw Wana Wa Izrail,Na Ww utwambie wapi Yesu Kasali Kanisani Na Wap kafundisha Mafundsho Yake Kanisan Utueleze, cc ndio Ahlu Kitabu Al Quran
Hawa makristo wako mashakani sana yani hii biblia imechezewa vibaya sana paka mungu ndio akamleta Muhammad (pbuh)arekebisha mambo Machafu yatokao kwa biblia natufate Quran kitabu kisafi kabisa
@@rehemamost444 wewe kama kweli hio biblia ni maneno ya mungu vipi ilimuita mungu mkumbavu? Wajua hilo neno ama unalipuza nakuka kimya ATI mungu mkumbavu,alafu biblia ni maneno ya mungu
Waislam wanatumia nguvu kulazimisha Jambo hatuwezi Muslim kirahisi hivyo. YESU NI MWANA WA MUNGU. nendeni mkasome John. 20: 17 mumsikie Yesu mwenyewe anasema nini. Msingi wa mjadala huu ni Biblia na Quran period.
Huyo twamjua sisi wakenya hana maana kabisa ATI atasilimu mombasa debate alisema Maryam simamake yesu apinga asema hakuna andika akasema ikitoka andiko atasilimu Kasim akatoa andiko ndani yabiblia mnafiki huyo mkubwa hana maana hata kidgo mnafiki huyo ATI pastor na anakata Maryam simamake yesu huyo ni mtu wakufatwa kweli kafiri mkubwa
@@saidosaido5647 tambua ya kwamba unaposema 'sisi wakenya' umewahusisha wakenya wote. Unatakiwa ufahamu kwamba wakenya wengine hawapo katika tabaka hilo la udini. Kwa hiyo unapoongea basi fanya hivyo kwa niaba yako na wadini wenzako sio kujumuisha wakenya wote. Alaaaah!
Yesu ni mwana wa mungu kwa mujibu wa maandiko matakatifu, mwalimu ndasha Mungu wa mbinguni akubariki sana
Walimu wakiisilamu mmetisha sana MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏
Tutabishana sana muhimu tauche dhambi tutende mema.
Mwalimu Ndacha 🔥🔥 Yuko vyema sana
WALIO MFUNDISHA KUHUBRI WAMESILIMU 😂😂😂 Mmoja Akafariki Miezi 2 tu Baada ya KUSILIMU Alikuwa Anaitwa POUL NDUNDI
@@shabbymakapaneshabby5000 ni uchaguzi wao .... Mimi namuongelea Ndacha
@@rafaelbern2630 😂😂😂Waliomfundisha UDONGO Kugeuza geuza QUR'ANI WAMESILIMU Walichoka kudanganya Mfano BIBILIA -3 Ndio KITABU GANI? 😅😅😅😅AU Andiko GANI???
@@rafaelbern2630 Na Ukitaka Kujua NDACHA MUONGO Chukua QUR'ANI Na BIBILIA Kaanazo Akitoa Andiko Msikilize Anavyo Sema Halafu FUNGUA KITABU Zaidi QUR'ANI Angalia Andiko na Alivyosema Ni Sawa??? Ndio Utamjua Anadanganya
@@shabbymakapaneshabby5000 ukitaka kujua mazinge Muongo chukua Quran na biblia weka. Pamoja alaf mfuatilie kwa uzuri
John 20:17, Jesus said to her, “Do not cling to Me, for I have not yet ascended to My Father; but go to My brethren and say to them, ‘I am ascending to My Father and your Father, and to My God and your God.’ ”.
Kwa hiyo yesu sio mungu kwa sababu mungu kishasema huyu ni mwanangu hapo wenzetu mwajichanganya mwabadilika badilika kimada hivi tukibadilisha mada mutasema yesu mungu na hapa mwasema mwana
@@abuamso3390 yes ndio maana yake ya iyo verse.
@humud soud hamna hata verse moja ambayo explicit yesu anasema yeye mungu, na kama mwana wa mungu kuna wana WA mungu zaidi ya kumi katika Bible, mwana WA mungu ni term iliyotumika Kwa heshima lakini watu wameichukilia tofauti,Exod 4:22, lakini kuna explicit verse nyingi amabazo from yesu ambazo anasema kuhusu mungu, All knowing, all living, independent, all powerful, no beginning and no end. kuna vitu vingi ambavyo haviingi akilini kama 3 in 1, ni topic amabayo mkristo anashindwa Ku explain. Ndio maana wakiristo wengi wana kuwa revert, Ambao wanasoma na kuelewa vizuri bibilia.
Masheikh Maashaallah, Yaani munaeleweka hassaa
Manshallah
Msishindane na waislamu nyinyi wa kiristo jifunzeni vizuri
Maashallah mashekh mumejibu vyena
Ndacha mmoja tu ni sawa na hao wote mashehe hoja zake zina mantiki mashehe wanaruka ruka hamna kitu hapo
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊 okosswa
Yesu anazidi kuwa mwana wa Mungu yeye ndie Mungu... Yohana1:1_3
Mungu sio mzazi sawa tumia vizuri kiswahili jua vizuri maana ya mwana maana yake ni mzazi Wa kiume au wakike
mwana wa mungu ni yesu na baba ake ni nani?
😀😀😀umewapinga wachungaji wako?
Mungu ni Baba yake Yesu
@@abuuharuna8820 kwan kuna tofauti gan kati ya mwana na mtoto(nipe tafasiri ya mtoto
Mazinge wame muzinga kbsa
Nawaonea huruma waislamu eti ibirisi anawana afu mungu Hana yaan hata wenyewe anajikana
TAKBIIR::ALLAHU AKBAR::Allah hakuzaa wala kuzaliwa .
Allah ndio lakini Mungu wa Wakristo aliumba na tuna mpatia heshima ya baba.
Aibu kwako
Mungu sio Mkristo. Wala sio Muislamu. God is too big to be pinned in those divisions of thoughts. God is love.
You nailed bro,God bless you brother.
Mwanazuoni wa kikristo yuko vizuri saaana, anahoja nzito
Exodus 6:2-3 shows the Father and son is one i.e, The Lord and
Almighty God is one.
Mungu
Yesu ni mwana wa Mungu
Apana hakuferi amesema ukweri
YESU nimwamba
Ata akiwa jiwe ila sio mwana wa mungu
Huyu mtu anaitwa Ndacha huwa Kigeugeu sana
leo Yesu ni mwana wa Mungu Kesho Yesu ndiye Mungu mkuu
sasa akisema anakubali Yesu ni mwana wamungu lakini siye Mwana wa Pekee si anapingana na ile aya ya Yohana 3:16 kuwa Yesu ni mwana wa Mungu wa Pekee
NDACHA Tunakukubali sana waoneshe maneno yao kwenye vitabu vyao watabatizwa tu. wakikataa aibu ya duniani je aibu ya milele wataiwekawapi?
Dacha. Hana. Chakuwaonyesha. Waisimamu. Lamda. Awe. Hanaimani. Yakweli. Kama. Waoo. Waloagamiya
بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ (1) الْحَمْدُ لِلَّهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ (2) الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ (3) مَالِكِ يَوْمِ الدِّينِ (4) إِيَّاكَ نَعْبُدُ وَإِيَّاكَ نَسْتَعِينُ (5) اهْدِنَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ (6) صِرَاطَ الَّذِينَ أَنْعَمْتَ عَلَيْهِمْ غَيْرِ الْمَغْضُوبِ عَلَيْهِمْ وَلَا الضَّالِّينَ (7)” ...٢١/٠٣/٢٠٢١
Mmmhhhh❤❤
Takibrii Allah Akbar
Allha.wakipari.takibiri.allha.wskibari
Biblia Inasema kwamba wanao muamin mungu wote ni wana wa mungu hivyoo ata ww ni mwana wa mungu
Saaafi
Wewe ni muelewa bakari
Munguhakuzaa Wala hakuzaliws nyingi vichwa Nani huyu hafananishwi na chochote
Wa kirristo mulio toa maoni katika ukumbi hi munakubali ya kwamba mungu alikua na mimba akazaa mtoto wa kiume nani alie mjaza mungu mimba hi nikufru kubwa astaghfiru llah soma isaya 66/6 mpaka 7 jee hiki nikitabu Chamungu kweli wacheni ushabiki tafuteni haki
Kbsa mchungaji ubarikiwe ndani ya jina yesu Cristo kbsa tumeelewa , Sheh amekawuka kbsa
Jazaka Allah
Naomba niulize swali kama we mwanadamu uliumbwa na unakufa je nani ajuaye sili hii kumhusu mungu na kitugani anashindwa asa kwa mwanadamu
❤
Mchungaji Amen
Ndachi mwalimu hakika
Ukiwa mjinga ukipata mtu muongo kidogo tu lazima akuchukue mazima
Heri wapatanishi maana wataitwa wana wa Mungu
Kwa andiko hilo linaonyesha wazi kwamba mwana ni mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu na yesu ni nani?
The main theme here is to seek the kingdom of God /Allah from either side
Ndacha ni mwl kabisa
Mashallah Allah mungu awaongoze 💓
Makosa kusema hivo. Huezi sema Allah mungu awaongoze
Inna ja alnaa alaa kuluubihim akkinatan an yafkahuuhu wafii aaadhanihim wakraaa. Wain tad uhum alal hudaaa walan yahtaduu idhan abadaaa
Miii nawahulumia Sana wanaopingana na yesu
Hawawezi kukubali kwaajli kule kanisani ndo wana pata pesaa? Ani hapo wanahis mnawahalibia
Yaani kwani msikitini hamtoi sadaka?
Ndacha ni high level
Wenzetu kujifunza jinsi kutengeneza madawa na kumaliza njaa na kwenda kwenye sayari zingine, sisi ubishi kuhusu vitabu hata hatujuwi viliandikwa na akina nani na vilivyotumiwa kuwaweka mababu zetu watumwa. Amkeni Waafrika. Tusipo achana na hivyo vitabu, hatutaendelea
Ndacha kaelekeza vzr
Kiujumla nimewaelewa waalimu wote wapo vizuri wanatajua maandiko vizuri sana, lakini kuna muda wanatupotosha kwenye maandiko wanasoma maandiko nusu nusu na kupoteza maana ya maandiko
Mimi nilichojifunza hapo ni kwamba, wakristo wanauelewa mpana juu ya maandiko. Lakini waalimu wa waislamu wanatumia ulaghai yaani wanakata maandiko, na lengo lao ni kupotosha, na wanajua.
Hakika mko sawa walimu wetu.Lakini kumbukeni njia za allah zii kama njia za wanadamu.yote yawezekana kwake,aliumba Dunia na viote vilivyomo,yeye nmweza wa yote.
Hawamfati yesu hata kidogo. Wanamtukana Mungu na manabii. Makafiri hawa
Apo Ndacha kunapahali amesoma kuwa mnamfanya shetani na kizazi chake sasa akasema mwalim wa kiisilamu atakapo panda ataje jina la bibi ya shetani mm cjaskia wakitaja
wana macho lkn hawaoni
wana maskio lkn hawaskii MUNGU Awasamee sana. na awaoneshe njia iliyonyooka
Mm ni mwislamu ,lkn walimu wa kiislamu mnapwaya Yuko sahihi huyo mkristo
nikweli kabs mungu hana mwana.na wala hakuza wala kuzaliwa
Hamnahoja. Mumeishiwa.
Mungu. Hakuzaa. Wala. Hakuzaliwa. Hamumpati. Mtu. Tazanina. Naatakaye. Wafata. Kaangamiya. Kama. Mulivoangamiya. Nyiyi. Walimu
Humbatizi. Mtu. Hapo. Siyo. Mtoto. Wamungu. Yesu. Naatawakanusha.
Rudikenya. Ukasome. Didi. Yakiisilamu
Wanajua ukiristo sio dini Lakini makusudi tu. Wanalipwa na wazungu kutetea BATIL
Iv anaelewa
Wasilamu wanakwepa
Shekh hamna kitu hpo
Mi ombi lamgu kubwa tunapeana elimu ili tuweze kumfikia mhuumba wetu si kwa kunyosheana vidole
Mwalimu Ndacha wape ujumbe wakweli wabaki tu nakuamwa tu, yesu ni yote ndani ya yote
🎉🎉😢😢😢 maskini waisalmu😂😂😂😂
Franco ndacha barikiwa
Yaan wachungaji wababaishaj hatari, maneno yao ya kipuuzi tu
Mhh huyu ndacha atar🔥🔥🔥
Mtazunguka lakini ukweli ni kwamba yesu ni mwana wa Mungu hata nyie hilo mnalijua na ndio maana siku ya mwisho yeye ndiye atakuja duniani na wote tutamuona uwe muislam au mkiristo na sio mtu mwingine
NI WAPI KATIKA QURAN MUHAMMAD ALIJIITA NABII????NA NI WAPI KATIKA QURAN ALLAH KAAMRISHA WAISLAM WASWWLI SWALA TANO???
Unavchekesho kwel,Mohammad Hawez kujiita Yye Nabii,Yye Tayar Allah Amesha Mtaja N Mtume Wa Mwisho Ktk Mitume Yake,Na Tofautisha kat ya Nabii Na Mtume,hta Yesu Pia Ukubal Ni Mtume Katumwa Kw Wana Wa Izrail,Na Ww utwambie wapi Yesu Kasali Kanisani Na Wap kafundisha Mafundsho Yake Kanisan Utueleze, cc ndio Ahlu Kitabu Al Quran
Niangalie ukwel unavyopatikana kupitia mandiko.
Bado mna pwaya waisilamu
ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Boya anakufa boya anazaliwa kweli maboya hayataisha duniani
Yesu ni mwana wa Mungu na haina ubishi
Huyu baba mwamba kabisa
Waalimu wakiisilamu mnafundisha maneno mazuri yenye kueleweka
Maneno yanayoeleweka ni yepi?anavyosema mwenzake kaacha mada kwan kuna tofauti gani kati mwana(mtoto wa Mungu?)
Hawa makristo wako mashakani sana yani hii biblia imechezewa vibaya sana paka mungu ndio akamleta Muhammad (pbuh)arekebisha mambo Machafu yatokao kwa biblia natufate Quran kitabu kisafi kabisa
Nani kakudanganya.
@@titokwareh1852 wewe umedanganywa ndugi yangu soma biblia vizuri usidanganywe isome wewe mwenyewe
Saudo rekebisha kauli biblia unaichezea wewe! Utake usitake biblia ni maneno matakatifu ya mungu
@@rehemamost444 wewe kama kweli hio biblia ni maneno ya mungu vipi ilimuita mungu mkumbavu? Wajua hilo neno ama unalipuza nakuka kimya ATI mungu mkumbavu,alafu biblia ni maneno ya mungu
Mungu gani ashindwe kulinda vitabu vitatu viharibiwe alafu aweze kulinda kimoja tumia akili2
Sawuti
Fanyeni KAZI za maendeleo.
anjitahidi kutetea ukafiri
Kafiri ni Allah
Sasa kusema Mungu ana watoto unamtenga vipi Yesu?
Waislam wanatumia nguvu kulazimisha Jambo hatuwezi Muslim kirahisi hivyo. YESU NI MWANA WA MUNGU. nendeni mkasome John. 20: 17 mumsikie Yesu mwenyewe anasema nini.
Msingi wa mjadala huu ni Biblia na Quran period.
NDACHA wewe ni Mwalimu mzuri ambaye kila anaihitaji kujifunza anafundishika na akaelewa,
Yesu nimwana wa mungu kbsa Tena ni yesu nimungu 1timoteyo 3:16
Ace🤲🤲🤲🤲🤲💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜💜🧘🧘🧘💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🤝🖤poa
Mwalimu wa kiislam wanatia aibu
WAKRISTO MNAYO KAZI KUBWA KUEPUKANA NA MOTO WA ALLAH
moto unakuhusu weee usiyejua kweli
Huyo twamjua sisi wakenya hana maana kabisa ATI atasilimu mombasa debate alisema Maryam simamake yesu apinga asema hakuna andika akasema ikitoka andiko atasilimu Kasim akatoa andiko ndani yabiblia mnafiki huyo mkubwa hana maana hata kidgo mnafiki huyo ATI pastor na anakata Maryam simamake yesu huyo ni mtu wakufatwa kweli kafiri mkubwa
Allah atamuongoza huyu kafiri mkubwa huyu
Usihusishe wakenya wote, mimi sina upuuzi wa dini yeyote!!
@@qerysir4410 wewe umejihusisha mwenyewe sasa usinge ingia hapa ni pahali PA dini
@@saidosaido5647 tambua ya kwamba unaposema 'sisi wakenya' umewahusisha wakenya wote.
Unatakiwa ufahamu kwamba wakenya wengine hawapo katika tabaka hilo la udini. Kwa hiyo unapoongea basi fanya hivyo kwa niaba yako na wadini wenzako sio kujumuisha wakenya wote. Alaaaah!
@@qerysir4410 wewe nini ilokuleta hapa ikiwa simtu wadini siitakua wewe ni mnafiki unajiingiza pahali hapakuhusu wewe kwa hivo wewe ni mnafiki
Uyu mchungaji anaumwa au
Sheeheee unafeli.wapi wewe ndacha.yuko.sahiiii
Astaghfiru Allah
yesu ni mwana wa yusufu
Ndacha kiboko wako ni yusuf wambugu
Huyu Ndacha anavuka mada hana muelekeo kabisa
WEWE HUFAHAMU KICHWA CHAKO KIBOVU HICHO WEWE MKRISTO
Bmzv
Nawaonea huruma waislamu eti ibirisi anawana afu mungu Hana yaan hata wenyewe anajikana
Nawaonea huruma waislamu eti ibirisi anawana afu mungu Hana yaan hata wenyewe anajikana
Nawaonea huruma waislamu eti ibirisi anawana afu mungu Hana yaan hata wenyewe anajikana
Nawaonea huruma waislamu eti ibirisi anawana afu mungu Hana yaan hata wenyewe anajikana