BINTI SARAPHINA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ธ.ค. 2023
- Sarafina akiwa ameketi pale sebuleni, akanyanyua macho yake na kutazama saa iliyoko ukutani.
"Saa tisa na nusu! Mmmh, mbona siyo kawaida yake?, Japo siku hizi anachelewa kuludi lakini hajawahi kufika saa hizi". Akaongea kimoyo moyo huku hofu ikiwa imetawala. Saa tisa usiku bado alikua sebuleni akimsubili mumewe, alikosa usingizi kabisa. Muda wote alikua akimpigia simu mumewe lakini simu iliishia kuita tu bila kupokelewa,, "mume wangu jamani! Sijui amepatwa na nini usiku huu. Eeh Mungu, mlinde Nicholas wangu, mlinde mume wangu". - บันเทิง
Wooow so sweet voice 😍 jaman ambao tukisikiliza hii saut tunasahau stress zetu zote gongen like tujuane 😉😉 na tu enjoy 🎉🎉
Kawaida yake,alijaliwa na maulana
Atimae Leo nimekua WA Kwanza,like zenu wapendwa,wa Anko yay 🔥🔥🔥🔥🔥
Simulizi tamu❤ mwandishi Sabra,Anko Jay Mapesa n wanafamilia wa Anko simulizi ,mzigo mtamu Sana n pia n km binti Cinderella,shukrani sana
Mmmh,ile ya cindelela ilisikitisha kweli
Simulizi nzuri sema matangazo mengi sana ❤😊
Wow kazi nzuri Anko,listening from Kenya,much ❤ from 🇰🇪
Asante pia kwa story tamu mungu azidi kukubariki sana kaka yetu, JE waendeleaje na maisha ❤❤❤🎉🎉🎉
Beautiful story darling tupe pia za walio kwa doa dia kwa wingi
Ahsante sana Anko kwa kitu kipya kabisa,tuko pamoya.
Nimewai aki wakenya nipee like
Nakutegea jicho anya time anko, nione tu ukitupatai mambo, nashukuru sana anko simuliz zako zimenitoa ktika upweke , asnte sana ❤❤❤❤
Uncle jay tupe mambo mvuaaaa tutulie zetu sie kimyaaaa na kishushio cha simulizi tamu unapata joto ghafla
Mbona Doreen alioneka na kama mwenye hataki kuenda hospital???? Nina Imani Sarah si tasa.
Story inafunza sana
Ahsante sana broo 🎉
Sana jaman
Very nice story ❤❤❤ shukran
Kazi nzuri anko jay
Anko j simulizi zako za tufundisha sana ❤❤❤ kutoka hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️
Imeniuma san hii imegusa maish yangu mungu tupe subra wanwake wote tunopitia hiii changmoto
Amren jmn
So amazing hujawihi kutubwa ako jay yetu ❤❤
Amazing ❤❤
Wow aki maisha ni magumu kweli mimi siwezi kuteseka Ivo na mtoto wa mtu eti kisa mapenzi la pole sarah
Yani hadi raha Ankojey hongera kwakutowa simulizi kwa saut yko yani mm suwez kuskiliza km hujasimulia wewe❤❤
Mwenyewe asiposimulia anko jay Siwez sikiliza, Bora nilale.
Basi wewe c mpenzi wa simulizi
Aaaisee anko j inabid kuw na tunz za muwaiji bola maan kuna wat balaaa😂😂😂❤
Kweli anastahili
Acha alee mimba hewa huyo,Sara atapata mtu na atabeba ujauzitotu ataumbuka huyo Nicko
Hii simulizi inahuzunisha kwa kweli 😢😢😢😢
Ukiona comment ni mimngi utajua msimulizi ni nani😂😂😂 maashala sauti ya mfalme Ankojay❤❤❤
😃😃😃😃
Mwamba wa sauti
Profesor wa sauti
Mkui wa sauti
Jamani anko j hii simulizi naomba pati2
Hii simulizi imenikumbusha mbali sana machozi imenitoka 😭😭😭 ❤❤❤
Pole
❤❤🎉🎉 tuma x pia sarafina mwendelezo😊
Thanks ankoj Mungu akupe Maisha marefu ❤❤❤❤
So sad story with much lesson 💖💖
Asante sanaa ankojay kwa simulizi hii tamu kweli kweli ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ from 🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇮🇹🇹🇿🇹🇿🇹🇿
❤❤❤❤🙏🙏🇴🇲daah tamu hyoo nataman utumeleohii mwendelezo wake
Ndiyo hata Mimi nausubili kwa hamu
Mmmh aya nipeni namimi like zenu sijui nazipeleka wap😮
Nko na swali anko jay naomba unijibu samahani lakini kwani hauwezi achilia simulizi mbili kwa siku?? ❤❤❤❤
Àsante
Asante saana
Waoooooooo tupo tim strong a.k.a. magaid😊😊
Nimewahi leo anko jay🤗
🤗🤗🤗🤗🤗
Wewe ma,mkwe siku huyo doreen atakuja kukugeuka utamkumbuka huyo saraphina, yaani ma,mkwe wengine ni washenzi sana pumbavu
Wanafamilia tupo tunarelax na kuinjoy 😂😂😂😂😂😂😂
Kama kawaida yetu
Finaly leo tuko poa ankojay ❤❤❤❤
❤❤❤❤ anko j tunakumic ujue usituweke sana ivo bhana 🥺🥺🤣
Asante kwa simulizi nzuri ankojay
Asnte mkuu🎉🎉🎉🎉
AmaZing❤❤❤❤
Wow,,, Amazing sana Ankojay shukran kwa simulizi tamu
Asate ankojay pamoja ❤❤❤🎉
Pamoja saaana
Njengin pat 2 tukonge moy
Jamn hii simuliz inahusu maisha yangu kabisa
Nice story🎉
Asant sana Ankojay ❤❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tutumie x tuko hoyi tumesubiri
Mh mama mkweh kamauyo atali
Na ndio waliobaki baada ya wale wenye moyo wa uzazi kufa wote
simuliz nzur sanna hii 🥰🥰 anko tupe mwendelezo wake bac
Much love ankojay ❤
Wakwe wanachqngia sana kuharibu ndoa za watoto wangu
Sawa Kaka nakuelewa sana asante.
Yuko makini kwa kazi zake
😂😂😂😂 khaaaa,unaacha huku unataka tena,nini hicho😂😂😂,na mama mkwe huyu ni shetani wa mguuu mmoja
Shetan wa mapembe,
Amazing story Mr jay ❤❤❤❤❤
Nimechelewa Leo wapenzi
Nicolas mbona una wasiwasi,,,,inaonekana wewe ndio mwenye shida ya kutosababisha uja uzito
Simulizi tamu San onko j mungu akubariki jaman hata kupika nasahau
Jamaniii ngoja tumsaidie saraphina kumsubiria mumewe😂
Kwa mateso hayo siwezi kwakweli eti kisa mtu hazayi 😂😂😂
Eti Mwanaume anasura nzuri km mwanamke nimecheka sana😅😅
Nmechelewa wanafamilia wa anko J❤❤🎉🎉
2 ❤❤❤❤
Yani ubusy mpaka nimekua late kusikiliz bt heri kuchelewa kuliko kupitwa😊
Haya hii tumeimaliza achilia part 2 leoleo plzzz anko jay Leo tufurahishe basi mashabiki zako tunakupenda sanaaaaaa ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nice👍
Safi saaana
hila na ss wanawake tukiona mapenzi yana kwenda sio tujalibu kujiongeza kwani Kuna msemo wa kwamba ukisema chanini na mungine anasema nitakipata lini ona Sasa maisha Sara alikubali matokeo mm hongera Sana Ankojay mapesa na mwandishi tujifuze kupenda na kuacha pia kwani bei Gani kula Bata zamuyako tunakupenda mnooooooo jamani simulizi ni pambe ❤❤
Nice ❤❤❤
Thanks 🤗
Anko asante sana ubarikiwe nimehawahi leo wakwanza jananii😂😂😂😂😂
amizing❤
Asante pia Anko
Simulizi tamu msimuliaji uko vzr Ankooo❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
kumbe dawa ya X kumtafuta zaidi yake 😂😂aliye mzidi kila kitu
Bwanawe😂😂😂
Woyooo ❤❤❤
Nimewahi, ujae nyuma usiseme we wakwanza
Pole sana mwanamke mwenzetu
Thanks anko jay love you Kwa story nzur
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea maua yako😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Always love you Anko jay
Jaman tunamis sauti ii adi tunaumwa usitufanyie ivyo kaka Siku znakuwa ndefu tusiposkia ii saut ❤❤❤❤❤❤
Tuliimiss hi sauti.wacha niburudike.Anko jay family hy
Ankoooooooooo muendelezoooo
Hii simulizi imejaa mafunzo mengi aiseee kwa kweliii Mungu huleta jaribu na mlango wa kutokea
🎉🎉😂😂❤❤
part 2 plzzzzzz
Mama mkwe nae ni mtu mzima kisheti ana roho mbaya kama sio mzazi mama na mawifi nitadili na nyie acheni roho mbaya kwani ww umepigaje hapo 😂😂 ww mungu anakuona hongera Sana mwandishi wa hii simulizi ni tamu na hinauzunisha wazazi wenyewe watoto wakiume jamani tunakwama wapi haaaaa tuache kuzaa ni majaliwa ya mungu tuwe na off ya mungu jamani
Kwaxa Nicheke huyu nicholas ameingizwaa chakike nahuyu dorine hamna mimba wala mtoto mimba.haya amepeleka picha sawa lkn kwann hukumpamkeo mda ajielezee talaka bi dada ka sigh sasa sijui nn imetokea hapo huyu nico atakuja kulia nakusaga meno wakati huo atakuwa amechelewaa😂
We mwache tu
Siku zote wajinga ndiwo waliwao,chochote atakacholipwa ni haki yake, maana mtu apandacho ndicho atakachovunai
Cjachelewa sana Anko jay wangu❤❤❤❤
🔥🔥🔥
Asante san anko jay kwasimulizi
Nice story❤❤
hongera San mwandishi wetu hila ww mama mkwe ulipigajw hapo naona bola umejiukumu mwenyewe mwanga wa milele ukuangazie sheni mama ww acha roho mbaya amekupa hadi figo Bado una mchukia kama ujazaa ww mama
Amazing
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimechelewa leo😢😢
Tuko pamoja sana anko j
Daaah yan Matangazo yanakera jaman yaan yanakera too much😡😡
Aiseee hakuna kulala asante xn ankoj ❤❤❤❤
Tuko pamoja mana Ankojay natupa raha hivo basi hatuna bundi kulala usiku yani usiku wa manane tuko kwa Ankojay nakupenda sana kaka basi tu ❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@@fatmahmkuzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣walai ucngizi hamna tunakesha mbk bac🤣🤣
@@agnesagnes5288 ila mm sijuwi ni kwann mana kilanikiaza hio simalizi lazima nimalize😂😂😂😂😂😂
@@fatmahmkuzi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Congratulations 👏👏👏
Yuko vizur sana
Anko Jay mbona unamtaja jina ya huyo Nicholas na madoido hivo 🙄
😂😂😂😂