MDAHALO WASLAMU WASHINDWA KUTETE IJUMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 1.1K

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 2 ปีที่แล้ว +25

    Akuna mtu anaetoka salama akikutana na mwalimu NDACHA 🙌 yani nafrahi sana kuzaliwa katika kristo 💪
    From 🇹🇿

    • @gabrielwafula7076
      @gabrielwafula7076 ปีที่แล้ว +2

      True huyu ni Mwalimu Mkuu wa Enjili

    • @DancanOsongo
      @DancanOsongo 5 หลายเดือนก่อน +3

      amen

    • @Safia-wc3tn
      @Safia-wc3tn 15 วันที่ผ่านมา

      Na 🔥 motoni utafrah nae pamoja or cio

  • @makombearnold3335
    @makombearnold3335 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwa kweli nafuatilia midaharo hii ni nzuri mch Ndacha Mungu akubariki sana jinsi ambavyo Roho wa Mungu anavyokufunulia maandiko unatisha na wahadhiri wengine Wote Mungu awabariki

  • @massiasinkala3478
    @massiasinkala3478 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwalimu Ndacha MUNGU akubariki sanaaaaaa,hakuna jina jingine tupaswalo kuokolewa kwalo ispokua jina la YESU,injili itahubiriwa kwa mataifa yotee

    • @jannyrose5367
      @jannyrose5367 2 ปีที่แล้ว

      Amen 🙏🙏🙏 glory to Jesus

  • @harunyusuf4229
    @harunyusuf4229 4 ปีที่แล้ว +30

    Asante YESU kwa kumpa mtumishi wako ujasiri,Amen na penda wokovu wa YESU ulio niweka huru.

    • @sospetersiame906
      @sospetersiame906 4 ปีที่แล้ว +2

      Good sana uko vzr

    • @7evenlyrics154
      @7evenlyrics154 3 ปีที่แล้ว +1

      Wow, be blessed broh

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 2 ปีที่แล้ว +1

      Ameeeeeeen

    • @abdulhakimhasan7673
      @abdulhakimhasan7673 2 ปีที่แล้ว

      Na YESU atashinda , na wafuasi wake kushinda wengine hadi mwisho wa dunia . sio wakristo walio potoshwa bali ni waislamu .

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 2 ปีที่แล้ว

      @@abdulhakimhasan7673 puuuuuuuuh

  • @triciamwango7342
    @triciamwango7342 2 ปีที่แล้ว +6

    God has now filled men with His Holy spirit to fearlessly come out and call sin a sin,,,,and among them is pr.Ndacha ...continue with this powerful Gospel pr,because we have no time,Jesus is coming soon.God bless you.

  • @user-em6bg9ue2d
    @user-em6bg9ue2d 4 ปีที่แล้ว +9

    Amen nabarikiwa sana Sisi wa Kristu tumushukur Mungi

  • @ianmaiyo7029
    @ianmaiyo7029 4 ปีที่แล้ว +22

    God bless you mtumishi!! Mungu anakutumia kama chombo chake ubarikiwe Sana.

  • @jokepenis2016
    @jokepenis2016 2 ปีที่แล้ว +5

    Lilian Achieng juma I am warching from Germany 🇩🇪 🇰🇪 this is love GOD bless you 🙏🕎✝️

    • @peterjoseph1152
      @peterjoseph1152 2 ปีที่แล้ว

      Hi my dear I'm from tanzania

    • @jokepenis2016
      @jokepenis2016 2 ปีที่แล้ว +1

      @@peterjoseph1152 thanks GOD bless you in higher Level 🙏

    • @peterjoseph1152
      @peterjoseph1152 2 ปีที่แล้ว +1

      Thanks to you my

    • @peterjoseph1152
      @peterjoseph1152 2 ปีที่แล้ว

      Thanks to you

  • @enockndale2629
    @enockndale2629 5 ปีที่แล้ว +22

    YES PASTOR WAAMBIE WAMJUE MUNGU WA KWELI YEHOVA ELOHIM

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 4 ปีที่แล้ว

      Twambie ni yupi Mungu wa kweli?

    • @magdalenajuma6229
      @magdalenajuma6229 4 ปีที่แล้ว +1

      Enock Ndale ubarikiwe wamjue Yesu alie Bwana na mwokozi wetu

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 4 ปีที่แล้ว

      @@magdalenajuma6229 Nakusikitikia apo bado hujamjua Mungu wa kweli.

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 ปีที่แล้ว

      Hakuna mkristo anamjua na kumumini na kumuabudu Mungu wa kweli kama yupo ajitokeze nimuulize masiali kama atajibu

    • @kwizerathesantos3310
      @kwizerathesantos3310 3 ปีที่แล้ว

      @@godisgreat1845
      Ask me
      Am here

  • @BroNahashon
    @BroNahashon 9 หลายเดือนก่อน +1

    This sermon really amazing it's confusing who doesn't know who is God.. but all in all..we believe Jesus christ as our sevior and Saturday is the day to rest ❤❤❤❤

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 6 ปีที่แล้ว +19

    Amen Amen bwana yesu anastahili sifa nimeamini yesu ndjye njia ya uzima

    • @abdiyowodowa4124
      @abdiyowodowa4124 5 ปีที่แล้ว

      If you were achristian well but if you were amuslim don't be deceived the gay is lying read the complete verse surah 7:163 and understand that was acertain israil community and also 16:124 which talks to the prophet not to follow those who refused to follow Abraham.and he is lying by saying ati siku ya sabato ndiyo siku ya ibada wala siyo ijuma please check well iwill put the full ayah here

  • @pamelambayisi4423
    @pamelambayisi4423 2 ปีที่แล้ว +1

    Eee bwana wee,Wacha roho ya mungu ikuelekese kwa kila unenapo.Nimefurai jinzi unanenea hao wa islaamu.niko kwao huku SAUTI ARABIA mtu wamungu.be blessed.

  • @gm7045
    @gm7045 5 ปีที่แล้ว +15

    Muislam..ujue kwanza utofauti ya amri za Mungu na amri za watu,umeleta amri za watu tu

  • @helenpaul6514
    @helenpaul6514 2 ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂Ndacha you made my day!!
    Umeweza

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 ปีที่แล้ว +4

    Yesu akirudi,hata angalia ulikuwa msabato,mkatoliki,muislam,bila kuokoka unaenda kuzimu!Yesu ndie njia!

    • @stoispapi2380
      @stoispapi2380 2 ปีที่แล้ว

      Kama yesu ndiye njia mbona usimfate.

    • @DancanOsongo
      @DancanOsongo 5 หลายเดือนก่อน +1

      amen

  • @samuelmuiruri4405
    @samuelmuiruri4405 6 ปีที่แล้ว +13

    Nampenda ndasha sana...tena sana...tuletee muhadhara latest mko sawa sda....nakubuliana na nyinyi 100%

  • @janekwahada580
    @janekwahada580 5 ปีที่แล้ว +22

    GOD bless you for giving people a light of heaven the truth of God thank you so much

    • @apolomarko4083
      @apolomarko4083 5 ปีที่แล้ว +2

      Jane Kwahada , ubarikiwe Sana kondoo wa BWANA

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 4 ปีที่แล้ว

      Ewee kafri ulie laaniwa namungu katika injili nataurat nazabur naquraan...Bblia insma kanisnai kuna kiti cha enzi chashetan. Iksma tena munapo kusanyika kanisani sikwafaida Bali nikwahasara.iksma walio lala katika kiristo wamepotea...kwann mupotee najua iko kwa uislam .nabii yesu hakuenda kanisani wala hakuwatuma Muende huko kanisani kwa shettan. Munafanya nn huko kwenye shetan??mabishop napamsta makuhani wote hao niwanachama washetani..wao wanwpoteza ninyi wafuaci ili Riziki yao itokao kwahetan waikose...bc njoon kwenye njia ya uzima kwuislam...

    • @faithfultoyeshua4576
      @faithfultoyeshua4576 2 ปีที่แล้ว

      @@sulehassanshall6140 hujui kitu unasema

    • @peterjoseph1152
      @peterjoseph1152 2 ปีที่แล้ว

      Hi my sister

  • @leticiahjepchirchir856
    @leticiahjepchirchir856 5 ปีที่แล้ว +13

    Amen... pastor My God bless u continue like that...... wengi wana uchungu kwa kuskia ukweli waambie ata wale wa sundayw wajue ukweli wa mambo.

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 4 ปีที่แล้ว

      Hana ukweli ila shetan wakanisani wamjaa kwakichwa yake..saut yake imkua kama yashetan..ata sura zake zimebadilka kaa zashezan wakanisni..bblia ilisma kanisni kuna kiti cha cha enzi chashetan..ndio hao mashetan wamejaa kwa ndacha..nayeye anatumia nguvu zashetan wakanisa...

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 4 ปีที่แล้ว

      Ewe kafri ulie laaniwa katika injili na zabur nataurat naquraan..somen vzr bblia mujue ukweli musife mukiwa nimkfri .jahannam inawsubiri makafri namshetan..Hao viongozi wenu wao niwanachama wamshetan..hawatki kuambia ukweli watakosa rzki

    • @denniswasai2668
      @denniswasai2668 3 ปีที่แล้ว +1

      Kwani hauna habari muhammad ndie alimdilimisha shetani akawa muislam? Toa ata shetani ni mkristo Mimi nitakutolea ata shetani na majini wore ni waislam na kitabu chao ni quran s

    • @mchungajiZachariatv
      @mchungajiZachariatv หลายเดือนก่อน

      th-cam.com/video/X83K3nWdbZ8/w-d-xo.htmlsi=NcgncX5kMID9_vhy
      Kanisa limewaka moto
      Mpendwa fuatilia kisa hiki

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 5 ปีที่แล้ว +8

    Aminaaaaaa YESU NAKUPENDA MUNGU MKUUUU😘😍

    • @kevinngetich3224
      @kevinngetich3224 4 ปีที่แล้ว +1

      Sotw twampenda Yesu Christu....au sio?

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 4 ปีที่แล้ว

      Shindwa una andiko Yessu anasema mimi ni Mungu wacha kuamini upotovu wa wachungaji Hawa wanajali mambo ya Dunia wala hawajali jinsi gani Mungu atawaadhibu kwa kuwa fuata Hawa wapotoshaji nyie mnadhani Ndacha anawaongoza kumjua Mungu hapana sivyo alivyo fuatilieni mijadala vizuri Kisha wekeni kumbukumbu kwa maneno yake kila siku huwa anabadilisha na kusema vyengine kwa sababu huyo ni mchungaji biblia imewatahadharisha juu ya Hawa wachungaji lakini hataki kuamini hata biblia inapofikia kuwajadili na kuwajua someni wenyewe maandiko mumjue Mungu msiwategemee Hawa

  • @directorgeneral9503
    @directorgeneral9503 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyo pastor Ni shujaa Sana wa mungu..

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa188 3 ปีที่แล้ว +5

    Ndacha May God bless you.uko soo clear

  • @erickangima970
    @erickangima970 ปีที่แล้ว +1

    Hii injili inachoma. Vitu vyote vitapita lakini neno litasimama. Pastor Ndacha umejenga Imani yangu na Nina kila sababu ya kuwa Mkristo imara. Mfuasi wa Yesu Kristo

    • @hamidaalhabsi8568
      @hamidaalhabsi8568 7 หลายเดือนก่อน

      Kama kweli inachoma kilakitu mbona yanatokea tena LGBT YA NINI

  • @edsononyango8785
    @edsononyango8785 4 ปีที่แล้ว +9

    This encouraging and I support Ndacha for what he is doing let's join him so that we may fasten the second coming of Christ so that the word may be witness on the judgment day

  • @mawazomwamba7503
    @mawazomwamba7503 4 ปีที่แล้ว +1

    Alfa na Omenga mwanzo na mwisho ni YESU pekee.
    Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU kuwa shushiya hao Injili ya kweli

  • @deodatusrweyongeza6747
    @deodatusrweyongeza6747 4 ปีที่แล้ว +4

    We, sheh, kubali, kuwa, umeambiwa ukweli, ooh Jesus fanya miujiza,🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

    • @hamidaalhabsi8568
      @hamidaalhabsi8568 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂 Kubalini kuwa hakuna dini ila uislam tu angalieni katika hii dunia watu wanavyoingia dini ya kiislamu bado tu mme lala na kitabu cha mwingereza na sasa katika Makanisa wanamfundisha LGBT Hamjuwi kama BIBILIA wamebadilisha mambo mengi

  • @yesunibwana7263
    @yesunibwana7263 6 ปีที่แล้ว +23

    Mungu ni mkuu hakika, injili lazima ihubiriwe kwa kila kiumbe.

  • @carolinendasala935
    @carolinendasala935 5 ปีที่แล้ว +30

    Waislamu bandia plus bonoko😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆hamuwezi kutupoteza sisi Wakristo Injili ya YESU KRISTO IKO louder and clear kabisa 🙏🙏🙌🙌🙌💃💃

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 4 ปีที่แล้ว

      Uyo Yesu ndio nani?

    • @hanifaabdalla2096
      @hanifaabdalla2096 4 ปีที่แล้ว

      Nani waliopotea nakupotezwa kama si nyinyi makafiri wakiristo? Tunamuomba Allah atuepushe na upotovu wenu huo. Hivi hata huoni ni kwa kiasi gani wakiristo wenzako wanavyosilimu wanapoiona haki inayotoka kwa Mola wao? Na miongoni mwao ni hao wakubwa wenu katika mapadri na wengineo basi hivi hutafakari? Hebu jiulize iyo dini yako ya ukiristo imetokea wapi kama si uzushi.

    • @erastusscharo6645
      @erastusscharo6645 4 ปีที่แล้ว

      Kwani uusulanu umetoka wapi

    • @kwizerathesantos3310
      @kwizerathesantos3310 3 ปีที่แล้ว

      @@hanifaabdalla2096
      Satani anakudanganya Sana
      Yesu alisema ndie njia ya ukweli na uzima hakuna mwenye atakae ingia mbinguni bila kupitia kwake.sasa wewe unamufuata Nani????

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 2 ปีที่แล้ว

      @@hanifaabdalla2096 huwezi kumjuwa hadi Ufunuliwe na Roho mtakatifu

  • @saviotv1665
    @saviotv1665 6 ปีที่แล้ว +7

    Barikiwe Sana rafiki kwa kazi nzuri unayoifanya

  • @shirikaniyonkuru6560
    @shirikaniyonkuru6560 4 ปีที่แล้ว +18

    Basi pastor unaweza kunipa numba yako yasimu ili uje kuhubiri kwetu Rwanda ili kila mtu ajuwe ukweli wa Biblia?

  • @innocentabae1118
    @innocentabae1118 ปีที่แล้ว +3

    Amen. Remember the Sabbath day (Saturday) to keep it Holy.

  • @nanimkenya1015
    @nanimkenya1015 5 ปีที่แล้ว +5

    napenda sana kipindi hiki, Yesu kristu ashifiwe sana

  • @stevenmalubi143
    @stevenmalubi143 5 ปีที่แล้ว +1

    Amina Sana wapeukweli hao wamuludie Mungu Yesu kristo ndo jibu

  • @adriandanford208
    @adriandanford208 4 ปีที่แล้ว +8

    No name that can heal and rescue than jesus name. ..i didnt healed by calling Muhammad ....I love you jesus

    • @111dudi
      @111dudi 2 ปีที่แล้ว

      But still suffer .

  • @luckyprincejabinho9986
    @luckyprincejabinho9986 5 ปีที่แล้ว

    Wahalambu wanafukaka Manduka wana henda kusaali waalambu wana juuwa dini awata funguw manduka mupaka watoke kusaali kuko kalimbu aliwahi kumusuhaniya mtoto wake tena akatomboka sana juu akufunga duka akasema akasema funga tukahenda tuka muchukulu mwenyenzi mungu kwakuwa yeye jo anatupa Barak

    • @henrickrwegasira2826
      @henrickrwegasira2826 4 ปีที่แล้ว

      Rudi shule wewe ujue kuandika,lugha gani hii umeandika?

  • @alinefeyi6731
    @alinefeyi6731 4 ปีที่แล้ว +6

    Amina mcugaji YesuKristo akulinde udeleye kuwaubiri

  • @lorimarmanagement3330
    @lorimarmanagement3330 5 ปีที่แล้ว +2

    Thanks a lot Pastor.these islam have been fighting christianity in all major towns in Kenya.they rebuke the Holy Bible and use it as a novel.since God have used you to reveal to them the truth,what they need,is only Prayers in order for them to know that its only The Bible that has the Truth,Only the Truth and nothing but the Truth.God bless you man of GOD.may God increase you knowledge to spread the good news.I have been blessed by your words.Thank you.

  • @dhakomodherooherokoko6037
    @dhakomodherooherokoko6037 4 ปีที่แล้ว +3

    Francis Ndacha, asante mwalimu wangu

    • @albanybashir7636
      @albanybashir7636 3 ปีที่แล้ว

      Hana lolote, huyo anawapotosha, uisilamu ndio dini ya haki

  • @eddycosmeticseddycosmetics5664
    @eddycosmeticseddycosmetics5664 2 ปีที่แล้ว +1

    YESU Kristo ndio bwana na mwokozi wa ulimwengu mlele AMINA 🙏

  • @mukeragabilodiana9391
    @mukeragabilodiana9391 4 ปีที่แล้ว +8

    Asante mchungaji nitamwambia dadaangu atoke kwenye kanisa yakisiramu akimbie 💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃haraka aripotea kweri 😹😹😹😹😹😹😹

  • @JUBRANBULAYHl-yb4ke
    @JUBRANBULAYHl-yb4ke 2 หลายเดือนก่อน

    Je! Mwenyezi Mungu hatoshi kwa mja wake, na wanakuogopani pamoja na wale wasiokuwa Yeye, basi hana wa kumwongoa? wa mbingu na ardhi, bila ya shaka watasema, Mwenyezi Mungu: “Je! .Mnazuia rehema zake?” Sema: Mwenyezi Mungu ananitosheleza wanaomtegemea itamfikia adhabu ya kumfedhehesha, na itamfikia adhabu ya milele. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu kwa ajili ya watu kwa haki, basi ni kwa ajili ya nafsi yake Potelea mbali kwa ajili yake, na wewe si wakala wa Mwenyezi Mungu juu yao, anachukua roho wakati wa kufa kwao, na wale ambao hawakufa katika usingizi wao Huipeleka nyengine kwa muda uliowekwa. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa watu wanao fikiri watajihadhari na mfano wa Mwenyezi Mungu wa miguu miwili ambayo ndani yake wana washirika wanaogombana na mtu aliyesilimu. Je! Basi mtakuwa mlangoni kwenu Siku ya Kiyama, Je! Na wale wanaoileta Haki na kuiamini, hao ndio watakao kuwa nao, hao ndio malipo ya watendao, ili Mwenyezi Mungu awafutie ubaya wa waliyo yatenda Naapa kwa aliye teremsha Taurati na Injili na Upambanuzi na Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Bwana wa Mitume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake. Mungu awe juu yake yeye na familia yake na maswahaba zake na awape amani wote, na kwa ukweli wa Mungu alivyoumba jua, mwezi, sayari, nyota, mbingu, ardhi, majini, wanadamu, Adam. , amani iwe juu yake, na Hawa, amani iwe juu yake, Shetani, pepo, pepo, wanyama waharibifu, ngamia, miti, mawe, miamba, milima, mchanga, ndege, simba, fisi, simba, nyoka, nyoka, nge. , na kila ndege wa angani, na kila mnyama kitambaacho juu ya nchi, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi, na baharini, na mito, je! itokeze katika ardhi, kisha ikatoa mimea yenye rangi mbali mbali, kisha ikasisimka, na ukaiona inageuka kuwa ya manjano, kisha anaivunjavunja kifuani Mwenyezi Mungu anaufungua kwa Uislamu, basi yeye yuko juu ya nuru ya Mola wake Mlezi! Wale wanaomcha Mola wao Mlezi hutetemeka kwa hayo, kisha ngozi zao na nyoyo zao zikalainika kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu ubaya wa adhabu Siku ya Kiyama, na wataambiwa madhalimu: “Onjeni uwongo wa walio kuwa kabla yao, maadamu nyinyi mmekwisha pata Mwenyezi Mungu aliwaonjesha fedheha ya maisha ya dunia na adhabu ni kubwa zaidi, laiti wangelijua, Mungu Wangu, nionyeshe nguvu zako na uweza wako katika kila jeuri na jeuri juu ya ardhi yako na chini ya ardhi yako. Mungu wangu, uadilifu, uadilifu, uadilifu, na kila nilipowaita kuwasamehe, wanaweka vidole vyao masikioni mwao, na kuacha kuabudu chochote kisichokuwa wewe, ili upate kusamehewa Kwa ajili yao. , ikiwa wangefanya hivyo, wangeweka vidole vyao masikioni mwao ili wasisikie wito wangu kwao kwa ajili ya hilo, na wangejifunika nguo zao Mungu Wangu, sasa wanakuamini, basi usioneshe chochote bali wape adhabu, na waonyeshe adhabu chungu katika nafsi zao, katika mali zao, na katika watoto wao, baraka za Mwenyezi Mungu na amani zimshukie Bwana wetu Muhammad na jamaa zake na maswahaba zake, ewe Mwenyezi Mungu, Amina, Mola Mlezi wa walimwengu wote.

  • @shirikaniyonkuru6560
    @shirikaniyonkuru6560 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubaliki mzee!

  • @nairobiflavour
    @nairobiflavour 3 ปีที่แล้ว +4

    Bwana wetu yesu kristo asifiwe milele daima

  • @carolinendasala935
    @carolinendasala935 5 ปีที่แล้ว +9

    Hahaha waislamu hawajielewi kabisa mkubali kuzaliwa mara ya pili hapo inakubalika🙏🙏🙏💃💃💃💃💃

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 5 ปีที่แล้ว +13

    Ningekua mimi ndo muislam ata nisingebishana na uyu jamaa maana uyu jamaa ni noma alafu anataja haya zotee kama auna imani unaweza lia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +1

      Hakuna hata aya moja hapo kutoka Qur'an.

    • @sulehassanshall6140
      @sulehassanshall6140 4 ปีที่แล้ว +1

      Huyo jamaa ni chizi. Mapepo yanamsumbua kichwa yake..Ana mapepo elf moja..Atakua wapi na Akili kujua Dini yakiislam. .mwanzo mapepo wamtoke. .kisha ndio ata faham dini yakiislam..Na mukifuata huyo hamutajua ukweli mutakua kwenye giza leusi sana..

    • @festusobeni9562
      @festusobeni9562 3 หลายเดือนก่อน

      Hizo Aya anazo nukuu mwalimu Ndacha ziko katika Quran ama

  • @annastaziakibole5603
    @annastaziakibole5603 6 ปีที่แล้ว +22

    barikiwa sana kwa kuitambuwa sabato

    • @issakhalid1098
      @issakhalid1098 5 ปีที่แล้ว

      annastazia kibole

    • @dorismgeni6146
      @dorismgeni6146 4 ปีที่แล้ว

      Ukweli wa Mwenyez Mungu utabaki balebale Sabato ndio
      Ukweli wa Mwenyenz Mungu utabaki palepale Sabato ilifanyika kwaajili ya Mwanadam yani shehe anaonyeshatu kua anajua ukweli ulipo naipo ck atabatizw

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 ปีที่แล้ว +1

    Greetings Teacher Francis Shasta and Teacher Stephen. .I am following dear keep telling them the truth painful gospel of Jesus Christ You never know who you are inspiring Nothing comes easy in life SIR

  • @fatumaslayman8792
    @fatumaslayman8792 5 ปีที่แล้ว +7

    Huu n msiba, thank you Allah for choosing me to be among of Muslim ☪, ni wizi mtupu uo

    • @user-wc9zg6hk5s
      @user-wc9zg6hk5s 4 ปีที่แล้ว

      Fatuma slayman acha ukundu jielewe msiba huko kwwenu ujueeee

  • @magesajnr296
    @magesajnr296 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtu wa Mungu akika Sabato ni muhuli wa Mungu

  • @itugn
    @itugn 5 ปีที่แล้ว +3

    Warumi 14: 5 - 6:
    Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
    Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 7 หลายเดือนก่อน

    Subhanaallah huyu anajiamini sana hajuwi kesho yake bro wacheni upumbavu wa kizungu aliomidanganya.

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu shekh anapotosha watu...yesu alisema yafaa kutenda kazi njema siku ya Sabato. ..je ng'ombe wako akitumbukia shimoni siku ya Sabato hutamtoa? Someni bana msipoteze muda kulumbana

  • @kelvinsakey2540
    @kelvinsakey2540 4 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki pastor ndacha

  • @saidhassan382
    @saidhassan382 5 ปีที่แล้ว +3

    Kile kimenifurahisha ni ya kwamba paster amevaa kanzu . Asante Najivunia kuwa mwislamu. Alafu huyu paster anasoma verses nusunusu kwalaghai wakristo juu hawajui maandiko. Pole umewika iyo yote bado watu wataendelea kuislimu na kanisa kupunguka.

    • @Andaybuidingworks
      @Andaybuidingworks 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂nguo ni uisilamu ad naeza enda nayo shamba

    • @user-ul3uu4rb8l
      @user-ul3uu4rb8l 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 kwani unajua nn maana ya kanzu

  • @FatimaFatima-wk1jk
    @FatimaFatima-wk1jk 2 ปีที่แล้ว

    Unahangaika wewe 😂😂😂 yaani mishipa inakutoka Kwa kuutetea ukafiri 🙌🙌

    • @user13375
      @user13375 3 หลายเดือนก่อน

      Makafir ni ndugu za majini

  • @judithmoturi3402
    @judithmoturi3402 3 ปีที่แล้ว +6

    Mandiko ya Mungu yajitetea kweli Amen 🙏

  • @anitagathoni
    @anitagathoni 5 ปีที่แล้ว

    Yesu ndiye sadaka ya kuteketezwa. Hatuitaji tena kutoa kafara ya kuteketeza maana damu ya Yesu imetuosha na kutufanya watakatifu. Nyote waislamu na hawa wasabato mnawapotoza wanaowasikiliza. Mungu awasamehe.

  • @luckyprincejabinho9986
    @luckyprincejabinho9986 5 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki unasema kweli umewakomicha wambiye wapi kindongo

  • @ekofoprince100
    @ekofoprince100 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidishe power kwa wachungaji

  • @majoralistingo641
    @majoralistingo641 6 ปีที่แล้ว +59

    Saturday is the holy day of worship set aside by God,no question about that!!!.

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 4 ปีที่แล้ว

      Yes but when the Victory happened?

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 4 ปีที่แล้ว +2

      Sabato ni siku ya mapumziko sio siku ya ibada

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 4 ปีที่แล้ว

      @@mhogomchungu7168 ni kifungu gani cha Qurani kinachowaambia Waislamu wapumzike jumamosi Tafadhali nataka kujifunza

    • @claudiamartins3504
      @claudiamartins3504 4 ปีที่แล้ว

      Yesu ni sabato

    • @joyceluvanga8923
      @joyceluvanga8923 4 ปีที่แล้ว +2

      @@claudiamartins3504 hahahaa, hakuna andiko lisemalo Yesu ni sabato, BT kuna andiko Yesu ndiye bwana wa sabato na Hiyo sabato iko kwa ajili ya wanadamu

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu pastor ameweza kabisa nashukuru mungu sna....huyu pastor ako wpi ?????

  • @ruthchepkoech561
    @ruthchepkoech561 5 ปีที่แล้ว +10

    Let the truth be truth good work God be praised

  • @milikaekal8623
    @milikaekal8623 ปีที่แล้ว

    Waaa asante sana nimebarikiwa sanaaaa mtumishi wa mungu

  • @rehema2018
    @rehema2018 5 ปีที่แล้ว +9

    Ukristo ndo dini peeke
    Proudly Christian❤

    • @kiddykidding8379
      @kiddykidding8379 5 ปีที่แล้ว

      Reeh Gold wallahi my sister unajidanganya nakupa mawaidha angalia wazungu waliowaletea dini na kuwadanganya Mungu ni watatu father son and holy spirt venye wanasilimu watch mawaidha ya Sheik Ahmed deedat na Dr zakir naik iyo mbili tu sikupi mingi

    • @kiddykidding8379
      @kiddykidding8379 5 ปีที่แล้ว

      Reeh Gold Sheik Ahmed deedat is class six dropout bt wise man anawashika wazungu wale wakubwa malawyer na professers na wale wamesoma wewe huoni kama ni miracle and he is just class 6 drop out Allah is Great

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 ปีที่แล้ว +1

    Waislamu wanasilimu wakitumia sheria wao hawana Imani kwa baba wa mbinguni. Waislamu ni wachawi wakora. Waislamu mashiek lazima wasome uchawi na uganga- elimu Dunia na ahera. Waislamu hata mecca wanaabudi jiwe jeusi huko mecca

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 3 ปีที่แล้ว +3

    Congratulations Teacher Francis Ndasha I love your dressing code. .Ah ha ha,

  • @user-wg2ht8uo5y
    @user-wg2ht8uo5y 7 หลายเดือนก่อน

    Amen pastor ndacha 🙏🙏

  • @wendyawino5887
    @wendyawino5887 5 ปีที่แล้ว +6

    Amen love ur neighbour's as love urself

    • @brojackson4105
      @brojackson4105 2 ปีที่แล้ว

      I watch and recognize the truth in secret.

  • @blessingsgeneral93
    @blessingsgeneral93 2 ปีที่แล้ว +1

    The Brotherhood and Jovial Nature of The Conversation between The Christians/ Muslims is Awsome makes GOD/ ALLAH pour his love and Understanding .

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 3 ปีที่แล้ว +5

    Biblia nikitabu kitakatifu,yesu aSifiwe milele

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen Amen pastor glory be to God hallelujah 😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏😅😅

  • @josephmatinde5051
    @josephmatinde5051 5 ปีที่แล้ว +7

    Waislamu murudieni Mungu

    • @zulfaabdallah3217
      @zulfaabdallah3217 5 ปีที่แล้ว

      Ukirito ni dini ya makafiri waliolaaniwa na mwenyezimungu Islam ndio dini ya haki ni Islam kama hamujuwi

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 5 ปีที่แล้ว

      sisi tayari tunaabudu mungu mmoja wewe unasema mungu yupi

    • @naseemjeddah8042
      @naseemjeddah8042 5 ปีที่แล้ว

      Sisi Tuko kwa Allah kilasiku

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      Kwani nyinyi mko na Mungu?

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      We utarudi lini

  • @onkoodchannel8667
    @onkoodchannel8667 6 ปีที่แล้ว +2

    Alhamdullilah kuwa kwa mwislamu Nuru kuliko wewe unatusi mwenye alikuumba na kumpa riziki ya kila siku.

  • @manasebakunda8218
    @manasebakunda8218 5 ปีที่แล้ว +3

    si ljumaa wala jumamosi sabato ya kweli ni ku mwamini bwana Yesu kwa kuacha dhambi kwani siku hizi hatutegemei wanyama kwa ondoleo la dhambi

    • @BIBLIANURUYADUNIA
      @BIBLIANURUYADUNIA  5 ปีที่แล้ว

      Biblia gani inasema sabato nikuaja dhambi ama ni maneno yako? Brother chunga Sana.

    • @zacharyayaga6661
      @zacharyayaga6661 4 ปีที่แล้ว

      Chunga sana brother, shetani sio rika yetu

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂💪🙏🙏 kumbe hawo c waisilamu Exactly 👏👏👏👏👏👏👏

  • @helenamasinjisa8470
    @helenamasinjisa8470 6 ปีที่แล้ว +5

    mungu atunusuru bibilia imejieleza

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw ปีที่แล้ว

    Love you pastor ndacha kutuelemisha

  • @yesunibwana7263
    @yesunibwana7263 6 ปีที่แล้ว +13

    pastor ndacha Mungu akubariki.

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      Na sadaka?

    • @minaminaa1669
      @minaminaa1669 5 ปีที่แล้ว

      😅😅😅😅

    • @calvinmchopa2222
      @calvinmchopa2222 5 ปีที่แล้ว +3

      isaiah fema nipe aya ya kuzaliwa kwa Muhammad ndani ya Quran....

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      @@calvinmchopa2222 لقد جاءكم رسول من انفسكم عزيز ما عنتم حريس عليكم بالمؤنين رؤوف رحيم. Nawe nipe aya katika bibilia Yesu alizaliwa tarehe 25 December

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      Q-9: 128

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Shekhe anaongea points za Ndacha hajaleta anything new..... he can't defend his religion

  • @jamesm.darnes640
    @jamesm.darnes640 6 ปีที่แล้ว +23

    Yesu ndiye njia kweli na uzima

  • @mathewseverin7966
    @mathewseverin7966 4 หลายเดือนก่อน

    Wakristo na waislamu niwatoto wa Ibrahim acheni kuyumbana bali kaeni chini mwondoshe tofauti zenu.

  • @financialloan9818
    @financialloan9818 5 ปีที่แล้ว +5

    Waislam mavi yamewagonga kwenye vyupi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Asante Mungu kwa kua mkiristo Asante baba angu kwa kuiacha dini ya mashetani umenizaa Kwenye ukiristo Asante baba😘😘😘😘😘

    • @zulfaabdallah3217
      @zulfaabdallah3217 5 ปีที่แล้ว

      Nyie ndio wasenge wacristo ma ana nyie makafiri mutajuta siku ya kiama au mukifa

    • @financialloan9818
      @financialloan9818 5 ปีที่แล้ว

      @@zulfaabdallah3217 waulize wasenge wezio waislam walio kufa kama wameingia peponi alafu nipe jibu😂😂😂😂😂😂😂😂amna atae uona ufalme wa mbinguni bila kumuamini yesu amna ata siku moja mbona amnza yule anawaambia kila siku na anawasomea iyo iyo Qran yenu mtachomwa moto nyinyi wachawi wauwaji wafuga majini

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      We sasa ndo shetani Wa pembe mbili..haya ni maneno ya MTU Wa Mungu au shetani..matusi haibadilishi chochote jibu maswali ulioulizwa..Mimi siwezi kukutukana ...huyo Muhammad (saw) uliye mtusi hajawahi kukutukana.. na anafwatwa na mabilioni duniani si kama wewe hata kwenu hujulikani..na matusi yote ulio tukana inaonyesha babako na mamako niwatu wasiokua na tabia ndo wakakufunza matusi..hufai hata kujiita MTU w Mungu Shetani wewe...

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      @@financialloan9818 kwani ufalme Wa mbinguni in wanyanyako ndo unapangia watu kuurithi..wewe hata nadhani umekunywa bangi

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว

      Na ni wewe unakaa unafanya kazi y kutengeneza siweji ndo unaimbaimba machafu

  • @DanielyKimoko
    @DanielyKimoko 8 หลายเดือนก่อน

    Balikiwa sana mtumishi,unamungu

  • @habelkalume9011
    @habelkalume9011 5 ปีที่แล้ว +8

    Kama kuna watu waislamu hamtawaweza ni Wasabato....hao watu wanasoma sana.....hamtawaweza waislamu wamesoma mpaka kuruani.....hamuwawezi ile kusema kweli....ndo maana waislamu wengi wanakuwa wasabato.....

    • @barakajuma9840
      @barakajuma9840 5 ปีที่แล้ว +3

      nikweli hujakosea

    • @gfrhajji5233
      @gfrhajji5233 5 ปีที่แล้ว

      Sio kweli na hawajui hata sheria moja ya sabato yaani hawawezi hatakuwafikia mashahidi wa Yehova.

    • @madrasaturahmasec3496
      @madrasaturahmasec3496 5 ปีที่แล้ว +1

      Acha oungo taja muislamu mmoja amekua msabato..na kusoma kila mtu anasoma labda wewe hatutishwi na wasabato wala watu w Juma pili..tunaamini mumepotea na mnahitaji msaada

    • @sadickmkakile8476
      @sadickmkakile8476 5 ปีที่แล้ว

      @@madrasaturahmasec3496kweli wamepotea hawa

    • @jacobpaul949
      @jacobpaul949 5 ปีที่แล้ว

      wambie mtumishi wa bwana

  • @chanokhchannel2590
    @chanokhchannel2590 3 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri mwinjilisti Ndacha

  • @ellyouma3256
    @ellyouma3256 5 ปีที่แล้ว +6

    Twasifu Mungu ndugu Ndacha kwa mada mzuri.

  • @haskeshhassan3222
    @haskeshhassan3222 5 ปีที่แล้ว +1

    Asalam aleykum ndugu zangu naomba niwakumbushe kitu muhim Sana hivi unajua kama tuko safarini tuliianza safari kupitia maji madhaifu ya baba tena yenye kutoa harufu isiopendeza wala kuvutia yakaungana na maji ya mama hii ikawa ndio mwanzo wa safari kisha tukaanza maisha mpya tukiwa tumboni mwa mama tukala kupitia kitovu wala sio mdomo tukaishi kwa miezi kadhaa tulipo toka tumboni tukaja Duniani baada ya kuja Duniani alietuumba akatupa jukum muhim nalo si lingine ni jukum la kumuabudu Allah kwa bahati mbaya watu wengi wamesahau jukum hili wakidhani wamefika wanapo kwenda wanashughulika na mambo yao tu ndugu zangu nawakumbusha safari inaendelea kaburi Lina tungoja vyote tunavyo vitafuta tutaviacha isipokuwa amali zetu ndio tutakazo ondoka nazo (Yani matendo yetu ndio tutakayo ondoka nayao hivyo Basi niwakumbushe pamoja na kukumbusha nafsi yangu kumuabudu Allah haswa ibada ya swala wengi tumeisahau namuomba Allah atupe mwisho mwema

  • @mahadmohamedadhan8634
    @mahadmohamedadhan8634 4 ปีที่แล้ว +3

    Thank you Allah for making me Muslim, hii ni hatari sana ....subhanallah tangu lini mungu anapumzika.....ovyo kabisa

    • @elijahaywago7274
      @elijahaywago7274 4 ปีที่แล้ว

      Mungu kupumzika iko katika kitabu cha mwanzo wa nabi musa ambayo waislamu pia wanasema ni halali

    • @mahadmohamedadhan8634
      @mahadmohamedadhan8634 4 ปีที่แล้ว +2

      Hamna mahali imesemekana mungu amepumzika katika uislaamu tafadhali

    • @writershub7751
      @writershub7751 4 ปีที่แล้ว +1

      @@mahadmohamedadhan8634 Ndio maana Waislam hawamjui Mungu ila kitabu chao ni hadithi Muhamed na mkewewe walizo hadithiwa na Padri. Kama si padri Muhamed angejua malaika Jibril? Hamna Taurati, zaburi, vitabu vya manabii na Injili mtajua Mungu aje?

    • @mahadmohamedadhan8634
      @mahadmohamedadhan8634 4 ปีที่แล้ว

      Pole mama naniiiiii!!

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว

      Jiulize wanao abudu sanamu ni Nani? Kama sabato ni jumamosi mbona jumapili ndio wana enda kanisani? Na kama wana omba wakati wote mbona siku zingine makanisa hayana watu

  • @carolinemiss993
    @carolinemiss993 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu pastor sijuwi naweza pata wpi waaah 😂😂😂😂🙏🙏

  • @faithfultoyeshua4576
    @faithfultoyeshua4576 2 ปีที่แล้ว +3

    Truly YHWH cannot be compared to allah. Bible and Qur'an also
    Very different

  • @patrickamos4006
    @patrickamos4006 2 ปีที่แล้ว +1

    Neno la mungu lina majibu yote jaman

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 5 ปีที่แล้ว +6

    Shehe simwelewi kabisa kachemka

  • @AliAli-wb2vq
    @AliAli-wb2vq 6 ปีที่แล้ว

    I wish ningekuwa kapsabet kufundishia hamambo wangekubali lakini naomba mungu hanijalie siku moja nitashiki hii mada yakufundisha ukweli ndiyo wataokoka na kusema yesu ndiyo njia ya kweli juu hatia muende juu murudi chini mutakubali tu iko siku mutakubali ukweli ....barikiweni sana walimu wa kikirsto mumefuza vizuri sana mungu hawape hekima zaidi ya kufuzia ukweli ndipo tupate uzima wamilele sote nawapenda sana waislam lakini ndipo muone ufalume wa mungu ama peponi vile mwaijuwa nyinyi lazima mukubali ukweli nakujifuza zaidi mambo ya mungu bila kumushikisha na miungu ...

    • @yusufnoor215
      @yusufnoor215 6 ปีที่แล้ว

      Wagalatia(wakiristo) msio na AKILI nani kawaroga!? Maandiko yako waazi yakua mmepotea!????

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 6 ปีที่แล้ว +7

    Yesu ndiye njia ya uzima

    • @isackbaton9759
      @isackbaton9759 6 ปีที่แล้ว

      Zahal Jamal ubarikiwe kwa kujua ukweli sio kwa ubishani

    • @mordally
      @mordally 5 ปีที่แล้ว

      Kabla ya Yesu nani alikuwa njia, na baada ya kufa nani alikuwa njia, alipokuwa tumboni kwa mama yake nani alikuwa njia ondoa hizi ambiguity

    • @ahmedkhelef1559
      @ahmedkhelef1559 4 ปีที่แล้ว

      Wewe ci muislam

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 ปีที่แล้ว

    Huezi pinga bible, ndacha ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 6 ปีที่แล้ว +9

    Kwa Mungu hakuna Mkikuyu we are all brothers and sisters no matter tribe nor country

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn1402 2 ปีที่แล้ว

    Waislam hapo hawaelewi kitu, wanaona kama vile wakristo wamepotea, kumbe wao ndio wamepotea njia kweli kweli. Hii inatokana na imani potofu wanayolishwa tangu wakiwa dodo makinda! Wanapokuwa wakubwa unakuta hawaelewi nn wala nn zaidi ya uislam labda Mungu ashushe neema zake kwao.

  • @enockobbanda8225
    @enockobbanda8225 3 ปีที่แล้ว +4

    I love this man,GOD bless you forever 🙏.

  • @warriorfromthenorth1734
    @warriorfromthenorth1734 2 ปีที่แล้ว +1

    I like this guy..trust me he is genius

  • @malicboy7973
    @malicboy7973 5 ปีที่แล้ว +4

    Shukran ustadh kwa kupeyana elimu. Halafu pastor anajikaranga na mafuta yake. 🤣🤣🤣

  • @wycliffea.okwaro8352
    @wycliffea.okwaro8352 3 ปีที่แล้ว

    that is best than worshiping idols