Napenda kusema nawapenda wote, namuomba mwenyezi Mungu awatangulie kwa kila jambo pia msichoke kumuomba yeye kwa vile ni kila kitu kwetu, asanteni sana.
Msululu wa matatizo yote ya ndoa hiyo,yalisababishwa na mwanamke mmoja tu ayekosa hekima akaanbukiza upumbavu kizazi chake chote,ni mama mkwe,Asante mtunzi,asante msimulizi,nawapenda wote kwa mafundisho mujarabu❤❤❤❤
Ndoa zinaitaji uvumilivu sana ndoa za siku izi azikaii kabisa kwa sababu zinamambo mengi ndoa za ss hv ❤❤❤ tumuombe mungu sana maana ndoa siyo lelemama 😂😂
Safi sana Mama Jacky wanawake km hawa tuko wangapi. Wanaume wamepotezea Watu muda na hata kuharibu maisha kupigania penzi feki. Usipopendwa sepa Mungu hawezi kukuacha. Sasa Baba Jacky ameishia wapi? Laana inaleta kifoooo!!!
Asante sana, Mimi yalinikuta ndani ya ndoa lakini sikuletewa ndani ya nyumba.ila ndoa ndoana na bila kuwa na subra utabadilisha waume. ambao hawajaingia kwenye ndoa musikate tamaa. Bali tumuombeni Mungu atupe aliowema na kutuepuaha na mabalaa ya mawifi na mamamkwe ama babake. Kwani unaweza kupata mama mwema baba akawa balaa. Asante sana.
Ndoa zinamitihani kama halijakukuta utaona ni uongo lakini kama lilikukuta kama mimi kamwe siwezi kusahau kabisa lakini mungu ni mwema sana kazi ni kujipa moyo tu
Hao mawifi wanaoshughulika na ndoa za kaka zao,hakika hao kaka wa hivyo ni kama maiti zinazotembea,mtu asiyetumia ubongo wao japokiwa ni viongozi wa familia ngoja hilo toto la kiume liwe la mwanaume mwingine
Katika simulizi nilizowahi kusikiliza kiukwer hii imeshika sehema ya kwanza Yani namba Moja imenigusa mno Yan niuhalisia kabisa duh aisee wewe mtunzi na msimuliaji nawaahidi kuwapa elfu 50 nipongezi kwenu kiukwer imenigusa pakubwa
Duh! huu simulizi ni kama ni sehemu ya pili la simulizi ya dada fulani aliyetaka kujua ndoa ikoje,akaanza upelezi kwa dadake,mamake mdogo,kisha akaolewa akasema anaishi maisha mazuri kwa ndoa changa
Niko single na enjoy na waarabu Hadi Raha na watoto wangu wanapata kila hutaji lao la msingi sitaki shida mm na mtoto wa mtu Yani ndoa msikiye mweziyo tu 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
👏👏👏Masinger mother kujeni hp Af 🇴🇲🇴🇲🇴🇲raha sana kila kitu bureeee kikubwa Uvumilivu tu😂😂😂tunasubir Ramadhani ( taalii) kachor sambusa vitumbua chapati nk tunashibaje krb jmn
Anko jey na dada lisA mmenigusa sana moyo wangu mmegusa maisha yangu kbs yani mimi pia nina watoto watatu wa kike na mume wangu hawapendi kbs na tayali kazaa njee ya ndowa nakapata amtakae naumia sn 😭😭😭😭😭
Ukipata nafas ya kuiyona coment hii unijibu anko j swali na wew hua unaachwa ama kuacha na kama ni hivo je kwann usiyaishi maisha kama ya simulizi maana binafsi nikama umenitoa tongotongo kupitia simulizi nimeamka na kubadilika sana haya sijahau kwamba nawe ni binadamu unamadhaifu yako lakn
Baada ya yote pole sana ila ume sema hutaki tena ndoa chaajabu shosti umeolewa tena unauhakika na alokuoa mana hata yule wa mwanzo alianza na kuwa na mapenzi Sana na ww mwisho ilikuwaje ama unataka kuumia tena shosti tek care
Yni anko jay leo nimekulaani ww ungejua😂😂😂😂yni nilisubiria sna lisa31 nlijua leo utaibwaga mna VIP wko 24 uko,,hutufanyii swa ww kaka wa mihela yni naumwa apa nlipo pangekua na maali kwa voic ungekimbia na izo kelele nakuapia😅
Pole wangu sasa unadhani 2fanyeje?mi nawashauli 2jifunze kupenda kidogo maana a2na kimbilio lingine, kiukweli anko ana mpinzani ndo maana ana2weka nyuma cc ambao cyo wa v,I,p,kama matako.
Tulio miss bint lissa tujuane hapa😢😢😢😢
Mm ata nimelia na nkanyamaza2 ili cku isonge muimu nimeckiaa sauti ya uyu mchawi wetu alituroga sasa anatunyanyasa😢
Wallah me hadi usiku nachungulia kama Anko Jay ameachia mzigo😢
Anco Jay anatuboa
Anco Jay anatuboa
Anatunyanyapaa ankojay
Haya Jamani Karibuni darasani Mwalimu mwetu Ni anko jy ❤❤❤❤
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love.
Mapenzi yataniua bora nitafute pesa nianze jishauwa😂😂 asante anko jay kwasimulizi mpya🎉
Kweli bora pesa zina fariji😂😂😂😂😂
Tafta pesa lkn usizitafte kma mason na kelvin 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@@saumunyadzua umeona eee🤣🤣🤣
@@user-fu6ew1jb6e 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti
Mwisho wa ubaya ni aibu 😢😢🔥 Ngoma bado nzito Anko Jay shukran
Kweli hivyo ndivyo ilivyo 🎉🎉❤from KENYA 🇰🇪
❤❤❤❤.niko single na enjoy.naoshea waarabu machoo zao nalipwa na nafurahi.someone took my love for granted
😁😁tupo wengi tunajifarij siku za endaa
😅😅😅tumejaa telee
Kweli shagala mwenzangu
Mashagala hoyee tunaenjoy😂😂
Hivi shagala ndo nn jamn
Wooo asante sana mpendwa wetu Allaah akulinde akupe umri mrefu ili uzidi kutusimlia simlizi zako nzuri sana ❤❤❤❤
Asante sana ako jay kwa simulizi nzuri yene mafunzo much love from Burundi❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Msululu wa matatizo yote ya ndoa hiyo,yalisababishwa na mwanamke mmoja tu ayekosa hekima akaanbukiza upumbavu kizazi chake chote,ni mama mkwe,Asante mtunzi,asante msimulizi,nawapenda wote kwa mafundisho mujarabu❤❤❤❤
Ameeeen Ameeeen Ameeen nashukuru Kwa simulizi nzuri yenye mafunzo namaumivu ya ndoa
Yan nimechelea lakini sio sana Acha ni 🪑🎧 jameni Fulaha Nikai join Ankojay ahsante Mungu wetu wambinguni akubalki 🙏
Ndoa zinaitaji uvumilivu sana ndoa za siku izi azikaii kabisa kwa sababu zinamambo mengi ndoa za ss hv ❤❤❤ tumuombe mungu sana maana ndoa siyo lelemama 😂😂
Safi sana Mama Jacky wanawake km hawa tuko wangapi. Wanaume wamepotezea Watu muda na hata kuharibu maisha kupigania penzi feki. Usipopendwa sepa Mungu hawezi kukuacha. Sasa Baba Jacky ameishia wapi? Laana inaleta kifoooo!!!
Kula chuma hiko ❤❤❤kaka tuko nawe kila mahala❤️❤️🌹
Asante anko jey Yani ndoa wee achatu 🎉🎉🎉🎉🎉
Tupo ndani shukran sana Anko Jay, tumemiss binti Lisa tukumbuke tafadhali
Ndoa zimegeuka kuwa kama jehanamu eeh mungu tusaidie
Asante sana, Mimi yalinikuta ndani ya ndoa lakini sikuletewa ndani ya nyumba.ila ndoa ndoana na bila kuwa na subra utabadilisha waume. ambao hawajaingia kwenye ndoa musikate tamaa. Bali tumuombeni Mungu atupe aliowema na kutuepuaha na mabalaa ya mawifi na mamamkwe ama babake. Kwani unaweza kupata mama mwema baba akawa balaa. Asante sana.
Wow jamn nimekuw wa top 30 n uxhehe asante anko j unatupatia utamu kil siku mmmwaaaa❤❤❤❤❤❤
Haa jamani wazizi wa kike mungu hawasaideye roho mbaya ya shatani ndani ya watu asente Sana ANKO JAY
Jamani huku kwetu watoto wakike ni wamaana sana,,🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Shukrani sana Mungu awatanguriye kwasimurinzi ❤
Ahadi zako za kweli twende kazi
Ndoa zinamitihani kama halijakukuta utaona ni uongo lakini kama lilikukuta kama mimi kamwe siwezi kusahau kabisa lakini mungu ni mwema sana kazi ni kujipa moyo tu
Wakwanza mim jamn nipewe maua yangu hata kumi tu tafadhali 😂😂😂😂
Wajna umetisha sana❤
@@user-ui6rf8yx7s asanteeee kipenzi changu 😘
Ahsante saana Anko Jay mungu akubariki kwa kazi unaofanya baba. Nakuona unajua kucheza ngoma be blessed.❤❤❤❤❤❤
Nimekuwa wa 33 Leo Asante ankojay 🥰🥰
Leo nmewah jmni❤❤❤❤
Thank youuuuuuu so much anko Jay wetu kwa simulizi nzuri tumejifunza kitu kwenye ndoa ❤❤❤🎉🎉🎉
Huyo baba mkwe apewe 💯💯❤🇰🇪
Daaah nimejikuta nalia juu ya hii simulizi😭😭😭
Hao mawifi wanaoshughulika na ndoa za kaka zao,hakika hao kaka wa hivyo ni kama maiti zinazotembea,mtu asiyetumia ubongo wao japokiwa ni viongozi wa familia ngoja hilo toto la kiume liwe la mwanaume mwingine
Ankoj utusaidie TU tusamehe saba mara sabini hukumu iwe kazi yaMUNGU❤
Wawoooh Anko J ❤❤🎉🎉
Anko 🔥 🔥🔥🔥
Nipen bc like ata moj
Shukran sanaa kaka Jay
Mi wakwanza team lisa naombeni like zenu 🎉🎉🎉😂😂😂😂😂 anko j tupe31 achaza hivyo
Ndoa weeee siku nikikushika ivi✊✊utanikoma😂😂sema tuletee tu binti lissa anko j hizi ndoa baba zitatutoa roho😢
Nimekuwa wa kwanza leo naomben like japo 10❤😢
😢😢😢😢😢
1:12:30 1:12:30
1:38:51
1:39:14
1:49:02
Tuko pa 1 kutega masikio kusikia sauty yko muruwaaaah Anko J mapesa 🎉🎉🎉
Tm Anko jay❤🇴🇲
Nilipochtuka uchingizini😂😂😂 ila ako j unaongea sanaa mpk unachapia ila uko vizur❤
Mmmh ndoa imefanya nn mpk haitakiwi wacha ni kae nisikilize mkasa huu❤❤❤🎉🎉🎉
Waaaoh vizur San wacha tusikilize ❤❤❤❤
aisée na liya jamn wanaume ebu muwe waaminifu kwa wake zenyu 😭😭😭😭😭
😰😰😰😰kwa ndoa hizi acha nitulize komwe langu
Wakwanza❤❤❤❤
Nimewai leo 😂😂😂❤❤
Katika simulizi nilizowahi kusikiliza kiukwer hii imeshika sehema ya kwanza Yani namba Moja imenigusa mno Yan niuhalisia kabisa duh aisee wewe mtunzi na msimuliaji nawaahidi kuwapa elfu 50 nipongezi kwenu kiukwer imenigusa pakubwa
Mashaallh anko ubarikiwe❤❤😊
simulizi nzuli
Namhurumia Alvin 😢simpendi Kelvin ni pretender😢😢
WA kumi na tano leo... Yaani Ina 14mints mshajaa😂😂kweli nyie mwapenda anko jey😂😂
Wapi bint lisa
Kwa upende😢 wangu imenifunzaa kitu mie nilio na ndoa bichi upande mwengn imenifunza kitu furani😢
Asante kwa darasa Ankojay mapesa
🎉🎉🎉 Asante ngoja tulie kusikliza❤❤❤❤
Duh! huu simulizi ni kama ni sehemu ya pili la simulizi ya dada fulani aliyetaka kujua ndoa ikoje,akaanza upelezi kwa dadake,mamake mdogo,kisha akaolewa akasema anaishi maisha mazuri kwa ndoa changa
Binti sundi dear 😊
Amen hatutochoka kumuomba mungu
Wowoooo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Asante sana akojay nimesubiri hatimaye umeleta nimejufuza sana❤❤❤
Mimi ndio Nina week moja tangu nijoin lakini nitahakikisha nimesikiliza story zote.... good job Anko Jay God bless you always
Karbu tuenjoy na anko jey❤
Karbu tuenjoy na anko jey❤
Kalibu sana
Niko single na enjoy na waarabu Hadi Raha na watoto wangu wanapata kila hutaji lao la msingi sitaki shida mm na mtoto wa mtu Yani ndoa msikiye mweziyo tu 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
👏👏👏Masinger mother kujeni hp Af 🇴🇲🇴🇲🇴🇲raha sana kila kitu bureeee kikubwa Uvumilivu tu😂😂😂tunasubir Ramadhani ( taalii) kachor sambusa vitumbua chapati nk tunashibaje krb jmn
@@user-yl4zp5qd7t
Umesahau hobs sagiri😂😂😂😂😂😂 na hobs 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Mwezangu wee achatu sibaduki Kwa muwarabu chezea riyal 🎉🎉🎉🎉🎉🎉hizo ndoa zipo tu 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Ebunielewesheni nami wanarabu wamewafanikishaje dear
Hamna kuenjoy nikujikaza tu .hujui vile inaumaga mtoto anapoona watoto wengine wakiita baba
Asant san anko jei❤❤❤❤
Anko jey na dada lisA mmenigusa sana moyo wangu mmegusa maisha yangu kbs yani mimi pia nina watoto watatu wa kike na mume wangu hawapendi kbs na tayali kazaa njee ya ndowa nakapata amtakae naumia sn 😭😭😭😭😭
Tunasikiliza hili tujuwe kimemkuta nini tena kwenye hiyo NDOA KILA MTU WAKWANZA NIMEONA NIFUTE TUU 😂😂😂😂😂
Asante sana anko J kwa kitu kipia 😊😊🎉🎉
Siku nzuri ❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndoa nikutangaza vita nappa siorahisi😢😢😢😢😢😢
❤❤❤ankojay mauwa yako jamani 🎉🎉🎉
Duuuuh ndoa bhn!!
Anko Jay kwenye hii simulizi sauti yako imetulia sana na pia Kiswahili kimekuwa fasaha na kuonyesha umairi wa kutumia methali
Jmn jmn Ankojay mimi nataka lisa 😢
Asante. Anko. Kwadarasa. Lakin. Tukumbuke. Ten. Palepengin. KwaLISA❤❤
Usiogope kuingia kwenye ndoa unapambana na kumwomba mungu ndo mtetezi wetu
Ankoj ❤❤❤❤waiting ✋️
Asante sana ankojy waoooh❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ukipata nafas ya kuiyona coment hii unijibu anko j swali na wew hua unaachwa ama kuacha na kama ni hivo je kwann usiyaishi maisha kama ya simulizi maana binafsi nikama umenitoa tongotongo kupitia simulizi nimeamka na kubadilika sana haya sijahau kwamba nawe ni binadamu unamadhaifu yako lakn
Baada ya yote pole sana ila ume sema hutaki tena ndoa chaajabu shosti umeolewa tena unauhakika na alokuoa mana hata yule wa mwanzo alianza na kuwa na mapenzi Sana na ww mwisho ilikuwaje ama unataka kuumia tena shosti tek care
Tumengoja simulizi tukaona kimyaa asante ❤
Tuko pamoja jamani Ankojay chuku maua 🎉🎉🎉🎉 na kupenda❤❤❤❤
Anko umenifunza kitu mimi pia nilikua nna mpango wa kurudiana na baba watoto wangu lkn kwa funzo hili hapana nishakansel 😂😂
Acha ndoa ikae niwe na amani na furaha nikiwa na wanangu🎉
Pamoja sana anko jay 🇴🇲❤️❤️
Mtoto ktk ndoa ni zawadi toka kwa Mungu,siyo sehemu ya ndoa
Ila.kiubinadamu ni ngumu kukubaliana na hali halisi.hata mama yetu.sarah.na baba yetu Abraham lilwashinda kumudu pia
Mwendo wakobe anko jay anko jay kula 5 ww ni jembe ambola mkulima analiamini kuliko kit kingne🎉🎉🎉
Afadhali umetupatia kipozeo cha Bint lisa😊
Very stor so much ❤❤
Ooookey ❤❤
Yni anko jay leo nimekulaani ww ungejua😂😂😂😂yni nilisubiria sna lisa31 nlijua leo utaibwaga mna VIP wko 24 uko,,hutufanyii swa ww kaka wa mihela yni naumwa apa nlipo pangekua na maali kwa voic ungekimbia na izo kelele nakuapia😅
Pole wangu sasa unadhani 2fanyeje?mi nawashauli 2jifunze kupenda kidogo maana a2na kimbilio lingine, kiukweli anko ana mpinzani ndo maana ana2weka nyuma cc ambao cyo wa v,I,p,kama matako.
Ebu tuskilize ili janga la ndoa maana Amna dalasa gum kama ili la ndoa
Kuanza ndoa ni kama kuanza vita usianze vita ambavyo hutaweza
Leo umetuamulia asante
Mie ata simchezi anko j Mpaka atutumie Binti Lissa wetu.akituma ntamchezaq
Kwa kweli tukupe mauwa 🎉🎉🎉🎉❤
Asante Lisa mwalla ❤❤❤
Ameeni🙏🙏🙏
Siyo wazazi wote wakike wabaya mie mamkwe wangu ni rafiki kwangu